Huu ni ujumbe ambao sisi wakristo wengi hatutaki kuskia ,hususan waimbaji wa injili na wahubiri .....maana injili ya kweli ni upanga na moto ulao. Pascal Mungu azidi kukuinua ,akupe maarifa zaidi na neema inayotosha.
Ubarikiwee mtumishi watu wanaamin mafuta kuliko kum wamini mungu wa kweli lazma ukweli usemwe watu wapone Mana mungu alisema tupendane uonapo mwenzio anangamia lazma umsaidie
Waachie wana wa Mungu, siku zimefika Yesu anarudi. Manabii wote wa uongo waachie watu waabudu Mungu kwa roho na kweli sio mwilini. Wanahubiri injili ya mwilini, matendo ya mwilini na watu nao bado wanaoona na kusikia lkn macho yao yamepofushwa na kupenda vya ulimwengu huu. Ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏
Huyo Mungu wa kweli yuko wapi? Hao watumishi wa kweli wako wapi mbona hamuwataji? Ukimwambia mtu aondoke lakini humuonyeshi kwa kwenda hiyo iko sawa? Wapo waliokuwa wavuta bangi je warudi kuvuta?
@@abelmbata37 Ai jameni wewe mbona wakaa msumbufu kiasi hii! Wauliza Mungu wa kweli yuko wapi? Aliyefanya uamke leo ni Yeye na pumzi unayotumia ni Yeye... Mungu yupo aliyetuokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; pia watumishi wapo.... wanaohubiri kweli ya kristo na sio kuuza mafuta. Kristo hakufa kwa ajili ya mahitaji tu kila siku... mahali unahubiriwa kuacha dhambi na toba fuata hiyo madhabau.
@@abelmbata37 Kuna Mungu mmoja tu wa kweli, jina lake Yehova. Zaburi 83: 18. Yeye ni Roho; hatuwezi kumuona. Anatupenda, naye anataka tumpende. Anataka tuwapende watu wengine pia. Yeye aliye juu zaidi, muumba wa vitu vyote
Njaa tu haliyonanyo anatafuta umaalufu kwa nguvu, huyo Mwamposa unae mjaji yupo kimya pole sana ndugu yangu wewe ungekuwq umekamilika ungemuacha mkeo na kumuimbia nyimbo nikweli wewe una hofu ya Mungu wewe
This man was in freemason sometime back, for him to mention those servants he has reasons.lets be wise. He has a good message to the church of Jesus Christ.Naomba tumsikize.
The problem is he fight direct with the people who are in the same family to show some weakness which he thinks they have, you can't create a good picture to others who worship the God through him. He must tell the truth to the people who have not yet accept the presence of God at all , that is his duty and responsibilities not to insult them infront of mass why dont he sent message to them directly personaly without others!!! dont you see that bro
Anao waimbaga wako kimya tu wanaendelea na kazi. Lazima tukubali tu Mungu anaweza akafanya vitu kwa ukubwa na kushangaza. Ila wengi tunaingia kwenye mtego wa kufikiri ni shetani. Mungu atusaidie sana
MUNGU anatumia binadamu kufikisha ujumbe wake,, muimbaji haja hukumu ila amefikisha ujumbe,, najua mpaka kufikia kuimba hivyo amefanya research through maandiko matakatifu so ana uhakika na anachoimba.
Iv wewe ni nabii mzee au acha mdomo wewe ni mungu mungu ndo anajua haki Kama umekosa nyimbo za kuimba nyamaza ata mpumbavu akinyamaza huhesabiwa hekima
Mtumishi wa Mungu. Jitafakari na ujitathmini. Siku ukiamka huko ulipo utakuwa umechelewa na utajuta. If you won't change; Your days are numbered man of God. The almighty God will erase you permanently Himself!
❤❤ amen... Bibilia inasema umepewa bure toa bure. Ukweli uyu mtume ni mpigaji anauza adi udongoo duuuh. Watu tunaangamia kwa kukosa maarifa BWANA MUNGU WA MAJESHI NYOSHA MAPITO YETU. Mana niia tunazopita tunaona ni sahihi lakn ni njia za mauti. Ongoza hatua zetu Bwana
Unamtaka BONIFACE MWAMPOSA mfatilie upone usipotaka acha nenda Makanisa ni mengi sana Iman yako ndio itakayo kuponya.... Acha kusema watumishi wa mungu we mtumikie mungu wako unaemuamin kupitia mchungaj yoyote hapa duniani I LOVE YOU MWAMPOSA
Pascal naomba usome ujumbe wangu ivi kwann nyimbo zako zote una ponda watumishi wa mungu ila wewe umesahau kama ulikua frimasoni nahatujui kama kweli umetoka huko
Namim nashindwa kuelewa nyimbo zake zote nikuponda watumishi tu akiona mtu kamfanyia jambo zuri anamwimbia kumsifia sasa nashindwa kuelewa katumwa na Mungu au na freemason
Barikiwa sana mtumishi, Unachosema ni kweli kabisa Hakuna nabii kwa hiki kizazi nabii wa mwisho ni yohana mbatizaji tangu hapo tunaishi katika ukamilifu wa nyakati gal 4;4 Mafuta kwa sasa ni Holy spirit, uliona wapi Roho anakanyangwa,Roho Mtakatifu yupo ndani ya mtu si nje, Mungu atusaidie kuyaelewa maandiko kwa kweli
Jamniiii hata wewe hauelewi kama ni nabii wa kweli maana hapo upo tu kama kutafuta kiki bac kama na wewe kweli ni mtumishi wa MUNGU ujewafata private ukawaambia sasa kukaa mnatuchanganya huku mtandaoni hatuelewi nan ndio wa kweli na mtumishi wa MUNGU huwajioshi kwa kutumia watu bali yeye mungu humtambulisha kwamba ndio kwamba huyu ni wake sasa wewe mwenyewe hueleweki
NI VYEMA KABLA YA MTU KUZUNGUMZA AMA KUHUKUMU JAMBO AFIKIRIE SANA NA AKUWE ANAFAHAMU NENO VIZURI .Hivi wewe hujui huduma nitofauti ???? kwani unaisoma bibilia gani jameni ??? ama atahujui unachosoma ?? Mtume meshack ana jukumu na huduma yake amabyo bwana amempa pia vile vile Pascal Cassian mungu kuna huduma yake maalum amempea >>>>>sasa yeye anacho kisema hapa ni huduma yake sio ya meshack .Mungu akusaidei na akupe hekima na neema ya kuelewa kazi ya mungu ,.Bwana amumbariki mtumishi wake Pascal Cassian
Mungu akubariki mtumishi kwa kusema kweli wapinge wakubali ila kweli utaishi milele, nimekubalikuwa bwana anainua watu ambao wanamukilisha katka roho nakwel kwa ajili ya kanisa lake
hatumjui mtumishi wa kweli anaye tuhubiria neno la Mungu wanakondoo wenzangu wengi wao ni waganganyifu 2 soln ni kuwana na imani yako mwenyew kwa kufanya mema uliyo amuliwa na bwana @Mungu wetu
CASIAN anatafuta kiki kwa hao watumishi wa Mungu ...nafikir walio karibu nae wanampotosha hajui atendalo...Huduma ya mafuta na maji ipo Ki Biblia ,.Manabii waliwapaka mafuta wagonjwa nao wakapona...yesu alipomwambia yule kipofu kanawe KTK mto mara 7 nawe utapona ..wazee walipaka mafuta wagonjwa nao wakapona .CASINN ACHA KUPOTOSHA JAMII
Kosa ulilofanya nikujiweka msalabani lakini ujumbe uko sawa ❤ twataka nyimbo kama hizi sio kushusha nyavu kila mwaka Nyimbo zinazotukumbusha kutubu dhambi
Hakuna kosa kwasababu huo ni ubunifu, na kumbuka kuwa zamani za wagalatia waliokuwa wanasurubiwa ni waharifu yaani watenda maovu so usiseme kakosea kujiweka msalabani, kwani wakati Yesu anasurubiwa hakukuwa na wengine waliosurubiwa??
Asante San kwa ujumbe wako huu mtumishi wapo watu watakao ukataa huu ujumbe lakn wameusikia mwenye sikio na asikie, nayeyote anae beza huu ujumbe naye nimoja Kati ya hao manabii hongera San bro
Hivi Kuna nyimbo gani ya paschal iliyo mbaya nyimbo zote Zina uvuvio wa Roho mtakatifu wasemaje we kuwa nyimbo mbaya nyimbo nyimbo zake Zina uwamsho sema ninyi mmefungwa na shetani ndio maana hamuelewi
Alicho kiimba na kukisema nikwel, tena ile kweli iliyo kweli ujumbe huoo sio nguvu yake kuuweka wazi bali kwa nguvu ya mungu ilioko ndani yake imemfanya aseme kweli na ukweli unaumaaaa🎉🎉🎉❤❤❤
Kwani anachofanya kina ubaya gani kazi ya mtumishi wa MUNGU ni kumtangaza Mungu kuwarejesha watu kwa Muumba wao na kuwaonya/kuonya pale inapobidi so hiyo nayo ni kazi ya Mungu.
Hiyo pia ni njia mojawapo ya kumtangaza Yesu,, mahubiri sio lazima usimame majukwaani na kupaza sauti hata uimbaji ni Mahubiri tena yanafikisha ujumbe kwa haraka zaidi.
Mnatuchanganya hatujui nani kweli , hivi mnakwama wapi kuwafata live wafateni waambieni ukweli , Tanzania ni huru , sisi wasikilizaji mnatuvuruga na mtafanya tuwaone wote ni waongo , au mnaogopana, Mungu nifunge kinywa Ugali unatumbua sana wa Tz waliotuletea hawa Mungu na Miungu wao wamerelax huko Mabarani kwao huku ndiyo tunazozana Uwii
Ooh yaliyonenwaa Yaliyoosemwa na manabii yanatimia Yaliyonenwaa hayoo yanatimia. Watu wangu Waangamiaa! Kwa kukosa maarifa Kwa kukosa maarifa! Wamezigeukiaaa njia zao mbaya, Kwa kutaka mafanikio ya haraka. Adui shetanii amewatekaa Aduii shetanii ameteka fahamu zaoo 😢😢 Naishia hapo.
Huu ni ujumbe ambao sisi wakristo wengi hatutaki kuskia ,hususan waimbaji wa injili na wahubiri .....maana injili ya kweli ni upanga na moto ulao. Pascal Mungu azidi kukuinua ,akupe maarifa zaidi na neema inayotosha.
😂😂😂😂😂sawa mtumishi
Na injiri ya kwer iubiliwe
Nimependa san ujumbe huu
Mungu akujalie vipawa zaid❤❤❤
Amen Amen ..Amen...nimebarikiwa sana ....Endelea kusema kweli Na Mungu wa mbinguni akulinde mtumishi...namkubali Yesu aliye ndani yako.
😢Barikwa sana mtumishi kwa nyimbo zako.
Mungu akupe maisha marefu mtumish wa mungu
Amen iyo ndio injiri ya Yesu kristo aloyotuagiza. Kusema kwel
Ubarikiwee mtumishi watu wanaamin mafuta kuliko kum wamini mungu wa kweli lazma ukweli usemwe watu wapone Mana mungu alisema tupendane uonapo mwenzio anangamia lazma umsaidie
Waachieni watu wamwabudu Mungu wa kweli💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
I'm muslim pure, but pascal cassian I'm listening his song every day,the fact artist to me
Kulikuw na haja ya kusem I'm Muslim
im muslim too but this guy is just so good
Ungu akubariki sana ulichokiimba ni kweri na Amina kabisa Mungu akulinde kassian
Safi sana be blessed tumechoka kuona watu wanafugwa ufahamu kwajili ya kutafuta miujiza
Mnaombishia mtumishi passical cassian mtajua siku ua mwisho Yesu akirud
NICE SONG UKWELIIIIIII
Hakuna binadamu aliyekamilika ila Mungu anawajua waliowake tangu kuumbwa kwa msingi wa dunia
hii nyimbo imenibariki sana baba kemea zambi kwa nguvu usichoke hata watakuchukia watakupiga vita usichoke mungu atakulipa
Waachie wana wa Mungu, siku zimefika Yesu anarudi. Manabii wote wa uongo waachie watu waabudu Mungu kwa roho na kweli sio mwilini. Wanahubiri injili ya mwilini, matendo ya mwilini na watu nao bado wanaoona na kusikia lkn macho yao yamepofushwa na kupenda vya ulimwengu huu.
Ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏
Nyimbo za pascal Cassian zinaujumbe mzito .nami zimenifundisha neno la Mungu kabisa.🙏🙏🙏
@@leonidasbzzojoyhatung3118 sana yaani
Huyo Mungu wa kweli yuko wapi?
Hao watumishi wa kweli wako wapi mbona hamuwataji? Ukimwambia mtu aondoke lakini humuonyeshi kwa kwenda hiyo iko sawa? Wapo waliokuwa wavuta bangi je warudi kuvuta?
@@abelmbata37 Ai jameni wewe mbona wakaa msumbufu kiasi hii! Wauliza Mungu wa kweli yuko wapi? Aliyefanya uamke leo ni Yeye na pumzi unayotumia ni Yeye... Mungu yupo aliyetuokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; pia watumishi wapo.... wanaohubiri kweli ya kristo na sio kuuza mafuta. Kristo hakufa kwa ajili ya mahitaji tu kila siku... mahali unahubiriwa kuacha dhambi na toba fuata hiyo madhabau.
@@abelmbata37 Kuna Mungu mmoja tu wa kweli, jina lake Yehova. Zaburi 83: 18. Yeye ni Roho; hatuwezi kumuona. Anatupenda, naye anataka tumpende. Anataka tuwapende watu wengine pia. Yeye aliye juu zaidi, muumba wa vitu vyote
Siku hizi Hadi kwaya Zina kiki duu noma sana.😅😅😅
Njaa tu haliyonanyo anatafuta umaalufu kwa nguvu, huyo Mwamposa unae mjaji yupo kimya pole sana ndugu yangu wewe ungekuwq umekamilika ungemuacha mkeo na kumuimbia nyimbo nikweli wewe una hofu ya Mungu wewe
upo sahii
This man was in freemason sometime back, for him to mention those servants he has reasons.lets be wise. He has a good message to the church of Jesus Christ.Naomba tumsikize.
I wish i saw when he was getting his deliverance from freemason. Who delivered him?
Yes he has reasons. Good reasons. May Jesus protect him more
The problem is he fight direct with the people who are in the same family to show some weakness which he thinks they have, you can't create a good picture to others who worship the God through him. He must tell the truth to the people who have not yet accept the presence of God at all , that is his duty and responsibilities not to insult them infront of mass why dont he sent message to them directly personaly without others!!! dont you see that bro
Fact
bro God bless you yaani kile unafanya ni kikubwa sana kwa Jina la YESU watu wapokee
Eeeh mungu Linda mtumishi wako aendelee kufungua macho wote ili tujue ukweli ambao hatujaskia kwa makanisa 🙏🙏🙏
Anao waimbaga wako kimya tu wanaendelea na kazi.
Lazima tukubali tu Mungu anaweza akafanya vitu kwa ukubwa na kushangaza. Ila wengi tunaingia kwenye mtego wa kufikiri ni shetani.
Mungu atusaidie sana
Tuhubirieni neno, hao manabii na mitume twaache na Mungu wao
Mungu akubariki kwa kulijua hilo na kuliweka wazi. ukwe lazima usemwe. Nabii ni mmoja tu tulie nae. Na sio vinginevyo
Pole Sana hujui unachokiimba nakuonea huruma.
Nipo nimekaa nasoma comment nani wingine anasoma comment 😂😂😂 maana naona mechi Kali sana mwaposa FC Vs Nabii
Mimi
mimi
God bless you pascal,, kwenye waimbajii hapo ni hatar hasa kwa waimbajii wanawake kuwaacha waume zao imekuw to much
Mtumishi Paschal Cassian umekosea pakubwa sana kujiwekelea kwenye msalaba hakika tubia hiyo dhambi n
Ameni hawataki kusoma neno nabado watakanyaga vingi tu, Watu wangu wanapotea kwakukosa maarifa,
Vita ya uchumi ngumu sana😂😂😂
Sema sana usinyamaze
Heeeeeeei watumishi mmefikia huko kutungiana nyimbo uwiiiiii yesu rudiiii
Mungu hakusaidie kumjua zaidi ya hapo lipo fikia akufunguwe zaidi mtumishi
Amelaaniwa mtu yule angikwaye msalabani Yesu Kristo anatosha wewe unafanyaje sasa
Mungu akulinde ktk vita uliyo nayo
Yan wewe kila mtu ana dhambi kwahiyo wewe ndo mtakatifu peke yako bas hongera
God bless u, wakuabudiwa ni Mungu pekeee
Ufunuo ni wa Siku moja.Nashangaa sanaa..Sijamsikia Mwaposa anataja damu ya Yesu.Nabii mkuu ni Yesi tu.sema watu wapone
Hakika haswaa
Ndugu yangu tumwachie mungu afanye kazi sake ss sio mahakimu Hakuna mkamilifu chini ya jua kila mtu anamapungufu yake hata ww poa hujakamilika
MUNGU anatumia binadamu kufikisha ujumbe wake,, muimbaji haja hukumu ila amefikisha ujumbe,, najua mpaka kufikia kuimba hivyo amefanya research through maandiko matakatifu so ana uhakika na anachoimba.
Mtwanga maji kwenye kinu.. shetani uliyetumwa na mungu kuja kuwajaribu Imani ya wakristu
Iv wewe ni nabii mzee au acha mdomo wewe ni mungu mungu ndo anajua haki Kama umekosa nyimbo za kuimba nyamaza ata mpumbavu akinyamaza huhesabiwa hekima
Mtumishi wa Mungu. Jitafakari na ujitathmini. Siku ukiamka huko ulipo utakuwa umechelewa na utajuta. If you won't change; Your days are numbered man of God. The almighty God will erase you permanently Himself!
Amn ukwel wowote,kwann uwataje watumishi wa Mungu
❤❤ amen... Bibilia inasema umepewa bure toa bure. Ukweli uyu mtume ni mpigaji anauza adi udongoo duuuh. Watu tunaangamia kwa kukosa maarifa BWANA MUNGU WA MAJESHI NYOSHA MAPITO YETU. Mana niia tunazopita tunaona ni sahihi lakn ni njia za mauti. Ongoza hatua zetu Bwana
Amen
Mhuu usilolijua eti anauza udongo wap kakuuzia
Hawe wa kweli au wa uongo tunachojua injili Ina hubiriwa Mungu ndo atakaye muhukumu
isome vizur bibilia itakusaidia na utajua kweli
Unamtaka BONIFACE MWAMPOSA mfatilie upone usipotaka acha nenda Makanisa ni mengi sana Iman yako ndio itakayo kuponya.... Acha kusema watumishi wa mungu we mtumikie mungu wako unaemuamin kupitia mchungaj yoyote hapa duniani
I LOVE YOU MWAMPOSA
turudi kwenye biblia kuponya maisha yetu ndio ujumbe hapo ,mafuta na chumvi ni ushirikina ,Yesu anajitosheleza ,
Amen mungu akubariki mtumishi
Sijaelewa kikubwa imani sister tukiwa na imani tunaponywa
Pascal naomba usome ujumbe wangu ivi kwann nyimbo zako zote una ponda watumishi wa mungu ila wewe umesahau kama ulikua frimasoni nahatujui kama kweli umetoka huko
Sijui ndio mahubiri yenyewe au lah??!!!!😂
Namim nashindwa kuelewa nyimbo zake zote nikuponda watumishi tu akiona mtu kamfanyia jambo zuri anamwimbia kumsifia sasa nashindwa kuelewa katumwa na Mungu au na freemason
Nyie wapumbavu wa miujiza feki mwacheni paschal aimbe ukweli saw iyo ndo injili tunayoijua
Elewa neno tubu
Aisee barikiwa mwana wa MUNGU ujumbe huu unachoma sana maana umeimba ukiwa rohoni sana umevuviwa na nguvu ya MUNGU barikiwa sana
Barikiwa sana mtumishi,
Unachosema ni kweli kabisa
Hakuna nabii kwa hiki kizazi nabii wa mwisho ni yohana mbatizaji tangu hapo tunaishi katika ukamilifu wa nyakati gal 4;4
Mafuta kwa sasa ni Holy spirit, uliona wapi Roho anakanyangwa,Roho Mtakatifu yupo ndani ya mtu si nje,
Mungu atusaidie kuyaelewa maandiko kwa kweli
Mtumishi kweli jumbe zako.zinafunuo wa RoHo MTAkATiFU
Cha msingi ni kuhubiri Neno la Mungu, kila mtu na achague njia ya kuiendea
Safi
Uko sawa ila kwakuwa saiz macho Yao yametiwa Giza hawatakuelewa ila watakuja kuelewa muda muda utakuwa umewaishia ubarikiwe sana mtumishi pascal
Amina
Kiki zimefika kwenye Nyimbo za Injili
WAAMBIEEE UKWELIIIIIIII
Haisaidii kitu kwendaaaa
Mungu akulinde mtumishi wa Bwana
Ukweli mujungaji mungu akubariki hii wembo naisikiyanga kila siku ukweli kabiza from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪and i love you song🎉🎉🎉🎉🎉
Enyi watu watu wa Mungu fungukeni,hao manabii wengi wapo kwaajil ya utapeli...somen neno la Mungu fungukeni.....mtakanyagishwa mafuta mpka mkome
Eleza mwinjilisti uwe na moyo usichoke, unatumia moyo na tunaokufuatilia,
I feel the anointing 🙏
Kweri kabisa upo sahihi
Yaan skujua vizur kumbe unawaimba. Watumishi pole sanaaaaa
Mungu akubariki Sanaa🙏,,,Mungu azidi kukupa ujasiri na Maisha marefu,,,wote tunajua ukwel
Jamniiii hata wewe hauelewi kama ni nabii wa kweli maana hapo upo tu kama kutafuta kiki bac kama na wewe kweli ni mtumishi wa MUNGU ujewafata private ukawaambia sasa kukaa mnatuchanganya huku mtandaoni hatuelewi nan ndio wa kweli na mtumishi wa MUNGU huwajioshi kwa kutumia watu bali yeye mungu humtambulisha kwamba ndio kwamba huyu ni wake sasa wewe mwenyewe hueleweki
GOD PROTECT YOU SO MUCH MY BROTHER WE LOVE YOU SO MUCH
Tuachie mwamposa wetu umekosa chakuimba acha kutafuta kiki broo Tena acha usihukumu usije ukahukumiwa kama unasoma Bibilia kweli
Ebu mfuatililie mtume Meshack usikie ana vofunza neno,achaneni na hao kina mwamposa ni jehanamu wanawapeleka tu
Ebu mfuatililie mtume Meshack usikie ana vofunza neno,achaneni na hao kina mwamposa ni jehanamu wanawapeleka tu
Tuoneshe alipohukum! Inamaana mtu akis3ma ukweli anakua amehukum?
NI VYEMA KABLA YA MTU KUZUNGUMZA AMA KUHUKUMU JAMBO AFIKIRIE SANA NA AKUWE ANAFAHAMU NENO VIZURI .Hivi wewe hujui huduma nitofauti ???? kwani unaisoma bibilia gani jameni ??? ama atahujui unachosoma ?? Mtume meshack ana jukumu na huduma yake amabyo bwana amempa pia vile vile Pascal Cassian mungu kuna huduma yake maalum amempea >>>>>sasa yeye anacho kisema hapa ni huduma yake sio ya meshack .Mungu akusaidei na akupe hekima na neema ya kuelewa kazi ya mungu ,.Bwana amumbariki mtumishi wake Pascal Cassian
Mungu akubariki mtumishi kwa kusema kweli wapinge wakubali ila kweli utaishi milele, nimekubalikuwa bwana anainua watu ambao wanamukilisha katka roho nakwel kwa ajili ya kanisa lake
Axnt kwa ujumbe
hatumjui mtumishi wa kweli anaye tuhubiria neno la Mungu wanakondoo wenzangu wengi wao ni waganganyifu 2 soln ni kuwana na imani yako mwenyew kwa kufanya mema uliyo amuliwa na bwana @Mungu wetu
CASIAN anatafuta kiki kwa hao watumishi wa Mungu ...nafikir walio karibu nae wanampotosha hajui atendalo...Huduma ya mafuta na maji ipo Ki Biblia ,.Manabii waliwapaka mafuta wagonjwa nao wakapona...yesu alipomwambia yule kipofu kanawe KTK mto mara 7 nawe utapona ..wazee walipaka mafuta wagonjwa nao wakapona .CASINN ACHA KUPOTOSHA JAMII
Lakn ilikua ni bure sio hela
Kweli kabisa @@user-fc6qc8np5n
Wewe kasian unawivu sana maisha Yana kuchapa mtu akifanikiwa kidogo maneno Yana anza punguza mdomo
Hasira za njaa😢
Mungu akutoe gizan
Kutokuamin unachofanya sio zambi ila achen kupigana majungu huwezi kubadili iman za hao watu au wewe umepewa uwezo wa kuona nyoyo zao
Barikiwa sana mtumishi,, very true 💯💯
Nguvu ya Yesu iko inatenda kazi sema wakichukia watapoatu bado kitambo kidogo Yesu anakuja
Barikiwa Paschal cassian
😭😭😭nyimbo mpk imeniliza watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa mungu akubariki kaka damu ya yesu ikukinge na vita vyote na nira mbaya kwako
Huyu baba nampenda sana 😆😅😅
Kosa ulilofanya nikujiweka msalabani lakini ujumbe uko sawa ❤ twataka nyimbo kama hizi sio kushusha nyavu kila mwaka
Nyimbo zinazotukumbusha kutubu dhambi
Hakuna kosa kwasababu huo ni ubunifu, na kumbuka kuwa zamani za wagalatia waliokuwa wanasurubiwa ni waharifu yaani watenda maovu so usiseme kakosea kujiweka msalabani, kwani wakati Yesu anasurubiwa hakukuwa na wengine waliosurubiwa??
Asante San kwa ujumbe wako huu mtumishi wapo watu watakao ukataa huu ujumbe lakn wameusikia mwenye sikio na asikie, nayeyote anae beza huu ujumbe naye nimoja Kati ya hao manabii hongera San bro
Safi ujumbe mzuri
The song is real encouraging,,,
Sasa we ndio uwaubilie watu injili ya kweli sio kudili na ao watu,acha wivu fanya yako mungu na wewe atakuinua,nyimbo yenyewee mbaya
Huo ndio ukweli aache kudili na watu,yeye akazane atuonyeshe Mungu wa kweli ili watu wafate
Hivi Kuna nyimbo gani ya paschal iliyo mbaya nyimbo zote Zina uvuvio wa Roho mtakatifu wasemaje we kuwa nyimbo mbaya nyimbo nyimbo zake Zina uwamsho sema ninyi mmefungwa na shetani ndio maana hamuelewi
Acha ushabiki wa kijinga ww,
Ubarikiwe sana mtumishi
Mungu aendelee kukutunza mtu wa mungu uendelee kutufunulia
Barikiwa sana kwa kufungua fahamu za wengi japo imani huonekana kuwa ujinga kwa asiye amini
Hoooo mtumishi siri zilizofichwa machoni pa mwanadamu anae weza kuzifichua mungu kwahiyo yote saw ila bwana wa majeshi anjua ameeeeen
Big up sana bro umetisha sana wimbo umeeleweka na injili imetangazwa
Dah huyu jamaa anaimba ukweli 💯
Alicho kiimba na kukisema nikwel, tena ile kweli iliyo kweli ujumbe huoo sio nguvu yake kuuweka wazi bali kwa nguvu ya mungu ilioko ndani yake imemfanya aseme kweli na ukweli unaumaaaa🎉🎉🎉❤❤❤
Usiukumu ukaja ukumiwa
Iyo nikiki nyibo sanauza
Kama una mungu wakweli homba uduma ya uongo ivunjike
God bless you my brother 🙏🙏🇰🇪🇰🇪, that's true
Huo nguvu unaotumia kupambana na wanadamu waliochagua njia zao ni vzr ukatumia kumtangaza Yesu na kusema ukweli.
Kama ivi au
Kabisaaa manake anatumiaa nguvu kubwa kuchambua watu badala atuonyeshe huyo Mungu wake wa kweli
Acha afikishe ujumbe uwezi kumpangia pia kwa vile na wew umeamuwa kuja ku comment hapa nibora ukaenda kwengine
Kwani anachofanya kina ubaya gani kazi ya mtumishi wa MUNGU ni kumtangaza Mungu kuwarejesha watu kwa Muumba wao na kuwaonya/kuonya pale inapobidi so hiyo nayo ni kazi ya Mungu.
Hiyo pia ni njia mojawapo ya kumtangaza Yesu,, mahubiri sio lazima usimame majukwaani na kupaza sauti hata uimbaji ni Mahubiri tena yanafikisha ujumbe kwa haraka zaidi.
Mnatuchanganya hatujui nani kweli , hivi mnakwama wapi kuwafata live wafateni waambieni ukweli , Tanzania ni huru , sisi wasikilizaji mnatuvuruga na mtafanya tuwaone wote ni waongo , au mnaogopana, Mungu nifunge kinywa Ugali unatumbua sana wa Tz waliotuletea hawa Mungu na Miungu wao wamerelax huko Mabarani kwao huku ndiyo tunazozana Uwii
Upatapo nafasi ongeza juhud kusoma biblia utajua ukweli
Mungu akupe nguvu ndugu yangu kwa haya ambayo unayahuburi
❤❤❤ penda sana pascal
Ndicho kinachokutesa wivu hilo kundi la kweli kwendaaa
Injili ya kweli Huwa haiendi na WAKATI...neno litasimama ila mambo yote yatapita
Amen 🙏 love from Zambia
Mungu naomba tusaidie kupata kufunuliwa Mach ya rohoni maana ilitabiria watakuja manabii wa uongo saa umefika na wakati umefika Mungu tusaidiee
Ooh yaliyonenwaa
Yaliyoosemwa na manabii yanatimia
Yaliyonenwaa hayoo yanatimia.
Watu wangu Waangamiaa!
Kwa kukosa maarifa
Kwa kukosa maarifa!
Wamezigeukiaaa njia zao mbaya,
Kwa kutaka mafanikio ya haraka.
Adui shetanii amewatekaa
Aduii shetanii ameteka fahamu zaoo 😢😢
Naishia hapo.
Mung akulinde pia akubarik mtumixh