Eng, Hersi asante kwa kutuletea majembe hatari,tusubiri tuone kama watu hawatapoteana tena, wachukue ubiingwa wa ligi majirani .thubutuuuu, labda 25-26 ndiyo wtarajie huo ubingwa
Fadlu Davis kwenda Simba washa fail kwanza si Kocha WA makombe,Ni Bora Maxime au minziro,Adolf Rishad,mkwasa,matola,mgunda,Julio,..😂 lkn fadlu kafail Maritzburg Na Pirates hamna kitu,watapigwa 8 Na yanga
Kwa hiyo we shida yako simba tu!!! Endelea kuteseka na ndoto za Alinacha tushazisoma mbinu zenu ndo maana boss karudi, Mwaka huu mwaga unga nimwage ugali, Honga Arajiga 10 million, tunahonga 15, dadadeki uto😂😂😂😂
Yanga bingwa🎉💚💛😃💪
Eng, Hersi asante kwa kutuletea majembe hatari,tusubiri tuone kama watu hawatapoteana tena, wachukue ubiingwa wa ligi majirani .thubutuuuu, labda 25-26 ndiyo wtarajie huo ubingwa
Khalid Mzinga nakubatiza a.k.a Mbape wa TZ....hongera sana brother unaitendea haki kazi yako
Mzinga hii kazi anaijuwa
Huyu mwamba namkubali sanaaa
Mchambue kocha wa simba ❤❤ plz
Asante. Sana. Kwa. Usajili. Huu. Mkubwa. Wenzetu. Wanasajili. Wavulana. Wao. Wanasa
ok
Lameck lawi ndiyo bas tena
Simba ni Under 25 god blesss
Mwamba Gharib Mzinga katika ubora wake
Nakukubali Gharib mziga hasa ukitangaza timu yanga
Mungu akupe maisha marefu mzinga una juwa sana
Gharibu jamaa anajua.
Mzinga 💯 kwa 💯✅
Mzinga apewe mauwa yake, huyu mwamba ni fundi
Kapombe, ngoma, shabalala, ayoub, mzamiru, do all of them under 25?
HUKU YAO KULE BOKA YANI NYASI ZITAWAKA😂
Mzinga anajua kuchambua vzr mpira
Gharibu mzinga ni mwamba kweli ,,,,,kwa habari na update za michezo na timu mbalimbali usisaha fuatilia pia Stanley tv
Unajua xan mzinga!
Jamaa nikiona interview yake lazima niicheki huna baya mzinga
Simba usajiri mbovu sana mambo yaleyale
Huyu anajua
Hakika G mzinga huwa nakuelewa sana uchambuzi wako hasa unapowachambua wachezsji wa yanga
Mzinga unakitu katika uchambuzi waige kwako
Kwa asilimia kubwa tshazijua sifa zao kazi kwako kharibi kwenye chumba Cha matangazo ligi ianze tu
Hakuna muandishi hapa change tu hajatulia
Hakik we nimwamb nakuelew san
Kakakaaaa🎉
Hata uta n gazaji mzuri
Mzinga we nifundi
Wape vitu mzinga
Sas ww mwandishi unakwenad t shirt lako hap tukuelewj
Fadlu Davis kwenda Simba washa fail kwanza si Kocha WA makombe,Ni Bora Maxime au minziro,Adolf Rishad,mkwasa,matola,mgunda,Julio,..😂 lkn fadlu kafail Maritzburg Na Pirates hamna kitu,watapigwa 8 Na yanga
Kwa hiyo we shida yako simba tu!!! Endelea kuteseka na ndoto za Alinacha tushazisoma mbinu zenu ndo maana boss karudi,
Mwaka huu mwaga unga nimwage ugali,
Honga Arajiga 10 million, tunahonga 15, dadadeki uto😂😂😂😂
Not
Simba bingwa
Pole sana
Unajua xan mzinga!
hii derby ya yanga na Simba na derby ya boka na nouma 😂😂😂itakua baraa
Balaa tupu 🎉🎉🎉
@@amaniomar1755 nakwambia