BABA LEVO - "NYIE NDIO MNAMDHALILISHA DIAMOND, MNAKUJA HAPA MIC MBOVU TOKA APA" | HIVI NI KWELI
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2023
- BABA LEVO - "NYIE NDIO MNAMDHALILISHA DIAMOND, MNAKUJA HAPA MIC MBOVU TOKA APA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Baba Leo Master
unyamaaaa!!!!
Jameni Kama huelewi kipindi acha ku, comment utopolo This is the game 😅😅 Sanya Baba levo mmeshamuingiza mkenge tiyari 😂😂
😅😅😅😅 Sanya fala sana aseeee
@@franciskibay8948 Sana 😄😄
Nakubali mwanangu sanya sema babalevo hajaingia kwenye kingi
Safiii sanaaaa
I love this man mo
Nakukubali baba nahya
🔥
Hizoo ni mwagienii bx like Zangu
Baba levo hamumuwezi huyo master
Baba Levo anajali familia
B levo anabusara sanaa
Baba levo comedian
👊👊
Tuwe proud na luga zetu God bless Africa nkosi sikeleli iafrika
Bila shaka baba levo hiyo siku alitukana sana
Safi san
Babalevo anajinywea2
“Vitu hujasomea mpumbav “😂😂😂😂😂baba Levo mimi nampenda kwakwel
Yaan ni shiida 😅😅😅😅
🔥🔥🔥🔥
Mo town sanya nakubali Sana mwanang
Hiii imeendaaa
Baba mulevi uyo nakubali 😂
Hivi ni kweli
Baba levo ni noma xana😅😅😅
Baba levo ameniangusha, nilikua namkubal ila kilichomponza ni kuingia ndan na kurud, kule ndan ampajui nyiee😂😂
Katika siku zote hii nimeipenda sana 😂😂😂 eti tuende kwenye office 😅😅😅
Ya mwijaku nayo ilikua sio poa😅
Halllow yaaah Kwasababu hiv na hivi na hiviiii
Baba levo kuhogeya kwake Sana kapatikana eti ndo mana mnakuwa muna zaralisha diamond 😂😂😂😂😂😂
Pombe Ya Baba levo Ime editiwa Iliisisomeke Jina la kampuni 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
👊✌️👍.
Nais Sany Toka kaaza iki kipind Leo kaenjoy San
😂😂😂 baba levo kimemramba kabisa 😂😂
😮😮
😂😂😂😂😂 like nyingi jamani
Yaani baba levo unjanja wake wote kanasa😂😂😂
Baba levo kila video inayorecodiwa kwake lazima awe n pombe mkononi. Cpatii picha fridge vitu vyote mpka madunda yananuka pombe
CREATIVITY YA HALI Ya juuu🔥🔥🔥🔥🔥
😮
Baba levo 😂😂😂
sanyaa umeuwa😂😂😂
BABA LEVO 🤣🤣🤣🤣 kapatikana leo haahaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Baba levo ameingia cha kiume 😂😂😂
Wazi wazi!!!!! Wapi likes zangu kwa kuwa wakwanza
🙏 👇czcams.com/video/uSyf9XVk0Dw/video.htmlsi=X1qqUsb9E_MjpKl5
Kweli Dubai na Saudia Arabia ni mamoja
Ubunifu umekosekana HP cm inapigwa lkn zinasikika saut mbili kwenye cm n pemben yn kiufup motown sanya alikuwa yuko hphp WL c huko alikosema HP wametudanganya
cy alikua hapo hapo alikua nje lkn alikua na mic so sauti ikasikika
Interview mbovu cjawai ona
🤣🤣🤣🤣 nmecheka Kam fala nyieee 🙌
Kipindi kizuri muwe makin na KAMERA zenu maana jamaa alivaa vibaya surual yake
Kwani kuvaa suruali hivyo kiserekali vby ?
uhakikaaaaa
Ila sisi wabongo tunajifanya wazungu kumbe ushamba au sio baba Levo maana yoyo nyingi
Puwa kubwa 😂😂Leo umewezwa pumbavu zako😅😅napenda hiki kipindi
Heineken can't be hidden
Anaefata ni Zuchuuuuuuu😂😂😂 au Diamondiii
Leo kayakanyaga😂😂😂😂😂😂
Leo mmejichanganya b levo mtalaamu haha
Leo Sanya ume mkamata swafiiii😅😅😅😅😂😂😂
Ashalewa
Babalevo 😂😂😂😂
Hyu anaerekebisha mic mlegezo umeacha mkundu wazi
Sijawai pataa comments
Wangapi wamecheka kama mimi😂😂😂😂?
Alie edit vdeo amejalibu kuficha logo ya bia lkn wapi 🤣🤣 serenget light 🍻🍺
Heineken hiyo
Heineken beer bana😂
😂😂😂mnamzingua mnywa pombe angekupigeni na machupa ya bia mngeshika adabu😂
Hicho kinywaji mbona mtufichee😁😁🙏
B levo B kaingia kwenye mfumo 😅😅😅😅
Baba levo 😂😂😂😂😂😂
Kwaiyo baba revo anakunywa pombe harafu anaenda kazin kweli kweli
Chobi afukuzwe kazi anaboa san mitambo inamuelemea
Hanangwa😂😂😂
Siku moja mntengeneze mo sanya mwenyewe hadi apanic
Nataka mka mchaleng mondi😂
Mo town anajuaa kinoumaa😂 anajitahid kutocheka mpk huruma
Uturuki mpaka vyuo vikuu wakisomeshana kwa lugha yao wameanza kariburi vyuo vikuu kusoma kwa kiengereza
CZcams msiwe mnatubania maneno bhna..huko ndio kuinjoy kipindi..muedit Instagram uko😂
Uuo mguu n mdosho
🤓🤓🤓🤓🤓
Kwenye cm hapo mmefeI sanya alikuwa anajibu pembeni
Mnaziba pombe mnaacha ges
MB zimeenda bure
Unyama mwingi bro ila Mimi amuniwezi
Uyu nae ajasoma chochote hahahahahaaa
Mbona kama kwenye cm hapo mwanzoni mmefeli sanya alikuwa yupo hapo hapo
bongo mtu akitembea nchi mbili tatu tena kwakupewa lift anajiona kamaliza
😂😂😂 like hapa
Yani mpaka leo kuna watu wanaona kuvaa kata k ni ujanja
Kumbe na ww umeona atakuwa mboga yule
Sasa mbona intervie yengele haieleweki
Walienda kumzingua tu
Unatoka pori gani kwani huijui "HIVI NI KWELI" Mpaka leo
@@BigZhumbe kafie mbele Kuma ya kibuyu wee
wewe mgeni ndio mana huelewi.. uliza malegendari wanaofuatilia hiki kipindi 🤣🤣🤣
@@BigZhumbe😅😅😂😂jmn pori gani
Kwenye BTS fundi majumba atakua anatukana sana yan kwake tuc kama kibwagizo cha sentence 😅😅
Dakika ya 14 Balevo kaanza kusweat 😅😅😅😅
Pandisha suriali acha usela mavi kipind chenu kinaangaliwa na watu wa lika zote na ni wengi so it's not good we unae rekebish mc
😂😂
😜😜😜😄😄😹
😂😂😂😂😂
Kumaaanisha nn
Zile ni inchi kubwa
😁😂😂
Alipigwa visu na denisi kinyani
😂😂😂😂😂😂😂
Ni kama Italy pia lugha ya kiingereza mtihan huku😂😂ukija huku ukajitia unajuuaaa utabak unaongea mwenyew
Kwahyo huko lugha gani
Huo mlegezo 😢
Lanikera sana
Kanikera sana
😅😅😅😅😅😅kuzagamuan