Yaan huwezi amn wimbo wa barnaba wa washa ulifanya niibiwe cm ya an... Niliplay wimbo halafu nikanogewa mpk cm ikaibiwa🙆🏻🙆🏻😂😂😂 asee like zenu kwa barnaba kama unamkubali
Jamani nimecheka sana huyu fala sanya anajuaaaaa jamani anajuuuaaaa kutangaza ona alivyombana yule msela eti Barnabas anaimba aleluyaaaa???? Gonga like kama zote
Naikumbuka nyimbo aloimba barnaba n linah sms enzi izo niko shule dah noma sanaa tuliharibu madaftar kwakeli n nyimbo y barnaba n shishi tecno pia kali naikubal yupo sw sn barnaba
Nampenda sana barnaba, ni mwanamuziki ambaye ana sauti nzuri sana ya kuimba, ana mistari mizuri na uandishi wake ni balaaa , binafsi ile penzi kiberiti washa Bado ni hit song kwangu
Barna nakupenda bure kaka angu. Nampenda sana diamond as my role model but nakupenda sana as my number one talented singer. Unajua sana babaa asiekuelewa hajui kuimba
Msanii wangu wa muda wote Barnaba nakukubali sana
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁humu wanatumaje voice jaman ntume nkicheka walah mbavu zangu
Namimi pia
Hata me sana tu
The first guy is really smart and honest 👌
Kama unamkubali motown Sanya gonga like hapa 🤜🤛🔥🔥🔥
Love❤️
Aiseee huyu msenge ni bonge la presenter #Best presenter in town Mo Town sanya
unamjua jonijoo wew
Mo town ni best kbs
@@mulladomuller4487 jonijoo hana maajabu yoyote au kisa ile misemo yake tu?
@@ahmedmahamudu4140 😂😂
Noma sanaaaaa
kama we nishabiki wa HIVI NI KWELI na THE STORY BOOK gonga like twende sawa
tnx for likes
🔥🔥🔥
Mimi na ww tuko sawa
Walomkubali jamaa wa kwanzo anavyojibu maswali tujuane. Bigup to him anajua kujieleza
My favorite musician,he is so polite much love from254 🇰🇪
For sure he is so calm
Very true💯♥️
Twende sawa replay ngoma ya barnaba unayo ikubali mim NABEMBELEZWA
Washa
Milele daima
Kama unakubal hik kipindi Cha HIVI NI KWEL Kuwa ni kipindi Bora kwa sasa iv gonga like twende sawa
@@mauahamisi1766 🤪🤪🤪🤪🤪
@@mauahamisi1766 Kama kimeo mbna upo online
czcams.com/video/zuPzr5WXG5A/video.html
Nipeni likes za BARNABA
Yupi chief classics au yule mwingine teh teh
@@martinerichard5827 Yule BARNABA boy
Saf.kaka
I love Barnabas music from Kenya with love
Jamaa wa kwanza nomaa🤣🤣🤣
Daaah leo nimekua wa 20 kwenye comment sio mbaya tupo na kipindi chetu cha kijanja good
Namimi na mkubali Barnaba, akitowa hit always ni fire🔥, much love🥰
Barnaba ndio baba lao😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Nan amegundua location Makumbusho... Sem kipind n 🔥
Sipendi kutokuwa na hela yaan umasikini umasikin Sipendi yaan wewe ni mimi mtupu🤣🤣🤣🙌
Hahaha nimecheka sana barnaba boy afai
Kenya 2nakukubali Noma sana Barnaba Big up bro
Respect Kwako Barnaba! Ila wajumbe wana ka unafki haaaa haaa "Barnaba Classics"
😆😆😆😆😆
Barnaba katulia sana ka relax kwenye interview safi sana
Big up💪👍😁 Wasafi TV Yani mwa mwi
I love this man barnaba classic
Dah leo nimewahi Sanya hichi kipindi huwa unakipatia kinyama, Barnaba yupo fresh hana dharau.
Wewe mtangazaji Ni noma sana aisee,nakukubali mno.unakitu Cha tofauti Sana kwenye kazi yako.
😀😀😀😀wajuba tunaishi natunatoa maboko 😋😋😋😆
Wakija kujiangalia walichoimba vituko tu
Hapo ndio utajua kuimbaa kipaji
Yaan huwezi amn wimbo wa barnaba wa washa ulifanya niibiwe cm ya an... Niliplay wimbo halafu nikanogewa mpk cm ikaibiwa🙆🏻🙆🏻😂😂😂 asee like zenu kwa barnaba kama unamkubali
🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌MO town sanya
One man army💯💯💯💯💯💯💯 @barnaba❤
Jaman huyu kaka wa tshist nyekundu nmekubal kanichekesha balaa halafu kaongea kitu ambacho kipo real kabisa
Hahahha ad mimi
Kwel
Daah huyu jamaa alohojiwa mara ya kwanza nimependa kitu asokipenda ni kutokuwa na pesa yani umaskini umaskini daah mimi unanikera kweli
😅😅😅😅
Aha live
Hata misipendi umaskini kwakweri
Daaaaah kipnd nakikubal sana hk yaan kinafurahsha sana siku moja njoo cnza bas
Jamani nimecheka sana huyu fala sanya anajuaaaaa jamani anajuuuaaaa kutangaza ona alivyombana yule msela eti Barnabas anaimba aleluyaaaa???? Gonga like kama zote
Watching all the way from Philippines representing 254
Gonga beat my favorite part😂😂😂😂😂
Naikumbuka nyimbo aloimba barnaba n linah sms enzi izo niko shule dah noma sanaa tuliharibu madaftar kwakeli n nyimbo y barnaba n shishi tecno pia kali naikubal yupo sw sn barnaba
Yan Moe sanyaaaaaaaaa hichi kipindi kitamuuuuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 aliekushaur ukianzishe bas big up Sana 😂😂😂😂😂
My favorite gonga beat yani 😂😂😂😂
Nembo ya mtaa ... Kipindi changu bora kitaa km na ww pia kipind chako bora gonga like tuwe sawa
barnaba I love your song Nipaia boy classics.
Aliemwona shabiki wa yanga anaemkubali barnaba classic huku akimponda barnaba boy alike hapa twende sawa😅😅😅
Utopolo jau hahahahaha
@@kendric0865 😀😀😀😀😀😀
Hahahha kaua jamaa
Yanga yanga tu 😄 🤣 😂 😆 😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nampenda sana barnaba boy classic💕💕💕
Kipindi changu hichi weka like zako
😄😁😂😂😂😂😂😂😂
Nampenda sana barnaba, ni mwanamuziki ambaye ana sauti nzuri sana ya kuimba, ana mistari mizuri na uandishi wake ni balaaa , binafsi ile penzi kiberiti washa Bado ni hit song kwangu
Huyu Mzee wa mwisho chenga kweli 😂😂😂😂🔥
Huyo Mzee siye yani barnaba anafanana na john Makini
Sanya on air🔥🔥🔥🔥🔥🔥🌏🌏🌏🌏
Hiiii show karii sana mo town sanya hiiii zaid yaooo mzeeee daaah ubunifuuuu
Pindi la kinyamwezi noumaaaa sana wcb 4life
Sipendi kutokuwa na ela 😂😂😂
Huyu msenge kaua
Eti kaimba Bam Bam baaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkn xn
Kaongea pia sana mwamba
Watu wangu wa nguvu moo town sanyaa &Barnaba classic
Qareeeeeee🔥🔥🔥🔥
My favourite Tv Show from Tz.🤣🤣🤣🤣
Wa t-shirt ya red anaelewa mziki saaaana🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌balaaa umeongea point
WASAFI CHAMA LAO
Yaani nimenotice mtanzania akipata mike na camera hawezi acha Ongea chochote hata kma hajui chochote 🤣🤣Eti barnaba ameiba haleluya
Hahaaa
🤣🤣🙌🏼
😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃
Tatizo wabongo tunaongea Sana tunabwabwajaa😄😄😄
Ikifika kwa vibogoyo ndona kufa mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂😂😀SANYA UTALIPA MBAVU ZANGU
🤣🤣🤣🤣 yaaaani nimecheka kama fala vile aky
kweli na mimi nimekufa apooo
😂😂😂😂😂😂😂
YANI MM SIKUBALIATA KIDOGO KUFANYIWA HIVI😂😂😂😀😀
@@junuferjinu1444 unakua hujui @
GONGA BT 🔥💕👈
Haaahaaahaaa haijanivutia jamaa hamjui barnaba boy ana mjua barnaba class pamoja sana on love
Uyo mwana wa kwanza kaua 😁😂🔥
JEJE Mziki mwingine kabsaa ukitaka kujuwa balaa lake Uwe ktk Sabufa.
Yaani💥💥💥🙌
Sana
Mo Sanya wampe zawadi tu ya Gari ile waliosema Kila mwisho wa mwezi wa tawapa wafanyakazi Bora anajituma Sana huyo kakaa😍
Mo town Sanya 🔥 🔥
MOTOWN SANYA UMEHARIBU KUBADILISHA INTRO HIYO NAOMBA URUDISHE ILE INTRO YA MWANZO
Mashabiki wanafki😂😂😂😂😂😂😂😂
Sanaaaaaa
C kidg😂😂😂
saan km uyuu kamponda dah kweli ss waongo
Haleluyaa Bamba baa ,😁😁😁
Kukosa pesa sipendi😂😂😂🙌🙌Sanya😍😍
Bonge moja LA kipindi wasafi hakuna show mbovu
Barnaba classic na barnaba boy
Barna nakupenda bure kaka angu. Nampenda sana diamond as my role model but nakupenda sana as my number one talented singer. Unajua sana babaa asiekuelewa hajui kuimba
My favorite star Barnaba 😍😍
Yan ndio utamin bongo ndio nchi pekee inayongoza Kwa majungu
Sana
😂😂
😄😄🤣🤣
Hivi nikweli bongo nayo ni inchi 😆😆
Ndio necha ya wabongo unafiki
Nakumbali barnaba class
Walochekeshwa na watu wa mwisho I like zangu hapa 🙄🤣🤣🤣🤣🤣
Wabongo wanafiki sana 😂😂😂😂🔥🔥🔥
Kama huyo wa kwanzaaaa ana unafiki wa degree
Uyo baba mwenye kofia muongo sana yaani anaonganisha umoumo 😂😂😂😂kumbe ajui chochote nimecheka baraha
😂😂😂😂😂👍
😂😂😂😂😂😂😂
Dah yechu sana wakuu pamoko xnaa
Ila Barnaba kwenye hii interview umekula tano hatari, lazima ukachue mkono aseee
jama wa kwanza katishaa
Huyo Alivaa Jezi Ya Yanga Alivyo Mfukuza Aliyevaa Jezi Ya Simba..... We Siulikataaa Kuongea Ukachukua Buku Ukaondoka? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanachekesha hawa
Sana 🤣🤣🤣
😅😅😅Nnamshauri wanawake aachane nae
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😀😀😀
Hata mm Nakupendaga kinyama halafu ameokoka huyo jamaaa Nakupenda cna ! Na una Moyo Safi lazima utamuona Mungu Baba!
Presenter ana wivu huyo barnaba kuombwa namba za cm2 kamaindi ety utaombwa sana mwaka huuu🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha bana weee
Brother creativity mambo Ni burudan😂😂😂😂
Barnab anawez bhn ❤❤❤
😀😃😃love barnaba
Barnaba love you ❤❤
Ila wabongooo🙌🙌
mtu mpole Barnaba namkubali mshikaji all love from Rwanda
Apo kwenye kuimba 😅😅😂😂
Aliyevaa kijani anajikuta yye ndio marioooo😑😆😆😆😆😆
Mm uwa nacheka gonga beat tu
Barnaba M2 na Nusu M2 Fundi Mtu Hataree🔥🔥
gonga beat huyo aliyevaa sweta jeupe mmh!😅😅😅🙌🙌
Mie hao tu wanaoimba unawapatiaje jmn Daah nacheka mpk nasahau kifo
Mm nimecheka km chizi jamani eti joo makini du mezee hyu ametisha
Dada kaomba namba za Simu,,,,,,Kwann acngeomba Zangu jamani 😂😂😂
😀😀😀🏃
Hahaha...wewe sio star lol 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mwenyewe namkubali sanaaa love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😘😘
Barnabas voice 😍😍😍
Kama umeona love bite🥰 shingoni kwa sanya Nipe like
Hapo kwenye gonga beat mtakuja kuzinguliwa siku moja@maana mtu anaona kaua mpaka anacheza kumbe huku tunamchora😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
I wish nionane na barnaba jaamani huyu jamaa ni fundi sana
Top c bien vraiment iko sawa✌✌
Eti ainakunoga 😂😂😂😂😂