BODYGURD wa DIAMOND (ONESMO) AANGUA KICHEKO MOTOWN AKIMPIGA SHABIKI ALIYEINGILIA INTERVIEW YAO
Vložit
- čas přidán 24. 07. 2023
- BODYGURD wa DIAMOND (ONESMO) AANGUA KICHEKO MOTOWN AKIMPIGA SHABIKI ALIYEINGILIA INTERVIEW YAO
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Onesmo the best humble cool and understanding bodyguard Simba has ever have mola akulinde bro you are doing great job
Onesmo yupo cool sana, hana kupanic kabisa wala kukasirika hovyo🎉🎉🎉🎉
Onesmo angekuwa mtu wa kukasirika munge fanikiwa, lakini yupo very friendly kwa hiyo yeye kashinda.
Onesmo mtu Sana, Hana presha yoyote ya maisha. Ila huyo dogo wa nguo black anaweza Sana kuigiza..
Onesmo he's really peace man
Umeuwa sana Sanya umetisha sana ubunifu mwingi sana dah unaburudisha sana
Sema jamaa yupo very humble
Sema onesmo Ana huruma Sana na Ana moyo mzuri
Onesmo ni mwamba anaweza.
The bodybuilder is just humble. That's why tume kosa manjonjo mfulani....😅
MOTOWN Hata sisi wakongomani tumependa sana kipindi chako bro keep up the great work 💪. Much love ❤ from D.R.CONGO
Sema wewe mkongomani, usiseme sisi wakongomani,kuna wakongomani wengi wala hata awamjui huyo motown. Ni ushauri tu bro
@@mzalendomtokambali6551 😂😂 kama mimi hapa nilikua simujui nahikyo kipindi nîlikua sikijui kabisa, lakini leo ndo maraangu yakwanza kuitazama, kupitia kile alichofanya na Ndaro kwenye ule mzee muuza Matunda na pastèque 🍉🍉🍉
Ila nimekipenda kutoka Congo🇨🇩
@@AbiTech96 ndio maana nilimjibu ndugu yangu hapo juu , sio bizuri kutumia uwingi
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamaaaa hana presha kabisa 😂😂😂😂😂😂😂..yupo cool sana😂
onesmo katisha sana
Onesmo Mtu poa sana
Daah mo up vrz bro
Motown huyu dogo anajua sana uwe unamtumia zaidi tunahitaji kumuona ananivunja mbavu sana
Onesmo mtu smart cana
Onesmo Salut unamaringounarohombaya kumbe nikaziyakutafuta maisha lknunachukinamtu
Hii haikubamba sana bodyguard anaroho safi san tunataka mtu mwenye hasira
Bichwa lako😂😂😂😂
Big up wazeeee 🎉🎉😂😂😂
Good job brother
Nimempeda Sana onesmo Yuko vizur
LEO MMESHINDWAAA.. mshindi ni ONESMO🤙🤙🤙
😂😊😊😊😊😊
Dogo anajua kuigiza kinoma dah clip ya pili namuona ana kipaji sana
😂😂😂😂😂😂ila ichi kipindi hua nacheka paka nalia😂😂😂😂nakipenda sanaaa
Hatare saana
Ila huyo aliyeandika kwenye Profile, Mwananyamara..😂😂
Nampa maua yake
Onesmo hajaingia kwenye 18 inaonyesha hanashida nawatu sio mkorofi
Huyu kibonge tu sio bodybuilder
❤
Jamaa yuko peace sana
😂😂😂 onesmo "Eti wewe unataka nini chobi"?
Huyo kaka pembeni nimechekaaaàaaaa anaita bro onesmo naomba na mm nipngeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤
Oyaaa wakija hao watu wanaozingua usiwaekee mice waje na mice zao. Kufanya ivo mimi naelewa kama still on record
Point🤙🤙:: 🧨🧨🧨🧨🧨🧨🧨FANYA IVYO MO TOWN SANYA
Mshkaji hajakamatika leo mmefeli Mo town
Dah dulivan namasha love ndio waliruonyesha rialityyao
Yani ukiwa na mwili mkubwa hivyo Inabidi uwe calm kama jamaaa. Hana jazba anacheka tuu😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Onesmo kakamatika ila tu hataki kukubali ila amekamatika
CD imetoka mbeya miez mitatu
Onesmo umewakamata ao
Onesmo kakamatika
Yule bodyguard mwengine alienda wapi?
Amekamatika uyo ila anajifanya mwerevu
Hapo kwenye suti hapo
Sema huyu jamaa hana hasira
Jamaa hajakamatika kweli mo town
CD imetoka mbeya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbona kama OG wa tanzania huyo bodyguard
Mpeni simu yake huyo 😂😂😂😂😂
Bodygurd au sio....daah😅
Kadakwa anazuga tu 😅😅😅😂😂
Onesmo kakamatika😅😅😅
Sas naelew kwann simba anampenda Onesmo
Et simu kaweka password 😂😂😂😂😂😂
huyo jamaa anayeimba kanichekesha sana ata nyimbo zake hazijui
Ila wabongo tunazingua 😅😅 people they are serious at all
Acheni ujinga wacheni kujifanya mumefika sn apa duniani mbna mwa dalilisha wanzenu mpeni cmu yke aende
Onesmo hajakamatika
Anapo lala bodyguard wa super star mbona kuna leta mkanganyiko kwa hadhira 😃😃🙆🏃🙌🙌
Upi sasa angelala wapi labda ikulu
Angalia anapolala Bakhresa na anapolala mfanyakazi wake wa kiwandani anaemlipa elfu nne kwa siku.
Ww umepaona? Mlinzi wa msanii mkubwa hivyo aonyeshe anapokaa thubutu
Hiyo location tu na sio anapokaa. Bodyguard hawezi kuonyesha dunia nzima anapoishi
Onsimo mwanangu ila hapo amekaa
Hiki kipindi kizuri 😂😂 sema haya mambo duuh eti mkofii😂😂
Dah SEMA onesmo amelilax tuu hakupanik
Onesmo ana roho nzuri sanaaaaaa
Sana yaaan
Bodgud mwarabu aliendawapi
Onesmo umekamatila bro usitutishe
Jamaa lamazoez haliogopi
Yan we Mo kila ukiwa na uyo kaka mwenye tshet black Huwa unampga makof 😂😂😂😂😂
Onesmo nmekupenda una roho nzur ❤
Big mbish kinoma ila kakamatika😀😀🤣😂
dogo elisha ndio kazingua hana hat akapela hajui hamjamuweza kamanda ndio kawaweza
Sio hawa ni evaa 😅😅😅
Kwann baunsa wa BIg anaishi Maisha Hayo??? 😢
ni CAREER au ni CARRIER?😲
Badilika tena ushaanza kupoteza acha maogizo watashtuka
Zinarekod kwa pamoja hiz zilisharekodiwa miez nane nyuma
Mbona ijayo hujatuonesha
Mzito amekamatika alikua anachekacheka tu akuwa anajua chochote
😂😂😂
Onesmo umeyakanyaga
Nyie mo umekamatika
Sema jamaa huyo anaujua usumbufu adi anakela
😅😅😅😅sema onesmo anamaswali magumu
Mimi huyu doqo animaliza kinqanqanizi kweli nikiwa Saudi naona raha kweli
😂😂😂😂
Bodyguard wa msanii mkubwa sana ila Maisha bado yakawaida sana anapo ishi nilitegemea iwe sehemu classic sana
Si kila mtu na maisha yake kwani unadhani wafanyakazi wote wa wasanii wanaishi sehemu nzuri?
Nimecheka kisenge yaaaaan
Mnamsumbua baunsa
HIV Ni kwel Leo wamekamatika kwa kuw On hajapanick
Pensi wanavaaa watoto weweee
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamaa hana noma respect kwake
Onesmo kakamatika
😂😂
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndio comments mara mia
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Andika mara moja choko wewe
@@shedymmari7910 😂😂😂
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
We nae ukisha-comment moja c basi
Nashangaa makoment tele acha ushamba
@@pavillioncry5241 MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@pavillioncry5241 MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@pavillioncry5241 MO TOWN SANYA
KIPINDI CHAKO KIKO POA SANAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤