AJIFANYA MGANGA / ATINGA MTAA / UTACHEKA! WATU WAKIMBIA BALAA / HIVI NI KWELI..
Vložit
- čas přidán 11. 04. 2022
- AJIFANYA MGANGA / ATINGA MTAA / UTACHEKA! WATU WAKIMBIA BALAA / HIVI NI KWELI..
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Daah leo nmecheka sana kaka more life brother uendelee kuepo ili utupe radha nakukubali sana Mo town sanya
Mwenye tishet nyekundu kabebajiwe na akakimbia naro tena 😁😁😁
Hahahahaha hii ya leo kali haahah madada angalieni wanaume zenu walivo na speed🤣🤣🤣🤣
Wauni wamepita na mganga gonga like
🤣🤣🤣🤣🤣jamani asante kwa kutuchekesha jamani jomoni like it good
😂😂hapo kwanza ncheke sema nin mo fanya utafute hata boardgard moja tu kunasiku kitanuka bro.kuna watu hawataelewa kama mnashut ni wazo langu tu
Kweli bro
😂😂😂Nyuma ya camera wapo wengi (group) hawezi pigwa mtu
Kheeeeeeeee🙌🙌🙌🙌🙌tutafika tumechoka 😂😂😂😂😂 nakubal mo town sanya kaz nzur like kwa mo town sanya ana juwa👊👊👊
😂😂ifike time utembee na body guard hata mmoja. tena ikiwezekana awe hata na mguu wa kuku ipo siku watu hawataelewa kama mna shut
Mganga mambo ni moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pindi kali sana my brother
Lkn huyuu wa Manchester United katudhalilisha sana daaah
Kweli na mawe yake anakimbia.
😂😂😂nyumbu kama nyumbu
😂😂😂Yaan hizo mbio zake
Ya leo kaliii jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni saa nane na nusu usiku but i cant stop laughing😁😁
Km mm
Oyaaa sanya umetisha kinoma nimecheka sana
Freddy mwenyewe kacheka maana kaishiwa 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂duuh iyi ya Leo kali 🦅🦅🦅🦅
Daah kiukweli sitaki kuelezea jinsi gani nimecheka siku ya Leo 🤣🤣🙌
😂😂😂😂😂 hii nchi ina vijana wa ovyo kwel,,mtu kabeba jiwe halafu anakimbia
Tumkamateni tumkande kdogo😂😂😂😂😂
KING PUSI NAMKUBALI SANA COMEDY YAKE NA ALIVYO SAWA SAWA 🤣🤣
SEMA nn mwanangu god bless sana hahahaha angeuwa uyo
Ipo siku siku yenyewe ndo hii imetimia Sasa pole yake king pus😂😂😂😂😂
Mmh hapana nimecheka Leo hd nimelia🤣🤣
leo nimecheka sana wasafi haipoi kazi kazi
😆😆😆😆 wakuja kuua mtu
😂😂😂 Daaah Iyi Ya Mwaka
Hii ya leo kiboko kwel aijawai yokea nyingine kama hii
Dah aiseeeh kazi ngumu haki ya mungu
Aisee kwel bongo
Tumepiga hatua sana sana
STAR RAMBO KIPINDI WANATENGENEZA MOVIE YA KIKIBOXING WA LICHEZA SILIASI
KUUTAFUTA UWASILIA WA MOVIE
HILI IWE KALI bigapu sana KING PUSI
KWA KIPIND KIZULI NA USILIASI MZUL
BIGAP WEWE NISTAR na MIKO YA USTAR LEO NDIYO UMEMALIZA
Mo town Sanya hili pind la Leo n kali mnoo japo simanishi vikivyopita n vibaya alaf hata kuigiza unaweza vzr san. Hongera kwa king pusy
Hii n moja ya pranks bora kabisa Tz
Mamae Leo kapatikana kala za kichwa😂😂😂
Hahahahahaha
Ya Leo kaliiii
😂😂😂bonge la show
Big up 🎉🎉🎉🎉🎉
🤣🤣🤣🤣🤣 watu jamani daa
Mmmmmh kwa kweli wasafi ni level nyengine
🤣🤣🤣 Mta sababisha watu wauliwe kwa ujinga tu
Hii imeweza
Watu wa Man U waoga kinoma 🤣🤣🤣
Umeona🤣🤣🤣
🤣🤣 hakuna watu apo
This is hard job.
Leo nimecheka mweeeeeeeeeeeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Yaan mm Acha nimechekaa
Wapenzi ni hatari sana kama mtu amezimia alafu umwamgie maji 🥺 unaweza kumsababisha mshutuko wa moyo
Sawa saya
Ajali kazini
Sema hiyo stairi ibadilishe mtakuja kuumia tafuteni stairi ingine
We unataka staili gani
@@saidyharounkassita5093 awe hata kwenye gari ana hojiwa shabiki kama ilivyo kua mwanzo ila stairi mnayo kuja nayo mtakuja kuumia watu wame vurugwa unaona kachezea moja ya mdomo watumie maudhui mengne ujumbe utafika tuu
Daaaahhh leo kazi ilkuaaa balaaaaa
Woyooo woyooo
Nasikia kick za pikipiki apooo
Mo town hii yaleo ilikua kali sijawahi ona kaka saruty sana
Nice
Unamaanisha nice mwingiiiiiiii
Bongo banaa😂😂😁
Yaani nimecheka mpaka naumwa
Aiseeeee ulinzi unaitajika ipo siku mtu atapigwa bisu la tumboo ila nimecheka hatar mo town sanya nembo ya mtaaaa😁😁😁
Mganga wa mchongo🤣🤣🤣
Muwe mnasema mtakuja muumie🤣🤣🤣🤣🤣
Gonga Link Kama unamkubali sanya
😂😂😂😂💦
Gong link
Tunagonga like sio link
Kapasuka 🤣🤣🤣
Sikumoja mtuu atapigwa vijana washaaa vurugwa😃😂😂😂
Eti maandazi ya MUNGU hajauzwi😂😂
MUMEIGA "BLACK MAGIC PRANK" YA PRAKASH. 😀😀. akuna jipya. Sema Bongo mnaweza kupigwa
Kama unaweza kaige na wew Bongo njaaa znatutesa san
Leo kimeumana
Kazalilika kapigwa ndo kapata faida gani
Mtakuja kuuliwa hayo mambo nnje ndio hawanaka paniki bongo unanikuta na shida zangu najumlisha
✌️
Ahaa acheni bhana lakini nini mbona ivyoooo nacheka mpaka nalia ati mo Town sanya ati me nilikuwa najua yale mawe narushiwa mimi
King apewe show bora ya mwaka
washabiki wa man u asa waoga amekwenda mbio sana
Mbona kam irudiwe
Unyama unyamani
🤣🤣🤣🤣III Kali mwanaaume anakimbia anaacha pikpiki
Dahhhh nimecheka sana
Kaka ipo siku mtu atapigwa watu mtaani wana strees za mafuta
😂😂😂😂😂 Yaani leo mmenusurika sn 🤔😜
King htreeee nmechka mno ila nmepnda ujasiri w dada muuza miogo
Sinema zetu
Halafu katika kufanya mapigano usimkumbatie mtu ukimkumbatia mtu anaweza kutowa kisu akakutumbuwa utumbo mkja SEMA tuna igiza mtu kashaumia vitu kama hivyo inatakiwa kwanza muwapange watu Ili usije kupata kess ya jinai
✌🏿💯
Yan mim nmecheka hadi nmeamsha watu jamn nyie mo napenda kaz ago ifanya emungu
Hunishindi mim
Siku mtakuja kumponza mtu akapigwa akapoteza maisha jiangalie Mo town Sanya kuna sehem zingine sio
😂😂😂😂😂huyo mlemavu mi kaniacha hoi kakimbia na mawe yake naona alitaka kuruka hadi juu ya kibajaji nyie kufa huku unajiona bado sana labda israeli aje amelala
Kipindi bado hakijanichekesha ila comment yako ime uvunja mbavu
🔥🔥
Kidogo nife kwa kucheka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sanya 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
MKAMATENI TUMKANDE 😅
Sanya tafuta bodyguard wew🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂nimefrahi san leo
Hutaki tu download
Montown sanya leo umeamu kutuvunja mbavu sana daaa sio pow 😂😂😂😂😂😂😂
Moo town sanya haha 😆😆😆😆😆
😂😂😂😂mkamateni tumkande kidg🤣🤣🙌
Daaaaaah 🤣🤣🤣 mo town sanyaaa salute sana broo
Make kwanza apo nicheke😂😂😂😂
Ni meipenda jamaa yupo vizur 😂😀😀😀😀😀🤣
Kipindi kizuri lakini ipo siku litakufa jitu kama utani
Pamoja sana wasafi tv
Mo kama mo😂😂😂😂😘😍😍😍
Huyo dada kawaka hatari kashika kuni
Yaaani ndii shida ya Bongo mazingira ya Kurekodi vitu vingine in ngumu sana Mi watu inapita pita tu watoto wanasogea nao sijui wanataka kuifiza au yaaaa shida tupuuu
Hahahaha Atari na nusu
Why are running!?
😂 😂 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hpn nimejua kucheka 😆😆