"KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 29. 11. 2022
- "KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"
WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Huyu mzee ana hekima sana ..kaona usalama wa binti bora achukue namba za wote kijana akifanya chochote ajue namna ya kumsaidia bintiđ
Tanzanian are very loyal and trustable.God bless them to continue with their kindness and peace keeping.
Mhuni hawezi kabidhiwa chombo kikubwa kama wasafi, wasafi ni kubwa sana. Maneno ya mzee
Kipindi fulani kulitokea matatizo shuleni kwetu nikatoroka nilipofika Sumbawanga nilisaidiwa kwa watu wasionifahamu na niliishi kama mtoto wao' Tanzania yetu
Ulishawahi kwenda kuwapelekea chochote kitu, au kuwasalimia tu Hadi hivi sasa??.... Vijana wetu bhana đ€Š
Rudi siku moja uwasalimie.
Sumbawanga sehem gani, napia karibu sana ufipani uku
Kanta boy wew co buređđđ
M banah imekuwa ikinitkokea mala Kwa mala kusaidiwa na mpka ssa na wazazi zaid ya 5 walio nisev na hata ssa wengi wanajua mm n mtoto wao
Nimempenda saana huyu mzeeđ„đ„đ„đ„
Hii inaonesha vijana wengi bado wana maisha magumu sana. Wote hao hakuna mwenye geto lake mwenyewe.
Nimesisimka Asante Sana Tanzania uyu mwingi walahđ
Watanzania wana roho za kipekee sana wana uafrica saaana Mungu atubariki
Hiyo ni oungo bhan hakunaaa angekua mwanaume iingukua vita
Amen
"Utayaweza kweli maisha ya uswahilini maana mtu mwenyew unavoonekana dah"
You Guys Mnatakiwa Kuwa Serious Muwaige Wenzenu Wanavyofanya
Inabidi Mpange Na Mtenge Kifungu Kabisa Kwamba Atakayetoa Msaada Au Atakayeonyesha Moyo Mnampa Kiasi Cha Pesa Show Some Appreciation Sio Mnatoa Content Watu Wanadeliver Mnawaacha Ivyo Sijapenda đčđżđčđż
Kweli kabisa mnawapotezea muda wao pia!
Kweli kabsa ndugu
Woord...
Kweli
Wabongo kwa kunyonyana utawaweza....
Mtoeni japo 100K mwamba ana moyo sana
Tanzania đčđż ninchi ya watu wakalimu Sana imeshanitokea nilifukuzwaga nyumbani nikasaidiwa na watu baki nilikaa almost one week mzee akanipigia cm nirudi nyumbani mtihani asee omba yasikukute aloođđđ
Yalinitokea pia ila nilisaidiwa nilikua Zaid ya miez 4 nikienda kazini narud kwa mama wa rafik japo hakua sana rafiki ila nataman siku moja nikamtembelee manake huu ni mwaka wa sita na kitu sijamuona.. Kuna watu wanamoyo sana jaman
@@mamuoman7849 so sorry MAMU ndio maisha Ila ujitaidi usije kuwafukuza watoto wako au wanje yandoa
Nahir anajuw mpak anajuw tenaa yani anajifanya mpol utazani ni kweliđ„°đ„°đ„°đ€đ€
Ila jamaa wa mwisho nimemuelewa sana kuanzia kauli zake hadi roho yakeđ
Mnajitahidi sana ipo siku mtafanya makubwa, ubunifu upo hapa
Sema Pisi inavyojielezea iko vizuriiii..
Kipindi cha leo....serikali ingekitumia ili kupata takwimu za raia wake wanavyoishi na ukame,shida ili kuweza kuendeleza jamii na kukuza ajira
Nilicho jifunza kuwa watanzania wastaarabu kwel kweli
Huyo mzee Ana hekima Sana big up
Mwamba wa mwisho mngemtoa ata 10k ako humble
Sema mo town introduction unaongea sana bhn.....đ„čđ„čđ„čđ„đ„đ„
SubhanaAllah mweyeeee đąđąđąmaskini huyo mze ana moyo wakusaidia na kaka wa njano
Wabongo tupo loyal sana, ready to help kwa namna yoyoteđȘ
Wapi huyo demu kuwa wewe uone đđđđđ
@@santosdanny9243 đđđ
Mm nlisaidiwa seem nikakaa week2 nakula na kulala tu then na kaz nikatafutiwa hadi leo hii nafanya kaz tangia 2016 nashkru mungu pia baqdh ya watz wana rohonzur sana pia na wao walinpendasana kwa loyalty yangu
Usiseme baadhi asilimia kubwa watu wana roho nzuri tusitishwe na wachache wamitandaoni
Unbelievable demonstration of kindness of us African people who have almost nothing for ourselves but always ready to share whatever little we have with others. Inapendeza, yaani inaliza. Hapa Ulaya hili haliwezi tokea abadan! The guy in yellow is ready to introduce a stranger to his mother and even risk his marriage to help a stranger. What about that! Africans are very special people.
For sure, We have that spirit especially here in TZ kindness and hospitality is our culture to everyone even strangers
@@alexkitundu2413 Absolutely impressive
Acha zako bwana
Tena watu maskini kabisa... Kwa matajiri ni nadra sana kusaidia mtu stranger... Ila ndio yale kafia geto.
@@AbuuAbdilRahmaan inashangaza. wasio na kitu ndio walio na moyo wakusaidia wengine
Nimegundua hapa town watu wapo kwa ndugu zao kumbe wanaojitegemea ni wachache sana tupige makofi kwa tunaojitegemeađ€Čđ€Čđ€Č
đđđ
Uyuninaira wajuwakali mrembo mashallah
Kavile naila wa jua kali!! Ila wabongo 2na roho , za kibinadam nimepnda xna hii
Sanya broo , huwezi kosa zawadi ya kuwapa ambao waneonyesha moyo wa ukarimu, wape hata kianzio cha beti yenu tena
Kipindi kizuri kinahamasisha , pamoja na matatizo lkn tuko pamoja, keep it up brothe
Usiposuka unapendeza motown
nimempenda sana uyo baba
Sanya nyoko sana kabla ya kuwa mtangazaji alikuwa muigizaj awasaidie bongo movie đ€Łđ€Łđ€Ł
Aisee. Tuliokuwa na maghetto tuheshimiwee. Wengi waishi kwa kuungaungaa sana aiseee dah
Unyama ni mwingi sana kwenye nafasi Yako kaka mo
11:35 wasafi tv ni chombo kikubwađđđ
Motown nembo ya mtaa
Kwanza uwongo wasafi ni no one
Hawa wana wametisha sana đđđđđđ
Mwanzo nilijua ni mim tu ndy sina hata alfu tatu,kumbe tupo wengiđ€Łđđ€Ł
MashaAllah naira
Good idea đĄ đ motown sanya
Sanya nakubali mwamba
Dar mtihani tuu bongo âșïžđ€Łđ€Łđ€Ł
Good job
Ila kelele kipindi kipo Safi sana ila sauti
'' ... daah, mitihani tu Bongo hapa ..''. đ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
Wanaume tunacare sana bas tu yani
đ„đ„đ„bonge la show
Mwamba wanjano katisha sana nimeipenda
Asante studios
Ningeomba mlete hii kipindi huku kwetu Kenya team wasafi online.
đđđđ
Ambacho sitaki kukikosa kwanza ni kulađ
Kawaida saana hyo kwa mimii kuwasaidiaa
BIG UP brother wa njanođđ
Tz tunaroh nzur sana nimependa
Naira
đđđđwe motown siku utakuja kuua mtu yan me huyo ungenipata ningetoa msaada ila uyo dada nae yumo et asije akantangaza kwenye ma tv mtu mwenyew muun muun
Kuna mbu utaweza kweliđđ
đ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łbroo uko fireeeeee
Mpeni pesa uyo Jamaa wa mwisho
mo town nakufatilihaka sana kutoka Cape town South Africa đżđŠ kesington..una mambo jamawangu wewe
ITABIDI TUSAIDIANE TU MAISHA YENYEWE YASHAKUWA YA DASLAMU HAYAđđ€Łđ€Łđ€Ł
Hahaha kweli watu wa dar n matatizo at pakulala akunaaa
Fanya hivi nikuconnectie basi đ
aa mmetshaa sana Mo, ubunifu đ„đ„
Danya hapana hua unawatoaga pesa. Huyu mwana. Alie kubali hukamtoađ§
uyu n nailaa
Wenu nyinyi niupuuzi lazima ummpe mtu zawadi kaonesha roho SAFI alaf umempotezea mdawake kuendesha kipindi chako
Nakubali
Oy...Motown sanya..pamba...zako...unanunuaga...wapi....nazikubaliii....sanađ
Kama hizo pia tunazo tufollow insta gram @Malindostore_ tupo dsm tegeta
Umeua boss
aje siku moja tabata ndo ungejua malaya wako wengi
đđđmi sina ghetto niko kwa Boss....
Naira wetu wa jua Kali â„ïžâ„ïžâ„ïžâ„ïžâ„ïžâ„ïž
Daslam Daslam Daslam......
Kazii kaziii mbuzii kafiaa kwa muuzaa supu
Sio kweli
sema dar mna MBU sanađčđčđč
Jalibu kufanya cama hii na mwanaume, maana watu wasiwe anafanya kwasababu ni demu
Mwanaume unalalamika vip hauna Makazi BoB au wew umezaliwa Dar đ€#JOKE
Ila mwanaume hawez sema au kulalamika atakufa nalo moyoni na ndiy kitakachomtia hasira ya kutafuta chapaađ«
Motown Sanya miyeyushO kweLi Hahahaa đ đ đ
Mlicho kosea dada uyo kapendeza sana na kingine asinge kuwa anawafata mnavo ongea asubiri mpaka aondoke
Big up đđđđ
Dah sio fresh kudhalilishana sio poa
hii ni dalili tusha ya kuwa wabongo %kubwa wanauweza ukuwaxi
Huyo morio, alijipa si aty nini!!! Lakini mumemkatsia mbaya
Wehu mnashindwa hata kumpa buku sio gud
Analala peke ake anageto mojađđđ
Hii ni loyalty test manzeeđđđ
Daaah etiiii chuma ichooo hapooo
Mzee anachezesha dimba la katiđ€Łđ€Ł
Mzee kaua sanađ€Łđ€Łđ€Ł
oya sanya respect sana
Maisha ya uswahilini Kuna mbu kweliiiiđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
Hahahaha
Kipindi kipo fire sanađ„â„ïž
Kuanzia leo ntakufatilia nimependa kipindi chako
Umeshawahi kuona wapi demu kama huyo akakosa msada halafu msaada wakulala wew hapo hamna msaada wowote jaribu uweke mwanaume uone kama kuna mwenye atamsaadia
Sahihi kabisa
Kabisa
Oya Motown umezingua kinyama ungemuacha mpaka home mkamuona hata mother yake ju mama amemfundisha mwanae na ameelewa kusaidia wahitaji. Jeff fro from doha catar
Isingekua rahisi coz yule jamaa angeshtuka zile camela zinavyoendelea kuwafuatađ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
Kadada kakikosa msaada kanasema daah yan km kweli vile
ssna umetisha sana kaka
Mo town mungu anakuonađ€Łđ€Łđ€Ł
đđ mwamba alikuwa anaenda kupaka vumbi
đđ
Unyamaaaaaađ
Dah wabongo bhana wanatoa makobo sanaa. đđđđ