Sheikh Kipozeo apongeza uamuzi wa Mufti, agusia sakata la Dk Mwaka "Alifanya makosa ya makusudi"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 173

  • @fatumakasimu6349
    @fatumakasimu6349 Před rokem +2

    Mungu amsimamie Mufti kumsimamisha mkwewe maamuzi magumu na ndio inavyotakiwa

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před rokem +7

    Nampenda sana kipoozea mungu akulinde

  • @AliMohamed-gv7nw
    @AliMohamed-gv7nw Před rokem +1

    Waambie nakina mwaipopo wasome dini wasikurupuke huu no uislaam sio ukristo wakae wasome kwanza

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před rokem +2

    Muombee dua tu sio kumsema hovyo mwenzako

  • @aboujanomarion6121
    @aboujanomarion6121 Před rokem +1

    Ustadh kma wajua haki lazima itekelezwe mbona waipinga haki hii ilotolewa kwa talaka kupeanwa sababu waambiwa mke ukimuacha miezi mitatu tu ndoa hamna huyo doctor kamuacha mwaka nakitu ushahidi upo mlitaka azini huyo mtoto wakike mbona hiyo hamuongelei .?????

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 Před rokem +1

    Huyu kipozeo kawa mnafiki sana siku hizi bakwata wote hawafai na mufti wao wote maslahi mbele

  • @thabitbatenga1775
    @thabitbatenga1775 Před rokem +8

    Alhad hana tena sifa ya uongozi

  • @issabakarissa9377
    @issabakarissa9377 Před rokem +7

    Fanyenyi mambo kwakutafuta radhi ya Allah ikiwa shekh mussa kakosea mstirini huyo nimwislam

  • @hiarijuma2684
    @hiarijuma2684 Před rokem

    Inamaana iko KULINDANA katika DHAMANA za dini

  • @ramadhanimussahramadhani4868

    Chizenga anamzaakabisa alhadi alhadi anazarau sana

    • @suleabdullah2247
      @suleabdullah2247 Před rokem

      Alhad Musa alijijengea kibri majivuno nakauli za kebehi bilakujali anasema nanani,kifupi alijisahau acha endejifunza kwamba kuna Mungu juu ya vyoote

  • @salimuahmedi6948
    @salimuahmedi6948 Před rokem +4

    ki ukweli sheikh alikua kama mfalme kumbukeni kuna wkt alikua na bifu na sheikh muhamedi idiy

  • @jumasalim6130
    @jumasalim6130 Před rokem +1

    Sheikh Kipozeo Mwenyezi .Mungu Akuzidishie Hekima na Maarifa katika Taaluma yako..MaaShaa A. LLAH

  • @ramadhanimussahramadhani4868

    Binafsi toka ateuliwe sijawahi kumuelewa nazani cheokikubwa kuliko umri kwanza hana heshima

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +12

    Ayo Makosa Kwanini Amkuyasema Uko Nyuma Zisitilini Ndimi Zenu Kwasababu Ukiona Msikitini Kuna Hazana Ya Kuita Waumini Na Waumini Wanajua Muda Wa Ibada Ujue Binadamu Sio Mungu Ukiona Kanisa Liko Na Kengele Na Waumini Wanajua Siku Na Muda Ujue Binadamu C Mungu Alipokosea Nawe Kuna Ulipokosea Kama Ni Ndoa Toeni Ufafanuzi Kuhusu Ile Ndoa Kwanini Iwe Sehemu Ya Yeye Kutoka Kwani Akuna Maonyo

    • @neemakaluwa536
      @neemakaluwa536 Před rokem +3

      Wanafiki sana hawa, vigeu geu kama vinyonga, bendera fata upepo, watu kama hawafai hata kuitwa mashehe

    • @idrissaomba8803
      @idrissaomba8803 Před rokem +1

      sababu hawakua wanaulizwa, kwa sasa kila sheikh anaulizwa maoni yake na sio kwamba makosa alkua hayaonekani

    • @joezeno8
      @joezeno8 Před rokem +1

      @@idrissaomba8803 mbona hawakusema Masheikh Wanafki hawa

    • @abuuayoubayoub9260
      @abuuayoubayoub9260 Před rokem

      @@idrissaomba8803 Daraja ya unafiki ni mbaya sana kaka usiwaite watu hivyo

    • @yusufmohamed8874
      @yusufmohamed8874 Před rokem

      Alikuwa na nguvu sana ange wapoteza kusiko julikana.

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l Před 6 měsíci

    NYIE MASHEHE WA SEREKALINI NDOMNAYOO IYUMBISHA DINI UKWELI MNAUFICHA

  • @blacknature3691
    @blacknature3691 Před rokem +1

    Duh kumbe alhadi alikuwa na maadui wengi Bila yeye kujuwa mashekhe acheni unafiki hata wewe kipoze🤔 sikutegemea

  • @kosovonaiiem782
    @kosovonaiiem782 Před rokem +2

    Hatumtaki arudi sio mtu mzuri

  • @saidisalumu103
    @saidisalumu103 Před rokem +3

    Safi

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před rokem +5

    alhad Ana kiburi

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před rokem +3

    Shehe nakupendaga bule

  • @babrashabanu7073
    @babrashabanu7073 Před rokem +4

    Sasa hapo nimeelewa kumbe shehe wa mkoa alipinga kauli ya muft

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před rokem +6

    Mlikuwa wapi kuyasema hayo kabla? Unaafiq mbaya sana,,,,,,,mnafeli sana masheikh wetu!! Namheshimu sana kipoozeo lakini katika haya ninayoyaona wacha nisitafune maneno

    • @abdulabdulathumani5992
      @abdulabdulathumani5992 Před rokem

      Unafiki gani mtu kamuombea na dua ulitaka aseme mda gani kwenye kusema tu sio kila mda unatakiwa useme

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 Před rokem

      Ni maoni tu anatoa mzee wangu…kila mtu akiwa anasema unafukiri mji utakuaje kaka

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem +1

      @@abdulabdulathumani5992 kama alikuwa anaona Alhad alikuwa anakosea, kwanini hakuyasema hayo mwanzo , aje aseme Leo hii? ,,,,

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@abdulabdulathumani5992 dini si ndio inafundisha ukiona Jambo Baya ulikataze/uliseme?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem +1

      @@abdulabdulathumani5992 tatizo kubwa la waislam ni unaafiq,,,kubali, usikubali!!

  • @umbaliche
    @umbaliche Před rokem

    Pamoja na mambo yote Kipozeo kwa mawazo yangu hakupaswa kulizungumzia hili.
    Mufti ameshafanya maamuzi ilitosha kukaa kimya badala ya kuanza kumdhalikisha mtu kwenye makosa aliyofanya.

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Před rokem +11

    Mimi binafsi sijaona kosa Lake, amefuata katiba.

    • @fazeelshomary2704
      @fazeelshomary2704 Před rokem +2

      Kumwita kiongozi wa serikali ni zaidi ya Mtume na Nabii Issa na kuwa pia ni zaidi ya Mungu kwako ni sawa au sio?

    • @jumannemussa8281
      @jumannemussa8281 Před rokem

      Katiba ya nn? Au din inaongozwa na katiba kaka said

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@jumannemussa8281 Kwahiyo BAKWATA haina katiba?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@fazeelshomary2704 katika clip ile watu wanayakuza Tu Mambo kwasababu zao binafsi, sheikh Alhad alifafanua vizuri Tu nini alimaanisha, na ni sahihi Kwa kweli!!

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před rokem +1

      Katiba gani hapo ? na dini ya kiislamu watakiwa ufate quran na hadithi za mitume . km ni sheria za kuachisha Allah hakuacha kitu ni mufti / kadhi anaachisha na sio sheikh wa mkoa .

  • @thabitbatenga1775
    @thabitbatenga1775 Před rokem +6

    Nafasi zote za uongozi angeziachia ili kuweka hali ya hewa kuwa safi.kidini

  • @issabakarissa9377
    @issabakarissa9377 Před rokem +1

    Unaharibu maalim

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      Kabisa!!

    • @muhammadalibhaz1390
      @muhammadalibhaz1390 Před rokem

      wewe sheikh wakati makosa yanafanyika ulikuwa wapi? unaanza kulaumu Leo wakati alhad kishavuliwa cheo ? mbwa wakati anapokuwa na meno hungata lakini wakati akiwa kibogoyo hangati wewe ulikuwa wapi wakati jamaa aliposema "wewe ni zaidi ya yesu /mungu ulikaa kimya isipokuwa sheikh Muhammad idd ndio pekee alikaripia Sasa ndio unaanza kuropoka

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Před 4 měsíci

    alafu ilo swala la mtume sijui kukata watu halipo. embu ona haya kumchafua bwana mkubwa kama huyo. mtume wetu alikua laini na msamehevu sio katili .

  • @islandinsuranceagency8008

    Unafki mbaya sana nliwahi kuona clip Hawa jamaa wakimsema dokta wakati ana ugomvi na shekh Leo wanasema anamakosa

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Před rokem +2

    Bado mnakulana. Baraza halina madili ya kisilamu. Bwakwata iliundwa nanani. Chimbuko la bakwata nigumu.

  • @fatumakingi9753
    @fatumakingi9753 Před rokem +2

    Amna jipya wenu ni unafiki

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Před rokem +2

    Mashehe wengi ni wanafik tu njaa tu inawasumbuwa

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Před rokem +2

    HII YOTE NI KUFUNIKA SAKATA LA MSHIA. MFUTI AONGEE KUHUSU MASHIA UMA UJUWE TUELEKEE WAPI. MASHIA MFUTI ONGEA NA UMAA TUNAKUSUBIRI MFUTI.

  • @fatmaamin3848
    @fatmaamin3848 Před rokem +2

    Masheikh twaelekea wapi

  • @aboujanomarion6121
    @aboujanomarion6121 Před rokem

    Mm naskitika wakati wahaki waislam hatufatilii usawa Wa haqi maneno ya Allah hayapingiki kwa hii hali hakuna vile wawili hawa watakua sawa hapo masheikh mumebeba mzigo sababu ndoa haipo sawa kma mwasema talaka haikupita mjue mtayabeba nyinyi msichukulie rahisi mkae mfikirie

  • @yussuphsaleh2165
    @yussuphsaleh2165 Před rokem

    Namkumbuka kwa mada ile ya aleluya pale aliposena ni sawa kutamka lailaha ila lla ,,,akapata upinzani mkali kwa waislamu wote na akaingia mitini baada ya kushindwa kielimu na sheikh Muhammad bachu ,,hakuweza kutetea hoja yake

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem

    Unasema ukweli. Waumini wa kweli TUKO wengi na mawazo mbali mbali .Dini ni kitu mhimu sana katika maisha yetu. IMANI. KA M A IKITOWEKA NI BALAA. AHSANTE KWA KUMUWEKA PEMBENI.MTU KUVUNJA NDOA NA KUMUACHA MAMA ANAHANGAIKA BILA MPANGO NI BALAA. JE WATOTO WATAISHIJE MBELENI.VUNJA VUNJA NDOA BILA MPANGILIO KWA MAMA NA WATOTO NI BALAA

  • @rajabvuaimussa7049
    @rajabvuaimussa7049 Před rokem

    Kwaio Alhad amefanya kosa la kutengua ndoa ya watu sasa Jee talaka iliyo tolewa na sheikh Alhad ime sihihi au ?

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Před rokem +3

    Hii dini Kila mtu ni msemaji?
    Yaani Kila mtu anaitisha press conference. Kwenye ukatoliki hakuna kitu Cha namna hiyo.

    • @seiflugendo7141
      @seiflugendo7141 Před rokem

      Wewe ni mpuuzi aliotoa tamko ni mtu mmoja wengine ni wachangiaji fahamu maana ya mzungumzaji na msemaji acha kukurupuka sisi hatufati ukatoliki tunafata muongozo wa dini yetu na sisi sio wakatoliki.

  • @tubeminamiwa
    @tubeminamiwa Před rokem

    huyu hakusema kwa kuwa aliheshimu nafasi ya sheikh wa mkoa na mamlaka yake ya uteuzi

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l Před 6 měsíci

    MNAKOSEA NYOTE MPAKA MUFTI PYAA ANAKOSEA MNALETEWA TARIFA YA KUONEKANA MWEZI HAMUTANGAZI NYOTE WANAFI NYIE MMEZIBITIWA SANA NA SEREKALI

  • @jamalsalum8726
    @jamalsalum8726 Před rokem +1

    Jitahidi kaka, Walid kakaimishwa tu unaweza kuukwaa Ushekh wa Mkoa

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem

      Kukaimishwa ni utaratibu badae huidhunishwa hata huyo alhad alikaimishwa then badae akaidhinishwa

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 Před rokem +1

      Namuomba ALLAH, shekh WALID asikaimu tu,bali awe shekh wa mkoa wa Dar es salaam kamili,tuseme aamiin "maana ni shekh anaejitambua. Allah amuhifadhi Mufti Abubakar bin Zuberi amuongezee jicho la uoni shekh Walid awe ndo shekh wa mkoa wa Dar es salaam. Aamiin allaahumma Aamiin.

    • @jamalsalum8726
      @jamalsalum8726 Před rokem

      @@fahadfaraj6474 unaweza kukaimishwa au kuteuliwa mwingine

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem

      @@jamalsalum8726 kwa historia ya bakwata haijapata tokea labda hii iwe ya mwanzo

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Před rokem +2

    mh ! pepo ngumu sana walahi

  • @neemakaluwa536
    @neemakaluwa536 Před rokem +2

    Loo mpaka mashehe wanaoneana wivu na chuki

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Před 4 měsíci

    we kipozoe mnafki sana mbwa wwe. si ulijifanya kutoa pua yako kumkingia kifua uyo mchafu mwenzio.
    washenzi wakubwa mnanukaa puuuuuh

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Před rokem +1

    Alikuwa akikosea zaidi kwa sababu wewe ni miongoni mwa chawa wake mliyempoteza,kila siku mkimtetea ktk makosa leo ndio unasema.Hii ni alama ya unafik

  • @abdallahmwasiho1521
    @abdallahmwasiho1521 Před rokem

    Kwenye Dini Kwa Shekh hakuna kustahimili anaikosea dini mpk na waislamu ilikuwa ni dharau sana

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Před rokem +4

    Kwani Katiba ya Bakwata inasemaje kuhusu ndoa. Ndoa imevunjwa kwa kufuata katiba.. Dr. Mwaka aliwaita Mashekh wahuni tu. Amechukuliwa hatua gani?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      Yaani katika hili BAKWATA wamejidhalilisha,,,

    • @abubakariyahaya99
      @abubakariyahaya99 Před rokem

      Km ulikuwa unafatilia mwenendo wa sheikh Alhad na majibu alosema juz utajua kuw alistahil kutolewa

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@abubakariyahaya99 kwahiyo Yule aliyewaita viongozi wa dini wahuni amefanya Sawa?

    • @fathiyaali6171
      @fathiyaali6171 Před rokem +1

      Mwenye pesa siku zote yupo juu ya sheria,hafanywi chochote.

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před rokem

      @@jumakapilima7295 Lakini Dr Mwaka kuwaita wahunni simlaumu . Hawa masheikh wa Bakwata wanajali matumbo yao tu . mwezi unaendema wakiambiwa wanakataa kutangaza si uhuni ni nini ?

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před rokem

    sheikh Alhadi alimwambia Makonda kayakoroga sasa na yeye pia kayakoroga, tunapaswa kuchunga kauli zetu.

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 Před rokem +1

    Shehe wa mkoa hakuwa na majibu ya busara kwa waumini wake

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem

    NDO UKWELI,,SHEIKH ALHAD ALIKUWA HAKUBALIKI HATA NA MASHEKHE WENZAKE,,WATU WALIHOFIA KWAKUWA ALIKUWA MADARAKANI,,SASA TUTASKIA MENGI TU TOKA KWA MASHEIKH

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Před rokem +1

    kaka unakwama wapi

  • @zuhurayusuph4826
    @zuhurayusuph4826 Před rokem

    Unafki huo

  • @ibunmurshid3885
    @ibunmurshid3885 Před rokem

    Baraza la ulamaa kuna Sharifu majini??! Yule si muhuni tu

    • @petermunanka3827
      @petermunanka3827 Před rokem

      Shaliff majini ni mganga kilinge chake Kiko mabibolelini niliwahi kumpeleka mtoto wandugu yangu kuombewa Dua niliyoyakuta ckuombewa Dua asilimia90ya watejawake ni akina mama malipo ni shilingi50000 elfu hamsini Kuna chumba mgonjwa anaingizwa kufukizwa nyungu lipo lijisufulia kubwa linatokota mgonjwa ukimuingiza anakaa katika kiti like sufulia limezungukwa na viti mgonjwa anapewa kiti anakaa Kisha anafunikwa shuka anaatamia ulemoshi makali Sana. mgonjwa anatokajasho jingisana baada ya hapo anaambiwa aje siku nyingine

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před rokem +4

    Baraza ni dhaifu kwa kweli yule mganga kaita mashekhe wahuni hakuonywa lolote. Ila alhadi kusimamishwa mmefurahia dah inahuzunisha

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 Před rokem

      Muwe mnasikiliza kwa makini dokta mwaka huwa mnamzushia sana huwa sielewi mnasikilizaga au ni vichwa vya habari hata kipindi kile mlimzushia kusema amesema mashehe na mapadri ni wazinifu kumbe alisema kuna baadhi yamashehe ni wazinzi elewa kuna baadhi kwa hiyo kama wewe ni shehe huna uzinzi ujue kuna baadhi yao hata hapa kwa wahuni hujamsikiliza vizuri na kuhusu ndoa ya mwaka alhadi alikosea achilia mbali alikuwa na makosa sana tena ya waziwazi akienda makanisani ikiwa wana misa je inafaa kuwa kiongozi wa kiislam kwa hilo mimi sio bakwata ila nimefurah alhadi kutimuliwa wallah kwenye koment niliuliza kabla hajatimuliwa kusema yarabi huyu utamtoa lini ktk uongozi hakika wewe ni shahidi anapindisha dini hazijapita siku 3 akatimuliwa namchukia kwa ajili ya allah

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 Před rokem

      @@maryamtanzania9743 inamaana masikio yako yana afya, kuliko yawatu wote walosikia. Haki iongelewi japo uchungu.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      Kabisa!

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 Před rokem

      Alhad kasimamishwa kwakuwa ndiye aliesababisha baraza na mashekh kutukanwa.

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Před rokem +2

    Ww nae muhun tuu mpenda kiki kama huyo al hadi.

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před rokem +1

    Dah hawa masheikh kwa kweli wengi wao wa mchongo.ukiangalia wengi hawapendani

  • @jamalsalum8726
    @jamalsalum8726 Před rokem

    Huyu ndiye aliyesema "KIMFAACHO MTU CHAAKEEE🙄🙄🙄

  • @abu-hasheem6422
    @abu-hasheem6422 Před rokem +2

    Mh....masheik wetu kwa unafik dah....

  • @ndeedahahmad
    @ndeedahahmad Před rokem

    nyinyi ndo mnaharibu dini manuguu

    • @Queensagarika887
      @Queensagarika887 Před rokem

      Ushawahi ona wapi mtu anahofu ya mungu anaenda kufanya intevw anachamba 🤓 fuatilia sana

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Před rokem +1

    Mmemtoa alihadi ili mfunike ishu ya mashia. Acheni hizo. Mnacheza na midia kutuchanganya. Tunataka mseme mashia msifunike kupitia alihadi sheikh wa mkoa. Kazi ubwabwa wa mshia. Na ww nimropokaji.

  • @magufulitanzanian9941

    Mufti Yuko SAHIHI...!
    ALHAD MUSA Kwa Imani yangu ALIKUWA SAHIHI kwani aliniamini MKATALIWA MGANGA alileta DHARAU Kwa Sheikh Musa kama Mkuu ama RAIS wa Waislamu wote wa Dar es Salaam. Alhad MUSA Wala USIJUTE Mkuu. Allah Aufariji Moyo wako Mujaahid..!

  • @adelinibrahim9283
    @adelinibrahim9283 Před rokem

    Hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa hafai kurudishwa

  • @abdallahkiduya3718
    @abdallahkiduya3718 Před rokem +1

    Kipoozeo ukiongea tu WATU wanacheka

  • @estermamadee8021
    @estermamadee8021 Před rokem

    Mzeee wa mizigo minene

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před rokem

    Kumbe Al Had kaoa Bint wa muft?

  • @bakarizaharani142
    @bakarizaharani142 Před rokem

    Sio sawa kipozeo ongea na mwenyewe usimuanike mitandao

  • @jamalsalum8726
    @jamalsalum8726 Před rokem +1

    Mashehe bendera, ww si ndiye uliyekuwa mmoja wa chawa wake

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      Yaani we Acha Tu, juzi Tu alikuwa anamtetea, Leo anamponda,,,,

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před rokem

      @@jumakapilima7295 😅😅😅😅 Masheikh wa Tanganyika muna vituko .

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@kiri5807 nafikiri wewe ni katika wale wanaafiq,,,,,

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před rokem

    Wanafki ni wengi nilikushakutana na mbwa wanafki huo ni wivuu

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před rokem

    Nafasi yake kwani yeye ndo alizaliwa nayo hebu mtupishe huko hatumtaki huyo Alhad wenu hatumtaki mpuuzi huyo

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 Před rokem

    HIV kipozeo havut bang au sigara??

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Před rokem +1

    Na wewe uache sasa mawaidha yako ya kihuni hasa ya kuzungumzia mizigo,wewe ni mtu mzimaa na ulamaa wa kuheshimika

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Před rokem

    huyo shekhe kipozi ana tuchangaya mimi mtoto wa mdogo wangu kaomba talaka bakuwata kapewa mbona hayakutokea haya shkhe kipozeo tunawasiwasi na kudi fulani mashkhe wapewa mpunga na Dr waka pesa mbaya kutolewa talaka bakuwata nimaraya kwaza uwislam tanzania una aza kuzwa kwa pesa muhammad swalalau alei wasalam keshawahi kumtumuwa abubakar au omar au athumani au aliy

    • @hashimswaibu9827
      @hashimswaibu9827 Před rokem

      Kwani dadayako kapewa talaka na alhadi Musa na presi ju full macamera ama kadhi ndio alie mpatalaka dadayako

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣🤣l