20 Percent Akiimba na Watu Wake 72 ya JK

Sdílet
Vložit

Komentáře • 206

  • @bahatipeter6304
    @bahatipeter6304 Před rokem +154

    Tukatae tukubari tanzania 🇹🇿 hii hakuna anae weza andika nyimbo yenye radha na mpangilio wa vina kama 20%.kama unaungana na mimi gonga like

  • @patrickmkude6968
    @patrickmkude6968 Před rokem +14

    💪💪💞💕sijawah kuchoshwa na nyimbo zako Toka umeanza kuimba....Mungu akuongoze katika mapambano yako 20% .... Tunakuomba Rudi tena kwenye game sisi watoto wa tandale tunajivunia wewe

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 Před rokem +47

    Dah mpaka Raha Sasa hv naona mafuta na maji yameanza kujitenga nilikuwa na Iman ipo cku moja utakuja kurud kwenye game Ila nilikuwa cjui ni Lin naona Ile cku imewadia wale wenye mziki wa big jii kwishney Sasa hv watu wamechoka matuc, shukran Sana clouds Fm shukran (mh) kikwete na jopo lote mlioamua kuturudushia mwanamziki bora wa muda wote TZ 20 POWER, MAILE MBISH BIG UP SANA MWAMBA

  • @djkayumba
    @djkayumba Před rokem +17

    Punch imekata kabisa mkali wetu sema sio mbaya cha zamani kipewe heshima Asante sana Kaka 20%

  • @marosylvester2851
    @marosylvester2851 Před rokem +5

    Kwa upande wangu nakumbuka Enzi za nyimbo yako kiukweli zinaujumbe wenye kima na kiarifu.unaswawiri dhana ya uyakinifu wa simulizi.from Mwanza TZ@sele one .hasa mama Neema ni real fact in our society.salute 20%

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 Před rokem +13

    That Natural Voice from 20PA.... Lovely

  • @fanuelsulle6039
    @fanuelsulle6039 Před rokem +17

    Nimemwona mheshimiwa jakaya kikwete aliyemwona kama mimi gonga like 👍

  • @izzoboy
    @izzoboy Před rokem +14

    20 pacent ni musanii ambae alikua mkl Sana so never disappoint

  • @bonventrychevai5183
    @bonventrychevai5183 Před rokem +9

    Duuh!! Namtambua 20% siku sote maana mashairi yake yana ujumbe mzuri kwa sisi vijana, hata hivo sauti yake ni ile ile tokea mwanzo👏👏👏

  • @sanaanimaisha4072
    @sanaanimaisha4072 Před rokem +45

    20% ni msanii mkubwa sana. Ona hadhira inaimba Naye, na ukiangalia wakati anahiti hadhira kubwa ilikuwa changa, lakini wanazijua nyimbo zake. Hongera sana 20%.

  • @nehemiamollel3186
    @nehemiamollel3186 Před rokem +14

    Stay blessed King 20%

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Před rokem +28

    Huyu ndiye msanii mkubwa TANZANIA. Congratulations BROTHER 20%♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥

  • @barnabasmalima4823
    @barnabasmalima4823 Před rokem +6

    mh alikua anapata hisia kali sana kwa kweli 20 percent nyimbo zako zilikua zinz hisia sana kusaga msaidie huyu jamaa

  • @charlesgervas7566
    @charlesgervas7566 Před rokem +4

    Daaaah hakika nyimbo zake hua zinanituliza akili nikianza kuzisikiliza
    Maana zinaingia kwenye mishipa ya damu
    Hakika huyu ni bonge la legendary mkubwa sana i love him so much

  • @gracerichard8145
    @gracerichard8145 Před rokem +18

    Yan nyimbo za kitambo lkn Hadi sasa inasikilizika mpaka sasa ado unainjoy

  • @anthonymururu4046
    @anthonymururu4046 Před rokem +6

    Legend always 💪💪

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 Před rokem +10

    Good voice 20% natural 👏👏

  • @farajajosephat6022
    @farajajosephat6022 Před rokem +3

    MI NI UPCOMING ARTIST PIA,,LAKINI 20% NAKUKUBALI MPAKA KESHO,,I CAN'T EVEN EXPLAIN THE FEELING BRO!! WEWE NI MAANA HALISI YA LEGEND!!! MAISHA MAREFU SANA

  • @mdetetv6050
    @mdetetv6050 Před rokem +8

    kunawasanii wana power tz hadi siku watakapokufa huyu mwamba anapendwa sana aiseee

  • @sylasmusic6773
    @sylasmusic6773 Před rokem +5

    Namkubali sana huyu jamaa kwanza vitu vyake vyote vinaelimisha sana kwetu bangi likikubar halimtupi mtu piga kazi %20

  • @lovirinaa
    @lovirinaa Před rokem +13

    😢❤legend as always

  • @akidajulius8397
    @akidajulius8397 Před rokem +7

    Da huyu mtu ametunza sauti ,mpaka Leo ipo vizuri,

  • @fyneboy9646
    @fyneboy9646 Před rokem +2

    20 yani nalia nikisikia nyimbo zako kbs na flm ya nema kbs upagawe kabisa Asante sana

  • @zakiaramadhan6976
    @zakiaramadhan6976 Před rokem +5

    Duuuuh!!nmejikuta nadanlod hizi nyimbo aiseee nakumbuka mbal Sanaaa,huyuuu Kaka ni msanii mkubwa sanaaa

  • @NduwayezuMarc60-zb1uh
    @NduwayezuMarc60-zb1uh Před 10 měsíci

    Hongera mkuu 20.nasisi warundi tu nyuma yako

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Před rokem +8

    20 nyimbo zako zitaishi miaka 1000 tizama mashabiki wanavo furahia nyimbo za Sasa ivi gidi hazinampango wowote

  • @nassornassor4402
    @nassornassor4402 Před rokem +3

    Huyu ndio msanii wang boraa wa muda woote💪💪

  • @shabani_Osee_Ngena
    @shabani_Osee_Ngena Před rokem +3

    Aendelee kupewa heshima yake daima🙏🙏🙏

  • @GidionNgala
    @GidionNgala Před 2 měsíci +1

    Asilimia ishirini,,,,,,,❤❤❤❤ kenya nakupenda sana

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato2941 Před rokem +8

    Msanii kapiga show kistalabu sana hapo wengine ugesikia weka mikono hivi wakati nyimbo zao siyo za kucheza

  • @abrahamanidd1860
    @abrahamanidd1860 Před rokem +3

    Dah nafrahi sana kumuonaga huyu bro akiskika tena maana tulimic kipaji chako tulimic mziki wako pia nafrahi kwakua tupo wengi ambao tunaendelea kukuamini na wengi wanakushangilia wewe ni moto bro turejeshee vitamin music tena

  • @jnkb257tv5
    @jnkb257tv5 Před rokem +1

    Love from burundi

  • @hamzaeleuter8268
    @hamzaeleuter8268 Před rokem +11

    Daah sijui nyota, msanii Mkubwa ambaye historia yako inajieleza

  • @workbizy4853
    @workbizy4853 Před rokem +6

    Huyu jamaa ni org clouds heb mchukuen japo kwenye fiesta haf mtanambia atakacho fanya

  • @PhilipAndrew-et3nq
    @PhilipAndrew-et3nq Před 5 měsíci

    Yaaa ukizingumzia wasaniii ambao sjawahi kuchoka nyimbo zake nyimbo nzuri zinaishi pia zinagisa kabisa maisha yetu yote ya mtaani kak mungu akupe maisha marefu sana

  • @uwasevalantine9206
    @uwasevalantine9206 Před rokem +3

    Fire 🔥 🔥🔥❤️❤️❤️👍

  • @user-bp1cu2jt4c
    @user-bp1cu2jt4c Před 7 měsíci

    Félicitations mon frère

  • @jamarmuddy9212
    @jamarmuddy9212 Před rokem +2

    Mungu ampe maisha marefu hii ni tunu yetu

  • @shomaribani2164
    @shomaribani2164 Před rokem +4

    Big brain

  • @bishensadock8233
    @bishensadock8233 Před rokem +7

    Be blessed 20%

  • @maryamhamad3485
    @maryamhamad3485 Před rokem +5

    Mimi 20 kwakweli nikimsikliza Anita machozi

  • @AslausKnylon-bn1jr
    @AslausKnylon-bn1jr Před 6 měsíci

    Yani always nazimiss sana nyimbo zake test nyimbo forever

  • @nostressfreedom8615
    @nostressfreedom8615 Před rokem +7

    Waoooo😢❤🔥🔥🔥

  • @murugaisaya6681
    @murugaisaya6681 Před rokem +8

    Nyimbo za way back zinaishi mpaka leo

  • @witnessniclass3777
    @witnessniclass3777 Před rokem +2

    Nikiskiza nyimbo hiz mbaka mwil unanisisimkaa😍😍

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 Před rokem +5

    Uyo ndio anaweza kushinda na simba kibongoo

  • @beckasalum2620
    @beckasalum2620 Před rokem

    Good music brother 20 p

  • @hamissfesto6492
    @hamissfesto6492 Před rokem

    Bad man 20 pacent atareeeee💪💪❤️

  • @saimonking4958
    @saimonking4958 Před rokem

    jakaya anapelekwa na vibe la banged sema ndoiv 😂😂😂😂

  • @seangraceswt8037
    @seangraceswt8037 Před rokem +1

    Aisey kumbe Bado yupoo

  • @fatumasaidi497
    @fatumasaidi497 Před rokem +3

    Nakukubali sana

  • @gabrielwilliam4822
    @gabrielwilliam4822 Před rokem +4

    20% fund sana ww bigup mwamb

  • @mcdj_tonnizo_muxeed
    @mcdj_tonnizo_muxeed Před rokem +1

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    Motoooooo hot 🥵🥵🥵🥵🥵🥵

  • @yusuphthabiti1394
    @yusuphthabiti1394 Před rokem

    Kaka kazi unaweza sema hyo Shetan aliyo kupanda ndio kahalib kila kitu

  • @costantinevedastus8536

    Much love 😻

  • @user-tb3du8fz7e
    @user-tb3du8fz7e Před 2 měsíci

    napenda sana mziki wa zamani kama huu

  • @richardmosses6776
    @richardmosses6776 Před rokem +3

    Mwambaaaa 20 paaaa ni firee ase

  • @ndegeofficial9928
    @ndegeofficial9928 Před rokem +4

    Mameneja mko wapi msaidieni twenty wekezeni hela kwake bado anakitu

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 Před rokem +1

    Huyu mwamba nyimbo zake Bado zipo so hot

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza Před rokem

    Noma San,Huyu jamaa afanye arudi kwnye sanaa

  • @tmpbusinesses1205
    @tmpbusinesses1205 Před rokem

    Kwa kwel 20 alimkosha mh rais mstaaf nani anabisha jamn,,,,?!?
    Na ndio inatakiwa iwe hivyo, wimbo uguse hisia za hadhira. Thanks 20 pa

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 Před rokem +1

    Jamaa anajua haujifichi yaan

  • @petermwalyene814
    @petermwalyene814 Před rokem +1

    20℅ pacent ni hazina ya nchi

  • @baimarrajahbuayan6237

    Nampenda hatar
    Daaaaa nakumbuka mbali

  • @kel500
    @kel500 Před rokem +1

    🔥🔥🔥👌👌👌huyu jamaa ni konyooooo

  • @MaxicM
    @MaxicM Před 26 dny

    Munngu akuinnuwe kaka 20%

  • @kulukusantutv3541
    @kulukusantutv3541 Před rokem +1

    Twenty atabaki kuwa mkali wa Tanzania miaka na miaka

  • @saleheathuman4904
    @saleheathuman4904 Před rokem +1

    NDUGU HUJAKOSEA ILA WATU WAMETAWALI NA NYIMBO ZAMATUSI NI NYIMBO AMBAZO HAZISHI ILA KWA NYIMBO 20PA NOMA SAMA

  • @juniorwilliam6338
    @juniorwilliam6338 Před rokem

    Super Nyota 💥💥💥💥20 percent

  • @hypolitehabonimana6671

    Twenty power anaweza kweli kwake hakuna mpinzani

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 Před rokem +3

    Noma kweli

  • @AdrianHenry-tl6sc
    @AdrianHenry-tl6sc Před rokem

    Noma sana mwamba

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 Před rokem +1

    Namkubali huyu mwamba kuliko wasanii wote kwa hii dunia

  • @FelixMatiabo-cn9qm
    @FelixMatiabo-cn9qm Před 2 měsíci +1

    2024🎉

  • @ELIFASIMwigema
    @ELIFASIMwigema Před 16 dny

    Mfuniko ni 20: miaka lak. Wengine matusiiii tupu.

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 Před rokem +3

    %20🙌🙌🙌azichuji

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 Před rokem +1

    SAIVI UTASKIA
    GIDI!! GIDI!! GIDI!!
    GAGA!! GAGA!!
    Mpuuzi mtupu😁😁😁😁😠😠😠😡🤬😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😬😬😬😬

  • @eddyclassic8996
    @eddyclassic8996 Před rokem +1

    20bmkali wao milele

  • @shadrackniyomukiza9045
    @shadrackniyomukiza9045 Před rokem +1

    20% percent unaua sio poa akuna ata tusi

  • @user-zr8lq9lo8y
    @user-zr8lq9lo8y Před 4 měsíci

    😅😅😅😅😅😅😅 bangi bangi

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před rokem +1

    Katka wasanii wote kwenye show hii huyu ndio alifanya kweli kwa wote waliokuwepo hapa

  • @ndevuemcee3000
    @ndevuemcee3000 Před rokem +1

    Huyu jamaa hatumii uwezo alonao vyema. Ana heat songs na voco kali sana ila uwezo wake wa kupiga show ni mdogo na hasa matumizi ya hizi play back ndio zinazidi kumfanya awe mzembee.

  • @allykivunja5511
    @allykivunja5511 Před rokem

    naangalia hapa watu wanaimba huku wanafurahi tena wanaimba kwa hisia na sijaona 20 kuvua shati ,kuwamwagia watu maji ,kuwaambia watu wapige makelele mzee kikwete huyu twenty ni icon mpe njia

  • @mhmundenga5519
    @mhmundenga5519 Před rokem

    Merci beaucoup

  • @hagaigospelband_tz4735

    Nyimbo za brother zinahisia kwel

  • @tariqmaduga8051
    @tariqmaduga8051 Před rokem

    20% uyu ndio kioo cha jamii ..2022 here we go

  • @kefamkv3743
    @kefamkv3743 Před rokem

    Ila cameraman huyu dada alovalia nyeusi
    Mbona ulimuandama kias hiko😄😄😄

  • @BicheMateusMateus-st1xy
    @BicheMateusMateus-st1xy Před 2 měsíci

    Good

  • @emmanuelluhozya3909
    @emmanuelluhozya3909 Před rokem

    jamani tunampenda musani huyo adileo tunaomba muturushie nyimbo ya sasa ya mwaka wa 2022 🙏🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪

  • @alfredyego1664
    @alfredyego1664 Před rokem

    Living legend

  • @officialmrtigerbudguy171

    20% mwanamziki Bora sana

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 Před rokem +4

    20 pacent 💚💚💚💚

  • @jovanuisso309
    @jovanuisso309 Před 11 měsíci

    Ase anae jua ana jua2

  • @jacksonchristopher6310

    Mzee wa kazi sasa utawaua wqtoto wa sasa mana umekuja na moto

  • @christophercharlesk.8283

    Daah... Hiki kichwa kina vitu jamaniii

  • @EduardoSantos-db8fx
    @EduardoSantos-db8fx Před rokem

    One love 20%

  • @jossephgorge522
    @jossephgorge522 Před rokem

    Nakubari sana

  • @athumaniferooz7790
    @athumaniferooz7790 Před rokem +3

    Kizaz sn hii

  • @cycynageragezekwambaraneza1987

    20 percent hongera sana

  • @kingayoubshabani2551
    @kingayoubshabani2551 Před rokem

    Dah..!! Ila 20%