Studio Session KOMANDO,G nako ft Diamond Platnumz
Vložit
- čas přidán 23. 12. 2023
- Get First Of All EP👇👇👇
dplatnumz.lnk.to/foa
/ @dplatnumz
Diamond Platnumz Booking Info:
Email:bookplatnumz@gmail.com | sallam.sharaff@gmail.com
Catch Up With Diamond Platnumz On:
Instagram: / diamondplatnumz
Facebook: / diamondplatnumz255
Twitter: / diamondplatnumz
#Diamondplatnumz #Wasafi - Hudba
Tulihisi tutaangalia kidogo alafu tutatoa Mara tumenogewa mpaka mwisho tujuane kwa like😂😂😂
Mm hyo part ya mwanzo tu nimerudia km mara 5😂😂😂 hapo blue anapo ongea ma zombie na simba
😅😅😅😅Amin
😂😂
😂😂😂
Kama umegundua legend Mr blue kalewa gonga likes nyingi kwangu
Nilitaka kusemaaaaa 😂😂😂😂
Kalewa lkni ywapeana advice bado😅
Hadi mrblue anamuita diamond kaka duuu
Alikua anamwambia G bana mana yy ndo mkubwa watu
@@homeboy2307wanaume kawaida hata kama mtu umemzidi umri
Yaani me nimefrahi kuona wasanii kutoka nnjee ya wcb wakiwa pamoja kuhakikisha ngoma inataka ikiwa na ubora hongereni sana
From Nigeria I love the way that producer smile 😊 showing good vibe one love African ❤️
He is called S2Kizzy Zombie
Hii ngoma mliipania na imelipa its a anthem
Daimond anajua Sana kupangilia vitu,,na s2 kizz anamuelewa Sana daimond Yan wanaelewana kwakuwa wote wanavipaji na wamefanya kazi Kwa pamoja Kwa mda mrefu
Diamond platnumz ft Mr blue fanya jambo platnumz will be 🔥 🇰🇪
Baaaanaaaa❤ haraka harakaaaa
Daaaaah itakua pw sana yaan wazo zuri sana litakua bonge la ngoma
@@EzzyEddy-il3ce Sanaaaa 🙌🙌🙌
Leo simba anaachia ngoma tumeomba na katusikiliza si mashabiki wake ❤ simba ft Mr blue 🔥
8:17 nimependa sana kuna verse alopita nayo simba big up sana simba la masimba dangote❤❤❤🎉🎉🎉
Nimefurahi sanh kuwaona wasanii wengi tuhh mkiwa pamoja, big up wasanii ushirikiano zaidi unaitajika🙌
Aiseee!! Kumbe mondi habahatishi, he actually plans for a hit🔥🔥🔥
Mondi mbunifu sana jamani
Pia kaka yetu Mr blue katisha kutoa support ake
Mondi mooooto fire 🔥🔥🔥🔥
Diamond platnumz is always the best musician in Africa
Simba ilinyeshewa
How long have you been addicted to glue 😢
Diamond anaishi na wasani wote kama familia
Hizi studio session ni nzuri mno inaoneshwa kwamba hakuna kitu kinakuja kirahisi you can how they struggle to make good music diamond you have become more than artist you are influencer
❤❤ Pongezi kwa Tuzo Awards 2 leo🎉❤🇹🇿👍
My best artist in the world Diamond platnumz ❤️💯🔥🔥
This is how tanzania artists should stand for each other...mambo ya CZcams 2achieni sie mashabiki..hii support ni kubwa na inanguvu sana..big work isay...
Big up platinumz for supporting your fellow citizens.. proud of you from Kenya
Dhhh so mchezo kaka kuimba kazi Simba ni perfect talented na unawatendakazi sahh sana kazi nzuri WE ZOMBIE🦁🦁🦁🦁
Apo ni studio WCB WASAFI IPO MBEZI BICHI NAONA SIKUZI NI INAFANYA KAZI ZA WCB TU SO MTU BAKI 💥💥💥🎶🎶🎶
The most hardworking artist for the last 10 to 15yrs
Whooo😂 is heee???
@@philipotieno9996we zombie 🦁🔥
Wee wacha ati utambui dangote @philipotieno
Staying in the studio is how I feel good vibes sometimes..yes keep on moving young boys that's life never loose ur Hussle in what you have been talented
Kaka Mr blue ahsante kwa mchango wako waushauri kwa nyimbo hii ili kutuletea mziki mzuri🔥🔥🔥🔥
Blue ana vibe kinyama 😂😂
💀☠️☠️simba dangote
@@yaseenfiddu3094 utadhani nyimbo yakwake ila kumbe ni yamadogo zake Mungu amuongoze 😂
@@kijokaizah eeeee simba lamaaaa
Mr Blue kamkuta G nako kwenye game kitambo..
Simba asante sana kwa usaidizi wako mungu akubalie❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mbele ya simba lamasimba hakuna kinacho haribika 🔥🔥🔥🔥
😂❤
Wakenya 🇰🇪 wenye mme comment wa kwanza mikono juu🖐️
Kwani lazima utaje wakenya ww
Daaah aiseee tuna jifunza vitu vizuri Sana brother jins tutakapo kuwa studio
PLATNUMZZZZZ MNYIIIIIIAAAAMAAAA🔥🔥🔥🔥🔥
Kumbe kurekodi kazi hivi!
Usitamani hela za wasanii aisee!
Ndio ivyoooo😂 ..
This guy so called Simba has what we call limbic -pineal high up knowledge ...naona umewateka tz artist and keep it up ur .HOV in Tz
Na Simba la masimba DANGOTE 🔥🔥
daaah simbaa🦁🦁🔥🔥🔥🔥
Haujui 😂😂😂 Mr blue umepigaje apooo😂😂😂😂
Mondi fundi sana jamani ani utadhani g nako anafundishwa. Mziki abhatii kumbe g nako kasaidiwa na mondi jamani duh moto mondi🔥🔥🔥🔥
😂😂😂
😂😂😂
Diamond never do wrong....genius of making gud muxic....watakuweza kwel😂😂
Mr blue alikuwa hamjui D voice😂😂 gonga like km umeona
Wajna haujawai kuniangusha am proud of you #Nasibu
Much love from USA🇺🇸 ila Mondi kaua wana wa USA RIVER Tunamkubali🔥🔥🔥
Hi Brother may I have ur contact number please
Mr Blue amanibamba big time. He made the room lively. Would like to hear a collabo Blue ft Diamond.
That's why you make big things there are many different ideas 🔥🔥🔥🔥
Wara ni Simba wa maSimba wamazombie🦁🔥🔥🔥👊🇲🇿
Namuona chibu na last born wake dvoice. Big up🎉
😂😂😂😂😂😂😂
It's Mr blue's vibe for me, Big up sana Mr blue 🔥🔥🔥
Daah hii love nilion hp sichk kutzm hii session 🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿
We are really proud of you Simba. We zombie 😂😂😂
Mimi nmepend kweny eeeeeeh😂😂😂❣️🙌
Haswaa nami nimecheka saana
Eh 😂😂😂😂
Nimependa ushirikiano 🙌
Nimeamini hakuna kitu rahisi hapa duniani.
Kama Mondi ana practise kiasi hiki wakati ni Dude la uimbaji. Mimi nilijua anatereza tu kumbe ni kazi.
Big brother we can't let you down ❤❤
Kumbe haikuagi rahisi..🔥🔥🔥
Ani mondi anaipambania nyimbo kama yakwake
Kweli jamaa kaamua mziki uwe kazi ake
Heshima kwako mondi
Familia imekua kubwa kazi kali kila kukicha
LET'S GO [bin simba sultan]
I like this....🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Respect bro diamond platnumz simba 🔥 🔥 🔥
Mr blue anamchango mkubwa san kwenye kuwafundisha wasanii mzikii mzurii
Ni simba la masimba dangote 🔥🔥🙌 so talented
O
Diamond ni Music Genious.
Yani kwajins ninavyoona daimond ndo crietar anabuni Sana Yan,,nimbunifu Sana bigap daimond
Unyamaaa wazeee wa Vpensi🔥🔥
The guy at the keyboard is just killing me 😂
Anaitwa zombie
Wee zombieeee aujuii❤❤ Nasimba la masimba dangotee 🙌🙌🙌
studio raha bwana ,,I really miss this kind of feelings with my team....
"Oya Huyu dogo tolu nae kumbe kiungo huyu" 😂😂😂😂😂
Kiungo chapilau😂
Ila naomba papa T Simba Dangote please 🙏🙏🙏 fanya nyimbo yako na Blou blou Baisa Babylon yani Master bloue Trust you guys.❤❤❤ I will be thenk fully understand that Tanzania songs or Swahili song's please 🙏 and don't forget We zombie🎉🎉🎉
wasanii bwana unaweza ukaambiwa mr blue haivi na mond kumbe ni tofauti ......,,
😂😂😂 yeah watu huongea tu hovyo maana maisha yao ya chini chini hawayajui
We Zombie Haujui 😎 Unajua Mpaka Basi 🙌🙌
Mr bluee is genius😅❤🔥
Kumamake was just chilling!😂😂😂then boo...
Ka biser! Ngoma imempagawisha vi noma!! Ngoma imeshika vibaya..! Big up producer s2kizzy wewe genius Kwa mambo Yako.💪💪🔥🔥🔥
Bonyeza kushoto kwenye nembo ya sanau Swahili movies uende kutazama filamu mpya za bongo movie
mtu anatumika ivi kisha nyie mnamuita FRIMA Allah akuzidishie sana mmamyema mwenzangu kazi inaonekana kaka acha wakuite watakavyo we piga kazi tu
Hakuna kazi rahisi duniani walai. 😂🎉🎉🎉 daa!
Walah nimependa sana big up legend Mr Blue Kabaysa
😂😂😂 nino hose urahashika 😂
hii safi, naona na Kiba huwa anatuletea hizi behind the scenes🤛🏾
😂😂hiyo kumamake chibu kumbe naww unaipenda 😂😂😂😂😂sanaaa 🙏🙏🙏🙏nakukubali sanaa mzee wakazi ww ni fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥hiyo heee 😂😂😂😂😂😂😂
@@Swahili14 🤣🤣🤣🤣🤣
@@chusseboywcb2808 what's your fb or ig name kaka?
Legend always be focused
Nakubali mjomba yangu s2kizzy
Diamond platnumz fanya collabo moja y nguvu na Mr blue itakuwa 🔥 sanaaaa
Mr. Blue byser is all the vibe✔️🔥
I APPRECIATE THE WORK OF SIMBA DANGOTE, WARAAAAAA.!, MRBLUE AND DVOICE.! KIJANA ANAJITUMA DVOICE...! BIGUP..! TUSIMSAHAU LAIZER KWA KAZI NZITO YA PRODUCTIONS YOU ALL GUYS DID A WONDERFUL...! MARVELOUS.!❤🎉
soo lizer ni s2kizy
Kazi Safi 👍 bro
Washaaa 🔥 🔥
Ile story ya sauti sol walisema ukweli ndani ya hit moja huwa kuna wadaui wengi wenye hadhii tofauti kabaisa nimemushangaa hapa ndani big up guy's
Zombie uko vzri bana ukimaliza kuangalia hii video tafuta hio nyimbo
Nice to watch this recording session
Proud to be Tanzanian 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mr blue 😂 hahah anasema et sawa nimewakubalia
Kuimba. Mna umiza akili ni fundi kama. Ufundie! 🎉🎉🎉🎉❤
S2kz ni 🔥🔥
ZOMBIE❗
Nangoja Mr blue na cmba ❤
Daaah! Legend baisa yupo tungi knoma yan 😂😂😂
Noma😍good job
Diamond mkali sana baba, endelea na kupambana.
Nimependa mpiga kinanda hanashobo anawaza wali wake home
This session was absolutely hard bt the outcome was very nice....much love to my fellow comandos....254 is watching....
😂😂😂nikajua chawa
Dah brother mondi kwa matusi nomaaaa sanaa
Napenda wanavyoshirikiana...Umoja nguvu💪. Matokeo ya uhusiano nzuri... Star anaponyenyekea ustar unazidi
I love this vids, motisha kweli esp kutoka kwa OG wa industry
Kikosi Kazi ✊✊✊✊✊
Mr..blue hata akiongea tu ni vibes..watu kama hawa they have lots of vibes safi kaka diamond u have the rights crazy company on studio,plus the calm producer safi kaka kip itup(kiprapmen)
❤❤❤❤❤Nomaaaaaa G nakooo Vs Simbaaa❤