LIVE: ALIKIBA AKIIMBA MBIO KWENYE JIWE LA WIKI XXL.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2019
  • #CloudsMedia Ipo Mubashara kutoka kwenye kipindi cha XXL, ambapo King wa Bongo Fleva "Alikiba" pamoja na "Kings Music" wapo live ambapo ngoma yake ya "Mbio" imesimama kama jiwe la Wiki.
  • Zábava

Komentáře • 723

  • @sophiajoseph4267
    @sophiajoseph4267 Před 5 lety +461

    Namkubali sana kiba nipe like na mm nijue pa kuzipeleka💕

    • @sanduboy989
      @sanduboy989 Před 5 lety +2

      Daaah haoo ndo wasaniii sasa

    • @sophiaeslom7007
      @sophiaeslom7007 Před 5 lety

      @@sanduboy989 umeona eee

    • @yohanaikaya6218
      @yohanaikaya6218 Před 5 lety +1

      Kiba wewe ni mmoja tu kati ya wasanii wa bongo unaye fanya muziki na ukawa na uhai ukaishi tangu sindelela mpaka Mbio Big up unatuburudisha mpaka wakubwa.

    • @sophiajoseph4267
      @sophiajoseph4267 Před 5 lety

      @@yohanaikaya6218 kabisaaa

    • @sophiajoseph4267
      @sophiajoseph4267 Před 5 lety

      @@yohanaikaya6218 ukwel kbsaaa

  • @dcleverkingdherick3906
    @dcleverkingdherick3906 Před 5 lety +116

    From Canada to Tanzania one blood with king kiba

  • @deboramrema2861
    @deboramrema2861 Před 5 lety +27

    Kama unapenda mziki mzuri na unajipenda sikiliza ngoma za huyu jaamaa kingi kiba nakukubali sana hongera kwa sauti nzur ww na vijana wako

  • @tinajames1608
    @tinajames1608 Před 5 lety +21

    I love yu ally kiba
    And yur team
    KINGS MUSIC
    LOVE YU

  • @muchiameir7416
    @muchiameir7416 Před 5 lety +129

    kiba anaimba live kama vile ipo kwenye cd kaaah....aiseee

  • @icearcbrown6988
    @icearcbrown6988 Před 5 lety +138

    I just like alikiba ..hakuna matusi,mapenzi tupu .nyimbo zake waeza skiza na watoi no embrassment .... ...representing from +254

    • @fatmashomary4693
      @fatmashomary4693 Před 5 lety +4

      Correclty

    • @betrue33
      @betrue33 Před 5 lety +3

      true

    • @icearcbrown6988
      @icearcbrown6988 Před 5 lety +5

      The is a man enough..hutawai pata akiongea takataka kwa ngoma zake ..mascdle za ujinga c jui tanasha bra bra....My God bless him alot..am a big fun of him

    • @rosemaiko9405
      @rosemaiko9405 Před 5 lety

      Musician,talented

    • @hajrakambale98
      @hajrakambale98 Před 5 lety

      True nyimbo zake nzuri sana

  • @betrue33
    @betrue33 Před 5 lety +144

    Napenda vile hawa vijana wa Ali wana tulia, I think wanaheshima kama baba yako Ali,
    Wanakaa wapole....Wakifwata nyao zake wata heshimika sana kwenye jamii .+49 big love

  • @abdallahmsangi8026
    @abdallahmsangi8026 Před 5 lety +46

    Mnajua sana mpaka mnaboa ❤❤❤💪

  • @getrudatarimo3414
    @getrudatarimo3414 Před 5 lety +40

    Yaaap! Luv sana kwako King waoooo!!

  • @matendoa.online803
    @matendoa.online803 Před 5 lety +9

    Ndugu zangu I can’t stop listening to this live band by ALIKIBA @Clouds FM 📻... they sounds like the real song mixed up. Uyu bwana ni mwana mziki kabisa. Naipenda piya Team yake yote ...with lot of improvisations 🇺🇸🇨🇩🎤 Alikiba🤝 sijaona Bongo musician yote ule mwenye team iimbayo kama iyi, kama Wongo niambiyeni, kama Kweli niambiyeni.

  • @hassanimohamedi8324
    @hassanimohamedi8324 Před 5 lety +105

    Sauti mzuli sana king kiba honger sana

  • @beatusmichael4688
    @beatusmichael4688 Před 5 lety +59

    Ngoma kalisana yabosiwetu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aminabaraka6699
    @aminabaraka6699 Před 5 lety +22

    Always i love kings music sooooo much wallah moreee love kibaaaa

  • @adamjoseph9370
    @adamjoseph9370 Před 5 lety +36

    Iyoooooooooo yebaba show imekaa poa sana kwakwel najivunia kuzaliwa kwenye nchi yenye mtu kama alikiba na clouds fm

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 Před 5 lety +20

    Kings music for life keep it up dope

  • @alicemateru5622
    @alicemateru5622 Před 5 lety +17

    Mpo vizurii 👑music. Sauti iko poaa sanaa.... Hakuna kuteseka hapa

  • @kbtv3621
    @kbtv3621 Před 5 lety +97

    Mmmmm kama umeona alikiba kampiga Kofi abdu kiba kama utani gonga like

  • @axiommirgab882
    @axiommirgab882 Před 5 lety +101

    Hiv kiba anakasirikaga kweli maana sura yake tu imekaa kitabasam

  • @rashidikarisa8679
    @rashidikarisa8679 Před 5 lety +12

    Brother 💖 Kiba upo juu zaidi vijana watulie wafuate nyayo zako maana sio kwa ufundi huo big up

  • @mimokassim1887
    @mimokassim1887 Před 5 lety +86

    Kings music there trending on instagram Nd I say let me go on CZcams Nd find mavoco kama yote ya kizazi kabisa.... all the way from South Africa 🇿🇦 to Tanzania 🇹🇿 like zenu pls

  • @nourmohammed5435
    @nourmohammed5435 Před 5 lety +56

    gonga like kama unapenda king kiba kwel

  • @alystidesthomas5242
    @alystidesthomas5242 Před 5 lety +42

    Mmenifanya nicheke wakat nilikua nmenununa how still dating? Maana haueleweki au ndo nmechokwa, ama umetekwa sio wanawake tu hata mm napapenda 😇😇😇😇😇😇😇💜#king kiba#king music #clouds

  • @asiahamza6400
    @asiahamza6400 Před 5 lety +22

    King's music ni nomaaaa

  • @simeocharles8182
    @simeocharles8182 Před 5 lety +58

    Nawakubali Clouds namkubali alikiba forever

  • @fatmashomary4693
    @fatmashomary4693 Před 5 lety +77

    Nawakubal team xxl
    Naikubal pia cloud radia pa1 na Tv
    Ushaur:Muwe mnawapa vit vyakukalia wagen wenu

    • @geofreyjoseph2659
      @geofreyjoseph2659 Před 5 lety

      Uwo ndo unyama mzee kama ujui xxl ni tofauti na vipindi vingine kama umeishafatilia

  • @simonally8375
    @simonally8375 Před 5 lety +160

    Hiii sauti duuu ji balaaa haitakuja tokea fundi heshima yako🔥🔥🔥

  • @mariamchiga846
    @mariamchiga846 Před 5 lety +8

    King Mda wote tabasam daaaah anajua sana huyu jamaa 😘😘😘kings music hatareeeeeeeeee

  • @nkwabimasanja3474
    @nkwabimasanja3474 Před 5 lety +20

    Huyo sister nampenda xaanaa anavyoogea 😍 🔥🔥🔥🔥

  • @kittykitty5298
    @kittykitty5298 Před 5 lety +8

    Alikiba muda wote anasmileeeee
    😊

  • @lucygasper5892
    @lucygasper5892 Před 5 lety +134

    Mfalme atabaki kuwa mfalme
    Piga kazi baba

  • @thobiasromady5426
    @thobiasromady5426 Před 5 lety +175

    Mm leo nabeba begi langu naenda kwa mfalume kiba

  • @ezdoboy0025
    @ezdoboy0025 Před 5 lety +24

    Yebabaa mbio 🔥🔥🔥🔥🔥🇺🇸

  • @shabirubagaya7967
    @shabirubagaya7967 Před 5 lety +13

    Duuuh kiba mtu mbaya san very good sound

  • @antonnyshadrack4136
    @antonnyshadrack4136 Před 5 lety +18

    kiukweli Mimi Ni shabiki no one wa king kiba najisikia Furaha Sana nikiwa upande wako

  • @gracyleonardoh7305
    @gracyleonardoh7305 Před 5 lety +11

    Killy anaweza na anamuonekano wa kisuper star sanaaaaa

  • @geoffreyshinga8107
    @geoffreyshinga8107 Před 5 lety +61

    NAMKUBALI XANA huyu mchizi...by G from R.CHUGA GONGA LIKI BX HAPA

  • @abdallahshehe6102
    @abdallahshehe6102 Před 5 lety +18

    Jama music si kuiba tu nakupiga fujo music ni voco ali na king hawa jama ni wanamusic hawaibi tu big up bro

    • @nodisc6518
      @nodisc6518 Před 5 lety

      Wanajua sana mpaka wanakera👊👊🎶👑👑👑

  • @yusuphmdaile3607
    @yusuphmdaile3607 Před 5 lety +31

    Nyimbo nzuri inapendeza

  • @atanasifrancis3308
    @atanasifrancis3308 Před 5 lety +12

    Allyikba,sauti mungu kakubariki nayo kweli

  • @jojoflash1454
    @jojoflash1454 Před 5 lety +6

    Love you so much my dear kiba 💝💝

  • @coolestmarley1192
    @coolestmarley1192 Před 5 lety +10

    Was Lit interview @king's music👑

  • @goodfreymodest3938
    @goodfreymodest3938 Před 5 lety +15

    Namkubali xan brother

  • @asiahamza6400
    @asiahamza6400 Před 5 lety +52

    Kiba wangu oyooooooooo namkubali kinomaaaaaaaa

  • @khadijanyoni2457
    @khadijanyoni2457 Před 5 lety +48

    King music mtabaki kuwa juuu

    • @ashaabdul4724
      @ashaabdul4724 Před 5 lety

      Alhamdulllah Rabell Allah Men Mungu awaondelee jicho la husda. KIMASO MASO MAHASIDI WASIWAONEEE.

    • @happycharls8961
      @happycharls8961 Před 4 lety

      Nice job kaka Angu huwa nikiskiliza nyimbo zako na enjoy sana mshikaji wangu tko p1 xnaaaaaaa

  • @GEM_CHANCE
    @GEM_CHANCE Před 5 lety +51

    Iachieni hio rumba🔥🔥🔥

  • @supertallone4905
    @supertallone4905 Před 5 lety +17

    Fireeeeee🔥🔥🔥🔥🔥❤
    #KingsMusicYoRock🎶🔥🙌

  • @barakamatiga9954
    @barakamatiga9954 Před 5 lety +40

    Yani kiba unasema wanawake akati ata Mimi napenda ktk iyo seem asa namim mwanamkeeee

  • @joelylucas7945
    @joelylucas7945 Před 5 lety +87

    Nomaa snaa mtu anapita na biti kama vile nini duuuu kuna watu wanavipaji

    • @agaaah6697
      @agaaah6697 Před 5 lety +1

      Joely Lucas gonga meza kwa mfalme kiba

  • @gracyleonardoh7305
    @gracyleonardoh7305 Před 5 lety +14

    Stepuuu za kingonjeraaa daaaa boss anavituko adii raha

  • @mussayusuph181
    @mussayusuph181 Před 5 lety +4

    Mziki mzuri unahitaji sikio makini kuusikia,kazi nzuri sana Kiba!!

  • @allyclassic1768
    @allyclassic1768 Před 5 lety +31

    Iye iyeee iyooo moyooooo unaniendaa mbioooooo good song

  • @rochhelmond7925
    @rochhelmond7925 Před 5 lety +8

    Hataree...we 2gether with jiwe la week

  • @kinglems3362
    @kinglems3362 Před 5 lety +6

    king will remain king forever
    king kiba aaaaaa nicee

  • @shekhmussakadogoo7329
    @shekhmussakadogoo7329 Před 5 lety +25

    Kiba leo kaja nampya MAMI BEIBY

  • @manssouramor8496
    @manssouramor8496 Před 5 lety +17

    sauti kama imepita studio kumbe ni live
    hum unajuwa saana kiba wewe noma

  • @midwest863dr4
    @midwest863dr4 Před 5 lety +15

    Maunyama tupu humu Kings music Forever ...Clouds XXl for life Life

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 5 lety +8

    KING OF BEST MELODY

  • @zulfahaji4666
    @zulfahaji4666 Před 5 lety +2

    Km unakubali kwamba voice ya kiba ni nature piga like

  • @neemageorge4715
    @neemageorge4715 Před 5 lety +11

    king yebaaaaa..

  • @sadcommpalestina516
    @sadcommpalestina516 Před 5 lety +26

    team muzik mzur saut zmechujwa akuna matus akuna ushenz

  • @princekassim4089
    @princekassim4089 Před 5 lety +3

    Respect 🔥 #kingkiba

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 Před 5 lety +4

    King Kibaaaaa..... Everybody Yesssss...YEYOOOOOOHHH...!!!

  • @jonsonsamwel2660
    @jonsonsamwel2660 Před 5 lety +1

    From china am appriciate this guy he know how life is?!!! Watanzania tuko juu kama kunashida mnitafute kwa email ntawachangia hata billion 1 ahsanten mmenifulahisha sana

  • @rashidsalumu2700
    @rashidsalumu2700 Před 4 lety +2

    upo vizuri sana ally kiba ni kipaji kutoka kwa Allah

  • @sulejiTv
    @sulejiTv Před 5 lety +27

    na penda sana munavyo ulizaga maswali yenu muna uliza one by one sio kama WASAFI wanavyo ulizaga wote kwa pamoja.

  • @angelamenye7339
    @angelamenye7339 Před 5 lety +19

    Mwenye mziki wake

  • @ginnimoreno6239
    @ginnimoreno6239 Před 5 lety +19

    nimeskiliza show yote na hapa pia nimekuja

  • @sharmahwardhereh3573
    @sharmahwardhereh3573 Před 4 lety +2

    Nakupenda bure😍😍😍😍😍😍 Ali kiba😘😘😘😘😍😍😍😍😘😍😍😍

  • @ednavitus8290
    @ednavitus8290 Před 5 lety +5

    wanaimba vizuri no matusi nyimbo inaeleweka wakiimba wametulia no fujo love u

  • @issahshamte7273
    @issahshamte7273 Před 5 lety +6

    Aly billionea wa malove ohooo by king kiba gonga like kam umemkuli

  • @anniengwema7833
    @anniengwema7833 Před 5 lety +4

    I love you kiba

  • @isayaisaya6938
    @isayaisaya6938 Před 5 lety +31

    Yebaaaa 😁😁music ni kipaji mwachane kiba aitwe kiba yaaani huyu ndio mfalme wa bongo

    • @rosemaiko9405
      @rosemaiko9405 Před 5 lety +1

      Yaani watakubali tuuu ,mungu kawapa vipaji balaaa

    • @rosemaiko9405
      @rosemaiko9405 Před 5 lety +1

      No CD live noma Saut inatoka kawaida laaa yaani mm mpaka uache music

  • @oliverunique8645
    @oliverunique8645 Před 5 lety +17

    Kiba kwel fire jmn duh

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 Před 5 lety +43

    Jiwe la mwaka

  • @oliverunique8645
    @oliverunique8645 Před 5 lety +22

    Mamy nimependa jmn umeimb vzr

  • @matendoa.online803
    @matendoa.online803 Před 5 lety +6

    Nice live performance. Nzuri kabisa. Keep it up.

  • @thoyawehu8078
    @thoyawehu8078 Před 5 lety +6

    Alikiba nakuwaminia sana bro

  • @israelmbogo731
    @israelmbogo731 Před 5 lety +2

    On top kingmusic

  • @ridhiwanmlawa1371
    @ridhiwanmlawa1371 Před 5 lety +68

    Fuñdi uyooo piga keleleeee 👊👊👊

  • @epifaniamponda2443
    @epifaniamponda2443 Před 4 lety +3

    Kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yebaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
    King's music woyoooooooooooooooooo minawependa mpaka naumwaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💓💓💓💓🙏🙏🙏💪💪💪

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Před 5 lety +10

    B dozen asingesema imewekwa beat tupu na kiba katambaa basi nisingejua aiseee!! Kiba wee ni kipaji!!

  • @johnendege2092
    @johnendege2092 Před 3 lety

    Alikiba is the best I love his music s

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf8210 Před 5 lety +8

    Atari sanaa...mko juu sanaa...

  • @paulinazacharia8474
    @paulinazacharia8474 Před 4 lety +2

    Aisee kiba n star,, kwa waimba kwaya, yan ye nd anaimba saut ya kwanza ye nd dereva,, na sauti za wenziee zinaelewekaaa🙌🙌🙌🙌

  • @princegabytv7251
    @princegabytv7251 Před 5 lety +3

    Naombeni LIKE na mm hata kidogo. Kiba noma😹 ila dah ..........??..?...? Azid kupambana sana, akachinje wanyama wote wa mbugani⚡🎤 a.k.a #lion

  • @rockjeiwazawa1579
    @rockjeiwazawa1579 Před 5 lety +3

    Team king kiba gonga like nyingi sana nakubali sana alikiba & kings music

  • @marymasanyiwa3529
    @marymasanyiwa3529 Před 5 lety +12

    Nawakubali Sana hivi wasanii bila miwani maisha hayaendi eeh

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 Před 5 lety

      Mary Masanyiwa Kwa uzowefu wangu wengi huwaga wamepata vile vitu vya,kwahiyo ili kufanya Mambo yaende ni lazima Miwani kwambali

  • @bakarirashid8591
    @bakarirashid8591 Před 5 lety +11

    Kwa live hapa ndio chuoni

  • @mathewbicco7841
    @mathewbicco7841 Před 5 lety +3

    Kiba is cherish, I real like him

  • @yasmenoozm8094
    @yasmenoozm8094 Před 4 lety +2

    Kiba wangu na team yake😍😘❤

  • @salmushhechi875
    @salmushhechi875 Před 4 lety +2

    Wallah mfalme kiba unanibamba kweli nakupenda bure nahamiya kwake 🥰😘🥰😘🥰😘

  • @revendersuave8248
    @revendersuave8248 Před 5 lety +10

    Kibaaa unajua mpka keloooooololoo

  • @sofiakomba3641
    @sofiakomba3641 Před 5 lety +18

    Mziki cndo Huu sasa

  • @mwajumahosseni4802
    @mwajumahosseni4802 Před 5 lety +4

    Amazing👌🔥🔥🔥🔥

  • @bettybetty3518
    @bettybetty3518 Před 4 lety

    I feel alive nikiwasikiliza hawa wakaka. Wananipa sana radha ya maisha #kingsmusic for life🤗

  • @salamihorance528
    @salamihorance528 Před 5 lety +1

    Mimi napenda hawa jamaa wakiingia studio. Wanafurahaa sana. Allah awafanyie wepesi

  • @minnahlove9714
    @minnahlove9714 Před 5 lety +2

    Team kiba pendaga sana

  • @johndaniel919
    @johndaniel919 Před 5 lety +2

    Hatriiiiiiii jamn kings music n alikiba endelee kumwaga witu hakuna matusi. nyimbo zetu kiba umewapanga vijana kufanya kaz wew ndio unajua mziki ni nni sio hyo domo zege anachukua watu wanamajina tayr anjivunia kawakuza yeye han kitu aimbe matus hizi nyimbo hata nikiwa n wazaz naangalia huru kings # rockstar # mofanya nice

  • @mynesyfredy1236
    @mynesyfredy1236 Před 5 lety +41

    jamani timu kiba nipeni like na mmi duu

  • @zamoahajali303
    @zamoahajali303 Před 5 lety +19

    Kings music mnajua but ili lebo iendelee ni lazima wasanii waishi kama lebo co kundi kila siku nyimbo za kushirikiana kama yamoto band ili lebo ikuwe