HARMONIZE amjibu DIAMOND kwa kejeli! ni baada ya kuandika SIMBA NA WANAWE ''baba uko wapi?''

Sdílet
Vložit

Komentáře • 111

  • @abubakardiwani5968
    @abubakardiwani5968 Před 2 dny +25

    Sasa weekly n monthly Huyu harmo mabange😂😂

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Před 2 dny +17

    Inatosha Kumuita DADDY ✌️❤️🇹🇿🤜👍

  • @belitomanuel6240
    @belitomanuel6240 Před 2 dny +19

    Harmonize is crazy

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d Před 2 dny +29

    hata iweje yani mpaka dunia imalizike itabaki kuwa hivyo DIAMOND PLATNUMZ ndio mlezi wa RAYVAN, ZUCHU, HARMONIZ, LAVALAVA, MBOSSO, D VOICE, mana bila ya SIMBA hata sijui kama hata hapo kibaigwa wangekua wanajulikana 🤣🤣

    • @achawanunetv1167
      @achawanunetv1167 Před 2 dny +1

      Tuondolee ushoga wako apa

    • @WahuBoth
      @WahuBoth Před dnem +1

      Wewe Harmonize fundi uyo diamond asinge mchukua wengine wange mchukua Kwani wewe alitokaje skwa kushikwa mkono na wengine

    • @mg_panther
      @mg_panther Před dnem

      ​@@WahuBothuongo inge kuewa hivo harmo ange kataa tuone ao labda nipe mfano nani ange mchukuwa 😂😂😂😂 kati ya majani😂, alikiba😂, chege😂, ao salam sk 😂😂😂

  • @habibayussuf9163
    @habibayussuf9163 Před 2 dny +20

    Akitaka actake yy ni mtoto wa Simba tu

  • @OlgaChirezi-qt1pg
    @OlgaChirezi-qt1pg Před 2 dny +20

    Mwambieni harmonaz awe na eshima bila diamond agekua nani

  • @user-cg4jw4si8z
    @user-cg4jw4si8z Před 2 dny +7

    Ote watoto wamond atungi wajuwa kama mond akuweza kuwa ta mbulisha kwetu mumu eshimu.kabisa simba babalenu nyinyi ote muwache kiburi na roho chafu❤❤❤❤❤❤

  • @yussufritzy7684
    @yussufritzy7684 Před 2 dny +21

    Ss izo vedio simba ametoa lini yake??

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 2 dny +5

    Inaonekana wazi kama harmonize anamfatilia sana diamond

  • @EdgaralbetoEdgr
    @EdgaralbetoEdgr Před 2 dny +14

    Kaa ungejua mchango wa diamond ungekaa kimya 94 umezaliwa na mm ila naendesha bajaji ila ww unamiliki v8 pesa madem wazir mweshi alie kushika mkono

    • @charlessomi2506
      @charlessomi2506 Před 2 dny

      yeye mbona alisaidiwa na watu wamepiga kimya na kupotezea na kusahau

  • @alkhudhertarek976
    @alkhudhertarek976 Před 2 dny +10

    Huyu so alitowa album na kakalishwa 😂😂😂

  • @gilbertkalash3846
    @gilbertkalash3846 Před 2 dny +12

    Bado watoto wa dady tuh!! 😂😂

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 Před 2 dny +12

    Harmonize huwa mda wote anasubiri diamond aongee kitu apate kiki

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl Před 2 dny +3

    Hili jamaa halijui kukaa kimyaa limechokonolewa limejibu haaaa😢😢😢😢

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Před 2 dny +8

    Ajiulize tuu pamoja ma mavideo yao na Bado awajamshusha Kwa views za mwezi 😂😂 aache bangi afanye kaz

  • @chogvarra1675
    @chogvarra1675 Před 2 dny +16

    Bd ni mshamba

  • @MariamIrakunda
    @MariamIrakunda Před 2 dny +8

    Hamo bila kuwa Diamond atungekujuwa acha kushindane nae

  • @FloraDicksoon
    @FloraDicksoon Před 2 dny +3

    Hamor kabla hajashikw mkono na diamond alikuwa aogi saiv kujitoa wcb heshima aaahh

  • @esikingamrperfume1997
    @esikingamrperfume1997 Před 2 dny +3

    Izo tareee za lini kaka mbona dogo hajielewi ama ameshavuta sigara zake

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před 2 dny +12

    Mtt mto tu

  • @Pemba680
    @Pemba680 Před 2 dny +5

    Konde MSHAMBA

  • @RechoMzava-gt7so
    @RechoMzava-gt7so Před 2 dny +3

    Akatae akubali huo utabaki kua ukweli diamond kamzid kila kitu

  • @user-ip9nc2bg1g
    @user-ip9nc2bg1g Před 2 dny +3

    Bange nyingiiiiiiiiiii

  • @hassanhamis2191
    @hassanhamis2191 Před 2 dny +10

    Sisi mashabiki wa harmonize Lakin Sasa ivi anaboa

  • @BillySmart-tk1wu
    @BillySmart-tk1wu Před 2 dny +2

    Kama iyo poa nisawa tu unaweza kuwa na pesa kumushinda babako lakini still tu uko MTOTO TENA KATOTO KABISA kwaiyo dogo Harmonize rajabu Tulia achaku complain sana ni utoto Tena ushamba #wcb4life #diamondplatnumz ni babako tu na #qboymsafi alikulea Sanaa tu #kondeboy #tanzania

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo Před 2 dny +25

    Mtoto atabaki kuwa mtoto tu ata iweje

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 Před 2 dny +2

      Km domo na mzee abduli au sio

    • @issazalala4907
      @issazalala4907 Před 2 dny +1

      Mondi ache ushambaa ilikua biashara sio msada

    • @badeuxGerard
      @badeuxGerard Před 2 dny

      ​@@issazalala4907mjinga ni kistuli anaye penda kushindana na Simba

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD Před 2 dny +6

    Hamo ni k la ma k

  • @user-st3ws1ns5g
    @user-st3ws1ns5g Před 2 dny +3

    Harmonize bado under teka😂😂😂

  • @MasanjaMasanja-mz3ll
    @MasanjaMasanja-mz3ll Před 2 dny +4

    Hapo,,video ya comasava haijatoka😅😅,,harmo mavi bwana

  • @kilimanjarostarlounge
    @kilimanjarostarlounge Před 2 dny +6

    mbona hwapost za sportfy

  • @moisekashindi9607
    @moisekashindi9607 Před 2 dny +4

    Baba yuko wapi
    Nimeipenda iyo

  • @user-gs9mt1vp7i
    @user-gs9mt1vp7i Před 2 dny +4

    Mwanampotevu

  • @user-iv8jg9uz6o
    @user-iv8jg9uz6o Před 2 dny +13

    konde yupo kama mdada awezagi kukausha🤔

    • @Tumainimseti-vu4lv
      @Tumainimseti-vu4lv Před 2 dny +4

      Sure

    • @omaryrazalo4302
      @omaryrazalo4302 Před 2 dny +1

      We mwenyeww ni kama mdada kwann usinge nyamaza afu unapanaua mdom kumsema Konde boy wangu w k nn

    • @adamkapolo8817
      @adamkapolo8817 Před 2 dny +4

      Kabisaaaa

    • @HarounAli-rl3uc
      @HarounAli-rl3uc Před 2 dny

      Hh😂😂😂 kununaa aujee😄😄​@@omaryrazalo4302

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Před 2 dny +1

      Jamaa kaongea point ila vitoto vidogo vinamtukana kiukweli wanawake hawawezi kukausha

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 Před 2 dny +2

    Mtoto ni mtoto tu 🤣🤣🤣

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 Před 2 dny +6

    😂😂😂 bange bhana😂

  • @PedroMaumo-eq8kc
    @PedroMaumo-eq8kc Před dnem

    Big up simba

  • @silageorge1638
    @silageorge1638 Před 2 dny +3

    kibonge hawezi kosa kujibu mzee wa makiki

  • @Mrdragoon85
    @Mrdragoon85 Před 2 dny +3

    Mitandaoni ni pamba na Moto ila Wakikutana ana kwa ana utawaona wanavyo pigana mabusu 😂

  • @issachibangu6075
    @issachibangu6075 Před 2 dny

    Watoto awana pakukwepea mzee ni mzee Baba na wanawe 🔥

  • @SaidJuma-ru7vm
    @SaidJuma-ru7vm Před 2 dny +5

    Chizi kajibu tena 😂

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Před 2 dny +1

    Harmonize hajakosea kujibu maana kachokozwa hata ingekuw mimi ningejibu kama harmonize alivofanya maana hapo ni sawa wamebeep fire waone kama inawaka sasa imewaka kwer 🔥🔥🔥

    • @RawAlly-gf4gw
      @RawAlly-gf4gw Před 2 dny +1

      Km vile huwez kulipa wazee hata ufanyeje harmo hawez kumlipa diamond imeisha iyo

  • @habarugiraRodrigue
    @habarugiraRodrigue Před 2 dny +2

    Kond milioni 600 zimemupa asira

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Před 2 dny +1

    IYO NI KWASABB COMASAVA VIDEO HAIPO

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 2 dny

    Tunaoamin hawa wawil mond na harmo hawana ugomvi wowote kwa sasa ila ni kichangamsha genge tu na wanapanga haya tupia like hapa

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim9138 Před 2 dny +3

    Kitendo Cha diamond kumupa harmonize airtime anakosea sana Huyu harmonize alikuwa ameshapotezwa na comasava,,lkn unamfufua mwenyewe kwa kumuongelea,,SI Bora u post nyimbo mpya ya alikiba ambae ni mkubwa mwenzako,,binafsi sipendi unavompa airtime harmonize ambae kuimba kajifunzia kwako,kilaki2 kaiga kwako,,hao madogo wawili yeye na rayvany achana nao, hawakuwezi kwenye game utasababisha mashabik tukudharau,,mpe pro, D voice na lava lava waandalia hata show moja kubwa kwenye majiji wapige hela juzi ulikuwa international na wasanii wanaojielewa Leo unarud tena bongo unaanza ubongo,, aisee uswahili tatizo sana

  • @babalao3250
    @babalao3250 Před 2 dny

    Asijitoe fahamu akasau kuwa hana hata hit😅😅😅

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 Před 2 dny +1

    Daily Top Music videos 😂
    Alafu list yenyew ya jun 29 ni naweza kuona ni list ya kawaida sana kulinganisha na ile ya mwaka mzima. Anyway wote wakali tusisahau Hilo wadau

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 Před 2 dny +1

    Nyie mashabaki wapande zote, hawa wasanii wanatafuta kujadiliwa kila siku.

  • @richardkisebu9650
    @richardkisebu9650 Před 2 dny +4

    Tz ni kizungu kweli hamjui..hyo ni top video's not music..Kuna ngoma kweli diamond amefanya iko na video recently???😅😅

    • @ByaombeBilesukuJacques
      @ByaombeBilesukuJacques Před 2 dny

      Hongera sana kwa utafakari mkubwa wako ❤❤❤ Simba hata baki kuwa Simba n'a mtoto ni mtoto tu

  • @user-rh7bw6tq1p
    @user-rh7bw6tq1p Před dnem

    Wana lenga soko ya ngoma yao hawa wana tayarisha populations

  • @kingmoses-md5qk
    @kingmoses-md5qk Před dnem

    ahuwezi uka sabiya week

  • @AbuuMkabugo
    @AbuuMkabugo Před 2 dny +1

    Wwe konde huna akili daimond mwezi huu kwani katoa shooting na iyo imeandikwa mwezi wa 6 kumbe mjinga wwe eee😊

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před 2 dny

    Baba atabaki Baba tuu.

  • @kingmoses-md5qk
    @kingmoses-md5qk Před dnem

    kwenye video diamond aja towa video wana tania sana awo

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Před dnem

    Kijana amejazwa upepo

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před 2 dny

    Lavalava vipi sio mwanae eee?

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před 2 dny +1

    Sawa harmo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdallahamara9815
    @abdallahamara9815 Před 2 dny

    Tarehe 29 June ???🤔🥱

  • @beingothman
    @beingothman Před 2 dny +2

    😂😂😂

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před 2 dny

    Watoto wa siku hizi kizazi hiki hawana heshima

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 Před 2 dny

    Kwani si Diamond alisema yeye ashavuka nini anajishusha tena yeye ni wakimataifa

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před dnem

    uyo kijeba afanye afanyavyo..ata dunia iumbwe upya bado..hampati dai... hata kwa kuloga😊....sio dhambi kuzidiwa jamani..tutulie

  • @rukundorwiza5223
    @rukundorwiza5223 Před 2 dny

    Diamond muwenyewe anebebuwa na amapiano ya wa south

  • @user-mv4ne4fg1d
    @user-mv4ne4fg1d Před 2 dny

    Mbona siweliwi mimi kuusu listi ya simba aliweka aliitowa wapi?? Acha dogo hamo aseme kweli jamani! 🇨🇩 Bukavu tunafatiliya sana kila kitu😅😅😅

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před 2 dny

    Buoyed ndoo wa honganishii

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 Před 2 dny

    😂😂😂😂

  • @fadhilmandaliabdalla6736

    Sasa shida ya mashaki bhana yani pia wanafoc Hermonize awe mtoto wa diamond 😂, jaman ile ilikua biashara sio msaada, ni hiari ya Konde kukubali kua mtoto na kama hataki pia ana haki maana amelipa walichotaka. Mtoto akihama kwao hatozwi pesa hata iweje, sasa baba gani anawatoza watoto wakihama nyumbani kwenda kujitegemea.

  • @DelightfulFish-ps8ny
    @DelightfulFish-ps8ny Před 2 dny

    Kumsadia mtu sio lazima uongelee bc kitu kinajulikana mbona huyu simba mshamba nae wote wa shamba just like that

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 Před dnem

    Hata mtoto amkatae babaye lakini ukweli ni kwamba mtoto ni mtoto tuu

  • @CamweziKarrashnekov
    @CamweziKarrashnekov Před 2 dny

    Kama hataki kuitwa mwana basi aingiye kweny channel zote za social media avute kila kitu kinachokumbusha kuwa kwenye ulimwengu wa muziki amezaliwa ndani ya familiya ya WCB

  • @shabannayopa5406
    @shabannayopa5406 Před 2 dny +1

    Mond unajcfia sn ht km umemsaidia mtu, kausha ushamba huo

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Před 2 dny +1

    𝑩𝒐𝒐𝒎𝒑𝒍𝒂𝒚

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 2 dny

    Wale walosema diamond kapotea kimziki wako wp?

  • @SafayaPlatnum-zz1dz
    @SafayaPlatnum-zz1dz Před 2 dny +1

    Harmonize acha bangi kijana mondi atabaki kuwa baba yako kimuziki na kimaendelea mbwa wewe usiekuwa na shukurani
    Hizo video unazo tuonesha mondi ametoa rini hapo

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před dnem

    Mwana mpotevu aka matumbaku

  • @kassimufuraha2556
    @kassimufuraha2556 Před 2 dny

    Mimi naungana na konde kwakua mond ilimuomba malipo yamsaada wameshamarizana akuna mzaz anaemdai mtt

  • @MaliNyabuMakalanzi
    @MaliNyabuMakalanzi Před 2 dny

    Xx wakubwa hzo n chart ya wiki tuu konde xbr mwez wa 7 ufike utupe chart ya mwez mzma

  • @bbcwrld
    @bbcwrld Před 2 dny

    Weekly???? 😂😂😂 mwambie atume ya mwezi

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma5180 Před 2 dny

    Sasa weekly mtu alitoa kitambo na wewe ulitoa juzi unata iwe hapo kweli mtu betri limevimba kweli

  • @zerochanneltanzania3797

    HARMO MİBANGE 😂😂😂…

  • @nuhumaalim4976
    @nuhumaalim4976 Před 2 dny

    Bila ya mond ungekaa unauza ma 🍎 🍏 kariakoo na banana 🍌 banana

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 2 dny +1

    Mm ni shabiki wa konde... Ila hapa amekuwa kama vile bwabwa!

  • @MaliNyabuMakalanzi
    @MaliNyabuMakalanzi Před 2 dny

    Xx wakubwa hzo n chart ya wiki tuu konde xbr mwez wa 7 ufike utupe chart ya mwez mzma

  • @MaliNyabuMakalanzi
    @MaliNyabuMakalanzi Před 2 dny

    Xx wakubwa hzo n chart ya wiki tuu konde xbr mwez wa 7 ufike utupe chart ya mwez mzma

  • @MaliNyabuMakalanzi
    @MaliNyabuMakalanzi Před 2 dny

    Xx wakubwa hzo n chart ya wiki tuu konde xbr mwez wa 7 ufike utupe chart ya mwez mzma