Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 13/05/2024
Vložit
- čas přidán 12. 05. 2024
- Yanga SC imeichapa Mtibwa Sugar 3-1 na kutangaza ubingwa wake wa 30 kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara ikiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikisha alama 71 ambazo hazifikiwi na timu nyingine.
Mtibwa ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 32 kupitia kwa Charles Ilanfya lakini Yanga wakachomoa dakika ya 62 kwa goli la Kennedy Musonda, Nasry Kombo akajifunga dakika ya 66 na Clement Mzize akamaliza kazi dakika ya 81.
Tazama highlights... - Sport
Jaman wa kwanza naombeni like zangu
Like 👍
Waooo
Aliyesikia kama mimi jamani.
Nyetoooo😂😂😂😂
Najivunia kuwa mwana yanga, timu yangu inanifurahisha sana.
Chama langu Yanga nakupenda.
Yanga raha
Azam Tv tunaomba mtuwekee ligi za Uingereza
Hawana uwezo huo m
Tunaomba Sana kwel Azam watuwekee ligi ya uingereza tu
SUREBOY NA MUDATHIR WAMETAWALA SANA DIMBA KA KATI...💪
A few moments later....
Big kashika tamaa 😂😂😂
Yanga bingwa
Mudathir kama debruin kwa asist
Kabisa ...
Ile ofside ya yanga nmecheka sana
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiii mechi zirizobaki tumpe azizikii mipira iriafunge awemfungaji Bora yanga yangu kijaniyangu njanoyangu nyeusi yangu mpaka namchuzi ninaokunywa ni wanjano nakijani wananchi iiiiii oyeeeeeeeeeeee 😊😊😊😊🎉❤❤❤😮😅😅
Mtibwa mlifanya vibaya sana kushangilia gori lenu Bora mngetulia
Kushangilia kumewaponza😂😂😂
Tunashkur mungu yanga bingwa
Yanga Baba lao
Yanga raha kweli kweli. 💚💚🌻🇹🇿🇹🇿
This is yanga
Zuberi mzee wa kupndisha timu mtibwa itanyanyika t😢
Sisi ndo wenye kusema kuna wanao jiita mwaka lobo hata nafasi yapili hawapati wale makolo
MWAKA huu Simba komberao nikirekikapu chakununuria nyanya nawenyewe wapate hicho kurikokukaa birakitu mimiwakwanza nitawachangia ndoo yakuogea😊😊😊😢😢❤❤❤ I LOVE YOU YOUNG AFRICANS CLUB TANZANIA ❤❤❤❤
Waamuzi ni changamoto sana
Sauti mbona ipo chini sana 🤔
Sasa ni zamu ya kumtengenezea aziz ki kiatu chake mapema mana sisi ligi tumemaliza tangu msimu huuu ulipoanza
Yanga kipind cha pili huwa wantumiaga nn, daah!
😂😂😂😂tunavutaga shisha
@@patrickmpangala3098 labda Musonda pale ahahaa
sukari gulu wamepigwa msako wa maana,
Ligi ya Spain
Ila mwamyetioo😂😂😂😂😂
Kwa ukubwa wa ligi kuu ya Tanzania bara na viwanja tunavyotumia Kama hicho kwakweli siyo sawa😅
Ahsant m/mungu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ yang
si azam wala simba sema makolo wala batamaji
❤❤❤ yang
Yanga damu damu
naibenda yanga
💛💚💚💚
Ngoda huna baya kwasababu na ww ni mwananchi
Woo
Kweli kabisa
Musonda angewanyonga kabla ya refa kusema offside ilikua sio offside,hawa marefa tff wanawaokota mtaani au.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ y
Tatizo la mtibwa takribani robo tatu ya wachezaji walikuwa hawana nidhamu wamecheza rafu nyingi butuwabutuwa na dharau
nyetooo mwamnyetoooo 😆😆
💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛
Haha ila bado fa ili tumalize kaz yanga bingwa
Yanga bingwa hadi rahaa 💛💛💛💚💚💐💐💐
Wewe mwaka huu ndo mwaka wakujidai lakini mwakani manatakiwa mjipange sana
@@SaiMabula hichi cha mtoto mwakani InshaAllah ubingwa tena 💚💚💛💛
👞
@@SaiMabula😂😂😂watu wanajua mpaka yajayo ya mtu kwel kufatiliana gan huku🤔🤔🤔🤔🤔
Raha kam.nn 😂
kila ukimuombea duwa asifunge na wenu nyie hafungii ata lile bovu
Yanga baba lao
Mabingwa Mara 30
Mabingwaaaaaaa
A goal no 2 beki katoa
ingekuwa penati.
NYETO 😅😅😅
tumeshindwa kumfunga sisi unataka nani aweze kumfunga sa hz tunataka feisal afunge ili achukue kiatu na bado papo hapo tunaomba azam asishinde ili tuwe nafasi ya pili! si kuvuta bangi uku?
Yanga rahaaa
Umesema ukweli sana
Umesema ukweli
Umenichekesha kweli bangi
😂😂😂 mungu anajibu ombi Moja tu kama mnataka simba nafasi ya pili basi azizi mfungaji bira kama mnataka Faisal mfungaj bora basi simba nafasi ya 3. 😅😅😅
Sisi ndio mabingwa
Watu tunawaza ubingwa tu
Vipi kuhusu mtangazaji alivonogesha goli la 3
Kwa mwamnyeto
😂😂😂😂
Mwamnyeto yuko tu kama chemalon aende akacheze simba kila akianza tuakosa clean sheet
Yanga damu damu