MKE WA DR. MWAKA ANADAI TALAKA BAKWATA, AELEZEA KUKAMATWA NA POLISI, MWANASHERIA WAKE AZUNGUMZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 1,4K

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před rokem +12

    Mtihan sana Mungu akufanyie wepes! Mwanamke akisema basi ujue kachoka sana

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před rokem +31

    Kama kadhi ana presha basi hafai kua kadhi ateuliwe mwengine

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 Před rokem

      Kadhi hana baraza,vikao vya vitu kama hivi anakaa peke yake?kama ndivyo hivi,kutakuwa na kwsoro nyingi ktk kusimamia ndoa zetu kiislamu,na kwa usumbufu huu,matatizo ya ndoa yatakuwa yanapelekwa kusiko sahihi.Allah atusimamie kwa haya.

    • @idrissamohamed1100
      @idrissamohamed1100 Před rokem

      KWANI BAKWATA WANASEMAJE?

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před rokem +1

    Jifunze hukmu za quran kuswali kwa vitendo kiarabu gusa maandishi ya bluu
    youtube.com/@muhammadkipangatv2674

  • @danielmwamahonje9852
    @danielmwamahonje9852 Před rokem +75

    Mapenzi yanatutesa sana tena sana mungu tu wewe ndo jibu kamili 🙏🙏

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Před rokem +1

      Ni uonevu tu kwasabu kama imeshindikana kuishi pamoja kubari na yaishe

    • @rashid1860
      @rashid1860 Před rokem +1

      siyo mapenz iz zingine ni njaa tu na tamaa ya ella

    • @letisiamakonda3873
      @letisiamakonda3873 Před rokem

      Ila😆👐

    • @saidmajeba9791
      @saidmajeba9791 Před rokem

      Bro amka kumekucha,hao wote wanafuata pësa na maisha
      Hakuna mapenzi hapo

  • @aminakibwana8343
    @aminakibwana8343 Před rokem +8

    Dah jamani 🙌 pole Sana queen wng, Allah atakufanyie wepes

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Před rokem +35

    Mungu akusaidie mwanamke mwenzangu upate haki yako jaman

  • @zaytunimkwata6949
    @zaytunimkwata6949 Před rokem +14

    Daah nimejiskia vibaya,
    Nampenda sana huyu dada, Be strong my dear..
    Mwenyezimungu asaidie mufikie muafaka kila mtu apate haki yake...

    • @Awatee
      @Awatee Před rokem +1

      In shaa ALLAH

  • @winfridapeter9455
    @winfridapeter9455 Před rokem +16

    Mambo yamechachamaa sasa,mkunga nae ndoa yamyumbisha😂🤣😂🤣

    • @shaphaina9941
      @shaphaina9941 Před rokem +3

      Hahahaha kazi yake kukaa na kufunda wenziwe ila yeye yake inamshinda .kweli mganga hajigangi

    • @joeldallas6491
      @joeldallas6491 Před rokem +3

      Yawezekana dct mwaka Hana nguvu za kuwatbu hao viumbe

    • @shaphaina9941
      @shaphaina9941 Před rokem +1

      @@joeldallas6491 nalo neno

    • @aishamrisho6860
      @aishamrisho6860 Před rokem

      😆😆😆😆😆😆

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Před rokem +15

    Polesana dada hakiyamtu haiyendagi ivi ivi Allah atakupa lako fungu insha Allah 🙏

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Před rokem

      Haki gani unayo ongelea ww

    • @kamikazisalma5209
      @kamikazisalma5209 Před rokem +1

      @@kassimali2273 ukaye unajuwa uyo ni mke na sihawara

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Před rokem

      @@kamikazisalma5209 ni mke ndio uantaka haki gani apewe labda na mumewe au Bakwata tafadhali nieleweshe

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před rokem +21

    Mm ni mwanamme ila ss wanaume hatuko imara ktk ndoa zetu hatuwapi upendo na heshima ipasavyo wake zetu tunapenda kutongoza tongoza ovyo halafu tunawalaumu wanawake ss ndo tunowaharibu wanawake tusipowatongoza na tukatulia ktk ndoa zetu na wao wasingeharibika nasema tena ss ndo wachafuzi

    • @marthagabriel3417
      @marthagabriel3417 Před rokem +1

      Mungu akutunze maana umeongea ukweli mtupu

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před rokem +1

      Maashaallah kwakujuaukweri

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +1

      Kaka umeongea ukweli ila sio wote alhmdullah mumewng ni mume bora kwa familia yng na kwake na watoto alhmdullah

    • @nassorowaziri3076
      @nassorowaziri3076 Před rokem +1

      Duuu mkuu nimekupata Ila sio wote ni baadhi yetu Tu

    • @daud405
      @daud405 Před rokem

      acha usenge ... ndo nini umeongea bila shaka utakuwa mwanamke. haijakukuta

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +11

    Subhannallah, mtihani kwakweli, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Před rokem +67

    😂😂😂😂😂kweli mganga hajigangi 😂 Yani dr.mwaka,SI ndio mshauri wa mambo ndoa na mahusianooooo🤣🤣🤣

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Před rokem +4

    Pole sana my ule ukewenza uloukumbatia nakulala namume wenu pamoja ilikuwa khatwari ile.... nayule alokuchukulia mumeo ukamfanya pachaako nlijuwa mwisho wake ndohuu ajuwa alichokifanya bimdogo mmmh pole sana dadangu mtihani inshallah wepesi utapatikana aameen yarabbi

    • @halimafaber3685
      @halimafaber3685 Před rokem

      P]ppp]

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 Před rokem +2

      Huyu siyo yule huyu ni bimkubwa wale niwake wadogo

    • @fatmaabeid1155
      @fatmaabeid1155 Před rokem +4

      @@siaammo1104 unamuona kavaa stara ndio maana umeshindwa kumtambua huyu ni queen mke wa pili ni wale wawili wanaopendana sio bi mkubwa

    • @benedictarweyemamu9531
      @benedictarweyemamu9531 Před rokem +1

      huyu ni mmoja wao wale wa masare walikuwa wanapendana madai yao mdudu kaingia

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 Před rokem +2

      @@benedictarweyemamu9531 eeh kwerr wamefanania na huyuuu

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před rokem +39

    Mapenzi shikamoo 🙏 ha! Ila wanaume zetu asilimia kubwa ndivyo walivyo inafika muda sisi wengine hatutaki kuvutana na mtu tuna Kaa kinywa na kutabika mwisho wake unazoea na unaendesha maisha peke yako, ila ukisha sahau maumivu mungu ndio ana muwazibu Sasa mara una sikia apepata mitihani hii mara hii? Mungu ndio kila kitu na hukumu ni hapa hapa Duniani amini Hilo jamani

    • @habibaomary3834
      @habibaomary3834 Před rokem

      Kwakweli wanaume shikamoo wengine tumesamehe kila kitu nini wewe mwaka mmoja wengine 3 years pole dada

  • @NDEWARA
    @NDEWARA Před rokem +25

    Pole sana Queen. Huyo ndiye tapeli "Dr" Mwaka😭😭

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 Před rokem +24

    Dada mzuri Sana mrembo aswaa ,,daah, Mwenyezi mungu atakusaidia dear

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 Před rokem +17

    Maji yamezid unga hapo ni mkanyagano tu mimi nasema hiv mwanamke ni mmoja tu

    • @ibrahimsalmin6884
      @ibrahimsalmin6884 Před rokem

      Usilete hayo na hata mmoja matatizo yanatokea

    • @shaluuanthony1836
      @shaluuanthony1836 Před rokem

      Mnaweza sasa

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      Mwanamke mmoja anakua mama yako tu aliyekuzaa, hawa wengineo hata kama unao mia moja na imani yako kidini inaruhusu tatizo liko wapi.
      Hata Seleman, Daudi, Ibrahim hawakua na mmoja, ukiwa huna nguvu za kiume hapo shida ni juu yako, akisimbua huyu anaongeza mpya.

  • @zuhrazuuvenus3705
    @zuhrazuuvenus3705 Před rokem +8

    Nikukumbuka ile roho yako nzuri na ucheshi wako wala hustahili haya Allah karimu rahimu utapata haki yako inshallah

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Před rokem +1

    Sister umefanya vizuri sana kuwaumbua bakwata.

  • @fatumajeneby5449
    @fatumajeneby5449 Před rokem +2

    1) MWANAMKE KABADILI DINI YAK..
    2) KAKUBALI UKE WENZA,
    3) MWAKA HUTOWI HUDUMA!
    4) POLE YAKO, MYANYASAJI🙏

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před rokem +14

    Nilimwambia doctor mwaka hata ifanye nn mwanamke akikuchoka kakuchoka tu

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Před rokem

      Una maanisha mwanamke yupi Tena huyu huyu,

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 Před rokem

      Sio kamchoka broo, tunavumilia mengi sana ambayo hata wanaume hawezi kuyavumilia, mnatuumiza sana😢😢😢😢😢😢😢 yanatufika shingoni unaona sasa wazama.-😭😭😭😭😭 tumwaa chie mungu mwenye hukumu ya hakki.

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Před rokem +26

    Mi ndomana kwenye swala la ndoa, sisikilizi mtu sijuw mwanasaikolojia, pastor au sheikh. Natumia akili yangu tuuu.

    • @mudhihirissa274
      @mudhihirissa274 Před rokem +3

      Wewe kama mimi

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 Před rokem +3

      Kweli kabisa

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před rokem +1

      Mwanasaikolojia kazi yake sio kukurudisha kwa mpenzi wako, anaweza kukusaidia hata tiba ya akili uishije huko baada ya kuachana na huyo mpenzi wako. Usichukulie negative in general brother.

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Před rokem +1

      😂 😂 😂 😂 Kabisa

    • @husna34562
      @husna34562 Před rokem

      🤣🤣🤣

  • @akinyindege7178
    @akinyindege7178 Před rokem +5

    Social media sio real life 😂

  • @jemimahaule1519
    @jemimahaule1519 Před rokem +9

    Dada atakukumbu huyo wanawake wainayako niwachache Pomoja nayote umeongea kwasta sana allah akulipe

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Před rokem +1

      Allah amlipe nini huyo. Wenzake wamemzidi kete. Mara nyingi wanaokimbia ni mabiwadogo na si bimkubwa.

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před rokem +18

    Tuacheni kushangilia kwa jirani kunawaka moto wakati nasisi kuna fuka moshi.

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před rokem +32

    Kwel ni queen maashallah

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před rokem

      Mzuri sana

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Před rokem

      Mtoto mzuri , kazi kukushanya wanawake lakini hawayawezi kazi kutaka umaarufu tu achia ngazi Dr mwaka tuchukue mama huyo

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 Před rokem +2

    Duhhh kwa kweli maneno sio kutenda
    Dr Mwaka nimekuwa nakusikiliza sn kwny mijadala yako unaonakana mshauri mzuri na unajua ndoa vzr
    Sasa leo na mimi nakushauri hivi
    1.Km mwanamke umezaa nae na hana tatizo kubwa basi kaeni chini muyamalize kiungwana tu kuliko kuja on public huku mnajiaibisha
    2.Km nyumba kaamua kujimilikisha kwa kuiba nyaraka basi mkubaliane kuwa iwe ya watoto wenu basi isiwe ya yyte na mama asikae hapo akaishi huko atakakoenda
    3.Kwa ajili ya watoto nakushauri wachukue watoto waweke boarding shule nzuri kuliko kushuhudia hii migogoro yenu
    4.Licha ya ugomvi wenu basi tunza wanao km ni kweli hutoi huduma basi wachukue ukae nao na hyo mkeo mwingine
    5.Katika mambo yenu yote achaneni kwa amani km mmeshindwana kabisa kila mtu asepe na alichojitafutia ili aendelee na maisha yke sio mtu hela yake awekeze saloon na mwingine anajenga hlf mwishoni wa kuwekeza saloon atake nyumba hyo hapana kila mtu abebe chake cha halali alichotafuta
    Note: Achaneni in peace tu

  • @drsilo
    @drsilo Před rokem +5

    Huku kuna rushaynah huku kuna mwaka🤣🤣

  • @leymanleyman7426
    @leymanleyman7426 Před rokem +7

    Mmmmh. Sasa hapa ndio najua kweli mapenzi sio hela. Shikamoo mahaba.

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před rokem +17

    Mungu bariki ndoa zetu zidumu milele, aminaa

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 Před rokem +18

    Kadhi inawezekana kuna Intrest na huyo Dr Mwaka hatuwezi kujua labda pengine ni Presure tu.

    • @majaliwawilson9372
      @majaliwawilson9372 Před rokem +1

      Tunataka kuiona nadokter mwaka nae ahojiwe ili tujuwe wanawake wengi Sana sikuiz unatafuta Mali nabaada yakupatikana mwanamke anaaza kutaka talaka Sasa bakwata inesema Kama niwewe umeamuwa haya wasalimie Sasa ugovi wanini

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 Před rokem

      Tatizo ni kusumbuana na tajiri

  • @messiahfeatures3994
    @messiahfeatures3994 Před rokem +4

    M/Mungu ampe subira na kusimamia ktk suala lake inshallah

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 Před rokem +3

    Mungu akusaidie mwanamke mwezetu

  • @kinyamal8201
    @kinyamal8201 Před rokem +4

    "Fika sasa Foreplan clinic matokeo utayapata naamini utanipenda." Sasa zaidi ya suluhisho amefanyaje tena?😊😊

  • @newvoicetutorial2131
    @newvoicetutorial2131 Před rokem +2

    Allah akukhifadhi dada yangu na akujaze sublla kwani hayo c mapito madhulli na in'shaallah utafanikiwa

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 Před rokem +13

    Yani office hizo ndio zilivyo kawaida Dada angu

    • @alimuhamed1830
      @alimuhamed1830 Před rokem

      Allah atamsaidia koz kama allah aliyo ahidi hakika penyeuzito nawepesi upo

  • @halimakuju6076
    @halimakuju6076 Před rokem +15

    Jamani ndoa nongum sana kwetu wanawake ningum sanawanawake tunaonewa sana miaka nenda rud mwanamke unaambiwa vumilia to inaumixa sana mie huyu dada hapa alipo fiakia nimaamux magum sana kwake ila ameona bola hiyo kuliko ndoa

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem +1

      Sio ngumu tatizo waliiharibu toka mwanzo mitandaoni

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před rokem +22

    SubhanaaAllah Allah Allah ni Mwenye haki atamlipa Kila Moja Kwa Haki pole dada sie hatuyajui yaliyopo ndani ya mioyo yenu ila tumtangulize Allah Kwa Kila jambo Amiin yarrab 🤲

    • @mohammedsalum3502
      @mohammedsalum3502 Před rokem

      Mnaomba talaka mkiishaona mmepata mali au mwanaume akiwa ana kitu ndio maana mnaomba taraka

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Před rokem +1

      @@mohammedsalum3502 sio kweli jmn talaka inatokea kunapokosekana maelewano baina ya wà2 wa2 ktk ndoa Mali si kigezo

  • @annajulius9940
    @annajulius9940 Před rokem +2

    Kwanza umependeza Masha Allah uko kwenye taraka dada 🤗🙄🤔🤐🤐

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail2972 Před rokem +2

    We dada mwanasheria ni mzuri lkn kinguo chako mtihani

  • @hawahabibu3881
    @hawahabibu3881 Před rokem +47

    Mdada mzur MashaAllah kushinda wake zake wote

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Před rokem +7

      Allah atampa haki yake Insh'Allah

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +6

      Ndio maaan hataki kuitoa talaka eti ana wake zke wale sura za jeshi anaona mh tabu kumuacha uyu mwanamke

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Před rokem +4

      Maa Shaa Allah
      Mzuri
      Anaongea kwa kituo
      Na akili ipo kichwani!
      Mke mkubwa

    • @madinamahuba
      @madinamahuba Před rokem

      @@malak-lz6kx Kwani sianao wake 3

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +2

      @@madinamahuba kabaki mmoja tu yule sura ya babu yke

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Před rokem +11

    Kesi yako sawa sawa na ya kwangu. BAKWATA hupati haki. Hayo mashiroka ya haki za wanawake ndio watakupa njia yabkushinda. Nilisaidiwa kisheria na SUWATA nimeshinda

  • @mansurmohamed5752
    @mansurmohamed5752 Před rokem +6

    Be strong Queen.

  • @rayanaabdallah6580
    @rayanaabdallah6580 Před rokem +2

    Mtihani Wallahi, walio nje ya ndoa watamani kuingia kwenye ndoa na walio kwenye ndoa watakani kutoka nje ya ndoa.
    Mungu atuongoze jamani

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před rokem +27

    Kiko wapi na kuvaa sare clouds😂

    • @johnnicola5941
      @johnnicola5941 Před rokem +6

      Na alikuwa anawabomoa wote kitanda kimoja...Kiko wap jeur😅😅😅😅

    • @veronicagoodlucky2330
      @veronicagoodlucky2330 Před rokem +3

      Huyo akuwepo kati yao wale wawili uyo mke mkubwa alikuwa anaishi nje

    • @eashaeasha9776
      @eashaeasha9776 Před rokem +10

      @@veronicagoodlucky2330 ni huyu huyu anaitwa kwini katika wale waliopostiwa mitandaoni ndio huyu huyu

    • @shakilaabdallah7890
      @shakilaabdallah7890 Před rokem

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @zakiaramadhan6976
      @zakiaramadhan6976 Před rokem

      @@johnnicola5941 Wewe 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hasnamustapha7774
    @hasnamustapha7774 Před rokem +10

    Dada poleee sana Ktk hyo point mwanamke ukiamua kujivua ndoani unaonekana hauko sawa,unatakiwa uwe stable Ktk hili na haswaaa ukiwa na divorce na mwanaume wa aina hyo.
    Mwanaume siku zote huwa anapenda Aache yy na syo aachwe na mke Queen stay strong Maa.
    #Ndoa si kifungo#

    • @feezdidthis2220
      @feezdidthis2220 Před rokem

      mtt wa kiislam ndo unakaa kusema hvo.. Subhanallah 🙉

    • @mishikikoti2948
      @mishikikoti2948 Před rokem +1

      @@feezdidthis2220 😂😂si kwasbb hayaja kufika.

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan6829 Před rokem +3

    Queen mzur jamn aiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @missclementsemizigimisscle7458

    Ndo mana hskupost Pole Mungu atakulipia inshallah❤️❤️❤️❤️🤲🤲🙏

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 Před rokem +10

    Dr mwakaa buanaa khaaa mapenzi magumu na ni Vita kubwaa Sana Ina vipengere

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Před rokem +6

    Jamani tatizo la wanawake wanafiki sana amuwezi wanawake watatu wakaolewa na mwanaume moja mapenzi ayagawanyiki lazima utaegemea upande moja tu

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před rokem +1

      Mie spend watu wanooa wake wengi japo mie n muislam ila jambo hilo kwakwel huwa silikubal hata kdogo! Wanawake wanaumizwa Sana katka hili 😢😢😢😢

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před rokem

      Kwani waisilam wanaume walivyoamrishwa kuoa wake zaidi ya mmoja kwa mwenye uwezo waliambiwa wagawane penzi sawa kwa wote? Hakuna jambo hilo hata Mtume s.a.w hakueza kugawanya sawa kwa wote. Kilichoamrishwa ni uadilifu wa kuwahudumikia kwenye mavazi, malazi, chakula na usiwanyanyase.

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 Před rokem +2

    Wakati wakristo tukijiuliza imani yetu Iko wapi Kwa sakati la Mchungaji wetu Kimaro ... Sasa huku Kwa wenzetu Nako Kuna shida tena.. naombeni mwenyi jibu atusaidie🙏🙏🙏🙏🙏

    • @mankacharles4559
      @mankacharles4559 Před rokem

      Jibu ninaliyetuumba,dini zenu hazina MUNGU wa kwelibzinaongozwa na taratibu za watu na wanadamu aziongozwi na muumba wa yote

  • @hodgebukaya5112
    @hodgebukaya5112 Před rokem +7

    Muongopeni mungu katika sheria. Hiyo nifisi ya Dini kazi unatakiwa ulimalize hili jambo kidini na kisheria.

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Před rokem +1

      Bakwata wanatutia aibu watatusababisha hata jitihada zetu za KULETA MAHAKAMA ya kadhi kushindikana kutokana na njaa zao, wallahi tukipata MAHAKAMA ya kadhi NI lazima makadhi easier wa kuchaguliwa Bali wa ku apply na awe amesoma degree ya kiislamu sio Hawa makadhi njaa njaa.

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před rokem +4

    Mungu akikupa neema jitaidi kuificha kama ikiwa kuna uwezekano wa kuificha. Mtu anakuhusudu mtandaoni na inakupata.

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 Před rokem +14

    Hahaha 😂 mapenzi ya mitandaoni hayadum jmn eti wanapendana mmnooo hahaha 😂 Mungu ameturuhusu kuowa zaid ya mmoja lkn kuishi tuishi nao kwa akili San🤫Sasa utawaambiaje walimwengu

  • @mathewjustine4186
    @mathewjustine4186 Před rokem +3

    Mzee Baba anaogopa pc yake akiachana nayo faster inachukuliwa😁😁😁

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před rokem +11

    Hizi Case ziwe kama case study Serikali ije na jambo hapa, hasa kuhusu malezi ya watoto, Makato yanatakiwa yawe direct kutokea bank kwa amr ya serikali na sio mtu mwenyewe aamue kupeleka hayo matunzo, kuwa na utaratibu wa deduction isiyo umiza

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před rokem

      Hayo mambo yote yapo, ila ni procedure, sema tu hufahamu kaka.🙏

    • @abdirizakhtuke2882
      @abdirizakhtuke2882 Před rokem +1

      50/50 ndio sababu ya talaka.

    • @eshialabonita7736
      @eshialabonita7736 Před rokem

      Hio ni kazi ya ustawi sema Ndio hivo

    • @abdirizakhtuke2882
      @abdirizakhtuke2882 Před rokem

      Utafute pesa umlete mtu akusaidie kuzila, siku anataka kuondoka aondoke na nusu ya mali yako.
      Where's natural justice?

    • @rabsonchisumo6640
      @rabsonchisumo6640 Před rokem

      Wewe unatamaa mbona hao watoto anaweza kukaa nao Mwaka mwenyewe

  • @himidijenga535
    @himidijenga535 Před rokem +15

    Kulikuwa Kuna haja Gani ya kuoa wake wengi angali huyu dada ni mrembo haswa. Very very nice woman.

    • @shaluuanthony1836
      @shaluuanthony1836 Před rokem +1

      Ila wewe lini mwanaume akaangalia urembo? Yan wanaume tamaa tu wanataka tu kummiliki kila mwanamke wanaemuona

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před rokem +2

      Alitaka na mwingine ambaye sio mrembo😂

    • @sophiaommy8343
      @sophiaommy8343 Před rokem +2

      Yaani kweli Ni mrembo kingine inaonyesha kweli kavumilia mengi

    • @shaluuanthony1836
      @shaluuanthony1836 Před rokem

      @@TM.Sullusi hatari sana

    • @softena100
      @softena100 Před rokem

      Huyu ni mke wa 3,wengine 2 walimtanngulia,nyumayake huyu yupo mke mmoja wa mwisho

  • @happinessmtalika16
    @happinessmtalika16 Před rokem +16

    Pole sana dada wanawake wengi tumeyapita hayo.lkn kikubwa uzima tu kama Mungu amepanga utapata vingi kuliko hivyo

    • @saadomar2480
      @saadomar2480 Před rokem

      Hayo mmeyasikia niyamwaka, Sasa namwaka akija akasema mapungufuyake huyomama mtasemaje? Punguzeni lunwa ninyi wamama ninyi!

    • @saadomar2480
      @saadomar2480 Před rokem

      Mambo yandani yamajumba nimagumu umdhaniae siye kumbe ndiye

    • @madinamahuba
      @madinamahuba Před rokem

      @@saadomar2480 kwann aombe talaka alafu amfungulie kesi nyingine na amletee polis waje wamkamate anaamana.anamkomoa mkewe kisa kuombwa talaka haliyakuwa hana huduma yoyote na mkewe na watoto .kama unadada na akawa anapitia changamoto kama hizi ungejiongeza

    • @madinamahuba
      @madinamahuba Před rokem +1

      @@saadomar2480 kuachana ndio amwambie arudishe kilakitu bado kesi juu ok anamnyanganya hiyo nyumba haliyakuwa anawatoto wataenda kukaa wapi usimtetee kwakua nimwanaume mwenzio ila angalia hoja nahaki

  • @williammgalla7774
    @williammgalla7774 Před rokem +1

    Zakia Msangi@my class mate. Big up sana

  • @kashinjepius4096
    @kashinjepius4096 Před rokem +3

    Maswala ya kuoa wake wengi haya... haya bhana na imani zenu... nachoamini hamna nafsi ya mwanamke ikafurahi mmewe kuoa tena

  • @mgofumaster6628
    @mgofumaster6628 Před rokem +6

    Mahakama hii bado sanaa tz

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Před rokem +56

    Dr Mwaka nakufuatilia sana, ila kwa hili umeniangusha

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 Před rokem +3

      Dr Mwaka hapo umefeli

    • @mkohoexperience7322
      @mkohoexperience7322 Před rokem +2

      Nyie mnasikiliza upande wa mlina asali, na kusema ameumia kwa kung'atwa na nyuki lakin hakuna aliyeongelea upande wa nyuki, kizazi cha nyuki waliopotea
      Don't drop into conclusions alaf hayo n mambo ya ndoa

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Před rokem

      @@mkohoexperience7322 mwaka alisema KUINGIA kanisani sio koa sijalisahau hilo Yule kanjanja mbahatishaji tu.

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 Před rokem

      Hapa tumesikia upande mmoja tu. Ukisikia upande wa pili, utachanganyikiwa.

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 Před rokem +1

      @@mkohoexperience7322 Nikweli, ila kwa asilimia 99 wanawake tunaumizwa sana, na tunayo yavumilia kwa waume, waume hawayavumilii kwa wake.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před rokem +2

    Wanaume konyo aiseee yani dada mzuri ivi na kaachwa vipi kuhusu Mimi Ashura mwenye sura ya baba 😫😫🙌🏻

    • @rhodachristopher4398
      @rhodachristopher4398 Před rokem

      Mwanamke ndio kachoka kasema

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Před rokem +1

      @@rhodachristopher4398 ni Sawa lakini inaonesha mwanaume ndo alianza vituko ndo mana mwanamke akachoka

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Před rokem

      @@ashurajengela3926 Hakuna vituko huyo mwanamke kazidiwa kete na wake wenza wale 2. Aliamua eti kuishi na watoto wa wake wenza ili apate kupitia watoto nao wakakauka Sasa kawarudisha na anamba taraka ili agawiwe mali. Dr. Mwaka anaakili Sana kamkaukia na kesi ya swizi juu.

  • @morogorodoll397
    @morogorodoll397 Před rokem +5

    Maisha haya jamani mkiona mtu Anadai taraka mmuache hayupo anayependa kuona watoto wake wakae tofauti na baba au mama ndoa mtihani sana cku izi

  • @merinaemmanuel3593
    @merinaemmanuel3593 Před rokem +16

    Pole sana dada yetu, MUNGU akusimamie sana.

  • @justinecom7461
    @justinecom7461 Před rokem +5

    Tatizo ni Rushwa,,utakuta Kadhi kashalamba mzigo Kwa Dr hapo patakua na shida hak haitapatikana

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem +5

    Akupe haki yaki, aache mbamba zake fala huyo

  • @AbuuAbdilRahmaan
    @AbuuAbdilRahmaan Před rokem +12

    HUU NDIO UKWELI BAKWATA...WANAENDEKEZA TAMAA YA PESA SANA...WANAWAKE WENGI WANATESEKA SANA KWENYE NDOA...BAKWATA NDICHO CHOMBO KILICHOPEWA MAMLAKA YA KUWASAIDIA WANAWAKE WANAOKOSA HAKI ZAO KATIKA NDOA...BAKWATA WANA RUSHWA PENGINE...NA SI HUYO TU...NI WANAWAKE WENGI WANAKUTANA NA MIZUNGUSHO MINGI BILA KUPATA HAKI YAKE.

  • @jasiminjasimin7694
    @jasiminjasimin7694 Před rokem +3

    Duuu mungu tusimamie wanawake

  • @sein.208
    @sein.208 Před rokem +13

    Allah ni mjuzi zaidi kwa yalifichikana na yaliyo dhahiri

  • @King_186
    @King_186 Před rokem +2

    Daah Dr Mwaka usimuache huyu Mama,unless km kuna jambo kubwa sana please

  • @faustinirichard8645
    @faustinirichard8645 Před rokem +3

    Pole sana mwana mama

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před rokem +10

    Dr yupo zake marekani anazurura na bi mdogo wanakula maisha,ila hii dunia jaman

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před rokem +55

    Huyu ndio mwaka originally sasa, Mungu ni mkubwa sana, nadhani tukubaliane tu ukamilifu ni wa Mungu pekee

  • @mariamumariamu5737
    @mariamumariamu5737 Před rokem

    pole sana Tonka kabisa logo wangu uishi maisha yako mwaka ninini Toka waisilam niwabaya sana wanagandamiza kisa dini

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Před rokem +1

    Kadhi hajisikiii kuongea 🤔 Subhaana Allah Mtihani ,kwelii Mtihani Sasa kadhi kama hajisikiii kuongea si ajiudhuru hiyo KAZI awaachie watu ambao watakaojisikia kufanya izo KAZI waweze kusaidia watu?

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 Před rokem +3

    Khaaa! Doctar wawili wamekushinda!!tena huhuh

  • @afyandogo
    @afyandogo Před rokem +5

    Dah hizi haki zimebadilisha sana maisha ya ndoa,kwenye maelezo ya Queen ni kwamba ameshindwa kuvumilia ndia yake lakini wakili amesema alikuwa anapitia ukatili🤔

    • @christinadeus2583
      @christinadeus2583 Před rokem

      Kwan hujamsikia Queen kasema hawezi kusema yote means kapitia mazito jiongeze ndugu

    • @christinemurithi6471
      @christinemurithi6471 Před rokem

      Amesema Hana haja kuongelea ukatili aliopatana nao katika ndoa

  • @neemasanare3474
    @neemasanare3474 Před rokem +1

    Mungu akusaidie

  • @motomototv5301
    @motomototv5301 Před rokem

    Dhambi Huzaa Dhambi na dhambi ikikomaa Huzaa Mauti na huu Ndiyo Mwisho wa Dhambi Mungu Hakushindwa kuumba Amina Eva Wawili Wala akina Adami Wawili Mungu Atuwezeshe Kuzishinda Dhambi Tuishi Maisha Matakatifu

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +9

    Subhanallah Yani ni mtihani baadhi ya wanaume wanalilia kuongeza wake haliyakuwa majukumu hawayawezi Allah atustiri kwakwel 😰

  • @massangamaulidi3383
    @massangamaulidi3383 Před rokem +6

    Hao masheh wa bakwata wana kazi ya kumjibu allah

  • @twahaissack7887
    @twahaissack7887 Před rokem +1

    Ww huyuuu ajafanyiwaa ukatiliiii huyuuu amejienguaaaa unabwabwajaaaa TU ,wamamaa wa mjinii haooo mtaingiaa motoniii wengiiii wanawakeeee duuuuuu

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před rokem +1

    Jaman had wewe dk. Mwaka. 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
    Aiseee maisha yana usiri. Sna.

  • @maisarahakizimana7074
    @maisarahakizimana7074 Před rokem +6

    Jamani mbona ghalfa sana

  • @wahidangunde4536
    @wahidangunde4536 Před rokem +3

    Bakwata mungu anawaona watalipia wanachowafanyia walalamikaj wanaofika hapo…mimi ni muislam lakin nmesikitishwa sana na malalamiko hayo😢

  • @asiamirajimtemingombe4975

    Baradha ilo linausumbufu sana

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před rokem +1

      Kila mtu analilalamikia

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Před rokem +2

    Huyu mke kwel amemvumilia sana maana huyu Dr mwaka alikuwa anawaleta Malaya ktk nyumba yake pale ilala maana na anafanya nao mambo machafu kwenye kitanda kimoja anacholala huyu mke kila jambo Lina mwisho wake.

  • @hashimiddy5766
    @hashimiddy5766 Před rokem +8

    Iyondio 2023 tutaona mengi

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 Před rokem +11

    ALLAH atawakufanyia wepesi ila Allah kareemu dada

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 Před rokem +1

    Hawa wanaojiita watetezi wa haki za wanawake ndio wanaoharibu hao wanawake.
    Dr Mwaka ni muislam na mkew ni muislam,iangaliwe dini inasemaje katika haya,wanawake wa kiislam wa siku hizi mnapotoshwa na ufeminist,na hiyo itawapeleka Jahannam

  • @letciamapunda8428
    @letciamapunda8428 Před rokem +4

    Dada chukua chako upumzike karibu group la masingo Maza epuka kuuawa

  • @zaitunjuma870
    @zaitunjuma870 Před rokem +3

    mtihan sn jaman Ee mungu wangu

  • @happygideon4861
    @happygideon4861 Před rokem +54

    Kipindi hiki mnaachwa😂😂😂😂😂ngoja mie nikakojoe nilale,masingo mama tujuane kwa likes

  • @harrysonfidelis500
    @harrysonfidelis500 Před rokem +1

    daah hawa viumbe ogopa sana, pole sana dr mwaka nikikumbuka enzi zile kwenye mahojiano yako kuhusu kutunza mwanamke zako na leo yalio kukuta ninakupa pole sana dr

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 Před rokem +2

    Pole sana Allah atakujalia ulee wanao peke yako watoto 2 sio wengi ukipata kazi utaweza endesha maisha yako unless otherwise atakutesa sana sana trust me .

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před rokem +6

    Kama kadhi ni mgonjwa vipi amekuja kwenye kazi angekaa home au angekuwepo hosp sio hapo woote nasema wanafiki kadhi na dr mwaka

  • @jazilambaji2789
    @jazilambaji2789 Před rokem +4

    Queen mzri MaashaAllah,,anafanana na Zari

  • @dottohami
    @dottohami Před rokem +1

    Ndoa zenyewe hivi bas bola Nitafute pesa💸

  • @egospeltz9486
    @egospeltz9486 Před rokem

    Pole sana, maana na wewe ulichangia kuwaaminisha wanawake vijana kuwa kulala kitanda kimoja na mumeo wanawake wote wawili ni sawa? Haya ni matokeo ya maigizo. Ila uzuri una support nyuma yako Mungu akusaidie.