"KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 29. 11. 2022
  • "KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"
    WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 267

  • @naomimavura2239
    @naomimavura2239 Pƙed rokem +17

    Huyu mzee ana hekima sana ..kaona usalama wa binti bora achukue namba za wote kijana akifanya chochote ajue namna ya kumsaidia binti🎉

  • @bernardmkuffya5171
    @bernardmkuffya5171 Pƙed rokem +19

    Tanzanian are very loyal and trustable.God bless them to continue with their kindness and peace keeping.

  • @swalloonpoint2306
    @swalloonpoint2306 Pƙed rokem +26

    Mhuni hawezi kabidhiwa chombo kikubwa kama wasafi, wasafi ni kubwa sana. Maneno ya mzee

  • @patrickrumaga5936
    @patrickrumaga5936 Pƙed rokem +72

    Kipindi fulani kulitokea matatizo shuleni kwetu nikatoroka nilipofika Sumbawanga nilisaidiwa kwa watu wasionifahamu na niliishi kama mtoto wao' Tanzania yetu

    • @tfelician
      @tfelician Pƙed rokem +9

      Ulishawahi kwenda kuwapelekea chochote kitu, au kuwasalimia tu Hadi hivi sasa??.... Vijana wetu bhana đŸ€Š

    • @leonardgervas7515
      @leonardgervas7515 Pƙed rokem +1

      Rudi siku moja uwasalimie.

    • @edwardbuttu3981
      @edwardbuttu3981 Pƙed rokem

      Sumbawanga sehem gani, napia karibu sana ufipani uku

    • @dunstanemanuel7795
      @dunstanemanuel7795 Pƙed rokem

      Kanta boy wew co bure😄😄😄

    • @danieljoseph6207
      @danieljoseph6207 Pƙed rokem

      M banah imekuwa ikinitkokea mala Kwa mala kusaidiwa na mpka ssa na wazazi zaid ya 5 walio nisev na hata ssa wengi wanajua mm n mtoto wao

  • @teacherd
    @teacherd Pƙed rokem +22

    Nimempenda saana huyu mzeeđŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„

  • @hudsson75
    @hudsson75 Pƙed rokem +8

    Hii inaonesha vijana wengi bado wana maisha magumu sana. Wote hao hakuna mwenye geto lake mwenyewe.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Pƙed rokem +11

    Nimesisimka Asante Sana Tanzania uyu mwingi walah🙏

  • @franktiba1506
    @franktiba1506 Pƙed rokem +27

    Watanzania wana roho za kipekee sana wana uafrica saaana Mungu atubariki

  • @juliusjulius2080
    @juliusjulius2080 Pƙed rokem +12

    "Utayaweza kweli maisha ya uswahilini maana mtu mwenyew unavoonekana dah"

  • @Momo_96
    @Momo_96 Pƙed rokem +51

    You Guys Mnatakiwa Kuwa Serious Muwaige Wenzenu Wanavyofanya
    Inabidi Mpange Na Mtenge Kifungu Kabisa Kwamba Atakayetoa Msaada Au Atakayeonyesha Moyo Mnampa Kiasi Cha Pesa Show Some Appreciation Sio Mnatoa Content Watu Wanadeliver Mnawaacha Ivyo Sijapenda đŸ‡č🇿đŸ‡č🇿

  • @Abdulhamid_Suleiman
    @Abdulhamid_Suleiman Pƙed rokem +27

    Mtoeni japo 100K mwamba ana moyo sana

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 Pƙed rokem +40

    Tanzania đŸ‡č🇿 ninchi ya watu wakalimu Sana imeshanitokea nilifukuzwaga nyumbani nikasaidiwa na watu baki nilikaa almost one week mzee akanipigia cm nirudi nyumbani mtihani asee omba yasikukute aloo😭😭😭

    • @mamuoman7849
      @mamuoman7849 Pƙed rokem +3

      Yalinitokea pia ila nilisaidiwa nilikua Zaid ya miez 4 nikienda kazini narud kwa mama wa rafik japo hakua sana rafiki ila nataman siku moja nikamtembelee manake huu ni mwaka wa sita na kitu sijamuona.. Kuna watu wanamoyo sana jaman

    • @johanesnixon5473
      @johanesnixon5473 Pƙed rokem +2

      @@mamuoman7849 so sorry MAMU ndio maisha Ila ujitaidi usije kuwafukuza watoto wako au wanje yandoa

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 Pƙed rokem +6

    Nahir anajuw mpak anajuw tenaa yani anajifanya mpol utazani ni kweliđŸ„°đŸ„°đŸ„°đŸ€—đŸ€—

  • @UpepoVlogs
    @UpepoVlogs Pƙed rokem +11

    Ila jamaa wa mwisho nimemuelewa sana kuanzia kauli zake hadi roho yake👍

  • @mitumbagradeonekutokakorea409

    Mnajitahidi sana ipo siku mtafanya makubwa, ubunifu upo hapa

  • @stn4873
    @stn4873 Pƙed rokem +5

    Sema Pisi inavyojielezea iko vizuriiii..

  • @alantonio855
    @alantonio855 Pƙed rokem +7

    Kipindi cha leo....serikali ingekitumia ili kupata takwimu za raia wake wanavyoishi na ukame,shida ili kuweza kuendeleza jamii na kukuza ajira

  • @mackmtata8277
    @mackmtata8277 Pƙed rokem +17

    Nilicho jifunza kuwa watanzania wastaarabu kwel kweli

  • @pendobaharia5598
    @pendobaharia5598 Pƙed rokem +15

    Huyo mzee Ana hekima Sana big up

  • @mzenjikichaa8695
    @mzenjikichaa8695 Pƙed rokem +7

    Mwamba wa mwisho mngemtoa ata 10k ako humble

  • @neemamkemae2580
    @neemamkemae2580 Pƙed rokem +29

    Sema mo town introduction unaongea sana bhn.....đŸ„čđŸ„čđŸ„čđŸ”„đŸ”„đŸ”„

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Pƙed rokem +10

    SubhanaAllah mweyeeee 😱😱😱maskini huyo mze ana moyo wakusaidia na kaka wa njano

  • @fidurashidi5781
    @fidurashidi5781 Pƙed rokem +37

    Wabongo tupo loyal sana, ready to help kwa namna yoyoteđŸ’Ș

    • @santosdanny9243
      @santosdanny9243 Pƙed rokem +1

      Wapi huyo demu kuwa wewe uone 😂😂😂😂😂

    • @2cash259
      @2cash259 Pƙed rokem

      @@santosdanny9243 😂😂😂

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Pƙed rokem +6

    Mm nlisaidiwa seem nikakaa week2 nakula na kulala tu then na kaz nikatafutiwa hadi leo hii nafanya kaz tangia 2016 nashkru mungu pia baqdh ya watz wana rohonzur sana pia na wao walinpendasana kwa loyalty yangu

    • @africanproudly4004
      @africanproudly4004 Pƙed rokem +1

      Usiseme baadhi asilimia kubwa watu wana roho nzuri tusitishwe na wachache wamitandaoni

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI Pƙed rokem +25

    Unbelievable demonstration of kindness of us African people who have almost nothing for ourselves but always ready to share whatever little we have with others. Inapendeza, yaani inaliza. Hapa Ulaya hili haliwezi tokea abadan! The guy in yellow is ready to introduce a stranger to his mother and even risk his marriage to help a stranger. What about that! Africans are very special people.

    • @alexkitundu2413
      @alexkitundu2413 Pƙed rokem +4

      For sure, We have that spirit especially here in TZ kindness and hospitality is our culture to everyone even strangers

    • @hukuUJERUMANI
      @hukuUJERUMANI Pƙed rokem +3

      @@alexkitundu2413 Absolutely impressive

    • @enockabumba7513
      @enockabumba7513 Pƙed rokem +2

      Acha zako bwana

    • @AbuuAbdilRahmaan
      @AbuuAbdilRahmaan Pƙed rokem +3

      Tena watu maskini kabisa... Kwa matajiri ni nadra sana kusaidia mtu stranger... Ila ndio yale kafia geto.

    • @hukuUJERUMANI
      @hukuUJERUMANI Pƙed rokem +2

      @@AbuuAbdilRahmaan inashangaza. wasio na kitu ndio walio na moyo wakusaidia wengine

  • @jjoashjoash4113
    @jjoashjoash4113 Pƙed rokem +10

    Nimegundua hapa town watu wapo kwa ndugu zao kumbe wanaojitegemea ni wachache sana tupige makofi kwa tunaojitegemeađŸ€ČđŸ€ČđŸ€Č

  • @zena6203
    @zena6203 Pƙed rokem +8

    Uyuninaira wajuwakali mrembo mashallah

  • @ndikumanarodrigue5657
    @ndikumanarodrigue5657 Pƙed rokem +12

    Kavile naila wa jua kali!! Ila wabongo 2na roho , za kibinadam nimepnda xna hii

  • @joesimba1146
    @joesimba1146 Pƙed rokem +13

    Sanya broo , huwezi kosa zawadi ya kuwapa ambao waneonyesha moyo wa ukarimu, wape hata kianzio cha beti yenu tena
    Kipindi kizuri kinahamasisha , pamoja na matatizo lkn tuko pamoja, keep it up brothe

  • @gladnessmunyanyi5775
    @gladnessmunyanyi5775 Pƙed rokem +14

    Usiposuka unapendeza motown

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv Pƙed rokem +7

    nimempenda sana uyo baba

  • @killywilly6932
    @killywilly6932 Pƙed rokem +7

    Sanya nyoko sana kabla ya kuwa mtangazaji alikuwa muigizaj awasaidie bongo movie đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @yossephcasiani2328
    @yossephcasiani2328 Pƙed rokem +4

    Aisee. Tuliokuwa na maghetto tuheshimiwee. Wengi waishi kwa kuungaungaa sana aiseee dah

  • @moutinhomerlin6498
    @moutinhomerlin6498 Pƙed rokem +12

    Unyama ni mwingi sana kwenye nafasi Yako kaka mo

  • @DurahRich
    @DurahRich Pƙed rokem +21

    11:35 wasafi tv ni chombo kikubwa😂😂😂

  • @Zaburi-
    @Zaburi- Pƙed rokem +7

    Hawa wana wametisha sana 😀😀😀😀😀😀

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Pƙed rokem +4

    Mwanzo nilijua ni mim tu ndy sina hata alfu tatu,kumbe tupo wengiđŸ€ŁđŸ˜‚đŸ€Ł

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 Pƙed rokem +3

    MashaAllah naira

  • @gaudencewilliam238
    @gaudencewilliam238 Pƙed rokem +3

    Good idea 💡 👏 motown sanya

  • @sadiboytz2054
    @sadiboytz2054 Pƙed rokem +4

    Sanya nakubali mwamba

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash535 Pƙed rokem +5

    Dar mtihani tuu bongo â˜șïžđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 Pƙed rokem +8

    Good job

  • @richardchijana9665
    @richardchijana9665 Pƙed rokem +6

    Ila kelele kipindi kipo Safi sana ila sauti

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI Pƙed rokem +7

    '' ... daah, mitihani tu Bongo hapa ..''. đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @gaudencewilliam238
    @gaudencewilliam238 Pƙed rokem +4

    Wanaume tunacare sana bas tu yani

  • @makanjicharles9860
    @makanjicharles9860 Pƙed rokem +3

    đŸ”„đŸ”„đŸ”„bonge la show

  • @jofuhamad8765
    @jofuhamad8765 Pƙed rokem +8

    Mwamba wanjano katisha sana nimeipenda

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Pƙed rokem +2

    Asante studios

  • @nziokajacob638
    @nziokajacob638 Pƙed rokem +4

    Ningeomba mlete hii kipindi huku kwetu Kenya team wasafi online.

    • @bentez911
      @bentez911 Pƙed rokem

      😆😆😆😆

  • @nobodyog9512
    @nobodyog9512 Pƙed rokem +8

    Ambacho sitaki kukikosa kwanza ni kula😂

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile4203 Pƙed rokem +4

    Kawaida saana hyo kwa mimii kuwasaidiaa

  • @rehemamsengo2805
    @rehemamsengo2805 Pƙed rokem +6

    BIG UP brother wa njano👌👌

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Pƙed rokem +5

    Tz tunaroh nzur sana nimependa

  • @mwanahawaomarimashaka197
    @mwanahawaomarimashaka197 Pƙed rokem +4

    Naira

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Pƙed rokem +5

    😄😄😄😄we motown siku utakuja kuua mtu yan me huyo ungenipata ningetoa msaada ila uyo dada nae yumo et asije akantangaza kwenye ma tv mtu mwenyew muun muun

  • @buddahmakucha6848
    @buddahmakucha6848 Pƙed rokem +8

    Kuna mbu utaweza kweli😒😂

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 Pƙed rokem +10

    đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Łbroo uko fireeeeee

  • @darviswantana7669
    @darviswantana7669 Pƙed rokem +3

    Mpeni pesa uyo Jamaa wa mwisho

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Pƙed rokem +8

    mo town nakufatilihaka sana kutoka Cape town South Africa 🇿🇩 kesington..una mambo jamawangu wewe

  • @dullyhaleem6962
    @dullyhaleem6962 Pƙed rokem +5

    ITABIDI TUSAIDIANE TU MAISHA YENYEWE YASHAKUWA YA DASLAMU HAYAđŸ˜‚đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @samsammushi9844
    @samsammushi9844 Pƙed rokem +3

    Hahaha kweli watu wa dar n matatizo at pakulala akunaaa

  • @thebroski9763
    @thebroski9763 Pƙed rokem +8

    Fanya hivi nikuconnectie basi 😂

  • @jayp5871
    @jayp5871 Pƙed rokem

    aa mmetshaa sana Mo, ubunifu đŸ”„đŸ”„

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 Pƙed rokem +3

    Danya hapana hua unawatoaga pesa. Huyu mwana. Alie kubali hukamtoa🧐

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Pƙed rokem +6

    uyu n nailaa

  • @yunussaleh8493
    @yunussaleh8493 Pƙed rokem +3

    Wenu nyinyi niupuuzi lazima ummpe mtu zawadi kaonesha roho SAFI alaf umempotezea mdawake kuendesha kipindi chako

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Pƙed rokem

    Nakubali

  • @delvinngaiza7500
    @delvinngaiza7500 Pƙed rokem +4

    Oy...Motown sanya..pamba...zako...unanunuaga...wapi....nazikubaliii....sana👊

    • @jumaabas6837
      @jumaabas6837 Pƙed rokem

      Kama hizo pia tunazo tufollow insta gram @Malindostore_ tupo dsm tegeta

  • @mrtitus5536
    @mrtitus5536 Pƙed rokem +3

    Umeua boss

  • @rogerlyaruu5739
    @rogerlyaruu5739 Pƙed rokem +6

    aje siku moja tabata ndo ungejua malaya wako wengi

  • @PrinceWalterM
    @PrinceWalterM Pƙed rokem +3

    😂😂😂mi sina ghetto niko kwa Boss....

  • @bupeisaya9063
    @bupeisaya9063 Pƙed rokem

    Naira wetu wa jua Kali ♄♄♄♄♄♄

  • @stn4873
    @stn4873 Pƙed rokem

    Daslam Daslam Daslam......

  • @dawoodmkangila2854
    @dawoodmkangila2854 Pƙed rokem

    Kazii kaziii mbuzii kafiaa kwa muuzaa supu

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt Pƙed rokem +1

    Sio kweli

  • @ngumijinzwanilo153
    @ngumijinzwanilo153 Pƙed rokem +5

    sema dar mna MBU sanađŸ˜čđŸ˜čđŸ˜č

  • @tchidebennyz4038
    @tchidebennyz4038 Pƙed rokem +5

    Jalibu kufanya cama hii na mwanaume, maana watu wasiwe anafanya kwasababu ni demu

    • @allyjabeer1924
      @allyjabeer1924 Pƙed 11 měsĂ­ci

      Mwanaume unalalamika vip hauna Makazi BoB au wew umezaliwa Dar đŸ€­#JOKE
      Ila mwanaume hawez sema au kulalamika atakufa nalo moyoni na ndiy kitakachomtia hasira ya kutafuta chapaađŸ«‚

  • @hassanimohamedi5489
    @hassanimohamedi5489 Pƙed rokem +1

    Motown Sanya miyeyushO kweLi Hahahaa 😄 😄 😄

  • @halunimnenwa5224
    @halunimnenwa5224 Pƙed rokem +2

    Mlicho kosea dada uyo kapendeza sana na kingine asinge kuwa anawafata mnavo ongea asubiri mpaka aondoke

  • @michaeltheophile7035
    @michaeltheophile7035 Pƙed rokem

    Big up 🎉🎉🎉🎉

  • @mikhtaryanhussein9169
    @mikhtaryanhussein9169 Pƙed rokem

    Dah sio fresh kudhalilishana sio poa

  • @giantokoe
    @giantokoe Pƙed rokem +4

    hii ni dalili tusha ya kuwa wabongo %kubwa wanauweza ukuwaxi

  • @Metrodesigns21
    @Metrodesigns21 Pƙed rokem +1

    Huyo morio, alijipa si aty nini!!! Lakini mumemkatsia mbaya

  • @marafikistation
    @marafikistation Pƙed rokem +1

    Wehu mnashindwa hata kumpa buku sio gud

  • @gaudencewilliam238
    @gaudencewilliam238 Pƙed rokem +4

    Analala peke ake anageto moja😂😂😂

  • @nyakungukimakon1883
    @nyakungukimakon1883 Pƙed rokem +7

    Hii ni loyalty test manzee😂😂😂

  • @boazjoseph6372
    @boazjoseph6372 Pƙed rokem +1

    Daaah etiiii chuma ichooo hapooo

  • @Secondborn_
    @Secondborn_ Pƙed rokem +5

    Mzee anachezesha dimba la katiđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @islamdede2507
    @islamdede2507 Pƙed rokem

    oya sanya respect sana

  • @mwalimuissa5964
    @mwalimuissa5964 Pƙed rokem +9

    Maisha ya uswahilini Kuna mbu kweliiiiđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Pƙed rokem +15

    Kipindi kipo fire sanađŸ”„â™„ïž

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Pƙed rokem +4

    Kuanzia leo ntakufatilia nimependa kipindi chako

  • @bigirimanadaudi9797
    @bigirimanadaudi9797 Pƙed rokem +8

    Umeshawahi kuona wapi demu kama huyo akakosa msada halafu msaada wakulala wew hapo hamna msaada wowote jaribu uweke mwanaume uone kama kuna mwenye atamsaadia

  • @jn_mustonez7842
    @jn_mustonez7842 Pƙed rokem +7

    Oya Motown umezingua kinyama ungemuacha mpaka home mkamuona hata mother yake ju mama amemfundisha mwanae na ameelewa kusaidia wahitaji. Jeff fro from doha catar

    • @reinatave3022
      @reinatave3022 Pƙed rokem +1

      Isingekua rahisi coz yule jamaa angeshtuka zile camela zinavyoendelea kuwafuatađŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @ramadhanichuka3583
    @ramadhanichuka3583 Pƙed rokem +3

    Kadada kakikosa msaada kanasema daah yan km kweli vile

  • @allysekela-tq4jk
    @allysekela-tq4jk Pƙed rokem

    ssna umetisha sana kaka

  • @amanilawsi5783
    @amanilawsi5783 Pƙed rokem +4

    Mo town mungu anakuonađŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @Malekanojr
    @Malekanojr Pƙed rokem +4

    😀😀 mwamba alikuwa anaenda kupaka vumbi

  • @albinmamsery3572
    @albinmamsery3572 Pƙed rokem +3

    Unyamaaaaaa😅

  • @emanuelmbaga
    @emanuelmbaga Pƙed rokem +2

    Dah wabongo bhana wanatoa makobo sanaa. 😂😂😂😂