Aibu!! "PESA ZA CCM ZIMEMPONZA MSIGWA ANAJITAPATAPA" ALITAKAKUVURUGA CHADEMA" KALONGA AYATAPIKA YOTE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024

Komentáře • 65

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před 16 dny +7

    Ndg Kalonga nashukuru kwamba umezungumza ukweli hayo unayozungumza nadhani ni ya kweli kabisa. Mungu yu pamoja na wamchao. Bahati mbaya ni kwamba Mhe Msigwa kiapo cha madhabahuni kinaweza kumtesa kweli kabisa ni wakati wake kutubu na kurejea hata ikiwa si kuwa mwanachama wa CDM.

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 16 dny +6

    Ubarikiwe kaka ubarikiwe kwa kusema ukweli hakika msigwa ni yuda msaliti

    • @corporatethugsent7380
      @corporatethugsent7380 Před 15 dny

      Daaa aseee kumbe CHADEMA Ina watu jaman hawaskikagi biut wanahekima sanaaa yan dah

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc Před 16 dny +4

    Kumwita mchungaji msigwa ni kukinajisi cheo cha uchungaji kidini. Nafikiri ataeleweka vyema kama ataitwa msigwa iskariote aka mzee wa vipande thelathini.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před 16 dny +1

    Usimtukane mwenzio fanya kazi yako tu

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před 16 dny +8

    Magufuli mwenyewe alishindwa kukiuwa chadema atakuwa msingwa

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Před 16 dny +3

    Mchungaji feki, kapoteza dira

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před 16 dny +1

    Kwa mikowa yetu mbeya na songwe mtajuwa ni wilaya ipi inawasomi waliyo bobea hasa wanasheria. Hongera sana wasomi wa rungwe mnatutowa soni

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Před 14 dny +1

    sitarajii umsifie Msigwa hata kwa fimbo linda ajira yako ya usaidizi! tundu rafiki yangu wa karibu sana lakini siwezi msema msigwa kisa jinsi tunavyofahamiana na Lisu. Msigwa kaamua tumieni muda wenu kuijenga CDM kumsema hakusaidii hata kwa pesa! Ubora wa chama sio kusimangana ni kukijenga chama toka SACCOS ya mchaga mmoja kuwa chama cha kijamii!

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před 16 dny +2

    Nakuona dogo kwenye interview.

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey Před 15 dny +1

    KABAINI KWAMBA CHADEMA HAINA SERA NA WALA VIONGOZI PIA NAO HAWANA SERA
    KAONDOKA IMEKUWA NDIO SERA YENYEWE TAFUTENI JENGINE KWA SASA MSIGWA CHADEMA NI BENDERA KUFUATA UPEPO UENDAPO

  • @chezariboy
    @chezariboy Před 16 dny +2

    Kwenye loliondo na sakata la wamasaimsohwa alikuwa. Bubu alikuwa upande wa samia na uccm. Kwelii nimeaminii, with wanamjua kea kina Sana msigwa

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Před 14 dny

      mmetoka hamkutoka wezi toka kenya nyie tupa kule!

  • @BarakaMwambapa-o4i
    @BarakaMwambapa-o4i Před 16 dny +3

    Kalonga nimekupata

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 Před 16 dny +2

    Hakuna mwenye ubavu wa kui ua chadema tuna usubiria mkutano wake aje aseme habari ya sacos.

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Před 14 dny

      si bora umuulize Makengeza mmiliki wa SACCOS

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před 15 dny

    Kaka uko vizuri sana Asante sana

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 Před 16 dny +2

    Msigwa asingeweza baki chadema bila uongozi ndo Mana kasaliti

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 Před 16 dny +3

    Msigwa kwa hadhi yake boraa awe mkimya kwakweli.

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya4077 Před 16 dny +1

    Kuna kikao kimoja cha bunge Msigwa aliambiwa na wabunge wenzake kuwa hafai hata kuchunga nguruwe, kilichotokea kimethibitisha yaliyonenwa.

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard Před 16 dny +1

    Msigwa tulimwamini sasa amegeuka mamluki amelikoroga na atalinywa

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před 15 dny

    Duh! Baadhi ya hawa watumishi wa mungu wanahitaji kuombewa rehema kwa kweli. Wanaweza kuwa wanaumia sana mioyoni wakijifanyia self examination. Tuwaombee tuu

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 Před 16 dny +2

    na asikie alipo huyo msigwa

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t Před 10 dny

    Kigeugeu hakinaga mwisho na huko akikosa cheo ataondoka kwan nn? Mbn hakuondoka chadema alipokua kiongozi

  • @benardkinde8496
    @benardkinde8496 Před 16 dny +4

    Ni kweli kabisa kama kweli ni mchungaji msigwa hayupo salama maana Mungu hapendezwi na wazalimu na wanafiki

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Před 14 dny

      fungua kanisa kama umejua Mungu amemchukia aliyejitoa na kumpenda mmiliki wa SACCOS

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t Před 10 dny

    Kabla hajahamia ccm alikua anasemaje kuhusu.ccm na Leo anesemaje kuhusu chadema.msikilizeni

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh Před 15 dny

    Ndungu yangu musigwa simchungaji uchungaji wake unalusu lushwa uyo nimchungaji muchumia tumbo akuna chauchungaji pele ninjaatu wengine wanamchezea mungu

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před 16 dny +1

    Msingwa mnafiki tu anajiita mchungaji kanunuliwa na makaratasi ya Dunia

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c Před 11 dny

    Msigwa ni feki ,maana anajifanya mtumishi wa mungu kumbe huko serikalin ameenda kua tapel wa vyama au serkalin

  • @annemlay11
    @annemlay11 Před 15 dny

    CHADEMA kwa asili kina shida.Msigwa na Lowasa nani zaidi.

  • @JuliusMlengeswa
    @JuliusMlengeswa Před 16 dny

    Siasa haina rafiki au adui wa kudumu! Huoni maslahi Hamia penye maslahi mapema

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před 16 dny

    Wateuzi wanaleta soni kulawiti kupigilia chupa raia sehemu za siri nani atakuwa na imani nawateuzi wenye udhaifu kama huo.

  • @chezariboy
    @chezariboy Před 16 dny

    Duiiiuuu,, nimekuamni kwenye lalamiko la uuzaji loliyondo msgwa hjawai uunga mkono

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 15 dny

    Mko sawa nafikiri mwakani itakiuwa kivumbi nguo kuchanika

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 16 dny

  • @HadaikaNgabona
    @HadaikaNgabona Před 14 dny

    Wewe bado una cheo siku ukiacha na wewe utavua gwanda.

  • @MnubiMm
    @MnubiMm Před 15 dny

    Hivi kumbe nyie ndio mlimtuma yule kijana achome picha ya Raisi haya usemayo ni yale ulioambiwa na bosi wako ila bakisha akiba ya Maneno hayana Ukweli unamtafutia Msigwa njia ya kuchafua msingwa lakini pia msigwa alionekana wasiwazi ataenda kumpinga Mbowe kwenye Uchaguzi mkuu kwa nini usiseme haya kabla ya msigwa kuja CCM story tu hiyo

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před 16 dny

    Aondoke tu kibaraka mkubwa na wananchi hawana tena imani nae labda wampe nafasi za kiteuzi

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 16 dny

    Mama atamweka sasa msigwa kama katibu mwenzi

  • @marakidtz9454
    @marakidtz9454 Před 16 dny

    Hii habar ni ya Jana Jumatatu Jitahidi Uwe Unaenda Ontime

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 16 dny +1

    Chadema wanachama na viongozi wao niwatu wakuprnda shari .mnamtetea mtu mhalifu .

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 16 dny

      CHAGADEMA ni chama cha wahuni,wao ndio wanashawishi vijana kuvuta bangi,kutukana,kukosa adabu nk

    • @jesaminzo
      @jesaminzo Před 16 dny

      Jitahidi ukate rufaa kijana arudi ndani, kama huridhiki na miaka miwili au faini ya milioni tano!

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 Před 16 dny

      Wahuni ni wale wanaofuja rasilimali za Tanganyika ​@@walidmgonja3644

    • @user-bx3ko9ft5t
      @user-bx3ko9ft5t Před 16 dny +2

      Upendo usipende chadema Iko juuu

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 16 dny

      @@user-bx3ko9ft5t ni kweli chagadema ipo juu Kilimanjaro

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 16 dny

    Kumbe anaroho mbaya

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h Před 16 dny

    Nyie chadema hamuoni kama chama chenu kinakwenda Mirama?

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064 Před 16 dny +6

    Msigwa mnafiki au hypocrite

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Před 16 dny

    Alijitoa kafara na ubunge iringa hapati

  • @obinasimbeye1750
    @obinasimbeye1750 Před 12 dny

    Kajitoa kafara

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 15 dny

    Mchungaji kuku

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 Před 16 dny

    Hata Godbless Lema yuko Mbioni kusaliti kwasababu ya Maslahi binafsi, ni muda tuu utaongea.

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e Před 16 dny

      Wewe nikma gwajima alivyo sema amempoteza MAKONDA kwenye siasa lakini....,....,..,.

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Před 16 dny

    Tangia alipotetea uzwaji wa mapoli loliondo nilimfuta kichwan mwangu

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 Před 16 dny

      Nawewe unaamini kuwa Mbuga ya Loliondo imeuzwa? Shida za akili za Watu wa chadema ndio mama hii Sasa kuamini kila kitu. Yaani kitu kikikodishwa kwa Chadema ni kimeuzwa.

    • @neliusgosbertbaguma8693
      @neliusgosbertbaguma8693 Před 16 dny

      Kwahiyo unaona sawa kukodisha mbuga na kuhamisha wakazi? Kama ilikodishwa uliambiwa wamelipa sh ngapi na watakaa kwa muda gani?

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Před 16 dny

    WEWE KAMA NI MSAIDI MKABILA NA MDINI HUYO ALAFU MBINAFSI HANA HOJA YEYOTE KUTUPOTOSHA SISI WA TANZANIA SIASA ZENU HAZINA NA FASI NCHII HII

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq Před 16 dny +1

      Haya tena mtetezi wa mama hebu tuambie una hoja ipi ya maana kama unaona ukabila na udini basi wewe ni.....

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 16 dny

      Hamza mwislamu wewe ndo muuza roliondo na mamako. Waarabu wamekupa kilemba na ukajisahau wewe ni mtanzania unamuuza mpaka mkeo au kumtoa mwanao awe mke wa tatu. Nani anahitaji awe mke wa tatu. Si hajiamini. Utawezaje kuwa kiongozi kwa namna hii.

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i Před 16 dny +1

    Mbona wewe ni chawa alafu hujioni,chadema na Wana chama wao wako sahiii