ZEE CUTE HAKUTARAJIA HILI LITOKEE KATIKATI YA INTERVIEW YAKE, AMFUKUZA SHABIKI ALIYEVAMIA
Vložit
- čas přidán 31. 07. 2023
- ZEE CUTE HAKUTARAJIA HILI LITOKEE KATIKATI YA INTERVIEW YAKE, AMFUKUZA SHABIKI ALIYEVAMIA
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Kwa mara ya kwanza huyu ndio binti pekee mstaarab kwenye hawa wasanii wakike ... ntaangalia na nyimbo zake nimpe viewers ... big up binti ...
Ila zee cute yuko very composed hajafanya uswahili amempokea vizur Tu hajaringa
Aise huyu kaka kiboko anajua kuact Sana big up hivi ni kweli
Kumbe Zee mpole jamani😍
Watamwambia mzee mtoto wao. Hafanyi kaz🤣🤣🤣🤣🤣r eric🙌🙌🙌
Ila huyu jamaaaa anajua kuigizaaa😂😂😂😂😂😂😂
Erik kamfungia mpaka manager😂😂😂😂
Hii kali Sanaa rafiki yangu huyu dogo hatari I say 🙌🙌 Unyama ni mwingi pande iyo
Dada uko vizuri hukupanik sana nimependa
Huyu dogo msanii kinomaa 🙌🙌🙌🙌
Anaimba vizuri kushinda Zee
Angejichanganya kwa gigy sema nampenda ze cute 🥰 meneger nipe namba😂😂😂
Daah 😂😂😂😂😂 zee cute nimempenda bure ni mpole sanaa
Siku uyo dogo akutane na gigi😃😃😃
Yeah hajuw kuongea
Erick amenifurahisha kinoma😂😂
Huyu jamaa anabalaa kudadek😂🔥🔥
Amemaliza alipo mtuliza jamaa kwa kumwambia "una-haribu interview!" - 😢😂😂😂😂❤❤❤
I like your creativity in this show nakupata 💯 from montreal u the 👌 👍
Jamaa muigizaji haswaaaa🙌🏾
Hivi ni kwel na Hii imeenda 😊
Mo town sanya ni 🔥 hawa watu huwa unawapata wapi?wote wanajuaaa
Aah sijasema hata ACTION 😂
Erick kamfungia mpk meneja 😂
Motown huyu dogo anajua sana namkubali sana anajua kuwazingua mastar balaa🔥🔥🔥
🤣🤣🤣HATARI
Sanaa
Sema huyu jamaa miyeyusho sana 😂😂😂😂😂
very humble girl @zee cute ... 🌹
Nimerudia mara mbili😂😂😂😂😂😂
MO huy kaka apew mauwa take 🙏🔥
Cute anaroho nzuri sana
Mon nangoja ya b levoba pamoja Naya kwake Simba lama dangote kwa hamu sana 🔥🔥🔥🔥rfom🇨🇩
Dah hii Kali sana 😂😂 jamaa umetisha sana
Pozi ya picha 😂😂 aka huyubdogo mjinga kweli nimecheka 😂😂😂
Daaah....huyo msenge anajua sana kuigiza asee😀😀😀😀
Good job
Uyu jamaa kuyavagaa tu anaweza 😂😂😂
Daaa! Aisee uyo jamaa noma sana
😃😃😃😃😃 huyu jamaa n noma..et utaaribu interview
Nakubali sana ivi nikweli ya leo imetokelezea sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu Dogo namjua kwao kinondoni mahakamani yaani huyu mzinguaji kinoma kuimba hajui hata kidogo yaani huyu bongo movie.
😂😂😂😁😁😁😁😁❤️❤️❤️❤️huyu msanii remix Mimi na yeye duh
🤣🤣🤣🤣
Like 100 kwa erick
Kila sehem mweken huyu kaka jaman amazing sana😂😂😂😂
Bonge 1 la show Eric kapatikana zaidi kuliko ze cute
Daa eric kakaza kinoma hatak kuelewa😂😂😂
Erick anasema toka nje Etty watamuambia Mzee mtoto wao hafanyi kazi
We unaelewa nn kuusu mziki 😂😂😂😂😂
Nembo ya mtaa we ni Nouma your creative
"nisaidie maji chap!" - 😂😂😂
Oyaa Sanyaa
Huyu jamaaa wamoto
Erick nae kapambana lakin wapi muhuni aelewi dadeki muhuni apewe mauwa yake aseeeh 70 % za muhuni + 30% za erick
Meneja tulia 😂😂😂
Ila jamaa anaweza sana kuigiza 😂😂😂😂
🎉😂😂😂😂 This moDa fvka iz GOOD
Jamaa anajua sana ku act
Aliepatikana zaidi ni Eriki. Huyo ndie amepatikana kuliko zee cute
dahhh hichi kibao 08:20
kilivolia sasa hahahhaha 🤣🤣🤣 08:20
Sponsor mjanja kampangishia ze cute alafu kaweka mlinz mwanae erick
Very humble girl, ❤
Dah hiki kipindi nooma sana huyu jamaa sanya anaweza na anazingua kweli ujue
huyo muuni afanye awe hata actor 😂😂😂 anajua kinoma
😂😂😂 nime cheka picha una simama kama mgomba hahaha
16:18 😂😂😂😂 picha unapiga umesima kama mgomba😂😂😂
Unanikataa,Unakazaje sister muun anajua kinom kuigiza 😂😂😂😂😂
Uyo mwamba anaweza aiseee😂😂😂
"sijaweka hata pozi kaka!" - 😂😂😂😂😂❤❤❤❤
MMETUMIA AKILI SANA HAPA AISEE... SIAMINI KAMA MNA SCRIPT... JAMAA ANAJUA NA AMEJUA TENA.
Sii nipewe hiyo kazi ya sekiurit huyo mtu aje nimtandike viboko
Hahahahahaha kijana hatari sana huyo
Daaaah uyuu jamaaa namkubari baro baro
ila zee cute ana roho safi ❤
Ahahaha 😂😂 nimechekaa
Huyu jamaa ametisha, mpaka Eric amemkomalia tu 😂😂😂
Jamani mpigeni picha tuendeleee na interview, kumbe wenzake ndio wanaendelea na interview bila yeye kujua
Uyu dogo ame act 🎬 top notch 👌 👏 👍 🙌 🎉😅
🔥🔥🔥
Kiukweli mi sikua namjua huyu msanii kabisa ndonataka kwenda kuangalia nyimbozake
Nimecheka sana😂😂😂
Nyie mnaigiza vichekesho tu😅😅😂😂😂
Uyu jama anaweza
Afu hii wasafi kumbe!!
Daaah Mawakubaki sana 😂😂😂😂
Picha imenyooka kaa mgomba😂😂😂😂😂sista eeeeee
Binti ni mnyenyekevu sana na huyo jamaa utata anaweza sana
Eric akaona acha na meneja nae aende 😂
Wasanii wa kibongo kweli noma wanakukataa iviivi
🤣🤣😂😂sikucheka ad apa anapomwambia erick unaeza ukawa wakwangu unajua🤣
Nmempenda erick🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kizazi sana
Eriki ni mnyama 🤣🤣🤣🤣
Dogo mkali 😂😂😂😂 anasumbua kinoma
Dogo apoi😂
Mo town mkorofi piaaah😂😂😂😂
Huyo Msengee Anajua Kuigizaa😂😂😂😂
Erickiii haelewii😂😂😂😂
Erick ametishaaaa😆😆😂
Tembea ww ngoja ngoja yaumiza matumbo😂😂
Huyu jmaaa tapta mbayaaa 😂😂😂😂😂
Erik haelewagi😂😂😂🤣
angekua Gigy angemtimua huyo 🤣🤣🤣🤣
We erick tulia😂😂😂
Binafsi naona hii prank ilikuwa dhidi ya huyo Meneja maana muhusika mkuu hana mapepe.
"Eric kakutana nacho" hahahahh
Actor kaplay role vizuri
Hii nayo kali😅😅🔥🔥🔥
Sister Hana Noma