SHOO KONKI ya ALIKIBA Mbele ya MAGUFULI KIGOMA, Apigiwa SHANGWE BALAA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 09. 2020
  • SHOO KONKI ya ALIKIBA Mbele ya MAGUFULI KIGOMA, Apigiwa SHANGWE BALAA...
    WANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Harmonize na Alikiba, ni miongoni mwa wasanii waliopata fursa ya kutumbuiza kwenye mkutano wa kampeni ya mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Magufuli, mkoani Kigoma...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • Zábava

Komentáře • 129

  • @issanassoro3846
    @issanassoro3846 Před 3 lety +14

    Yaaah!! Alikiba 4real ur the best broo

  • @ruqayaisumaili33
    @ruqayaisumaili33 Před 3 lety +18

    Alikiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️

  • @mosesharerimana278
    @mosesharerimana278 Před 3 lety +17

    Kiba always💜

  • @aisharegina5491
    @aisharegina5491 Před 3 lety +3

    Alikiba baba unaniuwanga ase yaaaaaa❤❤🙏❤🙏

  • @zainabissa4572
    @zainabissa4572 Před 3 lety +8

    Kiba anajua live mpak raha wallah 💋❤️❤️

  • @fatmasaid5251
    @fatmasaid5251 Před 3 lety +18

    Ye babaa king kama king always

  • @sagendamagembe4380
    @sagendamagembe4380 Před 3 lety +7

    CCM mbele kwambele!✔️✔️✔️✔️✔️

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 Před 3 lety +4

    Kipenzi cha watu 🙌🙌🙌🙌

  • @papypenebinadamnoma5191
    @papypenebinadamnoma5191 Před 3 lety +4

    Nampenda sana kiba mimi

  • @johnvaloisy1482
    @johnvaloisy1482 Před 3 lety +3

    King Kiba uko juu bro

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 Před 3 lety +2

    Nampenda sana rais wangu maghufuli m.mungu akuepushe na mabalaa yoote amiinna

  • @bahatisimkoko3296
    @bahatisimkoko3296 Před 3 lety +12

    Jamani kuanzia Leo Mimi shabiki yake allykiba Huku upande WA pili Hapana Kwa kweli

  • @fatmaiddikhamisi8006
    @fatmaiddikhamisi8006 Před 3 lety +8

    Yeeeeeee babab nakukubali sna kibaaaaaa

  • @aishal1953
    @aishal1953 Před 3 lety +3

    King wewe noma sana🔥🔥🔥

  • @janetwawira5673
    @janetwawira5673 Před 3 lety +19

    kiba miaka ishirini hajawahi chosha na kuna msanii miaka kumi asha anza kuchokwa

    • @mwasumohamed8146
      @mwasumohamed8146 Před 3 lety

      Wewweeeeeeee pig kileleee

    • @saumsalim9966
      @saumsalim9966 Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣King as king 🔥🔥🔥🔥🔥🔥wakuotea mbali

  • @angellesiriam5759
    @angellesiriam5759 Před 3 lety +8

    Kiba🔥🔥♥️

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 Před 3 lety +8

    King Kiba leo umetumia jukwaa la sisiem kupromoti nyimbo zako

  • @lastbonedy859
    @lastbonedy859 Před 3 lety +5

    I real love Alikibaaa

  • @jarededmin4976
    @jarededmin4976 Před 3 lety +2

    simple but sweet

  • @mussabarnaba5099
    @mussabarnaba5099 Před 3 lety +1

    Your a good boy

  • @marumbaruziguje2961
    @marumbaruziguje2961 Před 3 lety +2

    Noma sana

  • @valeriashirima7432
    @valeriashirima7432 Před 3 lety

    Very nice

  • @Halima-fk5oq
    @Halima-fk5oq Před 3 lety +6

    🔥🔥🔥🔥

  • @mwasumohamed8146
    @mwasumohamed8146 Před 3 lety +1

    King kibaaaaaaa nakukubali San kaka

  • @munmun_stepup6900
    @munmun_stepup6900 Před 3 lety

    Love you King 👑

  • @zytnabdul1124
    @zytnabdul1124 Před 3 lety +1

    Nakukubali kiba

  • @mwasumohamed8146
    @mwasumohamed8146 Před 3 lety +1

    Yeeeeeeh yebabaaaa

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 Před 3 lety +3

    Nyimbo zinaeleweka hadi raha, yani hata mzee anaweza kuzicheza, sio kule upande wa pili fujo tupu 😂😂😂

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 Před 3 lety +1

    Aliiiiiii kibaaaaaaaaa

  • @wilondjabinyams5925
    @wilondjabinyams5925 Před 3 lety +4

    aki sijawai kuona msanii km kiba duniani anauwezo waki pekee

  • @rashidally6934
    @rashidally6934 Před 3 lety +3

    👑👑👑💪💪

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 3 lety +1

    Nice

  • @mussamanumbu3718
    @mussamanumbu3718 Před 3 lety +4

    Burudani lazima watu waenjoy kwanza

  • @frankjacksoni1433
    @frankjacksoni1433 Před 3 lety +3

    Madem weng wanamsifia Ali kiba lkn mond watoto wa kiswahili tunamjua Sana

    • @sillajilihambwali7206
      @sillajilihambwali7206 Před 3 lety

      Oy jmn kuazia leo mm jin lang naitwa alikiba

    • @saumsalim9966
      @saumsalim9966 Před 3 lety

      Baba Abraham atakoxaje kujulkana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ctak kero nmecomment nakpita

  • @nashonotieno6524
    @nashonotieno6524 Před 2 lety

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @cosytz1610
    @cosytz1610 Před 3 lety +2

    King firee

  • @chrisdonline6748
    @chrisdonline6748 Před 3 lety +3

    Dj anazingua

  • @mikemcubic8181
    @mikemcubic8181 Před 3 lety +1

    kiba = talent
    diamond = hard worker

  • @hafidhujongo2488
    @hafidhujongo2488 Před 3 lety +3

    Sauti baba angu ni sheeeeda

  • @abdulqareemseif9050
    @abdulqareemseif9050 Před 3 lety +2

    Tamasha la music

  • @sadaally3317
    @sadaally3317 Před 3 lety +1

    My crush 😘

  • @antonyngala1977
    @antonyngala1977 Před 3 lety +1

    Kingkiba

  • @karimnyanza5906
    @karimnyanza5906 Před 3 lety +1

    Imepenya iyo

  • @azizakenny7154
    @azizakenny7154 Před 3 lety +2

    😍😍😍😍😍

  • @marthapeter6009
    @marthapeter6009 Před 3 lety +1

    👑

  • @ozanee1739
    @ozanee1739 Před 3 lety +1

    King

  • @jjmooo4186
    @jjmooo4186 Před 3 lety +1

    Lisu 2020

  • @mashakajuma902
    @mashakajuma902 Před 3 lety +1

    Yeaaaaap yeebabaaaaa

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 Před 3 lety +1

    Safi saaana kiba

  • @patelpmax9954
    @patelpmax9954 Před 3 lety

    Fire

  • @issamustafa8478
    @issamustafa8478 Před 3 lety +1

    King ally

  • @dastanmsosa4661
    @dastanmsosa4661 Před 3 lety +5

    Kiba kama kiba

  • @abdukarimhussein4215
    @abdukarimhussein4215 Před 3 lety

    💥💥💥

  • @manafecassamo2749
    @manafecassamo2749 Před 3 lety +2

    Ivy vyama vyenu vinatesa Saana waislamo

  • @barakacemmanuel3816
    @barakacemmanuel3816 Před 3 lety +1

    Yebabaaaaaaa

  • @jacksonebrahim7961
    @jacksonebrahim7961 Před 3 lety +5

    Kama.unakelwa na anavyoita wasaaniii
    Nipe like twende sawa

  • @imanuelsimon9739
    @imanuelsimon9739 Před 3 lety +1

    Yebabaaaas

  • @hassanboy7113
    @hassanboy7113 Před 3 lety +2

    Pamojasana

  • @kudrantengakaje6363
    @kudrantengakaje6363 Před 3 lety +1

    kigoma kwetu

  • @abdulqareemseif9050
    @abdulqareemseif9050 Před 3 lety +3

    Fiesta ya mwaka huu hatari naona nyomi kweli clouds Wapo juu

    • @fortidaskashaigili7496
      @fortidaskashaigili7496 Před 3 lety +1

      Ee mtasema mengi,kama hupendi ccm si uachekwenda kwenye fiesta yao

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 Před 3 lety

      Kashaingili we mtoto wa juz tuachie ccm tunayoijua cc au unafurahia kuletewa tren ya umeme ni sawa nami nashukuru kuletewa treni hiyo pia na ndege hizo kumi na moja je ndege utazipanda na je mbona viwanda avifufuliwi vijana wakaajiliwa kutokomeza janga la machokora na kutoa janga la vijana kukaa mitaani zaidi tunaletewa ndege treni kupata ajila ya kufanya ata usafi uwanja wa ndege uwe na ufaulu wa chet cha form four kijana acha kufuraia vitu kwa kuviona ila fatilia kijana amka

    • @fortidaskashaigili7496
      @fortidaskashaigili7496 Před 3 lety

      @@ricksonlyimo5594 kupanda ndege sio lazima,Kuna hata ambaye hajawahi kupanda pikipiki au baiskeli japo watz wengi wanazimiliki,tunachoangalia ni maendeleo,na maendeleo huwezi kuyapata bila miundombinu ya uhakika,kama njia za uchukuzi, na anga ni njia mojawapo ya uchukuzi tena ambayo ipo kwenye ushindani wa hari ya juu sana duniani,na ndio njia ya kurahisisha kufanya vitu kwa haraka kuliko njia zingine ,ukitaka kuokoa muda wa kusafiri ni ndege,yani,ukitaka kusafirisha mizigo kwa haraka sana bado ni ndege brother,hata lisu alipopigwa risasi asingeweza kuwahi nairobi isingekuwepo ndege,angelazimika kutumia gari kwa muda wa masaa zaidi ya 13 kutoka tz kwenda Kenya,Sasa hapo ndio maendeleo yanapokuja kuonekana umepata tatizo umewahishwa na ndege,ambayo ni kitu,maana Kama ni maendeleo ya watu ok tuseme unahela zakutosha huna njaa,lkn ndio Sasa imetokea Kama hivyo umepata ajari unawahishwa Kenya kwa gari zaidi ya masaa 13,mwenzio anapanda ndege anawahishwa Kenya dakika 45,Sasa aliye endelea ni yupi hapo brother,maana tusitukanane bila sababu tuzungumze kiuhalisia,hivi wewe jirani yako ana nyumba bora ,wewe unabora nyumba,mwenzio anamiliki gari,wewe huna hata mkokoteni wakusombea maji, mwenzio anamiliki boat Kama mbili za kisasa zakuvulia samaki,wewe hata mtumbwi wakujichogea kienyeji huna,Sasa ni yupi mwenye maendeleo. Maendeleo ni kuwa na vitu,au kwa jina lingine Mali unazomiliki hayo ndio maendeleo,Sasa wewe mtu hata kiwanja chat kujenga chumba kimoja huna alf useme umeendelae,wa tz inabidi tujifunze kufanya kazi kwa bidii brother Yani shauri masera wafanye kazi ndege mbona unaipanda tu ,ni kitu Cha kawahida sana,sema mnaogopa jina ndege,wengine hata airport wanaogopa kufika kisa jina ndege,naomba tufanye kazi usipopanda ndege basi utaagiza mizigo leo kutoka china ,itakufikia kesho mapema,badala yakutumia meli ambapo ingechukua miezi 3 kufika, brother sipendi kutukanana lkn huu ndio ukweli

  • @gipsonrobert8292
    @gipsonrobert8292 Před 3 lety +1

    Huyu jamaa anatisha sana

  • @sudiyahya9276
    @sudiyahya9276 Před 3 lety

    Ok

  • @yahyamassawe8011
    @yahyamassawe8011 Před 3 lety +3

    Huyu polepole hatufai kabisa ktk nchi hii

    • @sarahtony3937
      @sarahtony3937 Před 3 lety

      Kakukosea nn tena mwenzetu

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 Před 3 lety

      Chuki binafsi

    • @tausimbewa2148
      @tausimbewa2148 Před 3 lety

      @@presseg.6362 Yy wa harakaharaka mbona hatujamuona hapo jukwaani, hizo chuki ztamuua ck si zake

  • @jackngaku7449
    @jackngaku7449 Před 3 lety

    Ye baba

  • @shabaniddy1595
    @shabaniddy1595 Před 3 lety

    Yebabah

  • @frankcosmas3927
    @frankcosmas3927 Před 3 lety +2

    Arikiba nakukubal

  • @cardinal0016
    @cardinal0016 Před 3 lety +6

    Magufuli haendi sehemu bila wasanii 🤣🤣🤣🤣

    • @fortidaskashaigili7496
      @fortidaskashaigili7496 Před 3 lety +1

      Ee ndio kawahida yetu ccm,mtakubali tu

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 Před 3 lety

      Hapo sasa nishajiuliza kampeni za ccm ni za wasanii bila wasanii kampen aziendi ila masikin Tundu Lisu yupo yeye kama yeye

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 Před 3 lety

      Kashaingila we uijui ccm kaa kimya

    • @fortidaskashaigili7496
      @fortidaskashaigili7496 Před 3 lety

      @@ricksonlyimo5594 wewe ndio ukae kimya maana huijui CCM,lbd nikujuze tu kuwa, ufatilia kampeni za ccm kwenye chaguzi zoote,uone kama waliwahi kuacha wasanii nyuma,sasasijui mmeliona leo,lkn kipindi Cha nyuma mliona kawahida tu,wasanii wengi ni wanachama wa ccm,na kingine,chadema bado haina ubavu wakupambana na ccm kwa Sasa,lbd baada ya miaka 100 ijayo,kizazi kingine ndio kitafanikiwa,lkn Bado ni lbd

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 Před 3 lety

      @@fortidaskashaigili7496 yaan huna akili kabisa naweza kujikuta nabishana na kitoto kinachofurahia wasanii mimi cshoboki na wasanii we wafuraie nikikuuliza nn maana ya upinzani uwez ukanielezea nikikuuliza nn maana ya ccm uwez nieleza zaidi utabwabwaja tu na kusema umeona wasanii wanavyoimba amka toka ucngizini wewe

  • @omaryrashid3320
    @omaryrashid3320 Před 3 lety

    Tutaelewana tu taratibu

  • @davismaluli9852
    @davismaluli9852 Před 3 lety +3

    Fiester .. hahahaha

  • @britishboytz3576
    @britishboytz3576 Před 3 lety +3

    Kesho fiesta mkoa gn

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Před 3 lety

      Mkoa aliotoka mama yako

    • @tatumohammed3472
      @tatumohammed3472 Před 3 lety

      😂😂😂

    • @abdulqareemseif9050
      @abdulqareemseif9050 Před 3 lety

      Shoo ya fiesta kesho sijui wapi broo vp kuhusu mkutano lini Broo naskia lisu yupo mikoani

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 Před 3 lety

      Ama kwer mnateseka 🤣🤣🤣🤣Nanyie maboda boda watakua wapo mkoa gani kwer maana nanyie ndo wapiga debe wenu🤣🤣siasa bhana nikama mchezo wangumi tu

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 Před 3 lety +1

      @@ahmednoor1412 🤣🤣🤣wanateswa na wivu tu hao

  • @katecaddy7556
    @katecaddy7556 Před 3 lety

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Před 3 lety +3

    Tukisema Wananchi hawa wanakwenda fiester bure kwenda kuangalia Wasanii na sio magufuli mnakataa sasa hii ni nini! Ila pamoja na yote tunahitaji siku tar 28 October haki itendeke tofauti na hivyo mtajuta mkifanya uhuni mtakao ufanya.

  • @suleymanisalum2361
    @suleymanisalum2361 Před 3 lety

    Kiba mtu hatarii

  • @demasgattv6857
    @demasgattv6857 Před 3 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @deborahassan1395
    @deborahassan1395 Před 3 lety +1

    Kiba hatar

  • @rajabumapunda416
    @rajabumapunda416 Před 3 lety

    Dogo armonize kafunika

  • @hafidhujongo2488
    @hafidhujongo2488 Před 3 lety

    Wallah we no kipusa

  • @olayo2556
    @olayo2556 Před 3 lety +1

    mchiz amepooza kinoma yahn. amekazana yoooo yebabaa.unatuboa shabiki zako bana ali

  • @neemaneema1406
    @neemaneema1406 Před 3 lety +7

    🔥🔥🔥🔥🔥✌