Mbunge MSUKUMA Mbele ya Magufuli "Mawaziri Unawatumbua"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 01. 2019
  • Mbunge MSUKUMA Mbele ya Magufuli "Mawaziri Unawatumbua"
    Leo Januari 22, 2019 Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania anahudhuria katika Mkutano wa wachimbaji , wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini.
    Mkutano huo unafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu J.K Nyerere - Dar es salaam. Ambapo viongozi mbalimbali wameshiriki na kupata fursa ya kuchangia. Mmmoja ya waliochangia ni Mbunge wa Geita, Msukuma.
    Akizungumza katika mkutano huo Msukuma alimpongeza Rais Magufuli kwa namna anavyotatua kero za wananchi na kuwachukuli hatua mawaziri wazembe.
    #LIVE_Rais_Magufuli_Katika_Mkutano_wa_Ki_Sekta
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
    GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

Komentáře • 6