THE CLASSIC NURUELLY: FUNDI WA R & B/NLIDHARAULIWA/TAJI ALINISHUSHA STEJINI/MEDIA ZIMEUA R & B BONGO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 12. 2023
  • Moja ya wanamuziki bora na waimbaji bora kabisa muda wote wa Bongofleva ni Nuruelly ,alifanya kazi kubwa kwa karibu miaka 30 kwenye game,ameshiriki katika mamia ya nyimbo za Bongofleva,hii ni sehemu ya hadithi yake alipofika kwenye The Classic

Komentáře • 33

  • @melki-kabalu759
    @melki-kabalu759 Před 6 měsíci +5

    Tuliokua tukisikiliza watu kama hawa, sasa hivi tunasikia kelele tu...Nuruelly, Pure talent!!!

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh Před měsícem

    Hilo pindi lilivyofunguliwa....Nuruelly Kiboko nyinyii. 🎶🔥🔥🔥

  • @goodneighbour2638
    @goodneighbour2638 Před 6 měsíci +3

    Nuruelly una ile ngoma UMETUTOKA BABA naikubumbuka sana uliweua

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Před měsícem

    Ruge mungu anakuona ukae panapostahil

  • @hemedisalim812
    @hemedisalim812 Před 6 měsíci +2

    Huyu mshakaji hakua na bahati tu, ila ni bonge la musician. Mkali sana r&b

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 Před 6 měsíci +1

    Big up Nuruelly collaboration yako na Marehemu Salu Tee "Nyota imedondoka" ulifanya kitu kizuri sana....Kunta...Kinte.

  • @brightvatta284
    @brightvatta284 Před 5 měsíci

    Brother anapiga ukweli wa roho sana..

  • @arsenalic23
    @arsenalic23 Před 5 měsíci

    Nuruelly aliwahi toa goma moja kali balaa linaitwa MNG'ARO WA SILVER sijui yake ile ama alishirikishwa ila ngoma ile kwa utoto wetu enzi zile ilibamba

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Před měsícem

    Iyo nyimbo inayosikika nyuma yaaan sound track inaitwaje daah inaunyama sana

  • @anoldkivuyohiphopmc1957
    @anoldkivuyohiphopmc1957 Před 6 měsíci

    Kaka kuvichaka big up sana kwa kazi nziru,mpe hi moruo king daah kitambo sana mwana ,respect for what you're doing broo much ✌️✌️ love

  • @hadserhood2823
    @hadserhood2823 Před 6 měsíci +1

    Mimi umetutoka baba hadi kesho hua ina nili a sana hua nakumbuka mengi sana

  • @shebelezatv1809
    @shebelezatv1809 Před 6 měsíci +1

    GOOD JOB JABIR WE NEED THIS HISTORY...TUNAPISHANA NA WATU MITAANI HATUWAJUI KUMBE WAMEFANYA MAKUBWA SANA KWENYE MZIKI

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 6 měsíci +1

      yes kaka kabisa kaka ni muhimu sana kaka kuna watu wamepigania mazuri yanayopatikana sasa kwenye game kwa kias kikubwa ,baati mbaya jamii inachukulia poa ,ni jukumu letu kuweka sawa haya

    • @sidiqmhina7823
      @sidiqmhina7823 Před 6 měsíci

      @@KuviFacts Jamaa amekuambia ukweli, hizi story baadae zitakuwa historia za kutafuta sana , unafanya vizuri sana Bro Jabbir.

  • @jumachillo7329
    @jumachillo7329 Před 6 měsíci

    Jamaa kammaindi sana
    RG

  • @mawazomedia.6454
    @mawazomedia.6454 Před 6 měsíci

    Duh pole nuruely

  • @sokastreet
    @sokastreet Před 6 měsíci

    Jamaa anajua😮

  • @saidimbwambo6689
    @saidimbwambo6689 Před 5 měsíci

    Kinywaj kipo vzur

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 Před 5 měsíci

    Interview na kaka Emanuel Nkulila kaka @kuvichaka please

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Před 6 měsíci +1

    Huyo jamaa aliesimama kavaa kofia nyeusi ni nani😢😢

  • @jumakabota8277
    @jumakabota8277 Před 6 měsíci

    Moja ya kolabo kali ni ile alofanya mapacha inaitwa nipe jibu...

  • @patrickjulius5951
    @patrickjulius5951 Před 6 měsíci

    4 cruese fravour

  • @bongeone
    @bongeone Před 6 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @mawazomedia.6454
    @mawazomedia.6454 Před 6 měsíci

    Ismail kipila ndio kaimba rangi yachungwa

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Před 6 měsíci +1

    Ila mmemkata na kumhamisha uelekeo wakati alikuwa anataka afunguke kuhusu umafia wa radio

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 Před 6 měsíci

    Media Kongwe kubwa za Tanzania , zilipoteza wasanii wengi wakali , walikuwa wanachagua wasanii wao na kuacha wasanii wa kali.

  • @defxtro
    @defxtro Před 6 měsíci +1

    Nuruely mkali sana.. Nimesemaje apo? 😂

  • @azorindege2556
    @azorindege2556 Před 6 měsíci

    Mtaalamu

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani6964 Před 6 měsíci

    Ruge huyu🤨🤨🤨

  • @fahamuzaidiinvestments1260
    @fahamuzaidiinvestments1260 Před 5 měsíci

    nimesemaje hapo?😂