Tatizo simba na yanga ni watu wanaodhani yani tunauwezo wa kucheza na mtu yoyote jamani timu kama augsburg wachezaji wao ni world class players, hakuna namna tukaona tunaweza kuwaweza ni kama tajiri wakijijini mwenye mashine ya kusaga na kiduka na bodaboda mbili nae aanze jiona yuko level za kina Bill Gates tz tuko kujitafuta tusijiongopee Kua tuwakubwa mnoooo
Yanga alisamehewa tu wale walikuwa wanatest tu kikosi wangeamua wangempa 8 za uhakika, tatizo wachezaji wa yanga skills hawana manguvu mengi hasa mabeki skills hamna kabisa ata diara ni shati lipo mlangoni mbwebwe tu hawezi kudaka mipira ya mchezaji mwenye skills hawezi tena anfungwa kirahisi
Jamanii hamjui mpira kwa iyo kuanza kwa mechi tu unatamani mtu akupe kitu hujui kama kuna leo Niko sawa kesho nitakua vibaya kwa chama makoloo mtakuja kujuta kwa nini hamujamsajili
Wa 5 mimi tunaoikubali yanga ni timu kubwa afrika gonga like apa ata mbili tu
Wananch wenye nch yetu
Oyooooo@@user-ru4fe4cj2k
Wananchi wenye nchi yetu afu atuna shobo
@@user-ru4fe4cj2k❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MIRAJI, you are Good unajua sana kuuanalize mpira, ninashangaa kwa nini usiwe miongoni mwa wachambuzi wa soka wa kituo kikubwa cha AZAM MEDIA.
Kweli Yanga ni kiboko na wako siriasi na priseson hongereni wachezaji wetu KOCHA na viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉
Raha ya miraji ni kuujua mpira halafu anachambua bila upendeleo na unafiki. Hongera sana kaka. Endelea hivyohivyo
Nakukubali MIRAJI -- MAX ni habari nyingine " weka mbali na watoto "
Hii combo ni hatar Sana nawakubali Sana wamba❤❤🦁🦁🤝🤝🤝
Namkubali sn huyu mwamba anaongea mpira doh yan nikimsikiliza natulia kama nipo darasani vile😮
HANA USHABIK
KILA KWENYE DOSARI
ASEM IWE KWETU SIMBA&YANGA
Nawakubali Sana Miraji na Mchome na Mzee Saidi
Young hii mmm! Ni mashaka yangu tu....timu zijipange vzr.
MIRAJI unajua Sana blood Naqubare
Macho yako mabovuuuu, ila chama yuko safii sana na atawafunga 08/08, mchungeni sana msije mkaamsha kilio.
Safi sana,Nenda kamwambie na MZEE SAID MOTO ULE WA BALEKE
Brother miraji uko fire❤
Miraji anajua kuchambua 🎉🎉🎉🎉🎉
Miongoni mwa shabiki nawakubali na wanajua mpira miraji ni zaid ya mtu na nusu
Chagamba !! That’s soccer. Kudos Bro keep it up. Uko vizuri sana zaidi ya wengi wa wachambuzi uchwara wa TV/ Radio stations.
Nakubari familia
Kaka ss bundasilig na sio lig tena mwambi mzee saidi asituwaze tena 😅😮😮😮😂😂
Miraji anaogeya kimpila na cyo ushabiki yupo vzur
Mwanang miraaaji daaaah bloo we mpiraa unaujua KAKA yaan uko vzr inabd to ukachaaambuage Azam pale
Miraji umeongea point sana kuh eneo alocheza Yao.
Asante miraji kuna michambuzi walisema ety mmoja anaetumikaga top eleven ndo alianza ila wabongo🙌🙌🙌
MIRAJI nakukubali sana kakaaaaaa...!
Kaka miraji unajua sana hongera
Anaestahili kuwa man of the match ni max mpia zengeli aliuwasha sana
Nilitamani uwe kocha miraji nakubali mwamba
Miraji ipo siku utamvunja bega chagamba 😅😅😅😅maana
Chagamba mzee saidi usimsahau leo
Edit heating Man Of The Match
Yanga oyeeeee
❤❤❤nawakubali😊
Namkubali sana mwamba
Natamani wasafi wamchukue miraji awe mchambuzi kwenye sport arena, anajua mpira vzuri
Kolo linalo jitambua hili tu
Sanaa utooo sijawahi kuona mtu wa hivyo
Kaka miraji ilaa max ni mtu na nusu
Wa kwanza leo like zangu
Kaka unajua mpira kaka
❤❤❤
Miraji we ni mwamba sana wewe sio shabiki Tu ila ni mwanamichezo pia
Miraji anajua moira bwana....😅
Nakubalii chagamba
Huyo Diarra wa CRDB nimempenda😅
Chagamba umekosea Yanga Sio number 6 Africa ni 12
POKEA 🎉🎉 Yako bro Miraji
Nakubali miraj chagamba
Kaka we ni bora sana
Sema maraji siku hizi kabadilika tunajua ni shabiki wa Simba ila akiwa anaongelea michezo aweke usawa la sivyo anaanza kupoteza mvuto mzee said safiii
so kweli..
Chagamba hupoi tunamsubiri mzee side
Shabiki wa simba ninae mpenda kutokea yanga jmn mm man of the match ni diarra tungekula kono kama mtani😂😂 dube jmn miraji kajatibu ajapata fitness
Ukimleta miraji mzee saidi awe karibu tunamtaka😂😂
Uko vizuri miraji hongera sana
Hatareeh sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Bg sana yanga
Tatizo simba na yanga ni watu wanaodhani yani tunauwezo wa kucheza na mtu yoyote jamani timu kama augsburg wachezaji wao ni world class players, hakuna namna tukaona tunaweza kuwaweza ni kama tajiri wakijijini mwenye mashine ya kusaga na kiduka na bodaboda mbili nae aanze jiona yuko level za kina Bill Gates tz tuko kujitafuta tusijiongopee Kua tuwakubwa mnoooo
Mim wa 3 chagambaa mapema sana
Nawapongeza wachezaji wa wa yanga pamoja na uongozi mmetisha
Yanga wapo Bora sana kiukweli ligi uanze
Augsburg first 11 kaanza mchezaji umoja tu
Walianza 8
😂😂😂😂 nyie mnapenda kujifariji ..... Mkitwa mazezeta ya mangungu mnaona sifa 😂😂😂 ..... Endeleen kujitekenya
wameanza 6 acha udunduka huo
Tutajie huyo mchezaji ni nani
Hata asingeanza hta mmoja bado ile ni ligi ya ujerumani na wote ni wachezaji wa timu hyo hyo na mshahara ni ule ule usijifariji
Chagamba tuletee mzee
Said chap kwaaaa😂😂😂
Magoma 900 inapendeza😂😂😂
Hiki ni kilio Kwa MANDUNDUKA kila mtu moto
Miraji bwana 🎉🎉🎉🌷🌷🌷😂😂😂
Chagamba tupeleke kwa mzee saidi
Milaji naye mdud😅😅😅😅
miraji yko vzr
mwambie miraji rasta man mtanzania na hati yakusafiria unaichukulia nchini kwak sasa uko kaenda kuchikua hat ipi tena? kibunda simba awajammalizia
familia nawakubal kichizi
Chagamba umerudi hapo 😂😂😂 Uliyamic Makofi ya Miraji eeehhh 😅😅😅
Ninachokijua gamond kwenye preseason haonyeshi mbinu za mojakwa moja ila baada ya preseason ndo utajua gamond ninani
kiukweli zengeli ni mtu na nusu ila wakumbushe wachezaji wa kibongo wajitume mtakuja anza lalamika hawapangwi kama sure awe makini
Wakwaza leo nikiwa🇲🇿🇲🇿🇲🇿
10:17 10:20 🎉
Salute kwako chagamba
Miraji anajua mpira
Yanga alisamehewa tu wale walikuwa wanatest tu kikosi wangeamua wangempa 8 za uhakika, tatizo wachezaji wa yanga skills hawana manguvu mengi hasa mabeki skills hamna kabisa ata diara ni shati lipo mlangoni mbwebwe tu hawezi kudaka mipira ya mchezaji mwenye skills hawezi tena anfungwa kirahisi
😂😂😂😂😂 loho mbaya inakusumbua
Wewe umekula sita ujaongea mbona
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hizo alizopangua hukuziona......au hukuangalia mpira.Diarra ni goalkeeper wa kiwango wewe
Ile Yanga, nina uhakka 100% kuna team zitakuja kuchezea kumi kumi.
Tuletee mzee saidi nae chagamba 😂😂😂😂
Chagamba nitumie namba za MJ na Majina kuna zawa…yake hapa nipo zangu us
Mi niliwaambia kwa chama hamna kitu mkasema ooohhh wivu Kiko wapi😂😂
Hata hivo Bado una wivu ndo kwanza kacheze mchezo mumoja kwenye timu nyingine mda utaongea
😂
Team zetu zije tu kucheza na kina namungo, coast union zitatamba lakin kw teams za EUROPE bado sana
😂😂😂😂 kuongelea mpira, TZ KILA MTU mtaalam! WTF
Miraji we ni mtu wa Ball
Kaka nakubali siyonafiki higawa nisimba
Chagamba tunasubiri press na Mzee said😂😂
MIRAJI WEWE NI BONGE LA MCHAMBUZI NA MSEMA UKWELI KIMPIRA.
Jana yanga walicheza ila kawa uchezaji ule wachezaji watapata majeraha sana
Saa mbovu mdudu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
acheni roho ngumu mwenzio akifanya vzr mpongeze
Chagamba unaweza kunipa number Miraji mtuwaman kbsa Miraj
Miraji sometimes unachemka
Tatizo lilianzia kwa kiungo Shua boy alikuwa ndio source ya matatizo yote
✔️✔️✔️
Milaji 😅😅😅😅😅😅😅
Nice
Wewe mchambuzi sana
Nambie
Huyu mwamba namwelewa sana anaongea vizur sana
Mzeee said mbona simuoniiii
Jamanii hamjui mpira kwa iyo kuanza kwa mechi tu unatamani mtu akupe kitu hujui kama kuna leo Niko sawa kesho nitakua vibaya kwa chama makoloo mtakuja kujuta kwa nini hamujamsajili
Miraji hebu chunguza naskia yanga walicheza na tim namba 2 anayeanza alikuwa (1)
jitahidi usiwe unaskia uwe unafuatilia mpira dunduka ww
Acha usenge na wivu
Live ni huyutu
🇹🇿
Milaji namkubali