KUKATIKA KWA INTERNET AFRIKA, KISIWA CHA UFARANSA NA TANZANIA, KUATHIRIKA ZAIDI, HIKI KILICHOTOKEA
Vložit
- čas přidán 12. 05. 2024
- If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Oh okay from Burundi 🇧🇮 Lives in cape Town
Kwani kabla wire tulikuwa tunatumia satellite fanyeni backup kwa satellite 😅
Jana mmenifanya nisile mkeka😢
Safi sana houthsm katen nyaya zote usa na israel zfutike ndan ya 12hrs
Duh bando langu jana lilienda bure
Sijajua swala la kukatwa vifulushi wateja wanahusika vp, Intranet inasumbua inamaana watu wengi walioweka bando awajatumia Atakama matumizi yametumiwa basi ni kidogo sana Yani kwa kusuwa suwa,Sasa inakuwaje ule mda wa kuisha bando liishe wakati mtandao aukuwepo Sasa iyo asala inamuhusu nini mteja'
Amekata nani??
Hujuma za watu hizo
Kwa hivyo mnatufidiaje tulioathirika siku hiyo?
Ilitakiwa mitandao ikae iliangalie ili,Kwasababu u utakua ni unyaghanyi,inabidi iwape ofa baadhi ya asala wagawane,
Comment yangu imefika huko, maana Sina uhakika kama natumia internet kwenye simu yangu😢
Hawa wamagharibi lengo lao nikuifuta Tiktok
Mmh
Sisi wingine tunajua internet ni setalite sasa hi ya kuzamisha nyaya baharini mbona hai ingii akilini
😂😂