Kuamka kwa wenza wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa wimbo wa Utu ni dhihirisho kuwa Huu wimbo ni mkomavu sana na King kapokezwa baraka na wazee . ..gonga like tafadhali shabiki wa King
Bro wewe nikiboko yaoo kabisa unakumbusha nyimbo ambazo nilikiwa naimba kipindi ambacho nilikuwa kwenye shule lamsingi so ongera saaana bro kwenye kazi ya mziki🎵🎵🎵🎤🎤🎸🎻 mimi nakusiliza kutoka drc🇨🇩
Ally kiba kiukweli wewe ni mwimbaji na mtunzi mzuri wa muziki.sinderera ni wimbo ambao unasawiri Maisha halisi ya jamii nyingi za kitanzania zilivyopitia hatua mbalimbali coz watu wengi waliamini kuwa Kila binti lazima aolewe na tajiri au msomi mkubwa kumbe . Fasihi inatufundisha kuwa Maisha ni harakati ambayo walio Safi Sana Kwa sasa ni kipindi Tu cha mpito na hata wasionacho mungu Baba kesho Yao watakuwa katika stage ya umaarufu na wataheshimika Tu.Nakutakia mafanikio mema katika bongo flavour
Nakupenda kwa Ajili ya Allah my king Kiba Mungu azidi kukulinda na azidi kukupa Afya njema na kheri nyingi ktk maisha Unajua hadi unajua tena solute nyingi kwako my brother💪
Salute to the King of bongo flavor somo anajua mpaka anakera🔥🔥🔥alafu hiyo Playlist ya huyo Dj ni zaidi ya moto du yani mpaka nashikwa na goosebumps i say.. Vibe la kibabe sana,, love from 254 🇰🇪 Mombasa
@@mussalydforex6726 anajua kuimba na vocal zake ni za ukweli acha wale wa kuongezewa,huyu ni mkali wao sema ameridhika alipo... Angekua mbishi angekua mbali sana
Kila nyimbo ya king kiba ni 🔥🔥🔥 akuna kwiksipai são músicas que sempre vive em alta qualidade na há histórico como ele eu gosto muito de Alikiba on fire
Kuamka kwa wenza wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa wimbo wa Utu ni dhihirisho kuwa Huu wimbo ni mkomavu sana na King kapokezwa baraka na wazee . ..gonga like tafadhali shabiki wa King
Mimi ni wakwanza uku mozambique ,
king hanaga mpinzani asee
Kikweli hamna kama Ali kiba bongo ni kama marehemu Kanumba hamna kama yeye be blessed kiba Mungu akujalie maisha marefu InshaAllah 🙏
Kama kuna siku mtu alikusema vibaya @Alikiba ataomba msamaha tu 🙏.
#Kingkiba unajua Sana 💥💪
Bro wewe nikiboko yaoo kabisa unakumbusha nyimbo ambazo nilikiwa naimba kipindi ambacho nilikuwa kwenye shule lamsingi so ongera saaana bro kwenye kazi ya mziki🎵🎵🎵🎤🎤🎸🎻 mimi nakusiliza kutoka drc🇨🇩
NAKUBALI FROM DRCCD
Ali ni mwanamuziki bora wa muda wote... hongera sana kwa kazi nzuri na zinazoishi. Tutaelewana tu!
Heshima sana sana kwako Alikiba show umeumiza kinoma noma make hadi meza KUU umeinua MamaSalma hadi nae anakubali#UTU🎵❤🔥🔥
King my bing boss🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏aiiishii maisha mafefuuu tunu ni zaadhabuuu tuliyoletewa na mwenyezimunguu tuituzee tunamsamini💯💯💯🙏🙏🔥🔥
YES ITAPITA MIAKA 100 KUPATA MWANAMZIKI MWENYE VOCAL RANGE INAYO MATCH NA HUYU MWAMBA 💪💪💪
Ngoma za mfalme zinaishi utafikiri zimetoka jana saluti kwako king kiba kwa mziki mzuri kings for life👑👑🌎
Saana
King nowma sanaaaaaa ubarikiwe
Unyama sana,,kiba wa moto kiboko huyu mtoto wa mama kiba God continue giving you energy my brother ♥️♥️🇰🇪
daah! sometimes mtu anafeel sorry kama ulimsemaga vibaya vijiweni. Umeimba vizuri sana king kiba 👏
🙏 true say
Uzuri brother hajuagi kulinga nampenda sana love kubwa sana kwa wana😂😂🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Namuona mzee jakaya anamwangalia kwa Makini king wa Mziki
Ali kiba watakuchukia dunia zima ila mimi ♥ nakupenda uko poa sana
Ally kiba kiukweli wewe ni mwimbaji na mtunzi mzuri wa muziki.sinderera ni wimbo ambao unasawiri Maisha halisi ya jamii nyingi za kitanzania zilivyopitia hatua mbalimbali coz watu wengi waliamini kuwa Kila binti lazima aolewe na tajiri au msomi mkubwa kumbe .
Fasihi inatufundisha kuwa Maisha ni harakati ambayo walio Safi Sana Kwa sasa ni kipindi Tu cha mpito na hata wasionacho mungu Baba kesho Yao watakuwa katika stage ya umaarufu na wataheshimika Tu.Nakutakia mafanikio mema katika bongo flavour
Dj ✅ anajua then ni King 👑👑👑 kibaa always ni fundi 🔥🔥
💯 kwa dj,alikiba all time legendary in tanzania
"Utu" est la meilleure chanson de l'année 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 👑
This Man has a special love to the fans
Ameua...ameuaaaa...ameuuuaaa....ameuuuuuuaaaaaaaaaa.......🙌🙌🙌🙌
Nakupenda kwa Ajili ya Allah my king Kiba Mungu azidi kukulinda na azidi kukupa Afya njema na kheri nyingi ktk maisha Unajua hadi unajua tena solute nyingi kwako my brother💪
Mara paah ajichanganye mdabiliusibi mmoja stage moja na Alikiba atapotezwa mbaya na atarudi akasimulie usafini
Huyu mwamba ana kila kitu na achoboa Zaid Yani hata umsemeje hajali na haringi🤗
wala hajali 💥💥💥💥💥💥
My king milele
Hatari sana king kiba una voice kali sana🔥🔥
Vocal balaa
Macha allahh toujours king force a vous dieu t’es protégé
Bongo fleva iko salama kwenye mikono ya kiba
Uzur WA Ngoma zako ni Kali sanaaaaaa harafu hazina ukakasi
Ach kbs sehem yoyoy unaimb bil uwog
Salute to the King of bongo flavor somo anajua mpaka anakera🔥🔥🔥alafu hiyo Playlist ya huyo Dj ni zaidi ya moto du yani mpaka nashikwa na goosebumps i say.. Vibe la kibabe sana,, love from 254 🇰🇪 Mombasa
Same bro huwa napata goosebumps kwa huyu mchizi wa bongo ali k for real
@@mussalydforex6726 anajua kuimba na vocal zake ni za ukweli acha wale wa kuongezewa,huyu ni mkali wao sema ameridhika alipo... Angekua mbishi angekua mbali sana
@@msilibi yas ameridhika sana kiba ila anajua sans
💯💯💯dj mnoma San apewe kitu kwa bill yangu..ma dj kama Hawa wamebaki wapi kweli back to back nimeipenda sana
Muheshimiw jk, kasikiliza nyimbo zote ila huu utu imemfanya kanyanyua mikono juu💖💖💖💖
Uzuri wa nyimbo za kiba unawezakuzisikiliza ukiwa na mtu wa rika lolote
Kweri
Nikweli kabisa hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana Kiba ww ni king
Kwenye hii show kina umechangamka sana 🤣🤣 by the way dj alikuwa mzuri sana
King kiba..best vocal, best sing..bigup👍🏿🇹🇿
Vocal yake hata Mimi naikubali, hamna msanii anayeimba vizuri live kama Kiba 🙋🙋
Muache kumfananisha king kiba na utopolo mwengine
Jamaa anajua anajua tenaaa yupo vzr
This is Genius... More blessings to you King
Unyama
Kila nyimbo ya king kiba ni 🔥🔥🔥 akuna kwiksipai são músicas que sempre vive em alta qualidade na há histórico como ele eu gosto muito de Alikiba on fire
Ali ni wengi SEMA kiba ni mmoja tu🤟🤟🤟💯💯🙏❤️👏🤟🤪😜😂😅😆
The King ov Bongo huyu sio wakufananisha na boya yyte bongo
Yani we ndo king wengine wanaiga tu
Dj anakitengo chake mbingunii🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Hahahaha umeonaeeee
Huyu jamaa Mungu kamjalia kipaji congratulation king Kiba wala hata hatumii nguvu lkn watu wanatiii vzr tu
Kwl (kitu kikiwa chako hutumii maguvu mengiii uaminisha watu
Alikiba pekeake ndio msanii anaweza kuimba sauti ileile ya kwenye audio.yan hata akiimba akapela utasema km anaimba kwenye nyimbo.wengine xx🤣
🤣🤣🤣😂kwel
Ukweli mtupu😂😂😂🙌
Nikweli uyu kak yupo vizur sauti ileile
Baba yetu ni alhaji ila birthday kwa mziki innalillah mungu turudishe kwenye njia uipendayo
Ur not perfect ,,, stay silence 🤐
@@monahmussamonah6229 good answer 😘
Kila.mtu Aishi yake!!!
Ameandaliwa so angekataaaaje yani mtihani
my favorite right from when was a kid ,,,love from KENYA
Kingkibaaaa magic voice
Vocal hatariiiiiiiii 👍👍👍
Af anatoka mlevi mmoja kanywa wanzuki anajifananisha na Hy mwamba😅
Watulizeee makomwe yaoooo kabisaaa 🤣
🔥🔥🔥🔥 KING KIBA🙌🙌🙌❤❤❤
Unyamaa
Kachangia damu na kapanda stejini kukiwasha
Kibaa ni mmoja tu🙏🎸
Salute to the king himself....
Dj yuko makini sana nimemkubali🎶🔥👑💕
King always uko on top🔥🎶👑🙌
"Mala 10 mwanangu wa cinderella ye hapendagi makiki" onanaaa
KINGKIBA anajua mpaka wachaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥💯✅
Awakuwezi bana waachetu na ngenga zao wakuache miaka mia❤❤❤❤❤❤💥💥💥💥💥💥💥💥
The King is back!!! The unstoppable....
Good job my favorite King kiba🇲🇿🇲🇿
I love dis guy💜🎼🤴
Mashallah uyo ndio mfalme wetu
Huyu jamaa anamziki wa kikubwa Sana Latisha Sana mbele ya kiongozi wetu msitafu namuona kainjio party yake uwepo wa king kiba umependezesha haswa
Nyimbo zake unaweza kuzisikiliza hata ukikaa na Baba mkwe 😂😂
Kiba very nice
Voice hatar nilichopenda permance ya nyimbo za kale but still wapi go kiba goooo
I real appreciate ur vocal king....one love to u
Mfalme ni mmoja tu hakuna ufalme ndani ya ufalme wote yebabaa
Watanzania wako mbele saa hii kisanaa.
They deserve a live band.
CD PLAYBACK ni za upcoming na watoto
Chalinze ilizizima jomon
King 🙌 good vibes
Alikiba voç está no outro nível 👑👑🙏
nani kagundua hii love ya kutosha inatoka kwa wana tena wanaume
Nakubali bado cjaona msanii mkali Bora Kama ww @king kiba
utaendelea kuwa juu tuu siku zote Allah bless you
King anatupa rah zhabiki zake
Namkubali sana muheshimiwa Kikwete
Happy birthday mweshimiwa
Namuona mweshimiwa kwenye utu amenyosha mikono na inaashiria UTU ni wimbo wa taifa
Hahaaa
Mwanamme na nusu.mwanamziki Bora wa kizazi kipya
King kiba noma sana ww ndio mwenye bongo fleva yako
King kiba 🇹🇿🙏
Kila ngoma ni jiwe, na unaruka na rika zote, DJ kaupiga mwingi sana
Jakaya kikwete mkwele mwenzangu mungu akupe umri mrefu mtala wako mtala .nikumanya goya nie
King your best singer always
Umetisha kiba salute hakuna kama ww bongo
King is unstoppable 🔥
TBT za kibabe kutka kwa king🔥🔥🔥🔥
So much loving this guy jahh bless ue
Nisawa sifuatilii show zako ila bro huenda hii ikawa show yako3 umeua sanaa alikiba,hata siku zingine uwe unakua na mzuka kama huu❤🎉🎉✊🙌🙌
Ila mzee wangu JK anapnda mziki mzuri asee
Hujawai niangusha KING upogo juu toka wakati uleeee
A real king of bongo flavor
The best singer in tz🔥🔥❤
Huyu ni muimbaji tofauti na wengine
Yaan hili vibe una wish uwe umo ndan😍🔥🔥🔥🙌
Only one king 👑
Alikiba anasauti nzur bila kutumia vyombo lkn inatoka imenyooka atari
Huyu jamaa ni noma
Alikiba is 🔥🔥🔥
🔥🔥🔥 The king himself 🔥🔥🔥
🤴 KING NI MMOJA TUUH🙌
Ali Kiba is the Best of all time, #macmuga