ALI KAMWE; NITAJIE HATA SHABIKI MMOJA ANAETAKA ENG. HERSI AONDOKE YANGA, YULE MLIYEMUONA SIO BALEKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Komentáře • 85

  • @AbdurahimMohd
    @AbdurahimMohd Před měsícem +12

    Pablo mwamba unaupiga mwingi dam yang wakuzingatie kwenye maslahi yako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d Před měsícem +13

    Uyo mzee katumwa uyo mshenzi sana tunahasira nae uyo!!

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem +5

    Semaji la kimataifa nimekuelewa sana na nimekupenda Kwa ni mtulivu na unajibu maswali Kwa ufasaha

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 Před měsícem +4

    Dah kweli nmeamini ule usemi Mahakama pekee ndo itaifunga Yanga , now naona Kolo na Mzee wao wa mchongo wameanzisha Magoma Cup 😂 Pre season

  • @HilaliAhmadi
    @HilaliAhmadi Před měsícem +5

    Hilo jambo linahitaji ability mdogo sana kulielewa, havi jimbo linapomchaguwa mbunge mmoja kuwakilisha wanna wananchi vote hilo halitambui?

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r Před měsícem +5

    Nomaa

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Před měsícem +1

    me naona alikamwe ungewanyamazia awa waandishi make wanajali tu likes coment na views siku hiz na sio kuielimisha jamii

  • @asnalimtv7690
    @asnalimtv7690 Před měsícem +5

    Crown sports naona mnafika mbali Sana japo kuwa bado ya kisekali bado hamripoti

    • @dicksony8367
      @dicksony8367 Před měsícem

      Umejarb kumufatilia kikeke? Sikiliza kasiri la kikeke yeye ndo anadili na masuala ya kiserikali

    • @babujohnmwita4337
      @babujohnmwita4337 Před měsícem +2

      Angalia kasri la kikeke

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před měsícem +16

    Semaji La Wananchi Mpak Kihama💚🇹🇿🔥

  • @IbrahimHaji-o9o
    @IbrahimHaji-o9o Před měsícem

    Thnk u aly kamwe kivipi au cjaelewa .kama kuna aliemwambia ivyo semaji la nchi zote .bc ajipe yye thanx ajishukuru na aache kushabikia mpira wa miguu.

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Před měsícem +3

    ni kweli hata leo apa jirani yangu wapo madunduka walikua wanafurahia eng erisi anatoka yanga ila mim niliwakata kilimi baada ya kuwaonesha mwanasheria akiwa anafafanua wakakosa la kuongea

    • @user-vi7ly9zh1q
      @user-vi7ly9zh1q Před měsícem

      Watukome kabisaa Makolo watuache naraha zetu 💚💛💛💛💚

  • @yuzotheshark9343
    @yuzotheshark9343 Před měsícem +4

    Yanga bingwa

  • @ahmedimakope
    @ahmedimakope Před měsícem

    Huyu Kuma kila akiongea Yeye anawagusia Simba tu
    Sasa mnataka kutuambia yule magoma ni Simba
    Huyu jamaa anaforce sana kushikana na wanasimba mkundu wake jambo Lenu unasema timu nyengine zinahusika vp hapo

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před měsícem

    Pablo mtangazaji bora wamichezo anaekuja kuwa bora africa nakukubali kaka

  • @saidyussuf-my8ew
    @saidyussuf-my8ew Před měsícem

    Sawa kabisa ali kamwe umefafanua vizuri nimaluki wanataka tupoteane

  • @MalakiaMwantage-y5c
    @MalakiaMwantage-y5c Před měsícem

    Hivi uyo mzee hajion kama amezeka au anataka pention

  • @ZulfaJevejeve
    @ZulfaJevejeve Před měsícem

    hauna baya Kamwe ,ILove u msemaji wety

  • @PassamMuyinga-gd6pl
    @PassamMuyinga-gd6pl Před měsícem +9

    Magoma usituvuruge tuache ulilolipanga aliwezi kuwa

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 Před měsícem

    Noma sana

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu366 Před měsícem

    Suala la ujasiri wa mtu kufoji sahini za wajumbe siyo la yanga waachiwe idara husika watajua nani wahusika.

  • @yussufally8668
    @yussufally8668 Před měsícem +2

    ❤❤

  • @user-um2gk3ix3s
    @user-um2gk3ix3s Před měsícem

    Uyo mzee afe tu azikwe

  • @saidyussuf-my8ew
    @saidyussuf-my8ew Před měsícem

    Wewe ni jiniazi semaji

  • @trendings1293
    @trendings1293 Před měsícem

    Mahakama wajaribu kumkabithi yanga,tutamchomea humo ndani hatoki

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 Před měsícem +1

    😊

  • @ceankiiza9945
    @ceankiiza9945 Před měsícem

    Kiukwel mm nimefulahi Kukuona uku Kaka unafanya Kazi nzuri Aisee wazingatie Naokoto

  • @user-wg2vl1rh4l
    @user-wg2vl1rh4l Před měsícem +1

    Tuko pamoja Semaji hatulalamiki

  • @SAKINAJUMA-ey8qd
    @SAKINAJUMA-ey8qd Před měsícem +1

    Sio baleke na leo ameonekana pia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem +2

    ✌️👊👍.

  • @omarmhamed-sv7dx
    @omarmhamed-sv7dx Před měsícem

    Mbona Haji Manara kimya

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 Před měsícem +1

    Pablo🔥🔥🔥

  • @emanuelimola4721
    @emanuelimola4721 Před měsícem +1

    Uyo mzee awe makin na wanachama wa yang watu nana asira adashidwa kupita mitaani na uwanjani watu wata mtafuna

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 Před měsícem

    Nakubali

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Před měsícem +1

    Magoma hapelekwie

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata Před měsícem +1

    Changamoto na mafanikio ni mapacha tutavuka kwa ujasiri mkubwa.

  • @neemaisrael688
    @neemaisrael688 Před měsícem

    DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 Před měsícem +2

    Wapi JUMA AYO🔥🔥 mzee wa kwa mpigo zaidi🔥🔥

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 Před měsícem +1

    HUYU JUMA NGOMA ANAONEKANA NGOMA KWELI,TUNAMSHAURI AACHE MAMBO YAKE YA UNGOMA.WANANCHI WENYE AKILI HATUTAKI KABISA MAMBO YA UNGOMA NGOMA.TUNAJUA UNATUMIKA KWA KUWA WEWE NI NGOMA.WEWE MNGOMA ENDELEA KUJIPAKAA AMBI TU.MATOKEO YAKE UTAYAONA MUDA SI MREFU.

  • @user-vj4ip8cp5h
    @user-vj4ip8cp5h Před měsícem +1

    Kwanza magoma anasura mbaya km uchi wa nguruwe

  • @Rahmaomary-i9z
    @Rahmaomary-i9z Před měsícem

    Huyo mzeee katumwa xio xir naitwa iddy kibamba kutoka tabora

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před měsícem +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 yanga imala 🎚🎎

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Před měsícem +1

    Magoma hana haki na yanga lazima hazungumze

  • @yakobomanyanguy1733
    @yakobomanyanguy1733 Před měsícem +1

    magoma jitasmin kwanza Kwa yanga hii

  • @buzaglomichael4339
    @buzaglomichael4339 Před měsícem

    Kama Magufuli pa1 na mazuri yote watu wakamuua Hersi yeye nani asipingwe😂😂?,.

  • @DanAunty
    @DanAunty Před měsícem

    Anayeweza kusema aondoke huyo nimakoro yanga ya sasa inasababisha tunenepe hata kama huna hela

  • @IzackMasaki
    @IzackMasaki Před měsícem +1

    Ukitumiwa uliza ulikotumwa

  • @user-wg2vl1rh4l
    @user-wg2vl1rh4l Před měsícem

    Semaji mwambie tushatoka huko cc na wenye D2 tushawafahamu shoga hao

  • @NayroonAbdul-m3b
    @NayroonAbdul-m3b Před měsícem

    Ningefarijika sana pablo ukawa hapo yanga tv ww ni nonge la prstr

  • @paulmasunga1754
    @paulmasunga1754 Před měsícem +1

    juma magoma hata kula yake ishu hii hela ya kufungulia kesi Ametoa wapi

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před měsícem

      Hapo sasa! Alikua anaishi kwa mamake,alipomfuza kaenda kwa mwanamke! Kazi yake kuchomelea vyuma😂😂😂😂ataiweza Yanga?

  • @JamalyzoMilanzi-h2d
    @JamalyzoMilanzi-h2d Před měsícem

    Ukweli utabaki kuwa ukweli jamaa ajachanguliwa na wanachama wa yanga uyo kateuliwatu na GSM

  • @KarangwaDavid-nr8cm
    @KarangwaDavid-nr8cm Před měsícem

    Watuachiye yanga yetu magoma unatutia mikosi2

  • @AffectionateAirboat-ug9we
    @AffectionateAirboat-ug9we Před měsícem +1

    Shida ikopale pale tareh 8 tunampiga simba namagoma wake

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 Před měsícem +1

    🔥🔥🔥

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem

    Yanga kwisha

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh Před měsícem +1

    Kumbe aka ka alikomwe ni kajinga

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Před měsícem

    Huyo mzee magoma anakaa wapi Kwanza nataka nionane nae ili nideal nae physically😅😅😅😅

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 Před měsícem +1

    Huyu mzee katumwa kama mayele alivyo kuwa ametumwa,wametushindwa uwanjani naona sasa wanakuja kivingine alaoo hohohoho kwanza huyu pimbi nikibaka mzoefu na hawo wajinga wezake hawajielewi,ukabidhiwe team maana team nikama mwanamke aliye muoa huyu mzee nimjinga wa karne

  • @machage-l1j
    @machage-l1j Před měsícem

    kwa hiyo mnajua mashabiki udaifu wao ni kujua mmesajiri na si kujua faida ya kilabu tunaomba tuone faida na si hasara je huo uwanja utajengwa lini pia tunatakiwa kuwa makini na huo uwanja usije ukajengwa kumbe ni wa mtu binafsi

  • @machage-l1j
    @machage-l1j Před měsícem

    swali je washabiki mnajua tim tunapata asilimia ngapi kama timu na mwekezaji anapata asilimia ngapi? yaan tunashinda halafu tunapata hasar

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala4540 Před měsícem +3

    Katiba ya mwaka gn

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před měsícem

      Ingia website ya yanga

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před měsícem

      Katiba Zimebadilishwa kisheria mara 3 ,,,1968,,,,,,1992,,,,,,,2010,, Mwaka 1995 ilifanyika mabadiriko kidogo khs " Trustees" Body ya Wadhamini. Mzee yy bado ana katiba ya mwaka 1968

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 Před měsícem

      ​@@damianmcba9525 Katiba ya sasa imebadilishwa 2021.

  • @machage-l1j
    @machage-l1j Před měsícem

    lakin pamoja na hayo yote nina swali wadhamin wa yanga wanavuna asilimia ngapi na tim inavuna asilimia ngapi, hivi kama timu inabaki na ngapi sas nyiye nao ni wapigaji tunashinda ndiyo ila tunabaki na hasara inakaaje naomba mjithathimin haiwezekani timu isiwe na hasara

  • @machage-l1j
    @machage-l1j Před měsícem

    timu inapata hasara na huku tunashinda inakuaje hapo

  • @user-zv3rm3st3b
    @user-zv3rm3st3b Před měsícem

    Magoma akashabikie pande zingine,ila siyo yanga african

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Před měsícem

    Hakuna taaluma hapa duniani ina wajinga kama taaluma ya sheria

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Před měsícem

    Magoma ni Jeshi la mtu mmoja magoma yuko sahihi siku zote wajinga ni wengi tu

  • @user-qm8vm9hd5x
    @user-qm8vm9hd5x Před měsícem

    Yanga bingwa

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 Před měsícem

      WEWE AHMEDADAN-PO5PS-USIITE WATU WAJINGA WAKATI WEWE UNAONEKANA KUWA NA AKILI YA KIKE,KWANI WATU WATE HAPA TANZANIA WANAMPENDA AU WANAUKUBALI UONGOZI WA NCHI?MBONA HAWAENDI MAHAKAMANI?AU HUJUI UHURU WA MAONI,HAPA TUHOJI UHADIRIFU WA MAHAKAMA HASWA MAHAKIMU,WAMEKUWA WAKITUMIA NAFASI ZAO KUWA CHANZO CHA MIGOGORO,KWANI SISI WOTE TUNALINGANA HAKI TKT MAISHA?KAMA HUNA HOJA HIZO COMMENT ZA KUITA WATU WAJINGA PELEKA KWA GIRL FIRND WAKO UNAYEMDANGANYA.