swali la ufahamu hilo jaman yan yeye na goli analeta upumbavu mwingi sasa chakushangaza msimu ujao viongozi wa simba walivyo mazezeta wanamuacha aendelee kukaa simba
Umepat kombe la muungano tu ushaanza kuwataj yanga kiburi icho unatolea wapi kwa mfano aloo washabiki wa simba, inshort yanga sio level yako kwa sasa chezea nyasi tu za Amani stadium kwa sasa😂😂😂
Me Simba lkn hakuna kitu hapo,hii isitidanganye kuamin kwamba team ipo vzr,team mbovu kbsaa kichefu chefu kbsaaa,,maipobadilisha uongozi tutaishia hvhv na msimu ujao
Simbaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nipeni like ata 100tu wanasimba
czcams.com/video/EBJf3j-edDI/video.htmlsi=aEtK09LKb2ValwuT
Kwa kipi cha maana apo mlichofanya😂
Asikwambi❤mtu🎉babu
LOve you Simba ❤❤
Kuliko onana bolo kobra😅😅😅😅
I love simba,❤❤❤️
SSC Nguvu Moja thabiti 💪💪💪
Tumefufukia wap Leo ila pongez ila Simba bhana kunamda inakupa furaha Kuna mdainakupa majonz ila fresh tunaish nayo tuuuu❤️❤️
Kama ulisikiliza saidoo alipohojiwa baada ya mechi utaelewa nn ufanye
huyu refa ni mzur sana awe anakuja kuchezesha dabi ya kariakoo maaan yuko poa sanaaa
Simba nguvu moja🦁🦁🦁✊✊✊✊
Mungu nakushukuru kwa kuijalia timu yangu ushindi
Amina
Huyu refa ndo number moja Kwa Sasa Tanzania
czcams.com/video/EBJf3j-edDI/video.htmlsi=aEtK09LKb2ValwuT
Kumbe mkishinda refa mzureee
@@Taito-brandTULIZA USHUZI HUO 😂😂😂
@@Taito-brandsio tukishinda kwani wew huna macho huoni kuwa huyu refa ni mzuri
Hongera mnyama unatupa furah mashabki
I love you simba
❤❤❤❤ Simba
Tatizo la simba ni utumiaji wa nafasi, nafasi 10 wanapata goal 1
❤❤❤sijawai kuwakatia tamaa
Sawa jaman simba naipenda
Jamani Azam walisema watatufunga tano ziko wapi walitudharau Sana na Mungu akakumbuka dhuluma za kayoko
Sanaaa Mungu amejua kutufuta machozi na kuwaacha midomo wazi walotukejeli..
YULE MSHENZI KANYOKO KAFUNGIWA AU
Na leo tungewadungua mengi sanaa ..simba oyeeeeeeeeeee
Kipa wa Azam yupo vizuri
SIMba finishing mbovu sana
Kabisa
Congratulations simba love you so much❤❤🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
ndio mungu Alicho tujalia
Simbaaaaaaaa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤mnyama
Simba oyee
simba ni bigwaaa anamakombe mawilii ndani ya msimu mmoja wewe je una makombe mangapi nda ya msimuu huuuu?I LOVE YOU SIMBAAA❤❤❤
😂😂 halafu mnasahau Mateso mara😅
😂😂😂😂 makombe ya looser😂😂😂
Simba nguvu moja nawapenda sanaaaaaa
Onana amekula nini mbona hatumii akili kabisa, chance tatu zote amepoteza!
Onana anakera sana
Hata mm simwelew onana pale simba bora saido japo wanasema ameisha ila bado
Saidoo anafanya kazi kubwa sana
mnacheza na mnyamaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤simbaa
Onana Mungu anakuona
❤❤❤❤❤simbaaaaaa
Mi naona Fred anakitu hebu apewe muda.
Atafika mbali
First 11 ibaki hii maana hauna 11 tangu ameingia Simba
Simba siami
Huyu onana
Huyu ndo refa anafaa kuchezesha Darby
Baada ya kubeba kombe la Wala urojo
@@user-io2rj2yp5dTULIZA USHUZI HUWO 😂😂😂😂 UTOPOLO MACHOGO FC.
Simba oyeee
Tujipoze na sisi make FA na ligi kuu hatuna cha kusubili🎉🎉🎉
Onana anasubiri nn pale simba mpaka mda huu
swali la ufahamu hilo jaman yan yeye na goli analeta upumbavu mwingi sasa chakushangaza msimu ujao viongozi wa simba walivyo mazezeta wanamuacha aendelee kukaa simba
Naomba unipe mchezaji mmoja tu sio tanzania tu dunian ambaye ajawai kukosa magoli kama alivyo kosa Onana.
No Chama, no Inonga no problem 😊
Tungeshind nyingi sema tatzo finishing. Pongez kwa ushindi Simba
simba oyeeeèèeee😊😊😊😊
Tatizo la Simba kuzigeuza nafasi wanazopata kuwa magoli mmmh
🙏🙏🙏🙏
simba unyama mwingi sana
Asante chama langu simba ❤❤❤
Kipa kajitahidi
Kumbe Simba bila kurigwa anacheza mpira na kufanya vema.?
Pale Kuna sehemu Fred inatakiwa wachezaji fulani wajifunze kwa chama kutoa v-pass inasaidia team na sio mchezaji
Ona na na babe Oh ona na na
Simba ni mbovu ila robo final ilifika
Achaa 2 enjoy
Naombeni like nyingi hapa wakwanza 😋😋😋
Kibu jaman ana nguvu
Hawa ndo waliowafunga yanga 2x1 nani zaidi hapo
Umepat kombe la muungano tu ushaanza kuwataj yanga kiburi icho unatolea wapi kwa mfano aloo washabiki wa simba, inshort yanga sio level yako kwa sasa chezea nyasi tu za Amani stadium kwa sasa😂😂😂
@@nareelhabib8725UTOPOLO MACHOGO FC
ONANA angempa FRD
Simba hawana strikers!
Benchkha hongera sana huu ni mwanzo mzuri tangu upitie mazito, I love you and I love Simba ❤❤❤❤
Vyura + rambarmba wanyamaze na wakasaidiane kuchota maji jangwani
Me Simba lkn hakuna kitu hapo,hii isitidanganye kuamin kwamba team ipo vzr,team mbovu kbsaa kichefu chefu kbsaaa,,maipobadilisha uongozi tutaishia hvhv na msimu ujao
au onana anadai!? 😭😭
Uchoyo wa v..pas kwa wachezaji
🦁
Mwamzi mbona anaonekana ni msela sana😂😂😂
Simba oyeeeeed
Kucheza tumeucheza mpr ila tumeshinda kwa mbiiiindiii saana
Fureeeeeee😂
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Azam nao wabovu munamkamia yanga Makolo wanawafunga
Yaani huyo ONANA kazingua mnooo lango lipo wazi unamsubiri mchezaji umpige chenga ili iwe je??
ANGALAU WANAPATA KUJIFARIJI ILA TIMU HAMNA
Simba tusithubutu kumwaacha FREDDY COBRAN HUYU STRIKER WA HALI YA JUU.KONDE BOY YUPO VIZURI NAWAOMBA VIONGOZI KOCHA ALISHINDWA KUWATUMIA
Hii isitufanye kutokumuondoa MANGUNGU
ولدنا محمد مصطفى ما قصر معالكم لاكن دفاعكم تعبان
😊
Onana anafanya kusudi wasimpange kabisa anatufelisha.
Azam tatizo bado kipa tatizo
Onana anazingua, ataki kutoa pasi kwa wenzake
Meng
Pita mtembwe jelad kasekese
Onana auzwe tu😅
Bench la benchika😂😂
Unyamaaaa mwingi iiiiii iiiii iiiiii
Viongozi waondoke tangu wameingia makombe yote yameondoka wasajili kina onana fred jobe sawadodo wabovu kabisa hatuwataki viongozi matumbo yaombele tu
Ila Onana🤣🤣
onana auliwe tu
Azam ni maumbwa sana. Ila kwenye ligi utafungwa tu
Yn Leo tumewkt midom wanaume yanga
We ni tahira umeshindwa kombe la wanaume huku uneenda kugombea kombe la Wala urojo
Onana is a waste of space
Hamna loolote
Fatiliya tim yako falaww
huyu niwale watangazaji wazani
😅😅😅😅 upo sahihi
Azam bado yaani kwa yanga ilikuwa ni mpaka wamuumize Pacome ndio washinde
YAMEKUWA HAYO UTOPOLO MACHOGO FC
onana fukuzia mbali
asingeshika hata kushika kombe lile maana mmmmh 🙆🙆 au basi
😅😂😂😂
Mtangazaj kama kanywa sup ya kongolo😅😅😅😅
Jaman kapoa
Ndo Allah alivyo mjalia awe hivyo
@@user-vv4rv6cj8l kweli lakn asfosi kupaji cha wengn utnfazaj humfai
Alikuwa powa hapigi kelele kama yule mpenja
Ndo kombe lenu hilo la wala urojo,ligi kuu msahau na mshukuru Yanga hakuwepo tungewala makolo nyie
Sawa pesa imeingia hahahahaaaaa simba nguvu moja
ndio, kombe letu kwan tumesema la kwenu? Simba nguvu moja
@@CholoMwamba nguvu moja tumewagonga nje ndani na mwaka huu mtasota sana
@@zainabshaban327 kweli kipofu Leo kaona mwezi,kazi mnayo mwaka huu
👌👌👌 litakuchoma sanaaaa hahahahah
Refa wa simba namkumbuka😂😂😂😂
YAMEKUWA HAYO 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOO
Hapa walikutanaWazee naWazembe
UTOPOLOKWINYO MACHOGO FC.