MWAMPOSA VIDEO OFFICYALY PASCHAL CASSIAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 01. 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #

Komentáře • 612

  • @harrisonkahindi
    @harrisonkahindi Před 6 měsíci +17

    Huu ni ujumbe ambao sisi wakristo wengi hatutaki kuskia ,hususan waimbaji wa injili na wahubiri .....maana injili ya kweli ni upanga na moto ulao. Pascal Mungu azidi kukuinua ,akupe maarifa zaidi na neema inayotosha.

    • @Qwang6
      @Qwang6 Před 6 měsíci

      😂😂😂😂😂sawa mtumishi

  • @JuniorSimbeye
    @JuniorSimbeye Před 6 měsíci +9

    Na injiri ya kwer iubiliwe
    Nimependa san ujumbe huu
    Mungu akujalie vipawa zaid❤❤❤

  • @user-zi5ck7ot5t
    @user-zi5ck7ot5t Před 6 měsíci +19

    Amen Amen ..Amen...nimebarikiwa sana ....Endelea kusema kweli Na Mungu wa mbinguni akulinde mtumishi...namkubali Yesu aliye ndani yako.

  • @NatashapraizzyPraizzy-p7u

    😢Barikwa sana mtumishi kwa nyimbo zako.

  • @imanimwanuke6103
    @imanimwanuke6103 Před 6 měsíci +8

    Mungu akupe maisha marefu mtumish wa mungu

  • @fradynicholous2579
    @fradynicholous2579 Před 6 měsíci +7

    Amen iyo ndio injiri ya Yesu kristo aloyotuagiza. Kusema kwel

  • @ShukraniMtweve-jc3cb
    @ShukraniMtweve-jc3cb Před 6 měsíci +6

    Ubarikiwee mtumishi watu wanaamin mafuta kuliko kum wamini mungu wa kweli lazma ukweli usemwe watu wapone Mana mungu alisema tupendane uonapo mwenzio anangamia lazma umsaidie

  • @andrewnyenza
    @andrewnyenza Před 6 měsíci +9

    Waachieni watu wamwabudu Mungu wa kweli💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿

  • @masaulihassan2740
    @masaulihassan2740 Před 6 měsíci +45

    I'm muslim pure, but pascal cassian I'm listening his song every day,the fact artist to me

  • @user-dr3zw3iw5t
    @user-dr3zw3iw5t Před 6 měsíci +4

    Ungu akubariki sana ulichokiimba ni kweri na Amina kabisa Mungu akulinde kassian

  • @nolascosanga2301
    @nolascosanga2301 Před 6 měsíci +4

    Safi sana be blessed tumechoka kuona watu wanafugwa ufahamu kwajili ya kutafuta miujiza

  • @jericonzogolo149
    @jericonzogolo149 Před 6 měsíci +4

    Mnaombishia mtumishi passical cassian mtajua siku ua mwisho Yesu akirud

  • @user-dr3nf1fy1w
    @user-dr3nf1fy1w Před 6 měsíci +9

    Hakuna binadamu aliyekamilika ila Mungu anawajua waliowake tangu kuumbwa kwa msingi wa dunia

  • @user-yd4vy7le3h
    @user-yd4vy7le3h Před 6 měsíci +6

    hii nyimbo imenibariki sana baba kemea zambi kwa nguvu usichoke hata watakuchukia watakupiga vita usichoke mungu atakulipa

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z Před 6 měsíci +9

    Waachie wana wa Mungu, siku zimefika Yesu anarudi. Manabii wote wa uongo waachie watu waabudu Mungu kwa roho na kweli sio mwilini. Wanahubiri injili ya mwilini, matendo ya mwilini na watu nao bado wanaoona na kusikia lkn macho yao yamepofushwa na kupenda vya ulimwengu huu.
    Ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏

    • @leonidasbzzojoyhatung3118
      @leonidasbzzojoyhatung3118 Před 6 měsíci +1

      Nyimbo za pascal Cassian zinaujumbe mzito .nami zimenifundisha neno la Mungu kabisa.🙏🙏🙏

    • @user-ii1qk9xn9z
      @user-ii1qk9xn9z Před 6 měsíci

      @@leonidasbzzojoyhatung3118 sana yaani

    • @abelmbata37
      @abelmbata37 Před 6 měsíci +1

      Huyo Mungu wa kweli yuko wapi?
      Hao watumishi wa kweli wako wapi mbona hamuwataji? Ukimwambia mtu aondoke lakini humuonyeshi kwa kwenda hiyo iko sawa? Wapo waliokuwa wavuta bangi je warudi kuvuta?

    • @user-ii1qk9xn9z
      @user-ii1qk9xn9z Před 6 měsíci +3

      @@abelmbata37 Ai jameni wewe mbona wakaa msumbufu kiasi hii! Wauliza Mungu wa kweli yuko wapi? Aliyefanya uamke leo ni Yeye na pumzi unayotumia ni Yeye... Mungu yupo aliyetuokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; pia watumishi wapo.... wanaohubiri kweli ya kristo na sio kuuza mafuta. Kristo hakufa kwa ajili ya mahitaji tu kila siku... mahali unahubiriwa kuacha dhambi na toba fuata hiyo madhabau.

    • @user-ii1qk9xn9z
      @user-ii1qk9xn9z Před 6 měsíci

      @@abelmbata37 Kuna Mungu mmoja tu wa kweli, jina lake Yehova. Zaburi 83: 18. Yeye ni Roho; hatuwezi kumuona. Anatupenda, naye anataka tumpende. Anataka tuwapende watu wengine pia. Yeye aliye juu zaidi, muumba wa vitu vyote

  • @godfreymanyilizu5789
    @godfreymanyilizu5789 Před 6 měsíci +4

    Siku hizi Hadi kwaya Zina kiki duu noma sana.😅😅😅

  • @REHEMACONERIOCOSTANCE
    @REHEMACONERIOCOSTANCE Před 6 měsíci +5

    Njaa tu haliyonanyo anatafuta umaalufu kwa nguvu, huyo Mwamposa unae mjaji yupo kimya pole sana ndugu yangu wewe ungekuwq umekamilika ungemuacha mkeo na kumuimbia nyimbo nikweli wewe una hofu ya Mungu wewe

  • @millyarapta6933
    @millyarapta6933 Před 6 měsíci +9

    This man was in freemason sometime back, for him to mention those servants he has reasons.lets be wise. He has a good message to the church of Jesus Christ.Naomba tumsikize.

    • @willykaule6615
      @willykaule6615 Před 6 měsíci +1

      I wish i saw when he was getting his deliverance from freemason. Who delivered him?

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya Před 6 měsíci +1

      Yes he has reasons. Good reasons. May Jesus protect him more

    • @Qwang6
      @Qwang6 Před 6 měsíci +1

      The problem is he fight direct with the people who are in the same family to show some weakness which he thinks they have, you can't create a good picture to others who worship the God through him. He must tell the truth to the people who have not yet accept the presence of God at all , that is his duty and responsibilities not to insult them infront of mass why dont he sent message to them directly personaly without others!!! dont you see that bro

    • @user-py9qh7sz6s
      @user-py9qh7sz6s Před 2 měsíci

      Fact

  • @piusmodest9663
    @piusmodest9663 Před 6 měsíci +3

    bro God bless you yaani kile unafanya ni kikubwa sana kwa Jina la YESU watu wapokee

  • @furahag3098
    @furahag3098 Před 6 měsíci +7

    Eeeh mungu Linda mtumishi wako aendelee kufungua macho wote ili tujue ukweli ambao hatujaskia kwa makanisa 🙏🙏🙏

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 Před 6 měsíci +2

    Anao waimbaga wako kimya tu wanaendelea na kazi.
    Lazima tukubali tu Mungu anaweza akafanya vitu kwa ukubwa na kushangaza. Ila wengi tunaingia kwenye mtego wa kufikiri ni shetani.
    Mungu atusaidie sana

  • @feddymwanga5462
    @feddymwanga5462 Před 27 dny

    Tuhubirieni neno, hao manabii na mitume twaache na Mungu wao

  • @ckevents3593
    @ckevents3593 Před 6 měsíci +2

    Mungu akubariki kwa kulijua hilo na kuliweka wazi. ukwe lazima usemwe. Nabii ni mmoja tu tulie nae. Na sio vinginevyo

  • @matildamushi1741
    @matildamushi1741 Před 6 měsíci +2

    Pole Sana hujui unachokiimba nakuonea huruma.

  • @user-kv7iq4gh3i
    @user-kv7iq4gh3i Před 6 měsíci +9

    Nipo nimekaa nasoma comment nani wingine anasoma comment 😂😂😂 maana naona mechi Kali sana mwaposa FC Vs Nabii

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 Před 2 měsíci

    God bless you pascal,, kwenye waimbajii hapo ni hatar hasa kwa waimbajii wanawake kuwaacha waume zao imekuw to much

  • @paulsimon9871
    @paulsimon9871 Před 6 měsíci +3

    Mtumishi Paschal Cassian umekosea pakubwa sana kujiwekelea kwenye msalaba hakika tubia hiyo dhambi n

  • @user-nj4nn5ig1w
    @user-nj4nn5ig1w Před 6 měsíci +2

    Ameni hawataki kusoma neno nabado watakanyaga vingi tu, Watu wangu wanapotea kwakukosa maarifa,

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 Před 6 měsíci +5

    Vita ya uchumi ngumu sana😂😂😂

  • @MargrethMloka
    @MargrethMloka Před měsícem

    Sema sana usinyamaze

  • @user-dz7yc1xh1v
    @user-dz7yc1xh1v Před 6 měsíci +2

    Heeeeeeei watumishi mmefikia huko kutungiana nyimbo uwiiiiii yesu rudiiii

  • @justinmande4238
    @justinmande4238 Před 6 měsíci +1

    Mungu hakusaidie kumjua zaidi ya hapo lipo fikia akufunguwe zaidi mtumishi

  • @franksarwatt9084
    @franksarwatt9084 Před 6 měsíci +2

    Amelaaniwa mtu yule angikwaye msalabani Yesu Kristo anatosha wewe unafanyaje sasa

  • @BarakaMajogoro-mm3ug
    @BarakaMajogoro-mm3ug Před 25 dny

    Mungu akulinde ktk vita uliyo nayo

  • @SilviaRafael-mc5ki
    @SilviaRafael-mc5ki Před 6 měsíci +3

    Yan wewe kila mtu ana dhambi kwahiyo wewe ndo mtakatifu peke yako bas hongera

  • @user-di9re6cb6p
    @user-di9re6cb6p Před 6 měsíci +1

    God bless u, wakuabudiwa ni Mungu pekeee

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před 6 měsíci +1

    Ufunuo ni wa Siku moja.Nashangaa sanaa..Sijamsikia Mwaposa anataja damu ya Yesu.Nabii mkuu ni Yesi tu.sema watu wapone

  • @user-vb7tu5zs9d
    @user-vb7tu5zs9d Před 6 měsíci +2

    Ndugu yangu tumwachie mungu afanye kazi sake ss sio mahakimu Hakuna mkamilifu chini ya jua kila mtu anamapungufu yake hata ww poa hujakamilika

    • @user-vg9ou8zo4z
      @user-vg9ou8zo4z Před 5 měsíci

      MUNGU anatumia binadamu kufikisha ujumbe wake,, muimbaji haja hukumu ila amefikisha ujumbe,, najua mpaka kufikia kuimba hivyo amefanya research through maandiko matakatifu so ana uhakika na anachoimba.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 6 měsíci +1

    Mtwanga maji kwenye kinu.. shetani uliyetumwa na mungu kuja kuwajaribu Imani ya wakristu

  • @AlexSindima
    @AlexSindima Před 6 měsíci +1

    Iv wewe ni nabii mzee au acha mdomo wewe ni mungu mungu ndo anajua haki Kama umekosa nyimbo za kuimba nyamaza ata mpumbavu akinyamaza huhesabiwa hekima

  • @alphonceshayo1726
    @alphonceshayo1726 Před 6 měsíci +2

    Mtumishi wa Mungu. Jitafakari na ujitathmini. Siku ukiamka huko ulipo utakuwa umechelewa na utajuta. If you won't change; Your days are numbered man of God. The almighty God will erase you permanently Himself!

  • @samirsultan8548
    @samirsultan8548 Před 6 měsíci +1

    Amn ukwel wowote,kwann uwataje watumishi wa Mungu

  • @user-cg5cz8md2t
    @user-cg5cz8md2t Před 6 měsíci +2

    ❤❤ amen... Bibilia inasema umepewa bure toa bure. Ukweli uyu mtume ni mpigaji anauza adi udongoo duuuh. Watu tunaangamia kwa kukosa maarifa BWANA MUNGU WA MAJESHI NYOSHA MAPITO YETU. Mana niia tunazopita tunaona ni sahihi lakn ni njia za mauti. Ongoza hatua zetu Bwana

  • @mwamatengejay
    @mwamatengejay Před 6 měsíci +2

    Hawe wa kweli au wa uongo tunachojua injili Ina hubiriwa Mungu ndo atakaye muhukumu

    • @user-zb5tg7cl2t
      @user-zb5tg7cl2t Před 6 měsíci

      isome vizur bibilia itakusaidia na utajua kweli

  • @brightbillgates6351
    @brightbillgates6351 Před 6 měsíci

    Unamtaka BONIFACE MWAMPOSA mfatilie upone usipotaka acha nenda Makanisa ni mengi sana Iman yako ndio itakayo kuponya.... Acha kusema watumishi wa mungu we mtumikie mungu wako unaemuamin kupitia mchungaj yoyote hapa duniani
    I LOVE YOU MWAMPOSA

    • @jaspertheonest
      @jaspertheonest Před 6 měsíci

      turudi kwenye biblia kuponya maisha yetu ndio ujumbe hapo ,mafuta na chumvi ni ushirikina ,Yesu anajitosheleza ,

  • @KaseMwaliyoyo-mb3wp
    @KaseMwaliyoyo-mb3wp Před 6 měsíci +2

    Amen mungu akubariki mtumishi

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv Před 6 měsíci +2

    Sijaelewa kikubwa imani sister tukiwa na imani tunaponywa

  • @user-samweli
    @user-samweli Před 6 měsíci +4

    Pascal naomba usome ujumbe wangu ivi kwann nyimbo zako zote una ponda watumishi wa mungu ila wewe umesahau kama ulikua frimasoni nahatujui kama kweli umetoka huko

    • @deniswills9241
      @deniswills9241 Před 6 měsíci

      Sijui ndio mahubiri yenyewe au lah??!!!!😂

    • @GenovevarKavikule-it2wc
      @GenovevarKavikule-it2wc Před 6 měsíci

      Namim nashindwa kuelewa nyimbo zake zote nikuponda watumishi tu akiona mtu kamfanyia jambo zuri anamwimbia kumsifia sasa nashindwa kuelewa katumwa na Mungu au na freemason

    • @user-mz2wx5dt9v
      @user-mz2wx5dt9v Před 5 měsíci

      Nyie wapumbavu wa miujiza feki mwacheni paschal aimbe ukweli saw iyo ndo injili tunayoijua

    • @nicholauschogo7521
      @nicholauschogo7521 Před 22 dny

      Elewa neno tubu

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika Před 3 měsíci +1

    Aisee barikiwa mwana wa MUNGU ujumbe huu unachoma sana maana umeimba ukiwa rohoni sana umevuviwa na nguvu ya MUNGU barikiwa sana

  • @dorotheabadili4526
    @dorotheabadili4526 Před 6 měsíci

    Barikiwa sana mtumishi,
    Unachosema ni kweli kabisa
    Hakuna nabii kwa hiki kizazi nabii wa mwisho ni yohana mbatizaji tangu hapo tunaishi katika ukamilifu wa nyakati gal 4;4
    Mafuta kwa sasa ni Holy spirit, uliona wapi Roho anakanyangwa,Roho Mtakatifu yupo ndani ya mtu si nje,
    Mungu atusaidie kuyaelewa maandiko kwa kweli

  • @WilliamMandwanga
    @WilliamMandwanga Před 2 měsíci +1

    Mtumishi kweli jumbe zako.zinafunuo wa RoHo MTAkATiFU

  • @emakulathjmkhai3736
    @emakulathjmkhai3736 Před 6 měsíci +2

    Cha msingi ni kuhubiri Neno la Mungu, kila mtu na achague njia ya kuiendea

  • @meniusjaphet8243
    @meniusjaphet8243 Před 6 měsíci +2

    Uko sawa ila kwakuwa saiz macho Yao yametiwa Giza hawatakuelewa ila watakuja kuelewa muda muda utakuwa umewaishia ubarikiwe sana mtumishi pascal

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 Před 6 měsíci +3

    Kiki zimefika kwenye Nyimbo za Injili

  • @djchiccotzofficialdjorigin1280
    @djchiccotzofficialdjorigin1280 Před 6 měsíci +3

    WAAMBIEEE UKWELIIIIIIII

  • @siphaholelaholela6956
    @siphaholelaholela6956 Před 6 měsíci +2

    Haisaidii kitu kwendaaaa

  • @innocenteliyaofficial7645
    @innocenteliyaofficial7645 Před 6 měsíci +1

    Mungu akulinde mtumishi wa Bwana

  • @BrendaShiriswa-lo5wx
    @BrendaShiriswa-lo5wx Před 6 měsíci

    Ukweli mujungaji mungu akubariki hii wembo naisikiyanga kila siku ukweli kabiza from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪and i love you song🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EliaminiJoshua
    @EliaminiJoshua Před 6 měsíci +1

    Enyi watu watu wa Mungu fungukeni,hao manabii wengi wapo kwaajil ya utapeli...somen neno la Mungu fungukeni.....mtakanyagishwa mafuta mpka mkome

  • @JOMBA111
    @JOMBA111 Před 6 měsíci +3

    Eleza mwinjilisti uwe na moyo usichoke, unatumia moyo na tunaokufuatilia,

  • @JoshuaJerryS
    @JoshuaJerryS Před 6 měsíci +14

    I feel the anointing 🙏

  • @mutabazijoseph-mo6ww
    @mutabazijoseph-mo6ww Před 6 měsíci +2

    Kweri kabisa upo sahihi

  • @christiangabrieli8527
    @christiangabrieli8527 Před 5 měsíci

    Yaan skujua vizur kumbe unawaimba. Watumishi pole sanaaaaa

  • @joycefaida6548
    @joycefaida6548 Před 6 měsíci

    Mungu akubariki Sanaa🙏,,,Mungu azidi kukupa ujasiri na Maisha marefu,,,wote tunajua ukwel

  • @GaudeIgonzela-pv2vk
    @GaudeIgonzela-pv2vk Před 6 měsíci +3

    Jamniiii hata wewe hauelewi kama ni nabii wa kweli maana hapo upo tu kama kutafuta kiki bac kama na wewe kweli ni mtumishi wa MUNGU ujewafata private ukawaambia sasa kukaa mnatuchanganya huku mtandaoni hatuelewi nan ndio wa kweli na mtumishi wa MUNGU huwajioshi kwa kutumia watu bali yeye mungu humtambulisha kwamba ndio kwamba huyu ni wake sasa wewe mwenyewe hueleweki

  • @user-tz4ik4wi2p
    @user-tz4ik4wi2p Před 6 měsíci +20

    GOD PROTECT YOU SO MUCH MY BROTHER WE LOVE YOU SO MUCH

  • @user-ss8ym3ut3s
    @user-ss8ym3ut3s Před 6 měsíci +5

    Tuachie mwamposa wetu umekosa chakuimba acha kutafuta kiki broo Tena acha usihukumu usije ukahukumiwa kama unasoma Bibilia kweli

    • @clasclass
      @clasclass Před 5 měsíci

      Ebu mfuatililie mtume Meshack usikie ana vofunza neno,achaneni na hao kina mwamposa ni jehanamu wanawapeleka tu

    • @clasclass
      @clasclass Před 5 měsíci +1

      Ebu mfuatililie mtume Meshack usikie ana vofunza neno,achaneni na hao kina mwamposa ni jehanamu wanawapeleka tu

    • @eliasbonda9802
      @eliasbonda9802 Před 2 měsíci

      Tuoneshe alipohukum! Inamaana mtu akis3ma ukweli anakua amehukum?

    • @Theneptune763
      @Theneptune763 Před 3 dny

      NI VYEMA KABLA YA MTU KUZUNGUMZA AMA KUHUKUMU JAMBO AFIKIRIE SANA NA AKUWE ANAFAHAMU NENO VIZURI .Hivi wewe hujui huduma nitofauti ???? kwani unaisoma bibilia gani jameni ??? ama atahujui unachosoma ?? Mtume meshack ana jukumu na huduma yake amabyo bwana amempa pia vile vile Pascal Cassian mungu kuna huduma yake maalum amempea >>>>>sasa yeye anacho kisema hapa ni huduma yake sio ya meshack .Mungu akusaidei na akupe hekima na neema ya kuelewa kazi ya mungu ,.Bwana amumbariki mtumishi wake Pascal Cassian

  • @MartinMangi-gi2dp
    @MartinMangi-gi2dp Před 6 měsíci

    Mungu akubariki mtumishi kwa kusema kweli wapinge wakubali ila kweli utaishi milele, nimekubalikuwa bwana anainua watu ambao wanamukilisha katka roho nakwel kwa ajili ya kanisa lake

  • @cecymwasija8061
    @cecymwasija8061 Před 6 měsíci +2

    Axnt kwa ujumbe

  • @rashidmatata4386
    @rashidmatata4386 Před 5 měsíci

    hatumjui mtumishi wa kweli anaye tuhubiria neno la Mungu wanakondoo wenzangu wengi wao ni waganganyifu 2 soln ni kuwana na imani yako mwenyew kwa kufanya mema uliyo amuliwa na bwana @Mungu wetu

  • @johnsonlweyemam7944
    @johnsonlweyemam7944 Před 6 měsíci +3

    CASIAN anatafuta kiki kwa hao watumishi wa Mungu ...nafikir walio karibu nae wanampotosha hajui atendalo...Huduma ya mafuta na maji ipo Ki Biblia ,.Manabii waliwapaka mafuta wagonjwa nao wakapona...yesu alipomwambia yule kipofu kanawe KTK mto mara 7 nawe utapona ..wazee walipaka mafuta wagonjwa nao wakapona .CASINN ACHA KUPOTOSHA JAMII

  • @davidmagesa6773
    @davidmagesa6773 Před 6 měsíci +11

    Wewe kasian unawivu sana maisha Yana kuchapa mtu akifanikiwa kidogo maneno Yana anza punguza mdomo

  • @Moviany31
    @Moviany31 Před 6 měsíci +1

    Kutokuamin unachofanya sio zambi ila achen kupigana majungu huwezi kubadili iman za hao watu au wewe umepewa uwezo wa kuona nyoyo zao

  • @Jesuslovesus10670
    @Jesuslovesus10670 Před 6 měsíci +1

    Barikiwa sana mtumishi,, very true 💯💯

  • @user-cq2os8we1n
    @user-cq2os8we1n Před 6 měsíci +1

    Nguvu ya Yesu iko inatenda kazi sema wakichukia watapoatu bado kitambo kidogo Yesu anakuja

  • @pendorobert3552
    @pendorobert3552 Před 6 měsíci

    😭😭😭nyimbo mpk imeniliza watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa mungu akubariki kaka damu ya yesu ikukinge na vita vyote na nira mbaya kwako

  • @JerusaMkuyu-pw1zo
    @JerusaMkuyu-pw1zo Před 3 měsíci

    Huyu baba nampenda sana 😆😅😅

  • @stephenonyiso2124
    @stephenonyiso2124 Před 6 měsíci +1

    Kosa ulilofanya nikujiweka msalabani lakini ujumbe uko sawa ❤ twataka nyimbo kama hizi sio kushusha nyavu kila mwaka
    Nyimbo zinazotukumbusha kutubu dhambi

    • @isacklameck5647
      @isacklameck5647 Před 6 měsíci

      Hakuna kosa kwasababu huo ni ubunifu, na kumbuka kuwa zamani za wagalatia waliokuwa wanasurubiwa ni waharifu yaani watenda maovu so usiseme kakosea kujiweka msalabani, kwani wakati Yesu anasurubiwa hakukuwa na wengine waliosurubiwa??

  • @Shad-nd6lh
    @Shad-nd6lh Před 6 měsíci

    Asante San kwa ujumbe wako huu mtumishi wapo watu watakao ukataa huu ujumbe lakn wameusikia mwenye sikio na asikie, nayeyote anae beza huu ujumbe naye nimoja Kati ya hao manabii hongera San bro

  • @marobaraka
    @marobaraka Před 6 měsíci +2

    Safi ujumbe mzuri

  • @user-gp4zx3yc7e
    @user-gp4zx3yc7e Před 3 měsíci

    The song is real encouraging,,,

  • @JonesKapipo-fx8vh
    @JonesKapipo-fx8vh Před 6 měsíci +3

    Sasa we ndio uwaubilie watu injili ya kweli sio kudili na ao watu,acha wivu fanya yako mungu na wewe atakuinua,nyimbo yenyewee mbaya

    • @deniswills9241
      @deniswills9241 Před 6 měsíci

      Huo ndio ukweli aache kudili na watu,yeye akazane atuonyeshe Mungu wa kweli ili watu wafate

    • @Pendopasilika
      @Pendopasilika Před 6 měsíci

      Hivi Kuna nyimbo gani ya paschal iliyo mbaya nyimbo zote Zina uvuvio wa Roho mtakatifu wasemaje we kuwa nyimbo mbaya nyimbo nyimbo zake Zina uwamsho sema ninyi mmefungwa na shetani ndio maana hamuelewi

    • @JonesKapipo-fx8vh
      @JonesKapipo-fx8vh Před 6 měsíci

      Acha ushabiki wa kijinga ww,

  • @Deboraclementgm
    @Deboraclementgm Před 6 měsíci +2

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @pianaEzra
    @pianaEzra Před 3 měsíci

    Mungu aendelee kukutunza mtu wa mungu uendelee kutufunulia

  • @zejophluma
    @zejophluma Před 5 měsíci

    Barikiwa sana kwa kufungua fahamu za wengi japo imani huonekana kuwa ujinga kwa asiye amini

  • @mesiatv6225
    @mesiatv6225 Před 6 měsíci

    Hoooo mtumishi siri zilizofichwa machoni pa mwanadamu anae weza kuzifichua mungu kwahiyo yote saw ila bwana wa majeshi anjua ameeeeen

  • @SukaDmGuy
    @SukaDmGuy Před 6 měsíci

    Big up sana bro umetisha sana wimbo umeeleweka na injili imetangazwa

  • @hoseamligula8092
    @hoseamligula8092 Před 6 měsíci +1

    Dah huyu jamaa anaimba ukweli 💯

  • @user-sk9zr4bn2k
    @user-sk9zr4bn2k Před 6 měsíci +1

    Alicho kiimba na kukisema nikwel, tena ile kweli iliyo kweli ujumbe huoo sio nguvu yake kuuweka wazi bali kwa nguvu ya mungu ilioko ndani yake imemfanya aseme kweli na ukweli unaumaaaa🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-ee9ye3qt6l
    @user-ee9ye3qt6l Před 5 měsíci

    God bless you my brother 🙏🙏🇰🇪🇰🇪, that's true

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei2046 Před 6 měsíci +26

    Huo nguvu unaotumia kupambana na wanadamu waliochagua njia zao ni vzr ukatumia kumtangaza Yesu na kusema ukweli.

    • @EzekielMsigwa
      @EzekielMsigwa Před 6 měsíci +2

      Kama ivi au

    • @deniswills9241
      @deniswills9241 Před 6 měsíci +1

      Kabisaaa manake anatumiaa nguvu kubwa kuchambua watu badala atuonyeshe huyo Mungu wake wa kweli

    • @martinclassic7595
      @martinclassic7595 Před 6 měsíci +6

      Acha afikishe ujumbe uwezi kumpangia pia kwa vile na wew umeamuwa kuja ku comment hapa nibora ukaenda kwengine

    • @frankdanford8245
      @frankdanford8245 Před 6 měsíci +3

      Kwani anachofanya kina ubaya gani kazi ya mtumishi wa MUNGU ni kumtangaza Mungu kuwarejesha watu kwa Muumba wao na kuwaonya/kuonya pale inapobidi so hiyo nayo ni kazi ya Mungu.

    • @user-kx5ov9wv4q
      @user-kx5ov9wv4q Před 6 měsíci +3

      Hiyo pia ni njia mojawapo ya kumtangaza Yesu,, mahubiri sio lazima usimame majukwaani na kupaza sauti hata uimbaji ni Mahubiri tena yanafikisha ujumbe kwa haraka zaidi.

  • @anethjoseph4542
    @anethjoseph4542 Před 6 měsíci +2

    Mnatuchanganya hatujui nani kweli , hivi mnakwama wapi kuwafata live wafateni waambieni ukweli , Tanzania ni huru , sisi wasikilizaji mnatuvuruga na mtafanya tuwaone wote ni waongo , au mnaogopana, Mungu nifunge kinywa Ugali unatumbua sana wa Tz waliotuletea hawa Mungu na Miungu wao wamerelax huko Mabarani kwao huku ndiyo tunazozana Uwii

    • @zillytash693
      @zillytash693 Před 6 měsíci

      Upatapo nafasi ongeza juhud kusoma biblia utajua ukweli

  • @machendetv
    @machendetv Před 6 měsíci +1

    Mungu akupe nguvu ndugu yangu kwa haya ambayo unayahuburi

  • @Mwanawanoah
    @Mwanawanoah Před 2 měsíci

    ❤❤❤ penda sana pascal

  • @siphaholelaholela6956
    @siphaholelaholela6956 Před 6 měsíci +2

    Ndicho kinachokutesa wivu hilo kundi la kweli kwendaaa

  • @monicamtotomwema9845
    @monicamtotomwema9845 Před 3 měsíci

    Injili ya kweli Huwa haiendi na WAKATI...neno litasimama ila mambo yote yatapita

  • @JustinaMambo-bs4fh
    @JustinaMambo-bs4fh Před 6 měsíci +1

    Amen 🙏 love from Zambia

  • @veronicamsophe5000
    @veronicamsophe5000 Před 4 měsíci

    Mungu naomba tusaidie kupata kufunuliwa Mach ya rohoni maana ilitabiria watakuja manabii wa uongo saa umefika na wakati umefika Mungu tusaidiee

  • @jacobkibena762
    @jacobkibena762 Před 5 měsíci

    Ooh yaliyonenwaa
    Yaliyoosemwa na manabii yanatimia
    Yaliyonenwaa hayoo yanatimia.
    Watu wangu Waangamiaa!
    Kwa kukosa maarifa
    Kwa kukosa maarifa!
    Wamezigeukiaaa njia zao mbaya,
    Kwa kutaka mafanikio ya haraka.
    Adui shetanii amewatekaa
    Aduii shetanii ameteka fahamu zaoo 😢😢
    Naishia hapo.

  • @cecymwasija8061
    @cecymwasija8061 Před 6 měsíci

    Mung akulinde pia akubarik mtumixh