Kaz nzur sana Baba kusikilza watoto wake ,hasa zaid swala LA kujenga uchumi wa wananchi pmoja na nchi, hongera sana Mh. Rais Magufuli kwa kaz hii nzuri sana
Kazi ipo kwa wale wanaosema inanijua mimi nani au hatuongei na watu wa chini lazima walalamike wamekatwa mikia maana siku hizi ukisema unanijua mimi nani unaonekana kichekesho.
Taifa hujengwa na wananchi wa Taifa husika kwa kulipa kodi kwa moyo mmoja. binafsi nasubiri mkutano was J.P.M na wakulima wote nchini.maana sekta hii ndio inawatu wengi zaidi katika Taifa letu.
hahahahaha ila ukweli kabisa
😟😟
Tra ni hatari kulko corona huku zanzibar kwenye mahotel ni shda kubwa rushwa imetawala sana
Kaz nzur sana Baba kusikilza watoto wake ,hasa zaid swala LA kujenga uchumi wa wananchi pmoja na nchi, hongera sana Mh. Rais Magufuli kwa kaz hii nzuri sana
Yesi
Daah,rais mpendwa Magufuli ulikuwa msikivu saana, rip mpendwa jpm
Mungu akutunze rais wetu tz .
Kazi ipo kwa wale wanaosema inanijua mimi nani au hatuongei na watu wa chini lazima walalamike wamekatwa mikia maana siku hizi ukisema unanijua mimi nani unaonekana kichekesho.
Taifa hujengwa na wananchi wa Taifa husika kwa kulipa kodi kwa moyo mmoja.
binafsi nasubiri mkutano was J.P.M na wakulima wote nchini.maana sekta hii ndio inawatu wengi zaidi katika Taifa letu.