MWAMPOSA AFUNGUKA KUUJAZA UWANJA WA KAWE MPAKA BARANARANI “HUU NI MKESHA USIO SAHAULIKA”
Vložit
- čas přidán 4. 07. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Zábava
Mutume mungu akuweke miaka mingi muno vijukuu vipokee uduma yako ubarikiwe sana
Usiongee kitu usicho kijuwa.kwaio watu wakienda hapo ni masikini 😢
😂😂 bora hapo kuliko kula kikombe cha babu
Asante sana baba mtume boniface mwamposa.mungu akuzdish na kukuongeza na kuukuzidisha siku zote za maisha yako.
Baba yangu wa kiroho.tumekuja sisi tumekosa maji baba.
Amen katika jina la bwana , napokea mtumishi wangu , Mungu anifungulie aridhi yangu ifungulie kqma kunawayu wabaya alinifanyia ubaya
Amina ubarikiwe
Amen 🙏 name kuanzia leo talehe 5 /7/2024 sinta sahaurika kamwe kwauwezo wa MUNGU
Manabii wa uongo hawa. Hata wajaze uwanja. Ukweli hauwezi kubadilika. It is just a matter of time wataumbuliwa tuu. Mnachukua nyuta za watu halafu mnawadanganya watu. Ole wenu maana siku yaja ambayo hamtaweza kuficha tena maovu yenu maana yatadhihirika tuu.
Uko sawa
Mungu nakuomba kupitia mkesha wa vuka na chako changu lazima kiwe changu Kila kilichochangu kikarejeshwe🙏
Mungu akutunze baba akutie nguvu na Afya, ishi miaka mingi
Thanks so much God almighty our heavenly Father for everything in the name of Jesus Amen 🙏🏽 🙏🏻
I love you dady
Amen Dady
Tumepokea mtumish wa mungu.
Kupitia ibada hii napokea kuzidiwa na wateja weng kwenye biashara nipendwe nakila mtu Kila niendako nikubalike nyota yangu ingae mambo mazur yanikimbilie nisipungukiwe kiuchumi nikutane na watu sahihi mambo magumu yawe mepesi nimalizie maden na ujenzi wangu mwaka huu kuisha
Mungu nisaidie
❤
Amém
Amen
It’s really Sad to see this! Watu badala wahubiri kuhusu toba, wanahubiri kuhusu Mali/things which will passed!
Unamaansha watu watubu kila saa na huku wanalia na njaa??? 😂😂😂
Ni unyumbu tu uo
Umaskini na shida zingine zilizosababishwa na mifumo mibovu ya kiserikali ndio sababu za watu hao wote kukimbilia humo
Nimepokea
serikali ya mbinguni ina ajira nyingi kuliko serikali ya dunia
WATU WA NATEGEMEA MAJI NA MAFUTA NA UDONGO KULIKO KUMTEGEMEA YESU KRISTO YESU KRISTO NI JINA LINALOPITA MAJINA YOTE DUNIANI
Na vinatusaidia Mungu huyu hana upendeleo Hadi raha
Hili jamaa ongo sana jiz watu njaa kal unakwenda wadanganya ardhi gani uipone ww kama kwel ww mtume niombee nife leo acha kudanganya watu # ww #
Tuache wenyew