Ubovu wa barabara wakera wananchi, wachangishana kuanza ujenzi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • Moshi.Changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara katika eneo la Kiruweni Kata ya Mwika kusini, Wilaya ya Moshi, imewalazimu wananchi wa eneo hilo waishio maeneo mbalimbali nchini, kuchangishana fedha na kuanza ujenzi wa barabara hizo zenye urefu wa kilometa 72, kwa kiwango cha changarawe.
    Eneo hilo ambalo wananchi wanajishughulisha na uzalishaji wa ndizi na kilimo cha mazao mbalimbali katika maeneo ya ukanda wa chini, changamoto ya miundombinu ya barabara, iliwafanya kusafirisha mizigo kwa kichwa hadi masokoni na hivyo kushindwa kufikia ndoto zao za kujikwamua kiuchumi.

Komentáře • 1