MZEE MSUMI" HATUMTAMBUI MAGOMA/ANATUMIKA KUCHAFUA KLABU/KUNA WATU WAMEJIFICHA NYUMA YA PAZIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Leo July 17,2024 Mpenja TV Tumefika Makao Makuu ya Yanga Jangwani na tumezungumza na baadhi ya Wazee waliopo kwenye Baraza la Wazee wa klabu hiyo, Kuhusu kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo mara baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa uamuzi wa uongozi uliopo Madarakani, ukiongozwa na Eng Hersi Said ung'atuke madarakani.

Komentáře • 201

  • @ZanikMwakanyamale
    @ZanikMwakanyamale Před měsícem +22

    Safi sana angalau akili yangu imetulia... kweli daima mbele nyuma mwiko 💛💚

    • @hawajohn749
      @hawajohn749 Před měsícem

      Mimi nilivoona hizi taarifa nilivurugwa kiukweli

    • @Ramadhani-y6e
      @Ramadhani-y6e Před měsícem

      Mwenyewe kidogo I'm happy now

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax6459 Před měsícem +14

    Asante Mzee wetu Umeongea point zote sisi ni Yanga moja tusonge mbele

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před měsícem +27

    CHANGAMOTO ZITAIFANYA YANGA ICHUKUE KOMBE LA AFRICA CHAMPIONS LEAGUE....WANACHAMA TULIENI EVERYTHING WILL BE ALRIGHT....VIVA YANGA VIVA.❤LOVELY YANGA.

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Před měsícem

      Kipeni moyo

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před měsícem

      Soma ulichoandika kabla ya ku share,,, utajitukana bure kisa yanga inakuumiza roho " # Daima mbele ​@@AishshibnShibani

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Před měsícem

      @@damianmcba9525 nikitukaba sindio vizur ww yanakuhusu nn kama nimekosea embu pelaka mwiko wako uko nyuma

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Před měsícem

      @@damianmcba9525 kwaro gani yakuniuma kisa utopolo

  • @ruthkami2273
    @ruthkami2273 Před měsícem +11

    Mzee Msumi Mungu akutunze

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Před měsícem +50

    Kateni rufaa akishindwa hiyo mzee afutwe uanachama mnapata tabu na mtu mmoja hiyo hataki maendeleo ya yanga

    • @GraceMarine-vo9hu
      @GraceMarine-vo9hu Před měsícem +2

      Yeye mwenyewe ameshakataa amesema hicho kinachotambaa mitandaoni kimetoka wapi? Kina lengo lakumchafua, anadai endapo angekuwa amepeleka kesi mahakamani na akashinda kesi inamaana yeye ndo angepewa nakala ya hukumu kisha yeye angetuma watu wake waipeleke yanga,
      Sasa yeye hana nakala ya hukumu, hana nakala aliyoituma yanga ameshangaa tu nayeye ananyooshewa kidole bila kujua yanayoendelea mitandaoni yametoka wapi

    • @rahmaabdul1820
      @rahmaabdul1820 Před měsícem

      MPAKA hapa tunapoongea sio MWANACHAMA WA yanga maana tangu KADI mpyaa zitokee hajajisajilo

    • @chinaaudax6459
      @chinaaudax6459 Před měsícem

      Rufaa ya nyokwe

    • @IjumaaIjumaa
      @IjumaaIjumaa Před měsícem

      @@chinaaudax6459 rufaa ya nyokwe

  • @mcnakupenda
    @mcnakupenda Před měsícem +12

    Mzee yupo vizuri sanaa

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před měsícem +10

    Msumi Asante ngojanijiandae nikanywe kahawa umenitia moyo sana.

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 Před měsícem +18

    Ikithibitika Magoma anayumika kuiharibu Yanga ahukumiwe kwa kosa LA kuifhalilisha klabu na uongozi wake

  • @TwahirAlly-w4g
    @TwahirAlly-w4g Před měsícem +8

    Nipeni namba za huyu mzee ana facts sana nimtumie chochote ila huyo magoma jau sana ni simba huyo

  • @user-bj7kd8es2x
    @user-bj7kd8es2x Před měsícem +17

    Akitoka Engnea tutaandama kakenya wakalale tutpiga watu huyo magoma.

  • @user-ym4pf9ib6o
    @user-ym4pf9ib6o Před měsícem

    Huyu mzee ni adhina ya taifa letu ana elimu ya kutosha pia ana uwezo mzuri wa kuifadhi nyaraka za taasisi mungu akubariki baba angu

  • @kazimilykulwa2516
    @kazimilykulwa2516 Před měsícem +7

    Huyu mzee Yuko vizur 🤝🏾

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 Před měsícem +2

    Umeelezea vizuri sana, watu huwa tofauti sana ata ukiamka ugawe maadazi kila siku kwa majirani Kuna wengine watasema umetuona hatuwezi kutafuta hela ya kununuliia maandazi amaanisha nini si kila umuonaye akufurahie, kuteseka kwako ndio furaha kwa mwenzako

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Před měsícem +27

    Magoma tuna kaziii nae 😢😢

  • @leonardbihemo4797
    @leonardbihemo4797 Před měsícem +7

    Huyo hakimu pia aliyesikiliza kesi achunguzwe huwezi anadhalilisha mahakimu wenzake

  • @user-ws5uj8rz6r
    @user-ws5uj8rz6r Před měsícem +5

    Mzee nazingua kama kashiba makana mwembieni akacheze anako chezaga atuwache naichinia uwetu

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy Před měsícem +6

    😂😂😂 kashayatimba kwa wazee uyu magoma ngoja wamnyooshe

  • @user-nx9sm2ry3g
    @user-nx9sm2ry3g Před měsícem +1

    Safi sana nimejikuta nalala vizur sana mzee umepigaje hapo?

  • @HabibuHeri
    @HabibuHeri Před měsícem

    Asante mzee msumi nimekuelewa yanga tupo pamoja

  • @Mudathir-tx1md
    @Mudathir-tx1md Před měsícem +6

    Magoma ni mdogo wake mangungu kabc😂 sasa kazi ipo

  • @josephmwangita7041
    @josephmwangita7041 Před měsícem +1

    Asante mzee wetu

  • @hawajohn749
    @hawajohn749 Před měsícem

    Nimekupenda Bure mzee msumi

  • @mgobanyapazi7738
    @mgobanyapazi7738 Před měsícem +1

    Anatafuta kufa bila kujijua. Mzee Msumi anajielewa sana. Sijui huyo Magoma kama anafika hapa kwa uelewa alionao Mzee Msumi

  • @user-lq1fm4dj2n
    @user-lq1fm4dj2n Před měsícem

    Mzee mungu akubariki

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 Před měsícem +4

    Magoma na Mangungu ni ma homeboy ndo maana wanafanana😅

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Před měsícem

    Huyu ni Mzee wa maana kabisa tuachane na magoma

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Před měsícem

    Asante Mzee msumi

  • @alexsikab6433
    @alexsikab6433 Před měsícem

    Magoma aje Simba ndo tuwe tuna washenyenda vizuri

  • @elment7269
    @elment7269 Před měsícem +2

    Mzee anapoint sanaa

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 Před měsícem

    Wananchi tumechukia mno mno kwa kweli,atuondolee nuksi hapa,Magoma umetuudhi

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    KATA MIRIJA YOTE YA HAO WAZEE WALIZOEA KUZURUMU DAMU ZA WACHEzAJI NJAA ZINAWASUMBUA, bRAVO ENGINEER KWA MAENDELEO MAKUBWA YANGA , MIMI NI SIMBA LAKINI BIG UP KWA ENGINEER MFANO WA KUIGWA!!!

  • @rigobertdimoso6637
    @rigobertdimoso6637 Před měsícem

    Hukumu itelelezwe haraka kama viongozi hawajakata.rufaa
    Magoma apewe timu yake kashinda kesi kwishaaa

  • @MariaNicolaus-uk8of
    @MariaNicolaus-uk8of Před měsícem +1

    Upo sawa baba washindwe kabisa kusambalatisha yanga

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn Před měsícem +3

    Mzee naomba namba yako nikutumie hela ya soda,pili huyu kagoma mnyanganyeni kadi ,kagoma ni mtu wa simba na mo anawatumia

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Před měsícem +1

    Saf mzee wangu

  • @user-kz8di5th6e
    @user-kz8di5th6e Před měsícem

    Mzee msumi upewe mauwa yako 🎉🎉

  • @MuddySalim
    @MuddySalim Před měsícem

    Good up sanaa mpeni salamu magoma

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 Před měsícem

    Mzee anajielewa sana🎉🎉🎉🎉

  • @TravisGvn
    @TravisGvn Před měsícem

    Interview bora hii 👏👏

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Před měsícem +1

    Nicee

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před měsícem

    inamaana izi mahakama zetu zinapokea tu kesi bila kuangalia ukweli wa kesi hizo

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před měsícem +4

    Kwani mahakama inatoa hukumu bila kuwepo mshitakiwa ? Huyo magoma ameendaje huko ?

  • @mohamediibrahimu7064
    @mohamediibrahimu7064 Před měsícem

    Uko vizur mzee umetoa elimu tosha

  • @OmarySamata
    @OmarySamata Před měsícem

    Mzee unaongea point sana

  • @robertmswanyama8488
    @robertmswanyama8488 Před měsícem +7

    Kwanza sio mwanachama hai iyo mahakama inasikiliza kesi iliopelekwa na mtu ambae sio mwanachama hai iyo hukumu ajaielewa kabisa na atuto waelewa

  • @user-qw2ti8mo1b
    @user-qw2ti8mo1b Před měsícem +3

    Safi sana Mzee

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 Před měsícem

    Jamani huyu Magoma angekuwa Wananchi tulivyochukia?Au kuna Siri nyuma ya pazia? Maana wenye vyeo nao wanaweza kuvuruga jambo jema kwa kumtumia mtu wa chini kabisa! Sura yenyewe ya Magoma inaonyesha ni mtu wa kuomba hata hela ya mboga,Kweli ndiyo tumpe tomu mtu kama huyo jamani

  • @user-uk9vr6yk5v
    @user-uk9vr6yk5v Před měsícem +1

    Magoma tuna kazi naye ameyatimba

  • @DottoMoshi-x9o
    @DottoMoshi-x9o Před měsícem +1

    Uyo mzee magoma ameyatimba bola ata akacheze anako chezaga

  • @EmanuelMika
    @EmanuelMika Před měsícem +1

    Mzee wa yanga umefafanua vzr

  • @rigobertdimoso6637
    @rigobertdimoso6637 Před měsícem

    Magoma yupo sahihi na ndio demokrasia yenyewe

  • @LisiasiFanueli
    @LisiasiFanueli Před měsícem

    Huyo mzee maga Hana mpango anatafuta kk yakujulikana anaona jua linatua bila kujulikana

  • @ImanueliMwakajinga-ry8ig
    @ImanueliMwakajinga-ry8ig Před měsícem

    DAIMA MBELE NYUMA MWIKO🙌🏽🤗

  • @edwardchecha-gz7sr
    @edwardchecha-gz7sr Před měsícem

    Mzee katulia kweli Katika maongezi yake

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Před měsícem

    Mzee msumi anatetea ugali wke UTOPOLO lkn mzee magoma yupo sahh 😂😂😂

  • @ZephaniaMgaya-ns5vm
    @ZephaniaMgaya-ns5vm Před měsícem +12

    Huyo mzee magoma ni chizi akapimwe milembe

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Před měsícem

    Kweli baba ilo magoma lifuteni uwanachama lisiwaumize kichwa yeye nani katika timuyetu nyinyi ndiowazee mnaojitambawa ilo magoma halijitambuwi lifukuzeni lisitualibie timuyetu wehu huyo

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Před měsícem +2

    Hawa wenye vichwa vinavyoelekea Kiisugu

  • @hashimurashidi6573
    @hashimurashidi6573 Před měsícem +3

    Wapeelim mzeewangu

  • @PhilimoniKazungu-bi2ru
    @PhilimoniKazungu-bi2ru Před měsícem

    Magoma nimabaki ya mzee akirimali

  • @MahmoudKhamis-cv9pi
    @MahmoudKhamis-cv9pi Před měsícem

    Huyo mzee anaelezea Katiba ya Sasa laki kesi aliyo shinda Magoma ni Katiba iliyo pita kabla kuundwa ya sasa

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před měsícem +1

    Daaah.....afadhari naanza kupata amani ya moyo ila magoma

  • @yakubuipariro6392
    @yakubuipariro6392 Před měsícem

    Magoma akapige2 ngoma takukur wamchunguze inawezekana katoka kuzim kwan hao sindo wanaouuza viwanja mbingun😮😮😮😮😮

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf Před měsícem

    Anatumiwa na watu wavuruge kwa uwezo wa mungu huyu shetani magoma mbwa kabisa tena mshenzi

  • @ridhiwanijuma5743
    @ridhiwanijuma5743 Před měsícem

    Kumbe tuna wazee wenye akili nyingi kuliko ata wachambuzi

  • @FrancisBogori
    @FrancisBogori Před měsícem

    Huyo Mzee me nikwambie yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @michaelmpangwa6366
    @michaelmpangwa6366 Před měsícem

    Hilo zee Lina njaa hakuna kingine njaa tupu

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu7532 Před měsícem

    Huyo mzee bahati Yake yaan angekuwabmtaani kwetu si tungemuongezea kiparaa aseee

  • @MombokaMomboka
    @MombokaMomboka Před měsícem

    Msumi uwezikusemakweri godoro unaroraria rinachapa GSM.

  • @user-ru1yk6tc7w
    @user-ru1yk6tc7w Před měsícem

    Sawa mzee

  • @sadicksalekhe
    @sadicksalekhe Před měsícem

    Hao wazee wote hao ndio wanachangia kuiloga simba

  • @KhamisHassan-ql5ut
    @KhamisHassan-ql5ut Před měsícem +1

    KESHATUCHOKOZA MAGOMA NGOJA TUMTIE UBOVU NA HATUMUACHI

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 Před měsícem

    HARAKA SAAANA WANACHAMA KUJADILI NA KUPITISHA HAO WAWILI KUFUTIWA UANACHAMA WAO HARAKA SAAANA

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises Před měsícem

    uyo mbwa magoma, asitake kutuona wabaya,magoma magoma,kama autkaki kuishabikiya yanga toka 😮

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 Před měsícem +1

    👏👏👏👌💛💚💛🙏

  • @SammyMwita-z7e
    @SammyMwita-z7e Před měsícem

    Hyo mahakama imerogwa,,,,,,wameona yanga inaendelea vzuri wanaleta longo longo ikasome kwanza Allah

  • @AbdallaShaban-j1q
    @AbdallaShaban-j1q Před měsícem

    Huyo mzee atuachie yanga yetu mzee mchaw huy katumw

  • @user-ut9zv7ft1g
    @user-ut9zv7ft1g Před měsícem

    Wafafanulie vixuri kwa sababu wameshikilia kidedea mno

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 Před měsícem

    DAWA NI KUFUTIWA UANACHAMA WAO HARAKA SAAANA WANACHAMA KUJADILI NA KUPITISHA HAO WAWILI KUFUTIWA UANACHAMA WAO TUUFUTE SABABU NI WASALITI WAKUBWA

  • @valentinoswenya748
    @valentinoswenya748 Před měsícem

    Watu wasiojulikana wausike nae uyo mzee

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o Před měsícem

    Magoma uko vzr broo

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před měsícem

      Huyu sio magoma huyu ni Mgumi. ,,,,Magoma ndio mzee anaeleta njaa, Zamani walikuwa wanaenda klabuni kukinga,,Sasa hivi akuna hiyo ndio mzee ana mind

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Před měsícem

    Huyo Mzee Magoma wala siyo ni tapeli wa viwanja anashinda kila siku pale Ardhi House

  • @enockjoseph3818
    @enockjoseph3818 Před měsícem +1

    Fact ni kwamba Mzee alitaka apewe nafasi flani ambayo atakuwa anapata chochote kitu halafu awe na sauti pia ifike sehemu tukomeshe huu ujinga na hii inshu jamani tunaimaliza sisi mashabiki juu ya huyu Mzee timu ikifanya vizuri wasemwe wakifanya vibaya wasemwe mashabiki tumvae huyu mtu kwanza alikuwa mwanachama huko katoka kwahiyo Sasa hivi sio mwanachama tunahangaika nae vipi ?

  • @maryfides591
    @maryfides591 Před měsícem +1

    Uyo mzee hanatafuta kifo tu😮

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi Před měsícem

    Magoma 😢😢

  • @GULIELMAS
    @GULIELMAS Před měsícem

    Wazee msibaguane. Huyo mzee magoma ni mzee mwenzenu msimtupe kwa namna moja ama nyingine. Ukimsikiliza utagunduwa kitu. Clabu mliipokea toka kwa Wazee mkiwa kitu kimoja iweje Leo mu mtenge? Bila shaka kama mngalikuwa mna jinsi ya kuwaangalia hao Wazee wala wasinge peleka case mahakamani. Acheni uroho juaneni.

  • @user-ck6lf9gg6v
    @user-ck6lf9gg6v Před měsícem

    Shida tumachagua watu kwa weredi wa kusema sio kwa uwezo wa elimu tutafute viongozi bora hakuna anaewatuma ni uwezo wao tu umefika mwisho eti unaomba ngoja niseme unasema ujinga njaa tu sasa kuwa mwanachama toka 77 umesaidia nini

  • @gaddafiswallahbawazir7999
    @gaddafiswallahbawazir7999 Před měsícem

    Magoma mirembe anaitajika 😂😂

  • @MonahMosafiri
    @MonahMosafiri Před měsícem +1

    Mbele daima nyuma mwiko

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 Před měsícem +1

    Ilo jambo la kishelia amuezi kutoa maamuzi

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 Před měsícem

    Najaribu kujiuliza swali hv kuna Club za Nje ya Nchi zina wazee kwenye uongozi wanaojiita baraza.

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Před měsícem

    Kagoma jeshi la MTU MMOJA (Putin)

  • @user-kz8di5th6e
    @user-kz8di5th6e Před měsícem

    Uyo ni paka kama mapaka walio mtuma

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn Před měsícem +1

    Hili pepo kagoma linatoka wapi?

  • @nuruelsamiu
    @nuruelsamiu Před měsícem

    Kajib mahakamn

  • @IbrahimMohammed-f2t
    @IbrahimMohammed-f2t Před měsícem

    Magoma anakitu nimegundua sasa mwnachama anafaidika na nn kwanu mashabiki na wanachama😅😅😅

  • @yuzolove7120
    @yuzolove7120 Před měsícem

    Huyu magoma tutampiga mbuzi kagoma mpuuzi sana

  • @AbdulMuhammed-e5q
    @AbdulMuhammed-e5q Před měsícem

    Me ctaki kusikia kuhusu injineer kuondok na kama akiondok tunahama yanga

  • @LisiasiFanueli
    @LisiasiFanueli Před měsícem

    Huyo Hakim alieamua hiyo kesi anafi........

  • @KhamisHassan-ql5ut
    @KhamisHassan-ql5ut Před měsícem

    HEBU HUYO MAGOMA TUACHIENI SISI HUKU ZANZIBAR TUMFANYIE KAZI