DOTTO MAGARI : MIMI BRAND KUBWA | DIAMOND HANIPENDI | MWIJAKU, BABA LEVO NI WAPIGA KELELE TU

Sdílet
Vložit

Komentáře • 51

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara7557 Před 11 měsíci +3

    Doto yupo sawa born town hunampinzani salute doto nyota inangara saivi brother zanzibar tunakufatilia sana karibu zanzibar

  • @madinakitemo8902
    @madinakitemo8902 Před 8 měsíci +2

    Nakukubali sana doto magari

  • @tropperben-xw5xr
    @tropperben-xw5xr Před 3 měsíci

    dotto born fighter of hard life

  • @pastorymasanja8838
    @pastorymasanja8838 Před 9 měsíci +3

    Doto magari kula maisha muda wako huu.

  • @user-qo8ih9mv3e
    @user-qo8ih9mv3e Před 4 měsíci

    Mimi pia nimekukubali Doto...kutoka Alexandria VA Virginia.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 10 měsíci

    Wakat WA mungu umeshafika kula baba T. I. D ATULIE KIDG MUDA UMESHAISHA

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara7557 Před 9 měsíci

    Dotto magari umenikumbusha mbali enzi hizo mzekassim tengeneza apo kwa doto amerikani chips rafk yako nyenge unamkumbuka marehemu pamoja dotto magari

  • @mwinyimwajao8325
    @mwinyimwajao8325 Před rokem +2

    Jamaa maneno mengi....hajajibu swali hata moja

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 5 měsíci

    Influenca

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara7557 Před 11 měsíci

    Hakuwezi TID doto wakati wako huuu mungu akuzidishie doto

  • @medidaudi8335
    @medidaudi8335 Před 5 měsíci

    Dotto anajuwa sana

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Před rokem +2

    Kweny influence yangu 🤣🤣 muzishen

  • @marymakame241
    @marymakame241 Před 7 měsíci

    Nakupenda sana nikiwa na mawazo basi lazima nikutizame unavyoongea yaani kweli wewe mzaramo duh unanikoshagaa @!!!!

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 7 měsíci +1

    dotto ajasoma ira kawazidi wasomi uchwara bongo

  • @afsamandaly6205
    @afsamandaly6205 Před rokem +3

    Apo nimekuwelewa Kaka dogo makagari kwenye mtoto wa mjini watu tumepambna na tumerosti vitu kibao mpka unasimama tena siyo raisi

  • @user-ov7pj3sm7x
    @user-ov7pj3sm7x Před 7 měsíci

    Uko vizur kaka

  • @JohnMwalwembe-rl9tc
    @JohnMwalwembe-rl9tc Před 6 měsíci

    Doto magari acha uongo unasema una bausa wakike acha uongo una hata bausa acha uhuni wewe bado sana una pesa za ku wa lipa bausa

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 8 měsíci

    doto magari 😂😂😂😂😂😂😂

  • @IssahPuta-sh6xs
    @IssahPuta-sh6xs Před 8 měsíci

    Braza wa kizaramo nakukubal mtoto wa mjini salut,,,,,bro

  • @user-ny2zb4im1o
    @user-ny2zb4im1o Před 7 měsíci

    Magali machache ya dotto mengi

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 Před rokem

    Hayaaaaa

  • @tushuhassan3809
    @tushuhassan3809 Před 11 měsíci +1

    Influencer doto sio Influence 😅

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 11 měsíci +1

    Hahaha, oya DOTTO KETTO , watu FUDENGE wanakusikia...!..🤣🤣🤣

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 10 měsíci

    Kibonge mwenye akili nyingi ❤

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 Před 11 měsíci +1

    Ni influencer na sio influence

  • @user-vw9ke1vu2w
    @user-vw9ke1vu2w Před 5 měsíci

    kaka una baya

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 Před 11 měsíci +2

    Eti infulence😂😂😂😂

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 Před 11 měsíci

    Sijui mumemuelewa???😅😅 Kumbe siku hizi nae ni msanii

  • @BernardMapuga
    @BernardMapuga Před 8 měsíci

    Punguza kubishana na watu wkt kila kitu kinajionesha nii kama unaguswa kdg tu unajibu sana hd unakuwa kama unaharibu

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Před 11 měsíci

    Anzngua uy aliojwa n manal TV alisem Awa azm

  • @architectmussa4
    @architectmussa4 Před 7 měsíci

    Amekuwa msanii kuanzia lini.

  • @SamsonMakunja-eo4xf
    @SamsonMakunja-eo4xf Před 11 měsíci

    Jamaa anaongelea mikono eti!??ukimsogelee anaweza kukupiga ngumi

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Před rokem

    Hehehehehe

  • @hawanassoro4607
    @hawanassoro4607 Před 11 měsíci

    😂Acha kumponda hakuna anaeweza kumudu matamshi ya lugha inategemea anazungukwa na nani mpambanaji na ni mbunifu ambayo watu wengi wanafeli hata kama anaelimu Doto uko juu watanzania badilikeni jifunzeni kutoka watu wenye vipaji kama huyu

  • @officialnadoboytz1005
    @officialnadoboytz1005 Před 11 měsíci +2

    Bila Diamond mambo ayaendi 😂😂

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 7 měsíci

    diamondi asipo kupenda utakosa nini wakati mimi nakupenda waukaeee sisi wa tandare na uzuri atupendi utakua wewe wa kino?? anauza mitumba swet corna uvuri tuna muona arikua tuna mwita domo yeye akaajiita lipsi denda

  • @user-zj6ql8pq9c
    @user-zj6ql8pq9c Před 11 měsíci

    Ukovizuri kimaelezo na utafutaj

  • @MohdMohd-hf7rm
    @MohdMohd-hf7rm Před 11 měsíci

    Big unamuiga sana Jonijooo

  • @ommymkali8293
    @ommymkali8293 Před 11 měsíci

    Gadafihuyo

  • @Marjeby
    @Marjeby Před 11 měsíci

    Infrues 😅😅 huyu jamaa ana matatizo ya akili haki ya mungu mungu atunusuru na kizazi kama hichi

  • @Teddy-fq5oc
    @Teddy-fq5oc Před rokem +4

    Anaongea kwa zarau sura yenyewe kama pilo

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Před 11 měsíci +1

    diamond akupende kwani wewe hela? peleka ujinga wako huko

  • @saidimkome3818
    @saidimkome3818 Před 11 měsíci

    Mshamba tyu Kawa chawa sikuizi njaa mbaya

  • @allenbierra8841
    @allenbierra8841 Před 11 měsíci

    Infuensi

  • @piusalexander4322
    @piusalexander4322 Před 11 měsíci

    Kamaa angekuwa mchezaji angekuwa anazunguka wanja mzima duu mtangazaji unashida🤣🤣🤣🤣