Kibonge wa Yesu - Waambie Remix Ft. Walter Chilambo (Vizualizer) SMS Skiza 8021083 to 811
Vložit
- čas přidán 6. 06. 2024
- Yapo Mambo mengi ambayo Adui mwovu anayafanya ili kutufarakanisha na Mungu wetu lakini Mungu anatambua wenye haki na ndio walio wake hivyo anawapigania na kuwalinda dhidi ya yule Mwovu. Mungu anatupenda na anatubariki kwa kila hatua tunazopiga haijalishi ni wangapi wanasimama kinyume na Ndoto na maono yetu lakini bado tunapiga Hatua.
Kumb 11:24
"Kila mahali mtakapokanyaga kwa nyayo za miguu yenu patakuwa penu; tokea hilo jangwa, na Lebanoni, na tokea mto wa Frati, mpaka bahari ya magharibi, itakuwa ndiyo mipaka yenu."
Audio produced by @ClickMaster
Visual by @ap.creative1
Get it on ALL DIGITAL PLATFORMS
Listen to WAAMBIE by Kibonge Wa Yesu
On Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/m...
On Audiomack: audiomack.com/kibonge-wa-yesu...
©2024KiboMelodies. All rights Reserved.
#Kibongewayesu #WalterChilambo #WaambieRemix #gospelmusic - Hudba
🎉🎉 wow ! Wow ,nende wambie wajua Mungu ananipenda
ameniongeza hatua,mbele nasongea🙏🙏🙏
Wow nawakubali sanaa❤❤❤❤❤🎉
Kazi ni nzuri sana watumishi...🎉❤
King Chilambo
Awesome ❤. Baraka tele my brothers. Shalom
Waumizeeeee kiboooooo melodiiiiizaaaa Walter kauwaaaaaa oyoooooooooo
This is amazing
Mbarikiwe sana 🙏
Nice mzee
Kibooooo melodizer
Familiaaaa🎉
Many blessings on you big brother ❤️🇷🇼
Amen amen
🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌 blessed brothers
Wow God bless you this song has touched me
My Anthem 🙌🙌🙌
Hahahhahahahaha Safi Sana Mungu Atukuzwe tu❤
Saf❤
Please shoot this song video as soon as possible 🎉🎉
Mungu awazidishie upendo wake mfike kwenye ndoto zenu🙏🙏
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤❤❤
From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 mes j'aimes svp mes frères Walter chilambo et kibonge wa yesu que le bon DIEU vous bénisse abondamment qu'il vous amène loin d'ici pour faire connaître son nom dans le monde entier à travers vos talents ❤❤
Amen Mungu awabariki watumishi kwa ujumbe mzuri
Mmenigusa uuu wimbo msalimie wotar nawapenda sana 🙏🙏🙏🙏🙏
Hapo sawa kaka🎉🎉🎉❤❤❤
Alicho anjisha Muumba Mungu, Huki fatilia hadi ku zaa matunda yenye ku faa. Let's stay in real faith and success will be our lovely Song