Ndg Kalonga nashukuru kwamba umezungumza ukweli hayo unayozungumza nadhani ni ya kweli kabisa. Mungu yu pamoja na wamchao. Bahati mbaya ni kwamba Mhe Msigwa kiapo cha madhabahuni kinaweza kumtesa kweli kabisa ni wakati wake kutubu na kurejea hata ikiwa si kuwa mwanachama wa CDM.
sitarajii umsifie Msigwa hata kwa fimbo linda ajira yako ya usaidizi! tundu rafiki yangu wa karibu sana lakini siwezi msema msigwa kisa jinsi tunavyofahamiana na Lisu. Msigwa kaamua tumieni muda wenu kuijenga CDM kumsema hakusaidii hata kwa pesa! Ubora wa chama sio kusimangana ni kukijenga chama toka SACCOS ya mchaga mmoja kuwa chama cha kijamii!
KABAINI KWAMBA CHADEMA HAINA SERA NA WALA VIONGOZI PIA NAO HAWANA SERA KAONDOKA IMEKUWA NDIO SERA YENYEWE TAFUTENI JENGINE KWA SASA MSIGWA CHADEMA NI BENDERA KUFUATA UPEPO UENDAPO
Duh! Baadhi ya hawa watumishi wa mungu wanahitaji kuombewa rehema kwa kweli. Wanaweza kuwa wanaumia sana mioyoni wakijifanyia self examination. Tuwaombee tuu
Hivi kumbe nyie ndio mlimtuma yule kijana achome picha ya Raisi haya usemayo ni yale ulioambiwa na bosi wako ila bakisha akiba ya Maneno hayana Ukweli unamtafutia Msigwa njia ya kuchafua msingwa lakini pia msigwa alionekana wasiwazi ataenda kumpinga Mbowe kwenye Uchaguzi mkuu kwa nini usiseme haya kabla ya msigwa kuja CCM story tu hiyo
Nawewe unaamini kuwa Mbuga ya Loliondo imeuzwa? Shida za akili za Watu wa chadema ndio mama hii Sasa kuamini kila kitu. Yaani kitu kikikodishwa kwa Chadema ni kimeuzwa.
Hamza mwislamu wewe ndo muuza roliondo na mamako. Waarabu wamekupa kilemba na ukajisahau wewe ni mtanzania unamuuza mpaka mkeo au kumtoa mwanao awe mke wa tatu. Nani anahitaji awe mke wa tatu. Si hajiamini. Utawezaje kuwa kiongozi kwa namna hii.
Ndg Kalonga nashukuru kwamba umezungumza ukweli hayo unayozungumza nadhani ni ya kweli kabisa. Mungu yu pamoja na wamchao. Bahati mbaya ni kwamba Mhe Msigwa kiapo cha madhabahuni kinaweza kumtesa kweli kabisa ni wakati wake kutubu na kurejea hata ikiwa si kuwa mwanachama wa CDM.
Ubarikiwe kaka ubarikiwe kwa kusema ukweli hakika msigwa ni yuda msaliti
Daaa aseee kumbe CHADEMA Ina watu jaman hawaskikagi biut wanahekima sanaaa yan dah
Kumwita mchungaji msigwa ni kukinajisi cheo cha uchungaji kidini. Nafikiri ataeleweka vyema kama ataitwa msigwa iskariote aka mzee wa vipande thelathini.
Usimtukane mwenzio fanya kazi yako tu
Magufuli mwenyewe alishindwa kukiuwa chadema atakuwa msingwa
Mchungaji feki, kapoteza dira
Kwa mikowa yetu mbeya na songwe mtajuwa ni wilaya ipi inawasomi waliyo bobea hasa wanasheria. Hongera sana wasomi wa rungwe mnatutowa soni
sitarajii umsifie Msigwa hata kwa fimbo linda ajira yako ya usaidizi! tundu rafiki yangu wa karibu sana lakini siwezi msema msigwa kisa jinsi tunavyofahamiana na Lisu. Msigwa kaamua tumieni muda wenu kuijenga CDM kumsema hakusaidii hata kwa pesa! Ubora wa chama sio kusimangana ni kukijenga chama toka SACCOS ya mchaga mmoja kuwa chama cha kijamii!
Nakuona dogo kwenye interview.
KABAINI KWAMBA CHADEMA HAINA SERA NA WALA VIONGOZI PIA NAO HAWANA SERA
KAONDOKA IMEKUWA NDIO SERA YENYEWE TAFUTENI JENGINE KWA SASA MSIGWA CHADEMA NI BENDERA KUFUATA UPEPO UENDAPO
Kwenye loliondo na sakata la wamasaimsohwa alikuwa. Bubu alikuwa upande wa samia na uccm. Kwelii nimeaminii, with wanamjua kea kina Sana msigwa
mmetoka hamkutoka wezi toka kenya nyie tupa kule!
Kalonga nimekupata
Hakuna mwenye ubavu wa kui ua chadema tuna usubiria mkutano wake aje aseme habari ya sacos.
si bora umuulize Makengeza mmiliki wa SACCOS
Kaka uko vizuri sana Asante sana
Msigwa asingeweza baki chadema bila uongozi ndo Mana kasaliti
Msigwa kwa hadhi yake boraa awe mkimya kwakweli.
Amuulize zito kabwa aliekua anaandaliwa majukwaa na ccm
Kuna kikao kimoja cha bunge Msigwa aliambiwa na wabunge wenzake kuwa hafai hata kuchunga nguruwe, kilichotokea kimethibitisha yaliyonenwa.
Msigwa tulimwamini sasa amegeuka mamluki amelikoroga na atalinywa
Duh! Baadhi ya hawa watumishi wa mungu wanahitaji kuombewa rehema kwa kweli. Wanaweza kuwa wanaumia sana mioyoni wakijifanyia self examination. Tuwaombee tuu
na asikie alipo huyo msigwa
Kigeugeu hakinaga mwisho na huko akikosa cheo ataondoka kwan nn? Mbn hakuondoka chadema alipokua kiongozi
Ni kweli kabisa kama kweli ni mchungaji msigwa hayupo salama maana Mungu hapendezwi na wazalimu na wanafiki
fungua kanisa kama umejua Mungu amemchukia aliyejitoa na kumpenda mmiliki wa SACCOS
Kabla hajahamia ccm alikua anasemaje kuhusu.ccm na Leo anesemaje kuhusu chadema.msikilizeni
Ndungu yangu musigwa simchungaji uchungaji wake unalusu lushwa uyo nimchungaji muchumia tumbo akuna chauchungaji pele ninjaatu wengine wanamchezea mungu
Msingwa mnafiki tu anajiita mchungaji kanunuliwa na makaratasi ya Dunia
Msigwa ni feki ,maana anajifanya mtumishi wa mungu kumbe huko serikalin ameenda kua tapel wa vyama au serkalin
CHADEMA kwa asili kina shida.Msigwa na Lowasa nani zaidi.
Siasa haina rafiki au adui wa kudumu! Huoni maslahi Hamia penye maslahi mapema
Wateuzi wanaleta soni kulawiti kupigilia chupa raia sehemu za siri nani atakuwa na imani nawateuzi wenye udhaifu kama huo.
Duiiiuuu,, nimekuamni kwenye lalamiko la uuzaji loliyondo msgwa hjawai uunga mkono
Mko sawa nafikiri mwakani itakiuwa kivumbi nguo kuchanika
❤
Wewe bado una cheo siku ukiacha na wewe utavua gwanda.
Hivi kumbe nyie ndio mlimtuma yule kijana achome picha ya Raisi haya usemayo ni yale ulioambiwa na bosi wako ila bakisha akiba ya Maneno hayana Ukweli unamtafutia Msigwa njia ya kuchafua msingwa lakini pia msigwa alionekana wasiwazi ataenda kumpinga Mbowe kwenye Uchaguzi mkuu kwa nini usiseme haya kabla ya msigwa kuja CCM story tu hiyo
Aondoke tu kibaraka mkubwa na wananchi hawana tena imani nae labda wampe nafasi za kiteuzi
Mama atamweka sasa msigwa kama katibu mwenzi
Hii habar ni ya Jana Jumatatu Jitahidi Uwe Unaenda Ontime
Chadema wanachama na viongozi wao niwatu wakuprnda shari .mnamtetea mtu mhalifu .
CHAGADEMA ni chama cha wahuni,wao ndio wanashawishi vijana kuvuta bangi,kutukana,kukosa adabu nk
Jitahidi ukate rufaa kijana arudi ndani, kama huridhiki na miaka miwili au faini ya milioni tano!
Wahuni ni wale wanaofuja rasilimali za Tanganyika @@walidmgonja3644
Upendo usipende chadema Iko juuu
@@user-bx3ko9ft5t ni kweli chagadema ipo juu Kilimanjaro
Kumbe anaroho mbaya
Nyie chadema hamuoni kama chama chenu kinakwenda Mirama?
Msigwa mnafiki au hypocrite
Alijitoa kafara na ubunge iringa hapati
Kajitoa kafara
Mchungaji kuku
Hata Godbless Lema yuko Mbioni kusaliti kwasababu ya Maslahi binafsi, ni muda tuu utaongea.
Wewe nikma gwajima alivyo sema amempoteza MAKONDA kwenye siasa lakini....,....,..,.
Tangia alipotetea uzwaji wa mapoli loliondo nilimfuta kichwan mwangu
Nawewe unaamini kuwa Mbuga ya Loliondo imeuzwa? Shida za akili za Watu wa chadema ndio mama hii Sasa kuamini kila kitu. Yaani kitu kikikodishwa kwa Chadema ni kimeuzwa.
Kwahiyo unaona sawa kukodisha mbuga na kuhamisha wakazi? Kama ilikodishwa uliambiwa wamelipa sh ngapi na watakaa kwa muda gani?
WEWE KAMA NI MSAIDI MKABILA NA MDINI HUYO ALAFU MBINAFSI HANA HOJA YEYOTE KUTUPOTOSHA SISI WA TANZANIA SIASA ZENU HAZINA NA FASI NCHII HII
Haya tena mtetezi wa mama hebu tuambie una hoja ipi ya maana kama unaona ukabila na udini basi wewe ni.....
Hamza mwislamu wewe ndo muuza roliondo na mamako. Waarabu wamekupa kilemba na ukajisahau wewe ni mtanzania unamuuza mpaka mkeo au kumtoa mwanao awe mke wa tatu. Nani anahitaji awe mke wa tatu. Si hajiamini. Utawezaje kuwa kiongozi kwa namna hii.
Mbona wewe ni chawa alafu hujioni,chadema na Wana chama wao wako sahiii