BABY ZUCHU KAZIMIA AMVURUGA BABA WA WATU / KACHANGANYIKIWA// HIVI NI KWELI
Vložit
- čas přidán 29. 11. 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#motownsanya #wasafitv #hivinikweli - Zábava
asee huyu mtoto kipaji chake cha hali ya juu Mungu ambariki zaid🙌🏼🙏🏽
Bongo vijana wanapenda umbea sana watu wameacha kazi zao wanafuatilia yasiyowahusu🤣🤣
Wewe Motownsanya utakuja kuuwa watu na presha😂😂Zuchu ni another level🙌
Mo townsanya ww ni no. 1 tv presenter unaweza mno 💯 idea mujarab sana
🤣🤣🤣hawa watoto wanaua zaidi kuliko wote waliopitaa 🤗💪🏻💪🏻💪🏻
Show iko top👌🔥mtu haezi elewa kabisa ,ningumu kuchanuka unanaswa , toto is bright like grandmother,like mother
Munaosem uyu katisha kuliko madog wote uongo bhn Mai zumo kile hapana kwakwel ni 🔥
Zuchu Amewafinika watoto wote yuko juu" mbayaa Masha-Allah 🤣🤣🤣🤣
Zuchu anajua kuwashida walio pita mwingizaji mzuri alafu ana passion
Beby zuu kako powa sana
Kazuchu.kangu kameweza🥰😍😍
Kwanza huyu nimtoto au kadumaa🤣🤣🤣🤣🤣🙌🔥🔥
Ni mtoto kabisa ila duuuu😂😂😂
Mtoto actor mzuri sana.
5 Er. czcams.com/video/XaEySPegizY/video.html
Nimecheka balaa 😃😃mzee na mshipa wake anamkimbiza baba wa zuchu😅
Montown we need part2 na zuchu
Baby Zuu kauwa anajaza umati, katishaaa🔥 🔥🔥🔥🔥
AISEE DOGO ZUCHU KAUWA SAAAAAANA KULIKO MADOGO WOTE WALIOPITA DAAAH SI MCHEZO 🤣🤣🤣🤣🤣 BIG TALENT
😂🤣🤣😂😂 hii noma zuchu baby nikomedi tosha wallah
Sanya na zuchu leo ni moto nimecheka sanaa mtoto kaua
mo town umetishaa mzee 🔥🔥
Ila leo jamani zuchu hatari kinoma haipingwi haikataliwi 🔥💯 ameweza Sanaa ♥️❤️
Dah.. zu baby. Talente kinoma 😂🤣
Kwanini hawa wa toto Msiwakutanishe Na Mai zumu, dogo sele, Asma, na dogo zuchu? Wakafanya pamoja Bonge la funny 😆 la daika 25 tu basi huu ni ushauri na saa?
Ushauri nzuri, sijui wataona waufanyie kazi.
Mtto mshenzi uyu 🤣🤣 walh nimejua kucheka leo baba wawa2 kashatoa siri kwamba katoka na wengi🤣🤣🤣
mtoto ana kipaji kikubwa sanaaaaaa
zuchu baby 🤣🤣🤣🤣🤣🤣you nail it baby girly we 💖you in +254
Baby zuchu mitano kwako umetisha kinoma🤣🤣🤣🤣❤
Hii ndo kali ya mwaka yaani uyu mtoto zuchu ana balaa 😄😄😄😄
Hahahahaha mjomba costa muoga 😂😂😂😂
Levels.. Sanya akili kubwa.
We mtoto umejua kuwaumbua wanaume yaan nimecheka ety kweli mm nimetembea na wanawake wengi sana inaweza ikawa kweli dah umejua kuumbua ww mtoto
😃😃😃😃Anko costa
Zuchu ame uwa sana🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣
Nakupenda mtt mungu akukuze
Dar noma sana.
Ila kukosa sim kubwa ni janga la kitaifa yaan jamaa hawaelewi chochote
Umeonaee 😆😆
Huyu mtoto ni fireee🔥🔥🔥🔥🔥
zuchu ninoma sana kabisa 🌹🌹💕💕🥰🥰👍👍👏👏👌👌💯💯🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila zuchu ww ni 🔥
Baby zuchu kawafunika watoto wenzake wote ni noma huyu mtoto🤣🤣🤣🤣
Hapana mai yupo juu
Zuchu kama zuchu 😂😂😂😂ameuwaaaaa
I love it 🤩🤩🤩 Zuchu baby
Huyu mtoto kiboko😂😂😂
😂😂😂😂😂 mtoto anatembea na mapigo ya moyo
Zuchu amefunika wote aisee hata jamaa wastend kuanza kusema kweli ametemebea nawengi labda kweli mama nilikuwa naye
Zuchu kama zuchu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waooo so talented and amazing comedian upcoming artist
Kipind safi sana hiki #MoTownSanya
Salute bby zuchu
Wasafi jamani mko moto Sanaa 🔥🔥🔥🔥
Sanya juu home 🏠 🤣🤣🤣✅
Mimi naona serekali ingepitisha bajet kila mtz awe anamiliki smart phone na anapewa na serekali waache kutuumiza vichwa na haya mambo ya maji na umeme hayo tutajitafutia wenyewe maana uko nikama wame shindwa yani kukosa maji na kukosa hiki kipindi kipi bora??? Apo sija vuta nikivuta sijui itakuaje 😂😂😂
😂😂😂😂😂💃
Haha
Pointy hiyo
Yaani kanaweza hadi kuigiza😂😂
Zichu baby ninoma kweli
Baby zuchu kumbe unatembea n bomu 😄😄😄😄
11:40 he is the best street uncle ever🤣🤣
Gh. czcams.com/video/XaEySPegizY/video.html
🤣🤣
ZUCHU umeua mtoto 😂🤣
Balaa zito zuchu kaua sana ✌✌✌
Amazing mtoto 🥰🥰🥰🥰👌🇰🇪
Huyu mtoto kanishinda tabia 🤣🤣🤣
Et ana hiki kidude et? Siyo bomu hili😄😄😄😄😄 zuchu mtoto utawaua watu kwa presha
Huyu mtoto kitambo ananiambia🤣🤣
Mo town GENIOUS
Nimeanza kucheka kabla kaz haijaanza zuuuuuchuuu nakupeendaaa
Zuchu nomaa💥💥💥💥
Good job 💖💖
Zuchu ww ni 🔥
The girl is so tallented
It was amazing
Zuchu kampinga huyo mkaka😂😂😂😂
@@HappynessJose r tu
Saaaaaafiii
Napenda sana uyu zuchubby mai zumo na asma
Show ilikua kali sanaa😂😂😂😁
Nawasalimia Kwa jina la mjomba costa
😂😂😂😂Tuendeleee kuwala
Mo unatisha sana ña hao watoto wako
🤣🤣🤣Eti mjomba Kosta kijana kavulungwa 😀😀namjua
Uyo Mzee Milena yaani soo saan Kabisa
Mmetisha Sana BG up
Zuchu Zuchu 😂🤣🤣🤣🤣🤣😂
😂😂😂 uyu mtoto kanishinda tabia
Uyu mutoto namupenda
😂😂😂hyu kamalza show
Hii nzuri
Good
Mo town sanya nembo ya mtaa umeua balaa unyama sana
Haq nimechekaaa hasa hapo alipo anguka😂😂😂😂😂😂yule aliekuwa anampepea sasa nakitambaaa🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂aliekuwa anamnawisha uso sasa😂😂😂😂🙌🙌
😂😂😂Nyie mnachanya watu eti sio bomu hili
Love from Burundi ma Bruu😂
Yani me ningechukua mchanga ktk unyao wake nikautia mfukoni nimtie uchiz kbsaa🤪🤪🤪🤪
Zuchu baby katisha sanaaa
Zuchu kazimia 🤣🤣
Zuchu ni noma 😂😂😂😂😂
Mzee coaster eti Nisha tembeya na wengi🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂UYU MTOTO UWIIII
Dah huyo jamaa aliekua anamtuma zuchu maji walimalizaje jaman
Zuchu ni noma 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Daaaaa mbavu zangu jamaan hamnitendei Hali mnileteee hela ya Panadol
Zuchu motoòooooooo kaua sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wantanzania mnachekesha sana
Basi na Leo nitume 😂😂
Hii nimeikubali mchaga
Safi Sana 😆😆
😂😂😂 Tuondoke sasa mimi c, baba yako😁😁
Hahahahaaa zuchuuuu jamaniiii