MWINYI ZAHERA YANGA WANAKURUMBUKA KWENYE USAJILI/CHAMA DUBE HAWANA UWEZO WA KUCHEZA YANGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Sport

Komentáře • 31

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 Před měsícem +2

    Your very intelligent Mwinyi Zahera because you can’t register somebody which you got already someone more than like him

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Před měsícem

      It's not that easy to understand what's happening at Yanga SC right now. Be patient and wait for the results on AUG 8 in the community shield match.

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Před měsícem

    Zahera umepata timu, kwa heshima tunayo kuheshimu kwa yale uliyotufanyia, acha kuzungumzia usajili wa yanga, fanya kazi ya timu yako ya Sasa.

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 Před měsícem +1

    Kama yanga wakikurupuka ndo hivi wanabeba ubingwa waendelee tu kukurupuka zaidi ya hapo sis tuna enjoy💛💚

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 Před měsícem

    Mkude & Chama political signing

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo Před měsícem +2

    Alie amini kuwa mwinyi zahera anatafuta kazi agonge like

  • @issaselemani491
    @issaselemani491 Před měsícem

    Tunahitaji kikosi kipana na timu haizuiwi kuchukua mchezaji kutoka kwa mpinzani wako.Hao unaowataja ni wachezaji wazuri pia wala siyo wabaya.

  • @djnyosoofficial305
    @djnyosoofficial305 Před měsícem

    Zahera juuu

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o Před měsícem

    Haikuhusu tulia Namungo

  • @abdallahidrisa710
    @abdallahidrisa710 Před měsícem +1

    Huyu hana lolote aliuza timu. Hivi shishimbi na chama yupi bora.

  • @thomasdimme7899
    @thomasdimme7899 Před měsícem

    Coach ur wrong au unawaonea wivu yanga

  • @boscomalangalila
    @boscomalangalila Před měsícem

    Zahera huna lolote Rudi kwenu Moira was Tz umekushinda

  • @makabemwita4843
    @makabemwita4843 Před měsícem

    Fuatilieni namna Bayern Munich ilivyokuwa unafanya ilo ku dominate soka la ndani, lazima uhakikishe timu zingine hazikai na wachezaji wao wazr, wakati Bayern Munich inawachukua akina Mat humes, kwani haikuwa na mabeki.

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi Před měsícem

    Huyu kocha anajua mpira. Na ukwelii anaipenda sana Yanga.

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před měsícem

    First eleven ni wachezaji 11 kocha hawawezi kuwa timu nzima isipokua ili kazi ya kushiriki mashindano yote bila shida unahitaji kuwa na kikosi kipana,faida ya kuwa na kikosi kipana ilionekans kwenye mechi ya mamelodi baada ya kukosekana kwa kina Aucho na zuzua

  • @vertasmtenga2982
    @vertasmtenga2982 Před měsícem

    Huyu jamaa akiwa kocha team inacheza Kama inasinzia flan hivi

  • @amosicommedy6917
    @amosicommedy6917 Před měsícem

    Ameshindwa kusajili timu yake ibaki ligi kuuu kaacja ishuke kashusha na Ingine

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před měsícem

    Mbona timu ilimshinda atuache na timu yetu

  • @makabemwita4843
    @makabemwita4843 Před měsícem

    Nani atampa kazi huyo ni dalali tu timu zimeishamjua, labda achukuliwe na Pamba, alichemka Yanga, Polis Tz, Coastal na hata Namungo kachemka anabaki anazurula tu kusema Mpiyaaa, sijui ndo lugha gani hiyo.

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před měsícem

    Kweli kocha!

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 Před měsícem

    Ni team inaelekeya kuanguka unajaza wachezaji wenye wameisha kiwango chama ata Simba alikuwa anatoka bench siku moja moja yani awajui ata atacheza fasi gani

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před měsícem

    Zahera mwehu tu roho mbaya chuki na husda yeye zahera katuletea kindoki pumbavu zake mshenzi tu huyo shishimbi duka amchukue yeye mbwa yeye na shishimbi

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před měsícem

    Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉

    • @user-iz3hs8jl5p
      @user-iz3hs8jl5p Před měsícem

      safi kwenye hamna kwahiyo akina debora na akina vale ndo wana uwezo kuliko chama na dube? acheni kupotosha watu huo ni upuuzi usio na maana
      o

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před měsícem

    Ni kweli kabisa Uyasemayo

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 Před měsícem

    Uyu jamaa Yuko vzr sana Zahera nakukubali

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Před měsícem

    Kweli zahera umeongea facts sikuona umuhim wa kusajili sajili izi.tumesajili kwa mihemko