MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ALIKUWA ANASIKILIZA KERO ZA WATU NA KUPOKEA MAONI...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 06. 2022
  • MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ALIKUWA ANASIKILIZA KERO ZA WATU NA KUPOKEA MAONI...
    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia WARREN MAX MWINUKA [20] Mkazi wa Makondeko - Mbeya Mjini kwa tuhuma za kujifanya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya JUMA ZUBERI HOMERA akitumia akaunti ya mtandao wa kijamii wa Instagram kwa jina la “juma_homera”.
    Mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 07.06.2022 majira ya saa 08:00 mchana huko maeneo ya Mama John Jijini Mbeya. Mtuhumiwa alikuwa akitumia akaunti hiyo kuwaadaa watu kwa kujifanya ni Mhe.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na kutoa namba ya simu yak wake ili wananchi waweze kutoa/kupeleka kero/shida mbalimbali kwake. Upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika atafikishwa mahakamani.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 74

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 2 lety +11

    Huyo kijana amebeba ujumbe , inamaana mkuu wa mkoa ni mzigo hapo , asikilize matatizo ya wananchi wake sio kukaa tu ofisini .....

  • @theresiakaruhanga364
    @theresiakaruhanga364 Před 2 lety +3

    Afande. Mi namuombea msamaha maana haonekani kama ni tapeli ila ni ushamba tu msameheni tu

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před 4 měsíci +2

    Muheshimiwa tunamuombea msamehe amejielewa

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 Před 2 lety +4

    Kwa upande wangu mi naona hyo kijana angeachiwa tu cz kashatubu makosa yke na amesema lengo lake ni nini! Mbona wapo matapeli wengi tu hamuwakamati? Na kasema wapo wengi muwasake wote basi na syo huyo tu. Toeni Ajira kwa vijana

  • @goldchaz7050
    @goldchaz7050 Před 2 lety +3

    Tumekuelewa mkuu wetu wa mkoa

  • @michaelezekiel8620
    @michaelezekiel8620 Před 2 lety +2

    Mheshmiwa mkuu wa mkoa, Tunakuomba msamehe hatarudia Tena, Tunakuomba!

  • @omarmkumba3547
    @omarmkumba3547 Před 2 lety +5

    Huyu kiukwel anastail msamaha!

  • @lemausontz3513
    @lemausontz3513 Před 2 lety +3

    Watu wanajiongeza Serikali inabna Kila Kona tfanyj Sasa tunatumia za kuzaliwa

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před 2 lety +2

    Maskini msameheni jamani 😔💔 wapo watu wengi wanawo tumia majina ya watu maarufu ili kupata wafuasi😔

  • @ngurungutz3764
    @ngurungutz3764 Před 2 lety +2

    Kweli kabisa

  • @bachutamwita4518
    @bachutamwita4518 Před 2 lety +2

    Kweli kijana unaelezea kwahisia nzuli Sana

  • @babalao910
    @babalao910 Před 2 lety +1

    Mmh! Maisha Mapya Kwa watz, Kazi IENDELEE.

  • @EliakimuCharles
    @EliakimuCharles Před 2 lety +2

    Huyo kijana kosa lake ni kutumia jina la mtu bila idhiki ya huyo mtu lakini ki ukweli huyo dogo hata makosa mengine mana kaeleza vizuri na kakili makosa kwamba hakujua kama ni kosa alifanya kwa mapenzi tu akidhani kwake itakuwa frusa kwahyo tusiwe wepesi wa kuhukumu tu bila kutafakali jambo kwa upana.

    • @alimahmoud358
      @alimahmoud358 Před 2 lety

      Mm naona kijana Hana makosa wakati hajatapeli mtu

  • @nasramuddy1326
    @nasramuddy1326 Před 2 lety

    Duh,aiseee

  • @jamesgasper6764
    @jamesgasper6764 Před 2 lety +1

    Msameheni tu kijana coz hakufanya Kwa ubaya arafu alifanya Kwa kumuenspaya RC

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 Před 17 dny

    Sasa kama amekuta hamsikilizi kero za watu, afanyeje???.

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis8069 Před 2 lety +1

    Huyo ni wash wash wash🙆🇰🇪.amekoma huyo

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 Před 2 lety +1

    Aiseeee we jela moja kwa moja

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala7530 Před 2 lety +1

    Duu kunabinadamu Wana loho ngumu Duuh 🤔🤔 Dogo unachakachuwa na Mdogo ivyo

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh5729 Před 2 lety +1

    Mbona dogo anaonekana ana akili Sana ktk teknolojia maana mpka kufikia uwezo wa kudukua taarifa za mkuu wa mkoa Yuko vzur na alikuwa na lengo nzur bt njia alotumia ndo inamfanya aonekane Mhuni lakn dogo yuko na akili Mingi kusikiliza kelo za wananchi wakt mkuu wa mkoa kaweka litumbo lake tuu officin Hana muda na Wananchi wake acha wenye mbinu mbadala wazitumie taifa tunahitaji vijana kama hawa

  • @marthamilaji9385
    @marthamilaji9385 Před 2 lety +1

    Nimekuonea uruma mdogo wangu tuache tamaaa

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA Před 3 měsíci

    pigeni na Makofi hawa Watu ili iwe mfano kwa wengine muongo huyo mba kabisa

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 Před 2 lety +2

    Duh🤔🤔🤔🤔

  • @RAPHAELSAID-kk7wu
    @RAPHAELSAID-kk7wu Před 2 měsíci

    Jiamini mzee unapo ongea ulikuwa unafikisha ujumbe wanatakiwa wajue majukumu yaotu

  • @Neema935
    @Neema935 Před 3 měsíci

    😂😂😂Kwa kweli, duniani, m'na mambo, dogo ka rithi.ukuu wa mkoa, kwa haki na kweli. Asamehewe kwa kweli.

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 Před rokem

    Ajira ngumu sana jamani, Msameheenii

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 2 lety +1

    Sio email hiyo , hiyo ni website

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome639 Před 2 lety +1

    MKUU WA MKOA mwenyewe anasemaje?

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Před 2 lety

    Asikilizwe tuu,,,,,ahojiwe na ukweli utajulikana,,,,huenda kweli alifanya kwa kutokiwa na nia ovu

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 Před 2 lety +1

    Kama hakumtapeli mtu Msameheni bure.

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA Před 3 měsíci

    Huyo miaka mitano inamuhusu bila kupind

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Před 4 měsíci

    huyu mmemuonyesha mbona mijambazi inayoumiza watu hamuionyeshi hadharani??

  • @marymichael9964
    @marymichael9964 Před 2 lety +1

    Wamuachie kashatambua kosa

  • @rosemalle3600
    @rosemalle3600 Před 2 lety +2

    Huyo kijana,Hana akili kwa kutapeli kwa kutumia Jina la mkuu wa mkoa,kwa kujinufaisha,apewe adhabu Kali iwe fundisho kwa vijana wengine,vijana muwe na wazo ya kufanya yoyote Ile,msichague kazi,hata ya kulima Ni kazi,kwani mlio wengi hamjitumi kwa kufanya kazi ya mikono,

  • @berrydanny3577
    @berrydanny3577 Před 2 lety

    Km kero zimetatuliwa Basi 😃

  • @gervasmalimi5126
    @gervasmalimi5126 Před 2 lety +1

    Yamkin Sasa unaenda kufungwa

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 4 měsíci

    Mbona hata mwonekano unamgomea jamaniiii.

  • @mahmoudsuleimanmohamed4969

    easy police huyo ni kijana tu hajui alifanyalo

  • @trillhappybeautypoint9874

    Jamaniii labda alikua hajui

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 2 lety

    Sasa anasikiliza kero za watu anazitatua vipii halafu akijipa hicho cheo kinamsaidia nini sasa

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před 2 lety

    Inaonekana uyu mkuu wa mkoa kavu awezi kumsamee mkuu wa mkoa nae mwizi tu kwasababu uyo dogo kakamatwa basi mwizi yeye

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 4 měsíci

    Huyu mkuu wetu wa mkoa feki tunaomba asamehewe

  • @hemedmalamsha8829
    @hemedmalamsha8829 Před 2 lety

    Mbona hafanani na ukuu wa mkoa

  • @user-fu5dm6ko7g
    @user-fu5dm6ko7g Před 2 lety

    Still innocent until proven guilty. Police you have already judged him and put him in prison

  • @dailantz4073
    @dailantz4073 Před 2 lety

    Hasameewe tu uyokijana nibina dama hajakamilika

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 Před 2 lety +1

    Duu jamn matatizo kwel hii inchi inavijana waovyo San Aki

  • @salamanauthar480
    @salamanauthar480 Před 2 lety

    Msameheni jamani

  • @alimakame9215
    @alimakame9215 Před 2 lety

    Dunia ujanja dar

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Před 2 lety

    Anatetemeka sana dogo duh

  • @tunsumejohntunsumejohn2210

    Mkuu wa mkoa hiv unaitwa nan maana hata usikiki kabisa

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 2 lety

    Ana kosa na pili na la 3 pia 🤣🤣kosa la pili kafunga sala kimakosa 🤣🤣kosa la 3 anasali pili udhu 🤣🤣🤣

  • @geofreyalexander1382
    @geofreyalexander1382 Před 2 lety

    Website sio E mail

  • @charleskingimwakasagule5752

    Ndo ubaya wa viongozi wa tz yani hukumu inatolewa mitani sio mahakamani yani hivohivo na hakimu ataenda kufata ivo hivo du

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 Před 2 lety

      umeonae hiyo kitu mi mwenyewe sijawaelewa kabisa kwani mahakama kazi yake nini?

  • @alibushiri4725
    @alibushiri4725 Před 2 lety +1

    Duuuuu

  • @adamjonas1568
    @adamjonas1568 Před 2 lety +1

    Duh

    • @simongabrielngwelusimongab550
      @simongabrielngwelusimongab550 Před 2 lety

      Juma homela msamehe huyo kijana halfu umuchukue uende naye ukakae umusikilize shida yake kubwa no nini jifunze kusamehe mbona magufuri alikuwaga na moyo wa kusamehe jamani mtu akiomba msamaha asemehewe

    • @ngurungutz3764
      @ngurungutz3764 Před 2 lety

      Msameeni tu

    • @amockkalinga1520
      @amockkalinga1520 Před 2 lety

      @@simongabrielngwelusimongab550 point!

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 2 lety

    Jamaaa ameshikwa na baridi ya gafla

    • @amockkalinga1520
      @amockkalinga1520 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀 wewe Ibrahim wewe umenichekesha ati baridi ya ghafla

  • @zakiaramadhani3519
    @zakiaramadhani3519 Před 2 lety +2

    Masikini anatetemeka lkn kama kweli hakuwa na nia mbaya

  • @mathiasbuchenja331
    @mathiasbuchenja331 Před 2 lety

    Jela kabisaaa!!

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t Před 2 měsíci

    Msamehenituu

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 2 lety

    Hahaha duu kamuona mkuu wa mkoa mzembe wa kazi yake