"MSIGWA ACHA SHOBO Weee!! MCHUNGAJI MWAMBILO AMTANDIKA MSIGWA //AMKINGIA KIFUA MBOWE LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024

Komentáře • 52

  • @raymondtenga
    @raymondtenga Před 17 dny +4

    Ubarikiwe Sana mchungaji kwa ukweli huo NI shekeli tu.

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s Před 16 dny +3

    Kiwira mmenogesha chadema tunawapata vizuri tulioko windhohk Namibia asanteni sana

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 Před 17 dny +6

    Msigwa japo ni haki yake kuhama chama, lakini ni tamaa tu ya kupata vyeo, muda utasema

  • @SimonPeter-j3r
    @SimonPeter-j3r Před 17 dny +3

    Asande sana mchungaji kwakusema ukweli mm,Simon te,nikiwa kongo d,as

  • @MungayaLaitayok-mr1gs
    @MungayaLaitayok-mr1gs Před 17 dny +2

    Ubarikiwe umeongea point

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 Před 17 dny +5

    Umeongea vizuri sana

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před 17 dny +2

    Safi sana baba nimekuelewa sanasana

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q Před 17 dny +4

    Yule sio mchungaji anatafuta pesa ni mjinga sn bila mbowe na chadema maccm yatatusumbua sn

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 16 dny +1

    Njaa mbaya sana ccm itatawala nchi hii hadi ichoke yenyewe

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Před 17 dny +2

    Vizuri sana mtumishi

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 Před 18 dny +3

    hata silinde ametengenezwa na chadema

  • @SteveMsemakweli
    @SteveMsemakweli Před 15 dny +1

    Ok..Asante

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda9450 Před 18 dny +3

    Safi sana mtumishi, fadhili mbuzi unaweza kumula nyama siyo wanadamu

  • @amosmangura
    @amosmangura Před 17 dny +1

    Ukweli hakuna alitoka chadema akashukru ,
    Wa ccm kuhamia ccm ,, hawana matusi kwa ccm
    Ila ushaur wote hoja niwananchi , mbowe n
    Anatokea wapi,

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 14 dny

    Chagadema ni chama cha wahuni watupu..Wabunge wale 19 ndio wa maana na wamefukuzwa😢😢na chagadema

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před 17 dny +1

    Yani msigwa hajitambui angejui

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před 17 dny +1

    Mmuzomeeeee iringa akija akaishi daresalaamu

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 Před 17 dny +1

    Siku mbowe akitoka apewe heche Hawa wengine hapana

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp Před 17 dny +1

    Msingwa Kule Kaenda Kuwa Chawa kila kit Ndy ndy

  • @estomihmassawe120
    @estomihmassawe120 Před 14 dny

    Safi sana Mtumishi mwaminifu wa Mungu?
    *Msigwa na wakora wenzake,wajue kuwa UJINGA ni kutokujua kuwa, Hakuna SACCOS ya mtu mmoja!
    SACCOS ni Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo!
    CHADEMA ni chama cha siasa (Kumbe hajui? Kama sio Ujuha ni nini)?

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Před 17 dny +1

    Ila msigwa tunajua ni tamaa ya madalaka

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Před 14 dny

    Msigwa njaa inamsumbua sana ameamua kuhamia kwa mafisadi naye ameamua kuhamia ili akawe fisadi

  • @jovitusiinnocent7534
    @jovitusiinnocent7534 Před 17 dny +2

    Nyie wachungaji yoye mnao jiusisha na siasa akuna mchungaji hapo

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 Před 17 dny

      Empty

    • @nelsonshillah6618
      @nelsonshillah6618 Před 17 dny

      Nini maana ya siasa

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 17 dny

      Maisha kwa ujumla ni siasa ,wanaopanga mfumo wa kodi katika nchi ni wana siasa ,walio fanya katika utozaji tozo katika simu ni wanasiasa ndio maana nikasema maisha ni siasa.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 15 dny

    Mkate unaheshimika ukiwa mezani na ukaula ukashiba. Ukishatumika tumboni huitwa uchafu. Wanasiasa hakuna shukrani ni kuganga njaa kupitia vyeo. Sawa na wataka mkate tu washibe.

  • @godfreymkinga
    @godfreymkinga Před 17 dny +1

    Wewe ni muwangaj sio mchungaj

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny

    Msigwa nini kinamsumbua? Kwa nini kuhama alafu anaanza kutukana? Akienda huko si amekupenda?

  • @jafarimsigwa277
    @jafarimsigwa277 Před 15 dny

    Usimsemee Msigwa mwache aseme tujue panapo vuja.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny

    Anatafuta cheo tu. Kama kukukosa wenyekiti kunamsumbua hivyo ndiyo nini

  • @user-cl5yq6ne3q
    @user-cl5yq6ne3q Před 17 dny

    Sisi chadema tunasema mapumbavu yote shwiiiiiiii shwiiiiiiiii

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv

    Sasa hapo msigwa nawewe ninani mwenye hekima kwahayo matamshi yako?

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547 Před 17 dny

    Pia aseme kwa nini kimebadilika kwenye sera ya CCM ambacho kimemshawishi kujiunga.

  • @jitulakaleboymastr6477

    Ametekwa na shetani kupitia pesa amna kitu kibaya kama njaa ata kama nishuja utasarenda tu

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 Před 17 dny

    Hekima inahitajika kwa Msigwa maana heshima ni bure kabisa, atakavyo kuja tutamalizana naye namna atakavyokuja

  • @roberttarimo4956
    @roberttarimo4956 Před 17 dny

    Hii inaonyesha ni njinsi gan mchungaji ameshindwa kusimamia mimamo wake

  • @michaelmeshaki9931
    @michaelmeshaki9931 Před 17 dny

    SASA KAMA NI HAKI YAKE KUHAMA CHAMA WEWE INAKUHUSU NN?

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před 17 dny

    We mchungaji gani unakuwa na tamaaaaa kama mtu wa mtaani

  • @jafarmlawa9627
    @jafarmlawa9627 Před 17 dny

    Mtumishi Acha uchawa wewee mbna Una toa povuuuu

  • @hassanzuber
    @hassanzuber Před 17 dny

    Ukijenga kibanda kingine usivunje kibanda ulicholala maana ipo cku utakikubuka vzr kabla mtuhajaongea awe na kumbukumbu asisahau alikotokea

  • @jafarimsigwa277
    @jafarimsigwa277 Před 15 dny

    Mwite mfanye mdahalo tupate upendo.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 17 dny

    Wachungaj siku mmekua wanasiasa Sana msigwa kafanya maamuz yake mwachen aende

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 17 dny

    Amehongwa na mafisiyemu tena pesa nyingi ya walipa kura

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda Před 14 dny

    Musingwa hovyo kabisa kisiyasa mujinga huramba matapishi kwani

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd Před 17 dny

    MSIGWA HANA HEKIMA!!!

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 17 dny

    Huyo chawa tu

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 17 dny

    Atee bandari zetu zitoke mikononi. Kwa waarabu

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 17 dny

    Mchungaji wa mbuzi

  • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
    @FADHILICHIKOLO-pb8iy Před 17 dny

    Mtumishi gani anaeunga dhuruma na rushwa aliepokea na msukuma kasema.

    • @YohanaPetro-xv9tp
      @YohanaPetro-xv9tp Před 17 dny

      Akilizako Hazina Akili Rushwa Imejaa ccm Nawezi wote Wapo Ccm Unajizima Data