"Wee Ni MCHUNGAJI FEKI" MWAMBIGIJA AMWAGA MAOVU YA MCHUNGAJI MSIGWA CHADEMA // CCM WAMEKUPA HELA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024

Komentáře • 24

  • @rucaserasto8154
    @rucaserasto8154 Před 3 dny +1

    we ni mtu wa mana sana hongela baba

  • @davidchiduo219
    @davidchiduo219 Před 4 dny +2

    Safi Mungu Ni Mwema Wakati Wote

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 3 dny +2

    Fisiyemu mnanunua watu wa chadema hamtaweza chadema ni baba lao

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před 3 dny

    Asante mzee wa Upako Mwambigija kwa maelezo yako mazuri kuhusu huyo mchungaji Feki aliyeolewa huko ccm! Kwa vile mnajua mbinu kubwa ya ccm kwa sasa kuharibu na kuungua nguvu ya upinzani ni kuwanunua viongozi wa chadema! Msikubali kununuliwa na ccm! Hata wewe mzee wetu tunaekuamini sana usije kukengeuka kufanya usaliti kama hao wengine wnao olewa kwenda ccm! Asante tuendelee kusonga mbele na harakati za kuikomboa Nchi yetu Tanganyika kutoka mikono ya hawa manyang'au mafisadi ya ccm! Uchaguzi huu2024/2025 tuikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi.

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 Před 2 dny

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 Před 2 dny

    😂😂😂😂 bigger up CHADEMA big brain

  • @EmmanuelKuzenza
    @EmmanuelKuzenza Před 2 dny

    Tundulissu aliona atoboe siri kabla maasi hayajatokea.

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 2 dny

    😂😂😂😂 kweli mchungaji mpigadili

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před 2 dny

    Atazunguka nchi nzima ipi?aje mbeya aone

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před 3 dny

    Huyo afike salama huko alikokwenda . Msaliti mkubwa. Azunguke dunia nzima.

  • @YassinAbdiMassawe
    @YassinAbdiMassawe Před 2 dny

    Tafuta kauli Ile yamsukuma. Mwaka mmoja uliopita. Anajuwa kilichokuwa kinaendelea

  • @GeraldNyasembe-q2d
    @GeraldNyasembe-q2d Před 2 dny

    Kwa maelezo ya mpuuuumbavuuuu msgwa hana hoja hata maneno yake ni yakuunga unga2 Yani AYANA njia makamanda tukaze safari bado ni ndefu siyo kwamba mafara kama msigwa wameisha wapo Cha maana nikuamini misingi na farisafa ya chama makamanda piiiiiiiiiii pooooooooosssss

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola Před 3 dny +2

    Mwambigija umenifurahisha sana

  • @AmosChoroga
    @AmosChoroga Před 4 dny

    Yes

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk Před 3 dny

    Mbona wana CCM wakihamia kwenu hakuna anayelalamika? Ktk siasa hakuna uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu

  • @user-gx9jr5le2f
    @user-gx9jr5le2f Před 4 dny

    Mnaumia sana

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 Před 4 dny +1

    HAYO MAOVU NI BAADA YA KUONDOKA TU, ETI KUWENI FREE

    • @knight6757
      @knight6757 Před 4 dny

      Na huyo alieondoka je....si pia atoa maovu baada ya kitumikia chama miaka 20...au? 🐍

    • @erestizacharia4758
      @erestizacharia4758 Před 4 dny

      Acha uboya wewe.

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Před 3 dny +1

    MBONA UNAMSEMA SANA ROHO INAKUUMA HATA WEWE TOKA HUKO HIYO NI SACCOS YA MBOWE CHAMA GANI MIAKA 20 MWENYEKITI MMOJA CHAMA CHA FAMILIA

    • @adeltuszakumuha9618
      @adeltuszakumuha9618 Před 3 dny +1

      Hata miaka 30 haikuhusu. Uchawa wako peleka huko.

    • @melinamkenge8790
      @melinamkenge8790 Před 3 dny +1

      Kinakuuma ninikuwa miaka 20 uchaguzi unafanyika wanamchagua tena shida yako nini

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 Před 3 dny

      Mbowe Hata akikaa miaka 50 kwenye uenyekiti wa chama ni sawa kwa sababu uchaguzi ukifika wanachama wanamchagua wenyewe, wewe unawashwawashwa nini! Hovyoooo kabisa huna hoja ya maana kwa hilo! Ulitaka wamchague nani sasa wewe au mmko!

    • @willsonFarasa
      @willsonFarasa Před 3 dny

      Wembona huion ccm miaka sitin mbona hujawashauli waachie wengine mkundu wewe