UNIONDOLEE MAJIVUNO [Rose Muhando cover] WATU WOTE TUBUNI TUACHE DHAMBI By Minister Danybless
Vložit
- čas přidán 25. 06. 2024
- Welcome to Heaven Sound online tv Kenya, is not in vain for you choosing this channel. Surely Jehova God is going to do a mighty wonders in your in ur life,
Contact the following number for the following SERVICES;
_Piano training
_Tutorial Videos
_Vocal coaching
_Recording to our studio HSP
_Mixing and Mastering production class
or even you can send your support via M_Pesa number +254759829257.
God bless you, Shalom. #youtubekenya #viral #praiseandworship #uk #australia #diaspora. (Cover)Nitase by Ali Mukhwana. (COVER) Usifurahi juu uangu by UPENDO NKONE. - Hudba
Wale tumekuja hapa kutoka tiktok nipeeni like....
niko hapa
Ndio natoka TikTok sai sema mbio Hadi you tube
Niko
He's blessed with good voice
Tuko
Wale wote tunaoamini kwamba iko siku Yesu Kristo atarudi kutuchukuwa twende kuishi naye paradise gonga likes kwa utukufu wa Jehovah Mungu wetu .
Amen amen
@@MINISTERDANYBLESS Amen mpendwa.
@@MINISTERDANYBLESSamen mung u anaishi kueli😊
Yes I believe and it's giving me headache 😭😭
@@nancychelagat6619 Jehovah Mungu wetu kweli anaishi, be blessed dear 🙏
Wenye tumekuja hapa straight from Ticktok to get the whole song tungoge likes tukisonga👍. I tap the anointing in Jesus name🙏🙏
Amen amen 🙏
Amen amen ameeen❤
Hallelujah I tap it too
🙏 AMEN *Uniondolee majivuno, komesha kiburi, tawala akili zangu, Bwana niongozee, Amen 🙏 🙌
Dan ne bless aki nilirudi tena kwa church juu ya kusikiza hiz nyimbo zako nilikua nimekataa tamaa ya maisha kabsa aki but know thanks aki nimesimama tena God bless you so much naeza shinda siku nzima nikisikiza hizo nyimbo hua nasikia faraja ya ajabu🎉🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tumushike mungu tena ndungu yangu pia mmi huu mwaka sichawai ikia Church kwa mambo ya mtu tu
Amen and Amen 😘 uniondolee majivuno....komesha kiburi...utawale akili yangu....🙏
Hallelujah
Team Gen Z wale tunareject 2024 finance bill huku ebu niwaone
Let's gather here to tap this anointing,be blessed son of God min Dan bless as you minister nations🙏🙏
Amen hallelujah
Waaa may God continue giving you mercy and blessings apon you guys
Hallelujah
Ni ombi langu Jehova uniondolee majivuno mbele zako ata machoni pa wanadam na unipe kunyenyekea kila siku maana majivuno mwisho wake ni dhambi( mauti)...Mungu unasema heri anayejishusha maana utamwinua
Amen amen hallelujah
Amen tawala akili zangu 🙏🙏🙏🙏
Mungu baba simama na inchii yangu Kenya tumekukosea kwa mdaa mrefu twaomba msamaa baba😭😭😭😭
Mungu azidi kuwabariki.
Iam here courtesy of tik tok❤
I just came from tiktok to like this song
Massage,also powerful prayer, old is gold,we serve one, The Most High God, dhambi, God please remember Kenya, remember Kenya, remember Kenya, remember Kenya, remember Kenya, remember Kenya, remember Kenya, remember Kenya, remember Kenya, remember Kenya, remember Kenya, without you we are perished, let's repent, Kenya, Kenya, Kenya.
Amen amen hallelujah
Amina imba kwa hisia na uweli
Amen ... sauti ya Rose Muhando itaishi hata ulimwengu wa pili. Barikiwa ndugu kwa kudumisha uhai wa wimbo huu.
"Na kizazi changu kiiishi kujua Mungu anaishi,Anaponya na ndiye Njia ya Uzima wa milele"🎉😊
Amen amen 🙏
Atukuzwe bwana wa majeshi❤❤❤❤
Uniondelee majivuno bwana 🙏🏿🙏🏿
Uniondolee majivuno, uifundushe roho yangu habari za mbinguni, mm si kitu kwako
Amen Amen!
Baba wa mbinguni niondolee majifuno ili siku moja nikajipate kwako mahali pa mirere 🙏🙏🙏
Amen bwana tawala akili zangu God bless u bro
Wooooow hii nsyo imenifanya i was to eat lunch nikaacha, mmmmh niondolee majivuno YESU KRISTO, komesha kiburi.😭😭😭😭😭🔥🔥🔥🔥🔥 May God forgive me.
Amen amen hallelujah 🙌
Bwana naitaji uongozi wako, akili yangu ikuwaze wewe pekee,,,
Amen
❤
Amen
Oooh hallelujah hallelujah Glory to be the name of Jesus!!!!
Amen,amen mama yetu Rose muhando umeacha halama kubwa duniani mungu akubariki sana
Safi sana
Amen nimebariwa sana
Uniondelee kiburi na uondoe Chocho ambacho si chako ndani yangu mungu.....
Amen
Blessed one
Waw, ameeen🙏🙏🙏
Nothing interesting than worshipping the lord in truth and in spirit..
Niondolee majivuno mwana niongoze🙏🙏
Wimbo umenibariki sana
Ubarikiwe sana, ki ukweli nimebarikiwa
Niombi langu bwana uniondolee majivuno sije yakanieka mbal nawe 😢😢😢
Am blessed 🙏🙏🙏🙏
I'm gorret from Uganda glory to God be blessed bro 🙏🙏🙏
Amen amen 🙏
Niondolee majivuno na kiburi mungu wangu kisasi changu kikutambue milele ,,,my daily prayer
Amen amen 🙏
Grory be to God 🙌🙌🙌🎉🎉🎉🎉
Ni maombi yangu uniondolee majivuno na uifundishe roho yangu habaribza mbingi🙏🏽🙏🏽🙏🏽 am so blessed 🙏🏽 may God add you favor
Amen amen 🙏
Ameeeeeeeeeeeeeeen am blessed hallelujah uuuuuuuuu.......
What a soul lifting song,, hallelujah
Enzi za Rose bwana nyimbo zake zilikuwa na ujumbe mzr
❤❤God bless 🙏🙏 you
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah, uifundishe Roho yangu habari za mbingu
Amen amen
Amen amen amen na Mungu muumbaji wa vyote awabaliki sana na kuwatia nguvu🙏
Hallelujah
The anointing is strong💪💪💪
Niondolee Majivuno,tawala Akili zangu,eee Mungu wangu,wakati huu mngumu,nisije nkaingia kwenye nitego za adui 🙏🙏🙏, Glory be to God 🙏🙏,More Grace Bro Danny,be blessed
Amen amen hallelujah
Natamani siku moja nifike hapo umefika wacha mungu akubariki sana sana
Amen hallelujah
I appreciate brother. Mungu na akutanguliye brother.
I tap this blessing to our minister 🙏.may God continue using you as a vessel even to non believers.continue spreading the gospel of God all over the world.every stewardship has a reward 🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆
Amen amen 🙏
From TikTok
Rose angerudi kwa wito wake asifuatane na watu.kenye Mungu aliweka kwake ni uduma kweli.
Amen
Glory to the most high God🙏May almighty God bless you team Heaven sound online Tv for wonderful job
Amen amen 🙏
Amen 🙏 barikiwa sana kijana mungu akuzidishie kibali
Amen
Amen mungu akubariki na aniondolee kiburi na majivuno nikamtumikie jinsi apendavyo
Amen amen
Inuka eeh kinanda imba kwa sauti🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amen
Uniondolee majivuno bwana niongoze🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏you guys your gospel are so blessings to me and my family
Uniondolee majivuno, komesha kiburi.. utukuzwe Mungu milele🙏 tuned from Patte island, Lamu county. Nashukuru kwa uwepo wako katika familia yangu ikiwa kule koyonzo Mumias.
Amen amen 🙏
Hakuna mchezo hapa,God bless this ministry
Amen amen
Be blessed eeh Mungu niondolee majivuno
Amen
So powerful
Amen 🙌🙏🙏🙏🙏 watching from South Africa
Amen amen🙏naamini Mungu atanikumbuka dhiki yakukataliwa na familia kupitia maabudu haya
Amen amen
Wasamee dadangu nauwaombee sio hao bali ni shetani aliwaingia kaza kuwaombea uwasemee kilakitu itakuwa sawa
Aki wewe mungu na barikiwa bwana yesu asifiwe lord 🙏 💖 😂 😍 🤣 😅 🙏
Hallelujah
Wow am blessed worshipping together while in Saudi Arabia,, your songs. Comfort me alot
Amen amen 🙏
Amen 🙏🙏
Wow🎉this team is talented buana😊taking me Back to Back the Rose Muhando oldies version✊️vivaa😊God bless you all💞🙏
Amen amen 🙏
Rozi muhando kutunga wimbo kama huu aliwaza nn huyu mama mbona kama na yeye ni malaika ila watu hatujui
Amen amen 🙏
Umeona eee
Nyimbo zunu. Sininibariki sana nakunifungulia hitaji la moyo wangu ❤❤emeeen.
Amen amen
Mimi na nyumb Yangu tutamtumikia Bwana🙏🕊️🙏
Hallelujah
From tiktok to here to find my blessings in this song ❤
Amen
❤ waooooo
Amen be blessed may God continue uplighting you in the mighty name of Jesus 🙏🙏🙏
Amen mungu akupe nguvu ya kuimba..kwa maana si rahisi amen and amen
Hallelujah
Wimbo mzuri sana, unanibariki. The rendition is mellifluous
Amen amen
Amen amen amen Asante bwana,chunguza moyo wangu bwana,uniondolee Kila roho ya uharibifu ndani yangu,unitawale yesu unitakase nauniongoze nienende kiroho nisienende kimwili niongozwe na roho mtakatifu baba naomba🙏🙌♥️
Amen amen hallelujah
@@MINISTERDANYBLESS amen
❤❤❤❤❤
More Grace,strength and Anointing.
May our LORD-GOD JESUS-CHRIST bless you with what you NEED.
Sana
Amen amen hallelujah
Uniondolee majivuno komesha kiburi
Amen! I'm blessed.
Amen, Amen Glory to Most high Gods, God bless you Minister DanyBless and the team for the powerful song, God keep lifting you high.
Amen amen 🙏
Niko Dar es salaam Nimebarikiwa mtumishi
Amen amen
Haleluyaaaa haleluyaaaa haleluyaaaa juu mbinguni maana ndiyo nyumban kwetu
Amen amen
AMEENNN... GOD BLESS U DANNY..
GLORY TO THE MOST HIGH🎉🎉🎉🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 AM BLESSED MUNGU AWAPANDISHE VIWANGO HADI VIWANGO AMEN🎉🎉🎉🎉🎉🎉NABARIKIWA NIKIWA SAUDI ARABIA🙏🙏🙏🙏
Amen amen 🙏
My status today 🎉❤
God is coming to to take his people let's be honest and being faithful to God
Amen amen
I love this
GLORY GLORY TO OUR MOST HIGH GOD, LET OUR ALMIGHTY FATHER CONTINUE LIFTING YOU UP AND CONNECT YOU AND YOUR TEAM TO THIS SPIRIT OF BLESSINGS EVERY DAY /TIME 🙏🎶🔥🎤
Amen amen 🙏
Waaaah! May bless you mtimishi wa Mungu aki🙏🙏🙏
Amen amen
Hallelujah,,, blessed and favoured team,, I like this song like something else
Amen amen
Thank you my father n heaven for this mighty work on my brothers and sisters amen
Amen 🙌🙌 Glory to God 💪❤❤
Amen
blessing my heart
Powerful powerful powerful
Amen
You always give me hope may God continue to expand your territory 🙏
Komesha kiburi ndani yangu,nashuka uongezeke Babangu
Amen
Blessings 🙏🙏🙏