Safi sana Mtumishi mwaminifu wa Mungu? *Msigwa na wakora wenzake,wajue kuwa UJINGA ni kutokujua kuwa, Hakuna SACCOS ya mtu mmoja! SACCOS ni Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo! CHADEMA ni chama cha siasa (Kumbe hajui? Kama sio Ujuha ni nini)?
Maisha kwa ujumla ni siasa ,wanaopanga mfumo wa kodi katika nchi ni wana siasa ,walio fanya katika utozaji tozo katika simu ni wanasiasa ndio maana nikasema maisha ni siasa.
Mkate unaheshimika ukiwa mezani na ukaula ukashiba. Ukishatumika tumboni huitwa uchafu. Wanasiasa hakuna shukrani ni kuganga njaa kupitia vyeo. Sawa na wataka mkate tu washibe.
Ubarikiwe Sana mchungaji kwa ukweli huo NI shekeli tu.
Kiwira mmenogesha chadema tunawapata vizuri tulioko windhohk Namibia asanteni sana
Msigwa japo ni haki yake kuhama chama, lakini ni tamaa tu ya kupata vyeo, muda utasema
Asande sana mchungaji kwakusema ukweli mm,Simon te,nikiwa kongo d,as
Ubarikiwe umeongea point
Umeongea vizuri sana
Safi sana baba nimekuelewa sanasana
Yule sio mchungaji anatafuta pesa ni mjinga sn bila mbowe na chadema maccm yatatusumbua sn
Njaa mbaya sana ccm itatawala nchi hii hadi ichoke yenyewe
Vizuri sana mtumishi
hata silinde ametengenezwa na chadema
Ok..Asante
Safi sana mtumishi, fadhili mbuzi unaweza kumula nyama siyo wanadamu
Ukweli hakuna alitoka chadema akashukru ,
Wa ccm kuhamia ccm ,, hawana matusi kwa ccm
Ila ushaur wote hoja niwananchi , mbowe n
Anatokea wapi,
Chagadema ni chama cha wahuni watupu..Wabunge wale 19 ndio wa maana na wamefukuzwa😢😢na chagadema
Yani msigwa hajitambui angejui
Mmuzomeeeee iringa akija akaishi daresalaamu
Siku mbowe akitoka apewe heche Hawa wengine hapana
Msingwa Kule Kaenda Kuwa Chawa kila kit Ndy ndy
Safi sana Mtumishi mwaminifu wa Mungu?
*Msigwa na wakora wenzake,wajue kuwa UJINGA ni kutokujua kuwa, Hakuna SACCOS ya mtu mmoja!
SACCOS ni Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo!
CHADEMA ni chama cha siasa (Kumbe hajui? Kama sio Ujuha ni nini)?
Ila msigwa tunajua ni tamaa ya madalaka
Msigwa njaa inamsumbua sana ameamua kuhamia kwa mafisadi naye ameamua kuhamia ili akawe fisadi
Nyie wachungaji yoye mnao jiusisha na siasa akuna mchungaji hapo
Empty
Nini maana ya siasa
Maisha kwa ujumla ni siasa ,wanaopanga mfumo wa kodi katika nchi ni wana siasa ,walio fanya katika utozaji tozo katika simu ni wanasiasa ndio maana nikasema maisha ni siasa.
Mkate unaheshimika ukiwa mezani na ukaula ukashiba. Ukishatumika tumboni huitwa uchafu. Wanasiasa hakuna shukrani ni kuganga njaa kupitia vyeo. Sawa na wataka mkate tu washibe.
Wewe ni muwangaj sio mchungaj
Msigwa nini kinamsumbua? Kwa nini kuhama alafu anaanza kutukana? Akienda huko si amekupenda?
Usimsemee Msigwa mwache aseme tujue panapo vuja.
Anatafuta cheo tu. Kama kukukosa wenyekiti kunamsumbua hivyo ndiyo nini
Sisi chadema tunasema mapumbavu yote shwiiiiiiii shwiiiiiiiii
Sasa hapo msigwa nawewe ninani mwenye hekima kwahayo matamshi yako?
Pia aseme kwa nini kimebadilika kwenye sera ya CCM ambacho kimemshawishi kujiunga.
Ametekwa na shetani kupitia pesa amna kitu kibaya kama njaa ata kama nishuja utasarenda tu
Hekima inahitajika kwa Msigwa maana heshima ni bure kabisa, atakavyo kuja tutamalizana naye namna atakavyokuja
Hii inaonyesha ni njinsi gan mchungaji ameshindwa kusimamia mimamo wake
SASA KAMA NI HAKI YAKE KUHAMA CHAMA WEWE INAKUHUSU NN?
We mchungaji gani unakuwa na tamaaaaa kama mtu wa mtaani
Mtumishi Acha uchawa wewee mbna Una toa povuuuu
Ukijenga kibanda kingine usivunje kibanda ulicholala maana ipo cku utakikubuka vzr kabla mtuhajaongea awe na kumbukumbu asisahau alikotokea
Mwite mfanye mdahalo tupate upendo.
Wachungaj siku mmekua wanasiasa Sana msigwa kafanya maamuz yake mwachen aende
Amehongwa na mafisiyemu tena pesa nyingi ya walipa kura
Musingwa hovyo kabisa kisiyasa mujinga huramba matapishi kwani
MSIGWA HANA HEKIMA!!!
Huyo chawa tu
Atee bandari zetu zitoke mikononi. Kwa waarabu
Mchungaji wa mbuzi
Mtumishi gani anaeunga dhuruma na rushwa aliepokea na msukuma kasema.
Akilizako Hazina Akili Rushwa Imejaa ccm Nawezi wote Wapo Ccm Unajizima Data