LIVE: ALIKIBA AKIIMBA MBIO KWENYE JIWE LA WIKI XXL.
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2019
- #CloudsMedia Ipo Mubashara kutoka kwenye kipindi cha XXL, ambapo King wa Bongo Fleva "Alikiba" pamoja na "Kings Music" wapo live ambapo ngoma yake ya "Mbio" imesimama kama jiwe la Wiki.
- Zábava
Namkubali sana kiba nipe like na mm nijue pa kuzipeleka💕
Daaah haoo ndo wasaniii sasa
@@sanduboy989 umeona eee
Kiba wewe ni mmoja tu kati ya wasanii wa bongo unaye fanya muziki na ukawa na uhai ukaishi tangu sindelela mpaka Mbio Big up unatuburudisha mpaka wakubwa.
@@yohanaikaya6218 kabisaaa
@@yohanaikaya6218 ukwel kbsaaa
From Canada to Tanzania one blood with king kiba
Dclever Kingdherick yebaba
King
One love
Kama unapenda mziki mzuri na unajipenda sikiliza ngoma za huyu jaamaa kingi kiba nakukubali sana hongera kwa sauti nzur ww na vijana wako
kabsa nyimbo zke tamu
I love yu ally kiba
And yur team
KINGS MUSIC
LOVE YU
kiba anaimba live kama vile ipo kwenye cd kaaah....aiseee
Let God rise you more kiba
I just like alikiba ..hakuna matusi,mapenzi tupu .nyimbo zake waeza skiza na watoi no embrassment .... ...representing from +254
Correclty
true
The is a man enough..hutawai pata akiongea takataka kwa ngoma zake ..mascdle za ujinga c jui tanasha bra bra....My God bless him alot..am a big fun of him
Musician,talented
True nyimbo zake nzuri sana
Napenda vile hawa vijana wa Ali wana tulia, I think wanaheshima kama baba yako Ali,
Wanakaa wapole....Wakifwata nyao zake wata heshimika sana kwenye jamii .+49 big love
Mercy magic kabsaa
Heshima kwako no skendo kazi tu
Mercy magic
aiseee noma kweli
Mnajua sana mpaka mnaboa ❤❤❤💪
Nice kiba
Yaaap! Luv sana kwako King waoooo!!
Ndugu zangu I can’t stop listening to this live band by ALIKIBA @Clouds FM 📻... they sounds like the real song mixed up. Uyu bwana ni mwana mziki kabisa. Naipenda piya Team yake yote ...with lot of improvisations 🇺🇸🇨🇩🎤 Alikiba🤝 sijaona Bongo musician yote ule mwenye team iimbayo kama iyi, kama Wongo niambiyeni, kama Kweli niambiyeni.
Sauti mzuli sana king kiba honger sana
Ngoma kalisana yabosiwetu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Namkubali sana kiba
Always i love kings music sooooo much wallah moreee love kibaaaa
More mwaaa
king kiba upo juuu na utabakia kua juuuu team kiba oyoooooooooooooooo
Iyoooooooooo yebaba show imekaa poa sana kwakwel najivunia kuzaliwa kwenye nchi yenye mtu kama alikiba na clouds fm
hata mwenyew napenda sana King kiba anapo kua akihimba
Hahaha daaaaah
Kings music for life keep it up dope
Mpo vizurii 👑music. Sauti iko poaa sanaa.... Hakuna kuteseka hapa
Mmmmm kama umeona alikiba kampiga Kofi abdu kiba kama utani gonga like
Ni balaa tupuuiii
kaka benja ahahahahaha
mbiooooo
kaka benja i
Kofi nimelielewa hilo
Hiv kiba anakasirikaga kweli maana sura yake tu imekaa kitabasam
Nice qsn
Cjui kama Kiba anakasilikaka alafu ni komedi sana watu wengi hawajajuwa
Axiom Mirgab
@@emanueladaharo5161 Naam
Super kiba
Brother 💖 Kiba upo juu zaidi vijana watulie wafuate nyayo zako maana sio kwa ufundi huo big up
Kings music there trending on instagram Nd I say let me go on CZcams Nd find mavoco kama yote ya kizazi kabisa.... all the way from South Africa 🇿🇦 to Tanzania 🇹🇿 like zenu pls
gonga like kama unapenda king kiba kwel
kabisa
Mmenifanya nicheke wakat nilikua nmenununa how still dating? Maana haueleweki au ndo nmechokwa, ama umetekwa sio wanawake tu hata mm napapenda 😇😇😇😇😇😇😇💜#king kiba#king music #clouds
Alystides Thomas Ukweli mtupuuuu
Lazma mond hi video umeionaa,,,haaahhaaa kaz unayo,
King's music ni nomaaaa
Nawakubali Clouds namkubali alikiba forever
Nawakubal team xxl
Naikubal pia cloud radia pa1 na Tv
Ushaur:Muwe mnawapa vit vyakukalia wagen wenu
Uwo ndo unyama mzee kama ujui xxl ni tofauti na vipindi vingine kama umeishafatilia
Hiii sauti duuu ji balaaa haitakuja tokea fundi heshima yako🔥🔥🔥
simon ally kina nonoooma
@@rehemaali5725 nilipenda nyimbo tu lakini hii live kauwa tena zaidi
Hii ni sukar km huitaki achan na chai kiba ni fire
Vipaji no forced hii
King Mda wote tabasam daaaah anajua sana huyu jamaa 😘😘😘kings music hatareeeeeeeeee
Huyo sister nampenda xaanaa anavyoogea 😍 🔥🔥🔥🔥
Alikiba muda wote anasmileeeee
😊
Mfalme atabaki kuwa mfalme
Piga kazi baba
Milele Daima..
Sawa King Kiba ni yeye tu basi. Team Kiba oyeeeeeeeee.
dah kiba we ninoma hakuna mwengine ,yeee baba
Respect Big man king kibaa.
Mm leo nabeba begi langu naenda kwa mfalume kiba
😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🚘🚘🚘🚘twende nikupeleke
Thobias Romady 🤣🤣🤣
😂😂😀😀😀😀😀
Good choice. Hutojuta ndugu tangu. Mwezako Zainab naishi Komoros. Merci😎😎
🏃🏃🏃🏃 arakisha haraka nyimbo tamu hii
Yebabaa mbio 🔥🔥🔥🔥🔥🇺🇸
Duuuh kiba mtu mbaya san very good sound
kiukweli Mimi Ni shabiki no one wa king kiba najisikia Furaha Sana nikiwa upande wako
Killy anaweza na anamuonekano wa kisuper star sanaaaaa
NAMKUBALI XANA huyu mchizi...by G from R.CHUGA GONGA LIKI BX HAPA
Jama music si kuiba tu nakupiga fujo music ni voco ali na king hawa jama ni wanamusic hawaibi tu big up bro
Wanajua sana mpaka wanakera👊👊🎶👑👑👑
Nyimbo nzuri inapendeza
Allyikba,sauti mungu kakubariki nayo kweli
Love you so much my dear kiba 💝💝
Was Lit interview @king's music👑
Namkubali xan brother
Kiba wangu oyooooooooo namkubali kinomaaaaaaaa
Sema Kiba WETUUUUUUUU🤣🤣Nampenda sana.
King music mtabaki kuwa juuu
Alhamdulllah Rabell Allah Men Mungu awaondelee jicho la husda. KIMASO MASO MAHASIDI WASIWAONEEE.
Nice job kaka Angu huwa nikiskiliza nyimbo zako na enjoy sana mshikaji wangu tko p1 xnaaaaaaa
Iachieni hio rumba🔥🔥🔥
Fireeeeee🔥🔥🔥🔥🔥❤
#KingsMusicYoRock🎶🔥🙌
Yani kiba unasema wanawake akati ata Mimi napenda ktk iyo seem asa namim mwanamkeeee
Duh!
Umenifanya nicheke
😂😂😂😂😂
Nomaa snaa mtu anapita na biti kama vile nini duuuu kuna watu wanavipaji
Joely Lucas gonga meza kwa mfalme kiba
Stepuuu za kingonjeraaa daaaa boss anavituko adii raha
Mziki mzuri unahitaji sikio makini kuusikia,kazi nzuri sana Kiba!!
Iye iyeee iyooo moyooooo unaniendaa mbioooooo good song
Hataree...we 2gether with jiwe la week
king will remain king forever
king kiba aaaaaa nicee
Kiba leo kaja nampya MAMI BEIBY
sauti kama imepita studio kumbe ni live
hum unajuwa saana kiba wewe noma
Maunyama tupu humu Kings music Forever ...Clouds XXl for life Life
KING OF BEST MELODY
Km unakubali kwamba voice ya kiba ni nature piga like
king yebaaaaa..
team muzik mzur saut zmechujwa akuna matus akuna ushenz
sadcom mpalestina
@@mariammyuki7195 nambie
sadcom mpalestina sana unaweza sikiliza hata ukiwa namtoto wako
@@asiahamza6400 kabisa yen ukiwa unaangalia huna waswas wa kuona mamb ya ovyo
Respect 🔥 #kingkiba
King Kibaaaaa..... Everybody Yesssss...YEYOOOOOOHHH...!!!
From china am appriciate this guy he know how life is?!!! Watanzania tuko juu kama kunashida mnitafute kwa email ntawachangia hata billion 1 ahsanten mmenifulahisha sana
upo vizuri sana ally kiba ni kipaji kutoka kwa Allah
na penda sana munavyo ulizaga maswali yenu muna uliza one by one sio kama WASAFI wanavyo ulizaga wote kwa pamoja.
achana na wasafi wewe ule moto mwingne
Mwenye mziki wake
nimeskiliza show yote na hapa pia nimekuja
Nakupenda bure😍😍😍😍😍😍 Ali kiba😘😘😘😘😍😍😍😍😘😍😍😍
wanaimba vizuri no matusi nyimbo inaeleweka wakiimba wametulia no fujo love u
Aly billionea wa malove ohooo by king kiba gonga like kam umemkuli
I love you kiba
Yebaaaa 😁😁music ni kipaji mwachane kiba aitwe kiba yaaani huyu ndio mfalme wa bongo
Yaani watakubali tuuu ,mungu kawapa vipaji balaaa
No CD live noma Saut inatoka kawaida laaa yaani mm mpaka uache music
Kiba kwel fire jmn duh
Jiwe la mwaka
Mamy nimependa jmn umeimb vzr
Nice live performance. Nzuri kabisa. Keep it up.
Alikiba nakuwaminia sana bro
On top kingmusic
Fuñdi uyooo piga keleleeee 👊👊👊
Ridhiwan Mlawa woyoooooo
Noma
Woooooyooooooooo
Kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yebaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
King's music woyoooooooooooooooooo minawependa mpaka naumwaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💓💓💓💓🙏🙏🙏💪💪💪
B dozen asingesema imewekwa beat tupu na kiba katambaa basi nisingejua aiseee!! Kiba wee ni kipaji!!
Alikiba is the best I love his music s
Atari sanaa...mko juu sanaa...
Aisee kiba n star,, kwa waimba kwaya, yan ye nd anaimba saut ya kwanza ye nd dereva,, na sauti za wenziee zinaelewekaaa🙌🙌🙌🙌
My all time favourite artist😍😍😍
Naombeni LIKE na mm hata kidogo. Kiba noma😹 ila dah ..........??..?...? Azid kupambana sana, akachinje wanyama wote wa mbugani⚡🎤 a.k.a #lion
Team king kiba gonga like nyingi sana nakubali sana alikiba & kings music
Nawakubali Sana hivi wasanii bila miwani maisha hayaendi eeh
Mary Masanyiwa Kwa uzowefu wangu wengi huwaga wamepata vile vitu vya,kwahiyo ili kufanya Mambo yaende ni lazima Miwani kwambali
Kwa live hapa ndio chuoni
Kiba is cherish, I real like him
Kiba wangu na team yake😍😘❤
Wallah mfalme kiba unanibamba kweli nakupenda bure nahamiya kwake 🥰😘🥰😘🥰😘
Kibaaa unajua mpka keloooooololoo
Mziki cndo Huu sasa
Amazing👌🔥🔥🔥🔥
I feel alive nikiwasikiliza hawa wakaka. Wananipa sana radha ya maisha #kingsmusic for life🤗
Mimi napenda hawa jamaa wakiingia studio. Wanafurahaa sana. Allah awafanyie wepesi
Team kiba pendaga sana
Hatriiiiiiii jamn kings music n alikiba endelee kumwaga witu hakuna matusi. nyimbo zetu kiba umewapanga vijana kufanya kaz wew ndio unajua mziki ni nni sio hyo domo zege anachukua watu wanamajina tayr anjivunia kawakuza yeye han kitu aimbe matus hizi nyimbo hata nikiwa n wazaz naangalia huru kings # rockstar # mofanya nice
jamani timu kiba nipeni like na mmi duu
Mynesy Fredy king him self
Baba kiba we noma xana
Kings music mnajua but ili lebo iendelee ni lazima wasanii waishi kama lebo co kundi kila siku nyimbo za kushirikiana kama yamoto band ili lebo ikuwe
Zamoyoni Ajali bado kila mmoja ataanza kutoka peke ake
Wote wana ngoma hao na zipo store bado kutoa tu