PART 1:AKIDAH MWENYE WAKE WAWILI KAMA DR.MWAKA/AONESHA UTAJIRI WAKE/KURUSHIANA VIJEMBE/ILIKUWA NGUMU
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- AKIDAH Aliyejizolea umaarufu kwa kuwa ana wake wawili carrymastory tv imepata nafasi ya kufika mpaka kwa mke wake mkubwa na kuwawakuta wake zake wote. Pia atuonesha utajiri alio nao.
Bimkubwa nimempenda bure , maana unakekma na mwenyezimungu kakujaza imani mashaallah
Najmaaa nkutftaaa Sanaa ndugu ynguuuu
Dada kila ninapoingia upo love you muvh am mwanaidi athuman
Bi mkubwa Mashallah yuaongea vizuri kisha ni mrembo black beauty 😘😘😘
ol
Nampenda kumwona bi kubwa mzur mashaallah
Mkemkubwa mashallah utasema Ana mtoto mmoja a jomwoniiipenda Sana mungu awajaalie mdumu Maisha yenu yotee 🤲
Mashaallah bi mkubwa ni mzuri mpaka rihi yake ni safi..Allah aluzidishie moyo huo huo
@Ummo Islam Allahumaa Amiin
Mke mkubwa mzuri Masha'Allah 😘😘😘
Ndo maana hateteleki ila mume akiowa mzuri kuliko bi mkubwa unaweza kufa
Bi mkubwa n mzuri sana....
Watoto watano ila bado mbichi mashallah,
Pesa hiyoooo
Aliridhika nafs yake
@@daishajumanne5990 ngoja aishiwe tuwaone
Atari sana
Mke mkubwa mrembo hadi raha😍😍💋na bi mdogo nae mrembo jomon 😍💋
Bi mkubwa jicho MashaAllah rangi hadimu hiyoo una pesa zako lakini hutaki kujichubua nime kupenda sana tena sana
Bimkubwa mzuri mashaallah hadi raha japo hata bi mdogo si mbaya ila bi mkubwa manshaallah mabrouq
Apo ndipo mnapofeli wanawake uzuri mshaambiwa sio ulembo
@@gaudinamosnchobe4909 kuna utofauti kati ya uzuri na urembo elewa urembo nikujilemba.
Wote tu mashaallah
Jamani mimi nimempenda bi mkubwa sijui kwanini na rangi yake mashalaah dada usipake caro light rangi tamu adhimu
🔥🔥🔥
Usijali sipaki carolite ,,,,,I am cheusi mangara
Wote wazur acha roho mbaya
Five kids mashallah mashallah ❤ super women your are so so beautiful black is beautiful 😍
Mnaosema bi mkubwa mzuri sana, hata mke mdogo ni mzuri sana.
Nawewe nimzuri zaidi
@@abufauzan9417 Hata wewe Nimzuri zaidi zaidi
@@arqamibnarqam.7185 mzuri anakuwaga mwanamke bhana
Uzuri unazidiana hujui
@@zuhurambonde1982 wako umezidi zaidi
Watoto watano na bado kisu mashallah Bimkubwa kisu sana black beautiful
Cheusi ni dawa she is really beautiful
Sanaaa mashalaah bi mkubwaa.mremboooo
Pesa mama
@@ayshazsalim397 true
Na pesa inachangia
Bi mkubwa anajikaza tu lakini bado anaumia 😂😂lakini ndo hivyo
Kweli...
Ukweli
Pole dadangu bi mkubwa unajikaza na kuilazimisha nafc tu bado haupo sawa na si rahisi kiivyo pole love
Kabisa
Mke mkubwa mrembo mmno jamani
Bimkubwa MashAllah...bi mdogo anaonekana hana heshima kwa mwenzie anailazimisha tu..kwanza hata anavyo m refer mwenzie anamuita huyo hayo mara yulee lakini mwenzie anamuita bimdogo
Mke mkubwa mzuri kwelii mashaallah...!!!
Bimkubwa black beauty😍
Maa shaa allah bimkubwa mrembo jaman nimempenda bureeeeee
Kamuoe
Mchawi pesa tu na mwanaume Kuwa na msimamo kapuku igaufe kwa presha 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁
Yaani natamani ungekua karibu ningekupa zawadi jamani nimefurahishwa na comment yako Udugu wangu kweli mchawi Pesa apo Pesa IPO na wanatimiziwa ata kama akioa wanne
@@rahmaramadhan2476 kabsa mme hapo akikoroma kama hutaki mke mwenza tembea mbele mwanamke ukiangalia maisha hko nje yalivyo madume kwann nisikae nlevyombo tu kwani shida ikowapi na chapatikana kilakitu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@rahmaramadhan2476 😁😁😁
😁😁
B mkubwa mzuri na pia anaonyesha ana roho safi ila hyu mdogo mna mashaka nae!
Bi mkubwa ma shaa Allah upo smothiiiiii👌 Allah akujaze khekma.....Amiin
Raha Sana Aiseee Kikubwa Mkwanja Tu
Hta mimi nimeona mkwanja tu
Hamna kupendana hapo,Mimi naona roho kichaka ,yani wanajikaza thuu,
Lakini hamna upendo hapa movie hii
Kabsa
Ma sha Allah hongereni sana. Lakn huyo bi mdg mmh kazi ipo maana kwamacho yangu 2 aman haipo kabisa
Ilauyoo bimdogo mmmmmmmm apo kaziipoo uyoo mkubwa nimtu mwenyerohoo mzuri
Huu si unzinzi ni halali kabisa dini yake inaruhusu kabisaaa
poa
umeona eeeh mumewe anamwita huyu bi mkubwa anamwita yule Hana adabu
Umenena,na mie nmeona hvohvo
@@wisebless5302 😩kwan kakoxea nn c kaelezea tyu au mm cjaelewa
Mwacheni aoe maana mwenyewe kajitosheleza
Nalo nenoo
Kila mtu bi mkubwa mzuri uyo bi mdogo akija kuangalia coment namuonea huruma 😁
Kweli bi mkubwa mzuriii sana
😁😁😁😁😁
😆😆
😂😂😂😂😂😂
Hehehee kweli ila bimkubwa mzuri
Bi mkubwa mrembo Sana natural colour
Uzuri waukewenza mume awe nahela mwenye macho haambiwi tazama bonge la jumba
Kwakweli
Umesema kwe mume hakiwa na pesa watu wata pengana
Pangekuwa hapana pesa hapo😂😂hapo kwa bii mkubwa yaani hadi rahaa,mwandishi twende na nyumbani kwa bii mdogo 💃🏻💃🏻tupaone
Kweli ndg hata mm nakubali aise...
@@veronicaenock7292 mshari wewe hahahaaaaaaa
Bi mkubwa mashaalah mzuri jamani halafu ana jicho flani hivi
Ni mukubwa tabia yako nzuri Mashallah keep up nyinyi ni mufano bora kwa society, ongera kwa familia zenu kuwapa malezi bora, inaonekana roho zenu na tabia zenu nzuri, nawapongeza sana
Maashaaallah hongera sana bi mkubwa una rohoo mzuri na mdogo wako adi rahaa
Mashallah mashallah mashallah mungu awahifadhi nyote na awabashiriye pepo ya janathil firdawus insha'Allah Khair
Amiin Inshaallah
Masha Allah Niko ktk ndoa miaka 10 sasa lkn sijawahi wake zangu kukaa pamoja Kama hivi daa m mungu awabariki sana
Maashaa Allah bi mkubwa napenda una heshima hata mie ni bi mkubwa lkn sipo Benet na bi mdogo hongeren saana
Nambie uliyapokea vipi
Utakuta vibint kadhaaa kumtunza mume mmoja tu #kelele kibao😀😀😀hv unakuta wamekwama wapi wivu kama lote😀😀😀😀anyway jamaa tumpe hongera amejitahdi
Mh wanaishi kwa kumfurahisha mwanaume.na si kufurahisha nafsi zao
😅😅😅
Arafa umeona mbali
Majungu
Mke mkubwa ana akiri sana hata uongeaji wake anaonekana n dada mwenye IQ kbw....... Ukila na kipofu usimshike mkono....... Bi. Mdogo nakupa pole sana
Bi mkubwa macho shoga mzuri mashaallah
Bi mkubwa maashalaah, utasema anakogea maziwa. 😍
Safi brother,itasidia kufundisha kwa wengine
Awe Buddhist,Muslim ama Christian inabidi tuwaheshimu wanaume wanaokaa na mke mmoja. That's the only true love,mapenzi mengine kama haya ya kuganwanywa sintowahi kuyaelewa,wanawake tunavumilia mengi sana kwa kweli
Bi mdogo maresh uke wenza unauweza una matashtit👌 ady raha
Mimi siwaoni wakiwa kabisa 😢😢 ama ni macho yangu jmn 😓
MAASHAALLAH.....Kutokana na hali ha kujiweza kwa mwanaume na sheria za kidini NIMEMUELEWA....Ila NIMEWAPENDA ZAIDI wake zake kwa jinsi walivyokuwa HURU kujieleza kiundani na bila woga...na pia unapotazama " WAKE HAWA" BODY LANGUAGE zao wakiti wakitazamana unaweza kuona wazi kwamba WANAWEZA KUISHI PAMOJA na kusiwe na MATATIZO na kama yatatokea matatizo na kukoseana heshima ..BASI MUME WAO YUKO VIZURI na ana uwezo wa KUYATATUA...NIMEWAPENDA WOTE...#MAASHAALLAH
Hongereni sana wanawake wenzangu kwa mioyo yenu ya ujasiri duuu kushare Mume ni kazi ngumu sana.Ila hapa naona kama kachuki kapo kabisa hata ukiwaangali unaona.
Sidhani. Their body language shows waneskizana
Hamna hawapendan hawaa
Bibi mkubwa is matured and very couraging masha Allah
Raha iwe kwenu milele♥️
Uzuri wa mtu tabia huyo mke mkubwa uzuri wake nimuonekano watabia yake huyo mdogo inaonekana kabisa anaigiza tu afanyeje ila huyo bi mdogo hana upendo wake wakufosi
Nikwel my
Bimkubwa Masha Allah jamn nimempenda bureeeeeeeeeeee
Napenda bi mkubwa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Waoooo bi mkubwa mzuri bwana daaah
Allah awaweke salama.awajalie kila la kheir.
Mashallah mungu akupeni madkilizano mema katoka nyumba zenu na mapemzi mazuri nimefurahi sana huskiliza na kuona aditokee kidudu mtu akavunja mahusiano yenu mungu awabariki ameen
Mke mdogo anaonekana Hana furaha vizuri Hawa watakuwa wanatupiana vijembe vya chini
Mume wangu mtarajiwa Kama utapenda niende jela kwa kosa la mauaji jaribu kuoa mke wa pili🤸
😂😂kw kwel
Hayajakufika
Mhmhmh
Tobaa🤣🤣🤣🤣
Acha uchoyo hutaki wenzako wapewe
Hawa wake wadogo wanakuaga na vimbele mbele sana wanajifanya wao ndio wao
Sio wote
Bi wakubwa pia wapo wakorofi
@@sadahgullam8228 lazima awe mkorofi simkubwa sio unakuja kwenye maisha yawatu na kimbele fronty
Bii mdogo ni mrembo sana Pia anajua kujieleza Na sioni kama ana mashauzi yupo fresh kwakweli jamaa amejitahidi sana kuwaunganisha ,wapo fresh nijambo la heri kuwaoa Wake zaidi ya mmoja ni suna ya mtume lakini Uwe Na uwezo ,sio kuwalundika chakila huna nguo hawana vitoto vinalizana Paka kalala ktk ya jiko , hapo utakua umetenda dhambi sana
Bi mkubwa very beautifull u look very young n 5kids😘😘
Eeee bimkubwa ni mrembo balaa 🔥🔥😍😍😍😍😍👍👍👍
Bi mkubwa beautiful sana yaan yaan mashanlaah
MashaAllah 💞😍 bimkubwa mtu na nyota yake
Bimkubwa mashaalha maashalha nimzuri saana
Bimkubwa mashaallah na mdogo pia mashaallah ila mkubwa ameshaaazaa watano bado 😘
Bimkubwa mashaAllah mashaAllah mashaAllah watoto watano na kasura kako kanaita mashaAllah mashaAllah mashaAllah black biuty mashaAllah bimkubwa.
Hapa bi mdogo kazi anayo dadaq mke mkubwa anamsimamo mgumu ogopa kukaribishwa na mke ulie mkuta kajipanga 😂😂
Bi mkubwa mzur mashaaallh mwanamke jicho uko vizur dada
Mke mkubwa kisu😍😍😍Ila hapo hakuna kupendana kwa kweli bi mkubwa anavyomwangalia mwenzie😀
Akae macho k
InshaAllah Allah awazidishie mahaba na mawadha😘😘😘😘
Bi Mkubwa nimekupenda buuuuuuuureeee.
Mm niwe mke wa pili sio wa kwanza maana nikiwa b.mkubwa isee siwezi kuvumilia haki tena
Kabisa
Hswaaa
Yan kwer mi siwez
Bi mkubwa so cute nimempenda bure
Hawako sawa hawa ..mke mdg anaonekana mswahili sana..hakuna mapenz hapa
Allah awabaari wote kiukweli mke mkubwa ndio ameanza kufungua milango kwakweli ni kheri juu yako Allah awaweke na awatunze(Amiin) wake muridhiane na mkikosana muitane musemezane...
Veema sanaa- nawapa Bg up wootee Mtangazaji ukopoa' na family pia ikopoa kwa kwakupenda ALLAH awajaalie hivyo hivyo.
Inshallah amiin
Jaman mapenzi yanauma Ata apo naona bad, masharll bi mkubwa 🥰
Kaka mashaallah umejipanga
Ila mke mdogo kua makini naiyo tabia ya kutoka bira kuaga
Majungu huyo mkubwa nae ndi hiv
Huyu bi Mdogo kisirani anaonekana na anadharau akida penda sana mke wako mkubwa.
C kazi rahisi cdhani Kama mke mwenzangu aweza ridhika na Mimi alivyo na roho mbaya
Waah kisu bii mkubwa lkn wote wazuri
Bi mkubwa mashaallah black beautiful
Ila sikuona sababu yakujionyesha,soo!😏 ila mmmm sio kweli kama wanaelewana hao ukiwaangalia tu kuna ualakini hapo wamelazimishwa camera 😉😁
Facts
Point... Wanaonekana kbx wamelazimishwa
@@aminamassawe1768 😁
Eee Saana
😀😀😀😀😀
Hongeren allah amfanyie wepes
Awapenda sana Mungu aendelee kuwalindia ndoa yenu
Bi mkubwa kafanana na Ummy Mwalimu mashallah ni mrembo
Yeeee👌
Mm namini mke mkubwa ndio hajafata pesa
Bi mdogo mzuri Mashallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤❤pendaneni daima inshallah.
Hawa navyo waona naomba kher maana waaa kila mtu ananyari kivyake
Mashallah allah atufanyie wepesi kwa sote inshallah
Aaaamin
Inshaaallah Allah SWT atawawezesha🤲
Watangazaji Wa Chokochoko yani duuh, Hongereni Wa Dada.
Mashaallh my dear friend bimkubwa,
Pesa tu hamna upendo wa kweli penzi haigawanyiki
Fatma lkn we ni mtoto wa kiislam
Mke mkubwa ndo anapedwa
Mashallah Allah azidishe imani namapenzi
Bi mkubwa mashallah
Mungu nipe hekima, maana nikiomba nguvu 🤣🤣🤣 Kuna lijitu litakufa.
🤣 🤣 🤣
Hahahaha
@@aishasaid5702 mambo mengne Hayana raha kbs hapa duniani..
@@glorymboya6172 🤣🤣🤣
🤣🤣
Jamani labda kama awe amenijengea nyumba nzuri kama iyo gari yakutembelea biashara nzuri yeye akaoe ata kumi atajiju