MAPACHA WAJARIBU 'KUMTAPELI' MZEE HUYU MTATA, KILICHOWAKUTA... | HIVI NI KWELI...
Vložit
- čas přidán 14. 03. 2022
- MAPACHA WAJARIBU 'KUMTAPELI' MZEE HUYU MTATA, KILICHOWAKUTA... | HIVI NI KWELI...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Unajua kuwageuza mataila wenzio 😂😂😂nyimbo hawaijui, tuletee pacha wanawake sasaivi👏👏👏.
Ebhana Mungu Awabless sanaa Kwenye Hustle zenu
Daah jamanini kuzaa mapacha raha jamanini asikwambiye m2 asa wafanane🥰👌 ila jamanini siku mtakuja pigwa kweri 😄 ila jamaaa wanafanana saana🥰👌 nyie uyo mzeee wa watu amewaambiya tangu asubuh ajaingiza pesa harafu nyie mwamzingua 🥰 mwamuleteya masihara siyo poa🤗😅
😂😂😂
Mungu nijalie na mm pacha
Mo km mo kukupenda tyu hongera kwa aliyekupunga🧡🍊🍊🍊
Mo Town Sanya nembo ya mtaa 😄 msalimie sana diamond 💎 mwanetu sana 😄
Wow
Mungu anijaalie nizae matwin walah napenda jmn napendaaa napenda
Njoo nikupe Sisi tupo mapacha
Mungu akubaliki Sanya na team yako💯🇹🇿🙏
Mc Pacha mbongo kama mbongo Mmetisha sana.....
💪💪💪💪
ManshaAllah ao wakaka wAmepebdez san kish wamefanan balaa😋🥰acha tupate shows uko mwisho sasa mbavu zang mimi 😂😂😂😂yani wanajitaidi kuimba ki romantic ilaaa wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Msalimie Sana Diamond, Mwanetu sana
Aisee Mzee kapanick Leo... Angalia watu wa kuwazushia leo
Dah ila sanya kazi yako kubwa sana halaf una enjoy Sana kaz yako sema kuna siku utakuja upigwe😂😂
Da maskin kafurahi mwenyewe muuza miwa na yule wa karanga jamani nataman ningekua na uwezo ni kamsapot japo kidogo da ila kwasasa siko poa in Sha'Allah siku nikiwa vizuri moo ni takutafutia nifanyeje kama ivo
Nilikua nime miss hii kipindi hivi ni kweli,?from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦
Diamond 💎 yule hawamuwez wazee wanamkubali Simba 🦁💪
Motown my legend Kenya tunakubali sana Aswan Elphas from Kenya 😂
Honger sanya kipind chako uwanakipenda sn👌👌✌🏻✌🏻🔥
Jmn nimecheka ila mtakuja kupigwa😂😅😅😅😅😅
Mtakuja kuchapwa siku moja hahaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Mapacha❤❤❤❤❤❤❤❤
Mapacha wameingia kwenye mtumbmwi wa kibwengo😂😂😂
Da! Mungu ambariki sana huyo jamaa katoa ela zake
Hawa kunautofautikidogo kali ya mwaka Kwenye chipis atasichawachaungua handi leo wale
Mbona mmekazania gongo la MBOTO KWETU 😂😂😂😂😂 kumbe Nyie kulwa na doto 😂😂😂jamani watoto wa ULONGONI mkuje hapa 😂😂😂😂💃🏻GOMS CHAMA
Yanii
Hao ni mcpacha_doubleme 🔥🔥🔥
Babu mshona viatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani uwiiiiiii mbavu zangu chemsha bongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂dishi limeyumba 😂😂😂😂😂😂watu wa madafu noma 😂😂😂 kwanza ncheke 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mo kama mo una upiga mwing 👍👍
Napenda jissi mnavyo jituma lakini chungeni msije mkatuchosha mashabiki na hayo marudio,mkifanya kitu fanyeni mara moja tu
Mnajitaidi ila mmekosea mmoja agevaa tofauti arafu akajikausha kua uyo pacha wake amjui
Shoo Kali mo town sanya
Daa jamaa wa miwa aixei mungu a bless xana
Happy to see u my friends....#Albert and #Arnold
Shukrani sana brother
@@mcpachaevents nakubali msalimu arnold bna...
Dogo alistahili kabisa kupata msaada huwezi amini alikubali kupata hasara bila kuleta ubishi wakati ukitazama hata wewe unaweza jichanganya sababu nimapacha alafu jamaa aka kubali kabisa kulipa, yani alie toa hio hela kumsaport mwana kafanya kitu kizuri sana hongera sana Kwa jamaa watching from Sweden 🇸🇪
Sanya umefanya la maana sana big up kea Ray
Hongera Sanya kazi nzuri kaka
Nice jmn ata mm niko na mapcha wajuke Nini
Amina 🥰🥰🥰 mekumiss mamy
Your the best
Ila Babu mtata, eeti hawa kulwa na doto🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tunaomba mapacha wakike 😂
Hahahahahaa babu kajaa 🤣🤣🤣🤣nembo ya mtaa
Nomaree
Nakubal sana mo town sanya nembo ya mtaa kitaa kina mixhe kibao......Unyama
Noma sanaaaa!!!!!
Hahahahahahahhah hao wasanii wanao imba mme watoa wapi hawana voko kabisa
Third one to like
+254 kenya 🇰🇪 😍!'good work
Dishi Limeyumba...Hadi Nimewapenda
🥰🥰🥰🥰mzee amejanganyikiwa
Wanasoma bodingi😄
nakukubali mdogo moo sanya
Yes man I don't like wasafi but I like you your job nice
Saluti sanya dah tuwakilishe mwana
USHAURI WANGU . KIPINDI NI KIZURI SANA ILA KINAHATARISHA AFYA KWASABABU KUNA WATU WENGINE KAMA HUYO MZEE AGEWEZA KUMTOBOA MTU ATA NA SINDANO MAANA WATU WENGINE HAWAPENDI KUCHEZEWA KABISA KWAHYO NI BORA MUNGEKUA MUNAMPANGA MTU KABISA ILA IKAWA KAMA HAJUI CHOCHOTE ILI SISI WATAZAMAJI NDYO TUWE HATUJUI KINACHOENDELEA
Hata hawajafanana alaf sauti tofaut ! Wale mapacha wa kwenye chips ndo walikuwa noma sana hatamm marayakwanza natizama dah ilinistua!
Utasema Ivo kisa umewaona wote wawili ktk kipindi
Babu mtata hasikii maneno🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Good sanya
Siku moja mtasema tunashoot! Muda huo ngeo ishakutoka
Ipo siku watakula panga Kweli 😆😆😆
Ndugu yetu aloguswa na a katoa Alicho jaaliwa mngu Amzidishie pale alipotoa apate zaidi ili aje kumsaidia na wengine nasi tunapaswa kuoga mfano kwake
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Et kuoga mfano khaa najicheka mwenyewe ila nadhan nimeeleweka
😃😃😃Atakuja kupigwa mtu ubao wa kichwa😄😄😄
🤣🤣🤣
Masai fala kweli, eti sogeza hii kule🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leo bado kidogo mpats mlichokitafuta Kwa muda mrefu
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣wangekula ubao
Mtakuja kuuwa wazee wa watu na presha 😆😆😆😆😆😆
Huy Babu sijui n mkurya😅😅😅
Dah jamaa muza chaja maskin 😭
Moo Kuna siku utapigwa😀😀😀
Kujua mengi kwenye maeneo ya Muziki, Chakula, Filamu na Matembezi.
Pitia CZcams yangu!
Mbona wanasoma bodingiiiiii🤣🤣🤣
Eti nimekuona live umechukuwa chaji 😂😂
Mosanya hua nakubali sanaaa
Chinga nae kigugumiz hahaha hili pind Raha kweliiiiii
Siku Moja Kati Yenu Atapelekwa Muhimbili Kwasababu Mnakoenda Kubaya Apa TZ Watu Wamechoka Mnaleta Maigizo
Mapacha miyayusho
😂😂😂😂Eti unaniambia Dishi limeyumba
Kumbe mpo twins 😹😹😹
Mzee Sanya na dada anaepokea hela ya chakula 😂
Yaan wamefanana kama mapacha wangu jamn uwiii wanang bado wadg wakikuwa nawaona hapa itakavyokuw balaa mtaani
Africa is watching
Day moja uje ata swakx mo
Bonge la kipindi hapa Bongo
Leo kimeumana
Sanya mtaa unakuelewa sana kazii kubwaa sana broo👊
kwani wewe 😂😂
Mo sanya hem fany uje zenji tupate tuchek
Eti Hawa kulwa na Dotto 😂😂
Duh mo town sanya unabalaa ww
Hahaha babu kainama anataka kuvuta kubwa.
Muuza charge dhambi ashasamehe bubu wa viatu mh korofi
Abdi shuuzii
hapo ndipo utajua kwanini kina piisqwer aligombana mwanamke hanaujanja hapoo akiji changanya wanapita woteeee na hatakaaa ajueee
Jaman naona kama mitaa yangu ya mabibo loyola ama vp
Nayule wakaranga jamani
Baba mimi nime isoma iyo kiatu man
😂😂😂😂
Mbongo kama mbongoo hahah 😂
Napenda kipindi lakini hakioneshi vizuri naomba na nyie mtizame pia kabla ya kutupa sisi watazamaji, pls work on it for us
Mwana wa chaji anatia adi huruma ila alivyo shangaaa
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA*#*#
m.czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html