Video není dostupné.
Omlouváme se.

MIRAJI|MADHARA YA HERSI NI MAKUBWA SANA |VAR ITAONGEZA MATUKIO |SIMUAMINI AISHI HATA LIGI DARAJA 3

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024

Komentáře • 75

  • @AllyJofrey-mg6ri
    @AllyJofrey-mg6ri Před měsícem +10

    Namb moja leo like ata 3

  • @eliaminrashid9317
    @eliaminrashid9317 Před měsícem +5

    Chagamba na miraji nawakubali 80% mnafanya vizuri alafu naomba mfate mzee said umuulize ashaona think you ya jobe

  • @KajingaFuraha
    @KajingaFuraha Před měsícem +5

    Namba 2 leo

  • @PASCHALPETER-gp8ek
    @PASCHALPETER-gp8ek Před měsícem +16

    Miraji leo anafuraha sana kusikia injinia kuachia ngazi lkn nikuhakikishie miraji injinia na gsm bado wapo sana nyie simba subilini kipigo chenu tarehe 8

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Před měsícem +2

      Hahahah😂😂😂 mnajifaliji nabado

    • @Hope-ok9dy
      @Hope-ok9dy Před měsícem

      Mwambie akuelewe ongeza sauti naona hakusikii

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 Před měsícem +1

      Hajabisha 😂😂😂

    • @lazaroaloyce6649
      @lazaroaloyce6649 Před měsícem +1

      Ombeni mgogoro wenu uishe kabla hatujakutana,make naona maumivu kwenu nyinyi yanga,trh 8 so mbali jiweke tayari Kwa lolote make dabi haitabiriki..

  • @deviskahamba8234
    @deviskahamba8234 Před měsícem +1

    Hivi wee Miraji huweziongea bila kumtandika mwenzio vibao mabegani😂

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani Před měsícem +4

    Nimeamini kweli viyongozi wanachama mashabiki wote hao wanamuwogopa injiniya heris bilayakuondoka hawana jeuri ya ubingwa

  • @mhehejrtv9637
    @mhehejrtv9637 Před měsícem +4

    Wa kwanza leoo

  • @markobukuku3841
    @markobukuku3841 Před měsícem +2

    miraji umeonyesha utoto sana yaan kisa goli tano poleni sana miraji umeonyesha udhaifu sana mbona magoli wengi wanafungwa gol nyingi tu

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Před měsícem +2

    Tangu usajili uanze leo ndo miraji kacheka. Hii ni wazi kuwa,adui muombee njaa. Ila nikuhakikishie miraji,ili linazidisha hasira na tunajuwa kuwa magoma anatumika.

  • @lourykibudu6180
    @lourykibudu6180 Před měsícem

    SEMA chagamba anavumiliaga sana yaani anakula sana kipigo kwa miraji
    Mda wote anakula migumi ya mabega kinoma
    😂😂😂😂

  • @user-xq8pq2ey6t
    @user-xq8pq2ey6t Před měsícem +1

    Familia unyama sana💪💪💪💪

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před měsícem +3

    Miraji sikia hiyo mnapigishwa shoti kwa ajili ya ngao ya jamii mjuwe hivyo mkizubaa Simba mtapigwa mengi hasa mkijichanganya mjuwe hivyo. Kalaga baho na ubozi wako

    • @RamadhanNgadalh
      @RamadhanNgadalh Před měsícem

      Kwan wanao fatilia hayo mamb ni viongzi wa simba au wachezaj wa simba watajichanganya wao kwan huy ni kiongzi wetu au mwana chama wetu😂😂😂

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 Před měsícem

    Kweli Chagamba hajafurai😂

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před měsícem +2

    Chagamba Mzee saidi Leo jamani chonde chonde

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj Před měsícem +2

    Leo ninapata laha sana mabega yanapigwa sana😅😅

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Před měsícem

    Miraji pandishakofia mimi kipezi chako japo mwa yanga babaagu

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Před měsícem

    Timu Rasta Huu Ndio Muda Wao Sahihi Wakufurahi Baada Yahapa Ligi Ikianza Nimauziko Nakuendelea.

  • @markobukuku3841
    @markobukuku3841 Před měsícem +3

    Kumbe na wewe miraji ni mshamba baadhi ya matukio ety mpila haupo hivyo unapotea kwenye raman

  • @Bangan-yu6sm
    @Bangan-yu6sm Před měsícem

    Miraji mpira unaujua na pia ukwrli wa injinia na mtu mafia mpaka mnalia Simba unaujua na ndo maana leo fraha teleee😂😂😂❤

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u Před měsícem

    Miraji maramoja

  • @mwankunjatyson
    @mwankunjatyson Před měsícem

    Yaan Mahakama ishatoa hukumu lakini watu bado wapo we huogopi halaaa!!😂

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Před měsícem +1

    Ila RASTA noma sana wanae

  • @user-lc6te2pe2l
    @user-lc6te2pe2l Před měsícem +2

    Chagamba mfate mzee Said Pa Omary Jobe kashapewa thanks

  • @phirimrishomandari692
    @phirimrishomandari692 Před měsícem +1

    Yanga ana mchome,Simba ana Magoma. Ubaya Ubwela.

  • @MuddyAlly-jt8rn
    @MuddyAlly-jt8rn Před měsícem

    Milaji uko zizuli baba

    • @MuddyAlly-jt8rn
      @MuddyAlly-jt8rn Před měsícem

      Miraji wahambie ukweli wapinzani wetu awajitambui

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819
    @mwlhalimoja.ekingunza1819 Před měsícem +2

    Chagamba Leo lazima uchapwe makofi ya mabega 😅😅

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 Před měsícem

    Hakuna cha ubaya ubwela wala ubila!!

  • @JumaLembile
    @JumaLembile Před měsícem +1

    Milaji manula atuache tunamshukuru Kwa aliyotutendea amini nakwambia akirudíshwa kundini makipa wengine wote tutawatukana

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Siyo kilaisi hovyoo uoni kama Simba amedhalishwa kingine waandishi wameibeza sana Simba mara viongozi wasimba wahuni .

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Před měsícem

    Hapa naona ngogwe wa kijani wanaongea uji wakati izo Gori Tano za kununua Simba walishawapiga sitaki Tano nne mabwabwa nyie

  • @raphaeltanzania
    @raphaeltanzania Před měsícem +2

    hizo mambo za Yanga zitawavuruga mpk timu itayumba sana huku mnyama ndio anakuja kukiwasha zaidi

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Před měsícem

      Ndio kawaida ya Bongo hiyo hakuna siku wataruhusu team zote mbili ziwe kwenye ubora lazima wadhoofishe moja

    • @allykawambwa
      @allykawambwa Před měsícem

      Sahau

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato Před měsícem

      Oya Rafa acha kuota Mwanangu😂😂😂

  • @hamisimtupa7327
    @hamisimtupa7327 Před měsícem +1

    Hukumu ina mwaka sasa toka ilivyotoka tatizo waandishi wa tz sio watafiti hua wanakurupuka tu sasa sijui tatizo lugha au

  • @HusseinIdrissa-ed6tl
    @HusseinIdrissa-ed6tl Před měsícem +2

    Mm wa nne

  • @jamesmaneno2281
    @jamesmaneno2281 Před měsícem +2

    Ha Leo 6 hahahahahahaay

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Před měsícem

    Watajibeba wawape chochote waze wao

  • @NaomySamwel
    @NaomySamwel Před měsícem +1

    Na nyie kumbee mikunduu et,,mnaongea kishabikii kwenye suala la yanga

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 Před měsícem

    Kweli Ata mm simwamini aende tu

  • @kadirichannelonlinetv4258
    @kadirichannelonlinetv4258 Před měsícem

    Mtasubir sana kugawanyika kwa yanga yanga ipo imara kama chuma

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před měsícem

    Kingine miraji unajadili leo kishabiki hao watu walighushi saini za wadhamini

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před měsícem

    Miraji viwanja vitaboreshwa kingine kuna Mobile truck ina kila kitu ndani itatembea vuwanja vyote vile ambavyo havina taa itaoneshwa mchana na vile vizuri utaoneshwa usiku

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Před měsícem

    Tuko pamoja miraji mpaka mwisho huyo manura aende TU.

  • @JumaKigambo
    @JumaKigambo Před měsícem

    Kuna watuuu wanalipenda bakuli inawezekana wanafaida nalo miraji (mwanakulitafuta mwanakulipata)

  • @user-gy6ru6dw1b
    @user-gy6ru6dw1b Před měsícem

    Miraji bega la chagamba litadondoka 😅😅

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 Před měsícem

    Nssf hoi kwa magoma

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před měsícem

    Mmechelewa wanasheria wa Yanga wamefafanua au we chagamba hukuwepo kwenye mkutano klabuni Yanga. Mgawanyiko hakuna watu wa Yanga wanajielewa tulipofika ni pakubwa usishangilie miraji viongozi wanaendelea kesi ile iliwahusu baraza la wadhamini siyo viongozi

    • @user-yz6ds9hn9l
      @user-yz6ds9hn9l Před měsícem

      Mta haha sana vote vibaya mlivyokuwa mnatusemea vinawarudia wenye na midomo yenu inakunyakunya kama bata watumie mawaziri wa yanga si mmefanya serikali yakwenu

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Před měsícem +1

    Uakika

  • @bobbyfiasco4311
    @bobbyfiasco4311 Před měsícem

    Manula. Mtu taja goal alofungwa la kwake. Pale. Katika 5. Zile Tano. Chuki sio miraji. 😂

  • @saidikalendo5117
    @saidikalendo5117 Před měsícem

    Chagamba mfate mzee said pa omary jobe ametoka fanya mambo bro

  • @TofaMtofalike
    @TofaMtofalike Před měsícem

    Punguza shobo milaji

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před měsícem

    Tena amechelewa mno tunasubili lini tunaambiwa anatoka

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Před měsícem

    Miraji ana ndoto za alinacha ,yaaani wana simba wana tamaaa ya fisi

  • @benadethajohn2696
    @benadethajohn2696 Před měsícem

    maramoja unatisha kaka madini yenyewe kabisa

  • @peterstewart9935
    @peterstewart9935 Před měsícem

    Mgawanyiko utokee wapi miraji wakati hakuna atayekubali Hersi ashuke?!

  • @DindoAbwe-ze8yx
    @DindoAbwe-ze8yx Před měsícem

    Twambie kuhusu clamon yupo kikosini au?

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 Před měsícem

    Mzeee saidi alisema chagamba ni yangaaa haaaaah haaaaah

  • @TofaMtofalike
    @TofaMtofalike Před měsícem

    Tukutane saa nane

  • @ArafaHamadiFonda
    @ArafaHamadiFonda Před měsícem

    sa yale mamilion ya chama atamlipa nani kweli ubaya ubwela

  • @abdulazizmpilla5605
    @abdulazizmpilla5605 Před měsícem +1

    😂😂😂

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg Před měsícem

    Ivi nyie wenzangu hua mnawaambia nini wanawake adi wanakubali kua wapenzi wenu 🤔 nataka nioe

  • @user-dy7pc4tm6u
    @user-dy7pc4tm6u Před měsícem +1

    Ongea kama mtu wa mpila wewe.unamuongelea mchezaji aliyekupa mafanikio miaka minne.sasa mtafungwa mpaka matako yenu yapige filimbi

    • @dicksonmapunda7836
      @dicksonmapunda7836 Před měsícem

      0 🧠

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Před měsícem

      Matusi hayajengi brother

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 Před měsícem

      Heeeh jamani hivi kukoment ni lazima kaaaah

    • @denischemba
      @denischemba Před měsícem

      Yatapiga filimbi ya babaako

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz Před měsícem

      Ukiona mtu ana isifia mvua ya leo kubwaa ujue ime mnyeshea ukiona mpuuzi kama huyu anaongelea uzuri wa kupiga filimbi ujue alisha jaribu kupiga philimbi na akajua ladha yake. Hawa watu wa Bara hawana adabu kabisa. Sijui wana akili gani wengi wao vijana