Mfanyabiashara Mbeya 'Amvunja Mbavu' Rais Magufuli

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 06. 2019

Komentáře • 9

  • @abdulmasoko7241
    @abdulmasoko7241 Před 5 lety +1

    hahahahaha ila ukweli kabisa

  • @mwinukafundibombanjombe

    😟😟

  • @simonimollel4061
    @simonimollel4061 Před 3 lety +1

    Tra ni hatari kulko corona huku zanzibar kwenye mahotel ni shda kubwa rushwa imetawala sana

  • @juliusbosqual2848
    @juliusbosqual2848 Před 5 lety

    Kaz nzur sana Baba kusikilza watoto wake ,hasa zaid swala LA kujenga uchumi wa wananchi pmoja na nchi, hongera sana Mh. Rais Magufuli kwa kaz hii nzuri sana

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 2 lety

    Daah,rais mpendwa Magufuli ulikuwa msikivu saana, rip mpendwa jpm

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 Před 4 lety

    Mungu akutunze rais wetu tz .

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis8556 Před 5 lety

    Kazi ipo kwa wale wanaosema inanijua mimi nani au hatuongei na watu wa chini lazima walalamike wamekatwa mikia maana siku hizi ukisema unanijua mimi nani unaonekana kichekesho.

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 Před 5 lety

    Taifa hujengwa na wananchi wa Taifa husika kwa kulipa kodi kwa moyo mmoja.
    binafsi nasubiri mkutano was J.P.M na wakulima wote nchini.maana sekta hii ndio inawatu wengi zaidi katika Taifa letu.