- 5 166
- 16 097 852
JEMBESPORTS
Tanzania
Registrace 28. 01. 2020
Channel ya michezo na burudani ambayo inakupa habari za Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na Ulimwenguni.
MCHEZAJI MPYA YANGA AFUNGUKA/AWAHAIDI MASHABIKI KUBEBA UBINGWA/AWAVAA SIMBA
MCHEZAJI MPYA YANGA AFUNGUKA/AWAHAIDI MASHABIKI KUBEBA UBINGWA/AWAVAA SIMBA
zhlédnutí: 47
Video
SALEH JEMBE AWACHAMBUA WAPINZANI WA SIMBA/AINA YA MPIRA WANAOCHEZA/NITASHANGAA SIMBA AKIFUNGWA
zhlédnutí 1,7KPřed 22 hodinami
SALEH JEMBE AWACHAMBUA WAPINZANI WA SIMBA/AINA YA MPIRA WANAOCHEZA/NITASHANGAA SIMBA AKIFUNGWA
YANGA WACHARUKA SIMBA KUFUNGIWA NA FIFA?/USAJILI WA YUSUPH KAGOMA/SIMBA KUPOKONYWA POINTI
zhlédnutí 309Před 23 hodinami
YANGA WACHARUKA SIMBA KUFUNGIWA NA FIFA?/USAJILI WA YUSUPH KAGOMA/SIMBA KUPOKONYWA POINTI
YANGA YAONESHA MKATABA WA YUSUPH KAGOMA/SIMBA WAMEMSAJILI KIMAKOSA/TUNAENDA FIFA
zhlédnutí 210Před 23 hodinami
YANGA YAONESHA MKATABA WA YUSUPH KAGOMA/SIMBA WAMEMSAJILI KIMAKOSA/TUNAENDA FIFA
KOCHA YANGA PRINCESS ACHARUKA AMVAA SIMBA/YANGA TUMESAJILI VIZURI/LIGI ITAKUWA NGUMU
zhlédnutí 145Před 2 hodinami
KOCHA YANGA PRINCESS ACHARUKA AMVAA SIMBA/YANGA TUMESAJILI VIZURI/LIGI ITAKUWA NGUMU
YANGA YAWAPORA MCHEZAJI SIMBA/MCHEZAJI AFUNGUKA MAZITO/AFURAHIA KUJIUNGA YANGA PRINCESS
zhlédnutí 994Před 2 hodinami
YANGA YAWAPORA MCHEZAJI SIMBA/MCHEZAJI AFUNGUKA MAZITO/AFURAHIA KUJIUNGA YANGA PRINCESS
SALEH JEMBE AWACHAMBUA WAPINZAN WA YANGA/AINA YA MPIRA WANAOCHEZA/YANGA WAONGEZE KASI/HATA SARE NZUR
zhlédnutí 887Před 2 hodinami
SALEH JEMBE AWACHAMBUA WAPINZAN WA YANGA/AINA YA MPIRA WANAOCHEZA/YANGA WAONGEZE KASI/HATA SARE NZUR
SALEH JEMBE AWACHAMBUA WAPINZANI WA SIMBA/AHLY TRIPOL KUTOKA LIPYA/MECHI NGUMU
zhlédnutí 10KPřed 2 hodinami
SALEH JEMBE AWACHAMBUA WAPINZANI WA SIMBA/AHLY TRIPOL KUTOKA LIPYA/MECHI NGUMU
MZEE MAGOMA AINGILIA KATI SAKATA LA YUSUPH KAGOMA/UONGOZI WA YANGA UNAMAKOSA KWENYE USAJILI WAONGO?
zhlédnutí 16KPřed 4 hodinami
MZEE MAGOMA AINGILIA KATI SAKATA LA YUSUPH KAGOMA/UONGOZI WA YANGA UNAMAKOSA KWENYE USAJILI WAONGO?
TAMKO LA YANGA KUHUSU YUSUPH KAGOMA/YANGA WANAENDA FIFA/TFF WAMESHINDWA KUFATA SHERIA
zhlédnutí 2,4KPřed 4 hodinami
TAMKO LA YANGA KUHUSU YUSUPH KAGOMA/YANGA WANAENDA FIFA/TFF WAMESHINDWA KUFATA SHERIA
MZEE MAGOMA APANDISHA MASHETANI YANGA INATAKA KUUZWA/AKIMBILIA FIFA/AMVAA GSM
zhlédnutí 1KPřed 4 hodinami
MZEE MAGOMA APANDISHA MASHETANI YANGA INATAKA KUUZWA/AKIMBILIA FIFA/AMVAA GSM
MZEE MAGOMA ACHARUKA AIPELEKA YANGA FIFA/AMVAA ENG.HERSI YANGA INAUZWA/APINGA HUKUMU YA MAHAKAMA
zhlédnutí 3,9KPřed 7 hodinami
MZEE MAGOMA ACHARUKA AIPELEKA YANGA FIFA/AMVAA ENG.HERSI YANGA INAUZWA/APINGA HUKUMU YA MAHAKAMA
MZEE MAGOMA ACHARUKA AWAVAA UONGOZI YANGA USAJILI WA BALEKE/AFUNGUKA UKWELI YANGA KUMLIPA BALEKE
zhlédnutí 762Před 7 hodinami
MZEE MAGOMA ACHARUKA AWAVAA UONGOZI YANGA USAJILI WA BALEKE/AFUNGUKA UKWELI YANGA KUMLIPA BALEKE
MWANASHERIA WA YANGA AFUNGUKA MZEE MAGOMA KUILIPA YANGA MILIONI 70/MZEE MAGOMA AMESHINDWA KESI
zhlédnutí 689Před 7 hodinami
MWANASHERIA WA YANGA AFUNGUKA MZEE MAGOMA KUILIPA YANGA MILIONI 70/MZEE MAGOMA AMESHINDWA KESI
HB SADEC BOXING AFUNGUKA MAZITO KUHUSU FADHILI MAGIHA/SAKATA LA AZAM KUJITOA KWENYE NGUMI
zhlédnutí 150Před 12 hodinami
HB SADEC BOXING AFUNGUKA MAZITO KUHUSU FADHILI MAGIHA/SAKATA LA AZAM KUJITOA KWENYE NGUMI
BONDIA MSOUTH AFRICA KURUDIANA NA SELEMANI KIDUNDA/AZAM KUJITOA KWENYE NGUMI/WAMEPELEKWA MAHAKAMANI
zhlédnutí 424Před 12 hodinami
BONDIA MSOUTH AFRICA KURUDIANA NA SELEMANI KIDUNDA/AZAM KUJITOA KWENYE NGUMI/WAMEPELEKWA MAHAKAMANI
FOUNTAINGATE YAWAZIDI KETE YANGA NA SIMBA/WAMUUZA MCHEZAJI HISPANIA/YANGA NA SIMBA WOTE CHALI
zhlédnutí 245Před 14 hodinami
FOUNTAINGATE YAWAZIDI KETE YANGA NA SIMBA/WAMUUZA MCHEZAJI HISPANIA/YANGA NA SIMBA WOTE CHALI
DR.MO ACHARUKA YANGA HAWAJAMSEMEHE YUSUPH KAGOMA/KESI IPO TFF/YANGA WANATAKA KWENDA FIFA
zhlédnutí 905Před 14 hodinami
DR.MO ACHARUKA YANGA HAWAJAMSEMEHE YUSUPH KAGOMA/KESI IPO TFF/YANGA WANATAKA KWENDA FIFA
DR.MO ACHARUKA BALEKE AWAPELEKA YANGA FIFA/TP MAZEMBE WAMEGOMA KUMUUZA BALEKE/YANGA WAMEKOSEA
zhlédnutí 10KPřed 14 hodinami
DR.MO ACHARUKA BALEKE AWAPELEKA YANGA FIFA/TP MAZEMBE WAMEGOMA KUMUUZA BALEKE/YANGA WAMEKOSEA
ALLY KAMWE ACHARUKA MCHEZAJI WA SIMBA KUPEWA TUZO?/ALIA KWANINI HAJAPEWA PACOME/ALALAMIKA SANA
zhlédnutí 251Před 16 hodinami
ALLY KAMWE ACHARUKA MCHEZAJI WA SIMBA KUPEWA TUZO?/ALIA KWANINI HAJAPEWA PACOME/ALALAMIKA SANA
ALLY KAMWE AFUNGUKA KUHUSU FREDDY KUFANYA MAZOEZI YANGA/ACHARUKA HATUJAMSAJILI/YANGA HAINA MPANGO
zhlédnutí 268Před 16 hodinami
ALLY KAMWE AFUNGUKA KUHUSU FREDDY KUFANYA MAZOEZI YANGA/ACHARUKA HATUJAMSAJILI/YANGA HAINA MPANGO
ALLY KAMWE AFUNGUKA MWANZO MWISHO KUHUSU BALEKE/MKATABA WAKE NA YANGA/KWANINI HACHEZI
zhlédnutí 165Před 16 hodinami
ALLY KAMWE AFUNGUKA MWANZO MWISHO KUHUSU BALEKE/MKATABA WAKE NA YANGA/KWANINI HACHEZI
MZEE MAGOMA ACHARUKA BALEKE KUWAPELEKA YANGA FIFA?/USAJILI WAKE UNAMAKOSA?/KESI NGUMU SANA
zhlédnutí 4,2KPřed 19 hodinami
MZEE MAGOMA ACHARUKA BALEKE KUWAPELEKA YANGA FIFA?/USAJILI WAKE UNAMAKOSA?/KESI NGUMU SANA
SALEH JEMBE AFUNGUKA SAKATA LA BALEKE NA YANGA?/KIWANGO CHA YANGA/MASHINDANO YA CHAMPIONS LEAGUE
zhlédnutí 18KPřed 19 hodinami
SALEH JEMBE AFUNGUKA SAKATA LA BALEKE NA YANGA?/KIWANGO CHA YANGA/MASHINDANO YA CHAMPIONS LEAGUE
C.E.O WA MAFIA BOXING IJUWE KNOCKOUT YA MAMA/PAMBANO LA UBINGWA WA WBC AFRICA/HAMASA KWA RAIS SAMIA
zhlédnutí 22Před 19 hodinami
C.E.O WA MAFIA BOXING IJUWE KNOCKOUT YA MAMA/PAMBANO LA UBINGWA WA WBC AFRICA/HAMASA KWA RAIS SAMIA
KAULI YA KIBEBE YA IBRAHIM MAFIA KUELEKEA PAMBANO LAKE/KNOCKOUT YA MAMA/UBINGWA WA WBC
zhlédnutí 8Před 19 hodinami
KAULI YA KIBEBE YA IBRAHIM MAFIA KUELEKEA PAMBANO LAKE/KNOCKOUT YA MAMA/UBINGWA WA WBC
MASHABIKI ACHARUKA AMLILIA AWESU AWESU TIMU YA TAIFA/WACHEZAJI WAMECHEZA VIBAYA/HATUJI TENA
zhlédnutí 1,5KPřed 19 hodinami
MASHABIKI ACHARUKA AMLILIA AWESU AWESU TIMU YA TAIFA/WACHEZAJI WAMECHEZA VIBAYA/HATUJI TENA
MCONGO WA SIMBA ACHARUKA AMVAA MZIZE/KOCHA ANAMUACHA SAMATA KWA AJIRI YA MZIZE/WAMEKOSEA SANA
zhlédnutí 2,6KPřed 19 hodinami
MCONGO WA SIMBA ACHARUKA AMVAA MZIZE/KOCHA ANAMUACHA SAMATA KWA AJIRI YA MZIZE/WAMEKOSEA SANA
GOD YANGA ACHARUKA AMTAKA AWESU AWESU TIMU YA TAIFA/AWAVAA WACHEZAJI WA TAIFA STARS
zhlédnutí 13KPřed 19 hodinami
GOD YANGA ACHARUKA AMTAKA AWESU AWESU TIMU YA TAIFA/AWAVAA WACHEZAJI WA TAIFA STARS
MZEE DEWJI ACHARUKA AMVAA SAMATA/AICHAMBUA MECHI YA TAIFA STARS/AWAVAA WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA
zhlédnutí 766Před 19 hodinami
MZEE DEWJI ACHARUKA AMVAA SAMATA/AICHAMBUA MECHI YA TAIFA STARS/AWAVAA WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA
Uko vizuri Sana mzee Magoma,ila mazuzu hawaelewi kitu tatizo ni njaa za supu wanazokunywa kila siku.
Huyu angekuwa Afrika kusini mpaka leo tungeshamsahau.
Huyu mzee ukimsikiliza sana utajua katumwa na wale, halafu muda wote anawaza maokoto tuu. Kuna ajabu gani wawekezaji wakiongezeka??
TUMEKUELEEA WEE KIBUDAA
Huyu Mzee anajua sana sheliya ubaya ubwera
Hapa mwanashelia hakuna hajawai kushinda kesi hata moja kilaza huyu
Mzee magoma wewe ndio yanga kindakindaki haswa suala la mwenyekiti ni muhimu
Huyu mzee kuna siku mtamuelewa tuu nyuma mwiko😂😂😂
Anajua
Huyu mzee huna kazi ya kufanya maana yanga inawashaboki wangap Tanzania zima wote waingia
Makolo mchukueni Magoma awe kocha na mwanasheria wenu
Huyu Mzee anaongea point za msingi Sana ila uto mashabiki oyaoya wanambeza Bure ila watamuelewa badae baada ya kuwa washapigwa kichwan cz Bado waapumua
Huyu mzee anawazidi wasomi wote wa yanga
Wazee wa hovyo kabisa 😀
Utoto plus! Milioni 30 ilipwe kwa awamu mbili na klabu kubwa kama Yanga?
Hera ya mwehu huliwa nawelewa
Umenunua mchezaji kabla ya dirisha kufunguliwa?Na ulimnunua akasaini mkataba wakati alikuwa anachezea Fountain gate,je hapo hakuvunja kanuni?Ulizwa maswali wewe.😂😂😂
Kwanini hamkujibu barua ya Fountain gate mkalipa juu kwa juu?
Yanga hatuna mwanasheria imara bali huyu jamaa anaganga njaa hajui kuishauri clabu
Tarehe 7 mwezi wa saba?? Na makubaliano yalikua ya tarehe ngapi vile?
Mlimlipa kagoma ambae hajasign kabla ya kibabage aliecheza kwenu miezi 6 ??
Kwamba mlimlipa kagoma ambae hajawachezea kabla ya Kibabage?? Ambae kashawachezea? 😊
Muongo muongo
Wewe acha kudanganya umma ata Kwa morsoni ulidanganya ukashindwa wewe ufai kua mwana Sheria wewe tapeli kabisa daaaaa
We mzee utafungwa jera
Muongo Yanga inakushitaki wew kwa jinai hawafanyi kosa nenda kashitaki
Na nyie waandishi uchwara mnafanana tu na huyo mnaemhoji ---- " halafu atufafanulie " kazi ya kanisa maana yake nini "
Wee akili finyu Yanga inaenda sajiri mamilioni ya wanachama watakaa ukumbi gani
Atakae ifungia yanga nan kwenye hii inch
Tanzania tupo zaidi ya milioni 70 wanaoingia bungeni ni watu si zaidi ya 350 jee tukaingie bungeni watu wote
Mzee zama zako zimeisha, mlishindwa kuifikisha yanga enzi zenu, waachieni vijana wafanye yao hata kama wanaiba mabadiliko yapo, wewe subiri kesi yako ya kugushi.
Mzee Magoma anaonekana ana uelewa mkubwa wa Sheria kuliko Mwanasheria wa Yanga
Mzee Magoma, Mimi ni Mwanasheria na niko Mwanza hapa... Unaongea usivyo vijua wewee😂😂 Wewe sio mwanachama wa FIFA ndo maana umekwenda kwenye mahakama za Kiraia, uko sahihi sana Yanga wanapokuwa na kesi na mtu au taasisi au timu isiyo mwanachama wa FIFA, unadhani watashitakiana wapi?? Wakikushitaki wewe FIFA ili ulipe hizo milioni 70 za fidia na wewe sio mwanachama FIFA, Usipolipa FIFA wataku trit vipi?? Usiwe mpotoshaji wewe bhana, na kama kuna mwanasheria anakufanganya basi mdai fedha yako anakupotosha na utaonekana huna akili... Yanga wako sahihi kwa 99.9% na ndio maana wanashinda kesi zako zote........ Acha kujitoa akili kwa kuingilia taaruma za watu na kuzifanya ni kama za dalasa la saba...
😂😂kama wewe kweli mwanasheria basi vyeti vyako vichunguzwe kwakweli!! Mbona magoma yuko clear kabisa, kawashtaki body of trustees wa Yanga ambao ni kina mama karume sasa hawa wanaoshinda now wa 2021 wanatoka wapi ambao hata katiba yao haijasajiliwa kuiongoza yanga!? Hebu jibu haya kama mwanasheria.
@@heimkon7236 Hii nikwa taarifa yako tu wewe usiye jua kitu... 1.Sio kweli kwamba katiba ya Yanga haijasajiliwa. TFF hata BMT isingeweza kuruhusu hilo 2.Soma vizuri huja yangu ili uelewe vizuri ndg 🙄Nimezungumzia juu ya mzee Magoma kushtaki FIFA au kushtakiwa FIFA, kuwa ni jambo lisilo wezekana, kwa kuwa FIFA haitambui uana chama wa Magoma... So kama yeye mzee Magoma alivyokwenda Mahakama za kiraia, ndivyo naye anapaswa kuwajibishwa huko... Kwa hili Yanga wako sahihi
Hiyo katiba unayoikomalia haipo Magoma, kale mihogo.
Magoma muda wa ninyi kula bila kufanya kazi umeisha.
Jina la kagoma lipo caf lipo fifa ni mchezaji wa simba nyie hamjawahi kushinda kesi simba wamemnunua kagoma huko singida haya lini alikua mchezaji wenu?
Kwa huyu mzee yanga hatuvuki salama,
sahihi 🥊😢
Media za ajabu kichwa cha habari simba habari Taifa stars
Kwa hiyo tatizo liko wapi
Kagoma hakuwa FREE Agent. Kauzwa na club yake na wametoa relise letter. Yupo SSC na ni mchezaji wao halali.
Karia hakustahiri kua rais , nimpumbavu mmoja , kwani kila muda anatumia hasira zake tena bora atoke , anaweza kumpisha mtu mwingine na nchi ikafanya makubwa
Bila shaka wewe ni mshabiki wa yanga😂
Huyu mzee Ana hitaji kukaa na muwekezaji na kamati zake wamueleze pesa ikiwekezwa ina simamiwa na alie iwekeza. Si vinginevyo
Magoma kwa hiyo na wewe unataka maokoto kama Azizi K sio wewe si ushasema ulikuwa unacheza Yanga B sio wewe wacha tamaa za bange. Magoma hapo umeangukia pua ujuwe hivyo Eng. Heris sio muhindi ujuwe hivyo. na una lolote unapoteza wakati wako bure
Salehe unachukuaje sauti kwenye midia zako mbona ukiwek hef foni hausikiki???
Caption za Simba ndio wanaona hawa Wachambuzi Uchwara zitawapa viewer's, wameweka caption hiyo kwa story zao tofauti ili watu tupite kwa page yao
Daaaa simba inawaumiza watu kichwa ety mechi ngumu and out of point😂😂😂😂
Magoma tulia GSM afaidi😂😂😂😂😂
Uchambuzi mzuri but ni wa taifa stars simba kaingiaje sasa?
Unazingua