hata iweje yani mpaka dunia imalizike itabaki kuwa hivyo DIAMOND PLATNUMZ ndio mlezi wa RAYVAN, ZUCHU, HARMONIZ, LAVALAVA, MBOSSO, D VOICE, mana bila ya SIMBA hata sijui kama hata hapo kibaigwa wangekua wanajulikana 🤣🤣
Ote watoto wamond atungi wajuwa kama mond akuweza kuwa ta mbulisha kwetu mumu eshimu.kabisa simba babalenu nyinyi ote muwache kiburi na roho chafu❤❤❤❤❤❤
Kama iyo poa nisawa tu unaweza kuwa na pesa kumushinda babako lakini still tu uko MTOTO TENA KATOTO KABISA kwaiyo dogo Harmonize rajabu Tulia achaku complain sana ni utoto Tena ushamba #wcb4life #diamondplatnumz ni babako tu na #qboymsafi alikulea Sanaa tu #kondeboy #tanzania
Harmonize hajakosea kujibu maana kachokozwa hata ingekuw mimi ningejibu kama harmonize alivofanya maana hapo ni sawa wamebeep fire waone kama inawaka sasa imewaka kwer 🔥🔥🔥
Kitendo Cha diamond kumupa harmonize airtime anakosea sana Huyu harmonize alikuwa ameshapotezwa na comasava,,lkn unamfufua mwenyewe kwa kumuongelea,,SI Bora u post nyimbo mpya ya alikiba ambae ni mkubwa mwenzako,,binafsi sipendi unavompa airtime harmonize ambae kuimba kajifunzia kwako,kilaki2 kaiga kwako,,hao madogo wawili yeye na rayvany achana nao, hawakuwezi kwenye game utasababisha mashabik tukudharau,,mpe pro, D voice na lava lava waandalia hata show moja kubwa kwenye majiji wapige hela juzi ulikuwa international na wasanii wanaojielewa Leo unarud tena bongo unaanza ubongo,, aisee uswahili tatizo sana
Daily Top Music videos 😂 Alafu list yenyew ya jun 29 ni naweza kuona ni list ya kawaida sana kulinganisha na ile ya mwaka mzima. Anyway wote wakali tusisahau Hilo wadau
Sasa shida ya mashaki bhana yani pia wanafoc Hermonize awe mtoto wa diamond 😂, jaman ile ilikua biashara sio msaada, ni hiari ya Konde kukubali kua mtoto na kama hataki pia ana haki maana amelipa walichotaka. Mtoto akihama kwao hatozwi pesa hata iweje, sasa baba gani anawatoza watoto wakihama nyumbani kwenda kujitegemea.
Kama hataki kuitwa mwana basi aingiye kweny channel zote za social media avute kila kitu kinachokumbusha kuwa kwenye ulimwengu wa muziki amezaliwa ndani ya familiya ya WCB
Harmonize acha bangi kijana mondi atabaki kuwa baba yako kimuziki na kimaendelea mbwa wewe usiekuwa na shukurani Hizo video unazo tuonesha mondi ametoa rini hapo
Sasa weekly n monthly Huyu harmo mabange😂😂
Inatosha Kumuita DADDY ✌️❤️🇹🇿🤜👍
Harmonize is crazy
hata iweje yani mpaka dunia imalizike itabaki kuwa hivyo DIAMOND PLATNUMZ ndio mlezi wa RAYVAN, ZUCHU, HARMONIZ, LAVALAVA, MBOSSO, D VOICE, mana bila ya SIMBA hata sijui kama hata hapo kibaigwa wangekua wanajulikana 🤣🤣
Tuondolee ushoga wako apa
Wewe Harmonize fundi uyo diamond asinge mchukua wengine wange mchukua Kwani wewe alitokaje skwa kushikwa mkono na wengine
@@WahuBothuongo inge kuewa hivo harmo ange kataa tuone ao labda nipe mfano nani ange mchukuwa 😂😂😂😂 kati ya majani😂, alikiba😂, chege😂, ao salam sk 😂😂😂
Akitaka actake yy ni mtoto wa Simba tu
Mwambieni harmonaz awe na eshima bila diamond agekua nani
Nawewe bila nani usingewepo?
Ote watoto wamond atungi wajuwa kama mond akuweza kuwa ta mbulisha kwetu mumu eshimu.kabisa simba babalenu nyinyi ote muwache kiburi na roho chafu❤❤❤❤❤❤
Ss izo vedio simba ametoa lini yake??
Inaonekana wazi kama harmonize anamfatilia sana diamond
Kaa ungejua mchango wa diamond ungekaa kimya 94 umezaliwa na mm ila naendesha bajaji ila ww unamiliki v8 pesa madem wazir mweshi alie kushika mkono
yeye mbona alisaidiwa na watu wamepiga kimya na kupotezea na kusahau
Huyu so alitowa album na kakalishwa 😂😂😂
Bado watoto wa dady tuh!! 😂😂
Harmonize huwa mda wote anasubiri diamond aongee kitu apate kiki
Ushasema
Hili jamaa halijui kukaa kimyaa limechokonolewa limejibu haaaa😢😢😢😢
Ajiulize tuu pamoja ma mavideo yao na Bado awajamshusha Kwa views za mwezi 😂😂 aache bangi afanye kaz
Bd ni mshamba
Hamo bila kuwa Diamond atungekujuwa acha kushindane nae
😆
Hamor kabla hajashikw mkono na diamond alikuwa aogi saiv kujitoa wcb heshima aaahh
Izo tareee za lini kaka mbona dogo hajielewi ama ameshavuta sigara zake
Mtt mto tu
Konde MSHAMBA
Akatae akubali huo utabaki kua ukweli diamond kamzid kila kitu
Bange nyingiiiiiiiiiii
Sisi mashabiki wa harmonize Lakin Sasa ivi anaboa
Kama iyo poa nisawa tu unaweza kuwa na pesa kumushinda babako lakini still tu uko MTOTO TENA KATOTO KABISA kwaiyo dogo Harmonize rajabu Tulia achaku complain sana ni utoto Tena ushamba #wcb4life #diamondplatnumz ni babako tu na #qboymsafi alikulea Sanaa tu #kondeboy #tanzania
Mtoto atabaki kuwa mtoto tu ata iweje
Km domo na mzee abduli au sio
Mondi ache ushambaa ilikua biashara sio msada
@@issazalala4907mjinga ni kistuli anaye penda kushindana na Simba
Hamo ni k la ma k
Harmonize bado under teka😂😂😂
Hapo,,video ya comasava haijatoka😅😅,,harmo mavi bwana
mbona hwapost za sportfy
Baba yuko wapi
Nimeipenda iyo
😂😂 ata mimi
Mwanampotevu
konde yupo kama mdada awezagi kukausha🤔
Sure
We mwenyeww ni kama mdada kwann usinge nyamaza afu unapanaua mdom kumsema Konde boy wangu w k nn
Kabisaaaa
Hh😂😂😂 kununaa aujee😄😄@@omaryrazalo4302
Jamaa kaongea point ila vitoto vidogo vinamtukana kiukweli wanawake hawawezi kukausha
Mtoto ni mtoto tu 🤣🤣🤣
😂😂😂 bange bhana😂
Big up simba
kibonge hawezi kosa kujibu mzee wa makiki
Mitandaoni ni pamba na Moto ila Wakikutana ana kwa ana utawaona wanavyo pigana mabusu 😂
Watoto awana pakukwepea mzee ni mzee Baba na wanawe 🔥
Chizi kajibu tena 😂
😂😂😂😂😂
Harmonize hajakosea kujibu maana kachokozwa hata ingekuw mimi ningejibu kama harmonize alivofanya maana hapo ni sawa wamebeep fire waone kama inawaka sasa imewaka kwer 🔥🔥🔥
Km vile huwez kulipa wazee hata ufanyeje harmo hawez kumlipa diamond imeisha iyo
Kond milioni 600 zimemupa asira
IYO NI KWASABB COMASAVA VIDEO HAIPO
Tunaoamin hawa wawil mond na harmo hawana ugomvi wowote kwa sasa ila ni kichangamsha genge tu na wanapanga haya tupia like hapa
Kitendo Cha diamond kumupa harmonize airtime anakosea sana Huyu harmonize alikuwa ameshapotezwa na comasava,,lkn unamfufua mwenyewe kwa kumuongelea,,SI Bora u post nyimbo mpya ya alikiba ambae ni mkubwa mwenzako,,binafsi sipendi unavompa airtime harmonize ambae kuimba kajifunzia kwako,kilaki2 kaiga kwako,,hao madogo wawili yeye na rayvany achana nao, hawakuwezi kwenye game utasababisha mashabik tukudharau,,mpe pro, D voice na lava lava waandalia hata show moja kubwa kwenye majiji wapige hela juzi ulikuwa international na wasanii wanaojielewa Leo unarud tena bongo unaanza ubongo,, aisee uswahili tatizo sana
more life less ego...❣
Asijitoe fahamu akasau kuwa hana hata hit😅😅😅
Daily Top Music videos 😂
Alafu list yenyew ya jun 29 ni naweza kuona ni list ya kawaida sana kulinganisha na ile ya mwaka mzima. Anyway wote wakali tusisahau Hilo wadau
Nyie mashabaki wapande zote, hawa wasanii wanatafuta kujadiliwa kila siku.
Tz ni kizungu kweli hamjui..hyo ni top video's not music..Kuna ngoma kweli diamond amefanya iko na video recently???😅😅
Hongera sana kwa utafakari mkubwa wako ❤❤❤ Simba hata baki kuwa Simba n'a mtoto ni mtoto tu
Wana lenga soko ya ngoma yao hawa wana tayarisha populations
ahuwezi uka sabiya week
Wwe konde huna akili daimond mwezi huu kwani katoa shooting na iyo imeandikwa mwezi wa 6 kumbe mjinga wwe eee😊
Baba atabaki Baba tuu.
kwenye video diamond aja towa video wana tania sana awo
Kijana amejazwa upepo
Lavalava vipi sio mwanae eee?
Sawa harmo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tarehe 29 June ???🤔🥱
😂😂😂
Watoto wa siku hizi kizazi hiki hawana heshima
Kwani si Diamond alisema yeye ashavuka nini anajishusha tena yeye ni wakimataifa
uyo kijeba afanye afanyavyo..ata dunia iumbwe upya bado..hampati dai... hata kwa kuloga😊....sio dhambi kuzidiwa jamani..tutulie
Diamond muwenyewe anebebuwa na amapiano ya wa south
Mbona siweliwi mimi kuusu listi ya simba aliweka aliitowa wapi?? Acha dogo hamo aseme kweli jamani! 🇨🇩 Bukavu tunafatiliya sana kila kitu😅😅😅
Buoyed ndoo wa honganishii
😂😂😂😂
Sasa shida ya mashaki bhana yani pia wanafoc Hermonize awe mtoto wa diamond 😂, jaman ile ilikua biashara sio msaada, ni hiari ya Konde kukubali kua mtoto na kama hataki pia ana haki maana amelipa walichotaka. Mtoto akihama kwao hatozwi pesa hata iweje, sasa baba gani anawatoza watoto wakihama nyumbani kwenda kujitegemea.
Kumsadia mtu sio lazima uongelee bc kitu kinajulikana mbona huyu simba mshamba nae wote wa shamba just like that
Hata mtoto amkatae babaye lakini ukweli ni kwamba mtoto ni mtoto tuu
Kama hataki kuitwa mwana basi aingiye kweny channel zote za social media avute kila kitu kinachokumbusha kuwa kwenye ulimwengu wa muziki amezaliwa ndani ya familiya ya WCB
Mond unajcfia sn ht km umemsaidia mtu, kausha ushamba huo
𝑩𝒐𝒐𝒎𝒑𝒍𝒂𝒚
Wale walosema diamond kapotea kimziki wako wp?
Harmonize acha bangi kijana mondi atabaki kuwa baba yako kimuziki na kimaendelea mbwa wewe usiekuwa na shukurani
Hizo video unazo tuonesha mondi ametoa rini hapo
Mwana mpotevu aka matumbaku
Mimi naungana na konde kwakua mond ilimuomba malipo yamsaada wameshamarizana akuna mzaz anaemdai mtt
Xx wakubwa hzo n chart ya wiki tuu konde xbr mwez wa 7 ufike utupe chart ya mwez mzma
Weekly???? 😂😂😂 mwambie atume ya mwezi
Sasa weekly mtu alitoa kitambo na wewe ulitoa juzi unata iwe hapo kweli mtu betri limevimba kweli
HARMO MİBANGE 😂😂😂…
Bila ya mond ungekaa unauza ma 🍎 🍏 kariakoo na banana 🍌 banana
Harmonize ya na msumbua ma bange
Mm ni shabiki wa konde... Ila hapa amekuwa kama vile bwabwa!
Xx wakubwa hzo n chart ya wiki tuu konde xbr mwez wa 7 ufike utupe chart ya mwez mzma
Xx wakubwa hzo n chart ya wiki tuu konde xbr mwez wa 7 ufike utupe chart ya mwez mzma
Xx wakubwa hzo n chart ya wiki tuu konde xbr mwez wa 7 ufike utupe chart ya mwez mzma