Kibonge wa Yesu - Waambie Remix Ft. Walter Chilambo (Official Video Lyrics) SKIZA DIAL ( *811*715# )
Vložit
- čas přidán 6. 06. 2024
- Yapo Mambo mengi ambayo Adui mwovu anayafanya ili kutufarakanisha na Mungu wetu lakini Mungu anatambua wenye haki na ndio walio wake hivyo anawapigania na kuwalinda dhidi ya yule Mwovu. Mungu anatupenda na anatubariki kwa kila hatua tunazopiga haijalishi ni wangapi wanasimama kinyume na Ndoto na maono yetu lakini bado tunapiga Hatua.
Kumb 11:24
"Kila mahali mtakapokanyaga kwa nyayo za miguu yenu patakuwa penu; tokea hilo jangwa, na Lebanoni, na tokea mto wa Frati, mpaka bahari ya magharibi, itakuwa ndiyo mipaka yenu."
Audio produced by @ClickMaster
Visual by @ap.creative1
Get it on ALL DIGITAL PLATFORMS
Listen to WAAMBIE by Kibonge Wa Yesu
On Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/m...
On Audiomack: audiomack.com/kibonge-wa-yesu...
©2024KiboMelodies. All rights Reserved.
#Kibongewayesu #WalterChilambo #WaambieRemix #gospelmusic
Nenda waambie wajue Mungu ananipenda
nenda waambie wajue Mungu ananipenda
verse 1:
Ile mitego tego walonitegea ameitegua
na mipaka yote nilowekewa ameiondoa
wakafanya mpaka matambiko
ili niweze potea
kwa huruma za Mungu bado nipo
yeye amenitetea
wamezuia maji kwa chujio
na yameshindwa yao majaribio
mola ndo mpaji mafanikio yanatoka kwake
akisema ndio
Ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
verse 2
Nenda kawape taarifa yakwamba mwenzenu mimi niko shwari
yani napendwa hata sijielewi
huyu Yesu ee
kama unabisha basi pambana na vita yangu uone
lolo lolo
si unacheza mimi kacheze na baba yangu uone
aaha ahaa
Si mlituma giza mkasahau mi ni nuru
ahaa ahaa
sa na kupasha habari mimi
bridge :
Ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
chorus :
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda - Hudba
Kibo &
walter is the big Fan🙏🙏✍
Wow so amazing
Wambie kilakitu usiwafiche, ngoma kali sana vichwa vilivyo tulia❤
Superb
Nyimbo imefanywa kikubwa na wakubwa walioongozwa na mkubwa Roho Mtakatifu, Barikiwa na kuinuliwa zaidi
🙏🙏
my favourite gospel artists.....🔥🔥🔥🔥
Such a beautiful song 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Amen ❤❤🎉
Amina Mungu awabariki watumishi
Kibo & Walter once again 🏅🏅🏅
🙏🙏
Powerful sana bruv
Waoooo wimbo ni mzuli san
Yes u did it man of God.....from Brazil 🇧🇷 it's me
NYC song be blessed
Wamesha skiiia💥💥💥💥
🎉🎉BARIKIWA SANA WATUMISHI...
🙏🙏🙏
Safiiii sana mkuu nzur sana
Stay blessed ❤
Kubwa sana hii Mungu awabariki sana family ❤❤❤❤❤❤
Ubarikiweeeee sanaaa kibo kwa wimbo mzur
God is good
kazi bola saaana hii.
Great 👍
Kazi safi sana hii kitu 😆😆😆🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤ pamoja sana
Nice song
Hakika mungu ni mwema sana❤
Umetisha snaa
Hongera Sana mungu hawabariki kwa ujumbe mzuri
🎉🎉🎉🎉 congratulations brother
Asante sana for the collabo
Saaaf 🙌🙌
Hongeren sana watumishi MUNGU awabariki sana 🙌🙌🙌 kibooo
Ameen Ameen🙏
Idinma🙏
Nakupenda sana maana unatoa vuma bara sana
Good job
My favorite artists in one song, just woooow🔥💯❤️👏🏽👏🏽
Nyimbo nzr Sana aseee bro Mungu awabariki
Ubarkie kaka
Kazi nzuri sana que le bon DIEU vous bénisse abondamment
Hongera sana Brother
Mungu akubariki sana kaka kibo melodies
Hata sijielewi
Hongela Hongela Sana Mungu azidi Kukuinuwa❤❤
ameen🙏
Am in love with the messages in this song ,God bless you ❤
Man of God @walterchilambo❤
🙏🙏
Dash!! Sjuh niskilize ipi sasa but yote kwa yote Mungu awabariki kwa kazi nzuri
🙌🙌🙌
Godblessyou 🙏
TESTIMONY
Great vibe, kawape taarifa Niko shwarii🔥🔥🔥💯
Another bless 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🙏
Kaka ubarikiwe sana
Melodiiiiizeeeer
🙏🙏
This is an amazing piece for sure🙌🙌
❤❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥
Nimeinua mikono🙌🙌kaka
Wimbo uko vyemah sana barikiwa sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Naburudka huku mwenzenu
Nice
kibooo ..mnatubariki sana
🙏🙏
🎉🎉🎉🎉
❤❤🔥🔥
Nyimbooo nzuriii imenibarikii
🙏🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥kazi nzuri sana mbarikiwe sana
Ameen
❤😂
Imeenda hii Hongera sana Kibo una kitu kikubwa Mungu azidi kukuinua
🙏🙏🙏
NENDA KAWAPE TAARIFA YA KWAMBA MIMI MWENZENU NIPO SAWA✌️✌️✌️
🙌🙌
Hakika wewe ni mvua ya baraka NICE SONG
🙏🙏🙏
🔥🔥🔥
👑👑🙌🏽🔥🔥🔥
Kaka kaka zangu kazi imekuwa ni ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏
Amina kubwa ❤❤❤❤
🙏🙏
HongeraSana Familia ..Melodiezzz
🙏🙏kaka
Kazi ni njema sana🎉❤
🙏🙏
Safi sanaaaa kibooo
Click master ni motoooo
🙏🙏
Powerful enough..🙌🙌🙇♀️
🙏🙏🙏
Hongera sana family kazi kubwa sana mkuu💯👏👏👏
🙏🙏🙏
kazi iendelee. namshukuru Mungu kwaajili yako kwa namna anavyokutumia kuiinua mioyo ya watu wake
Kizazi sana mzeaaa
Si unachezaga na mimi kachezee na baba yangu uone aaah🔥🔥🔥
Hii tutaita Christian Kizomba sababu Ina elements za Muziki wa kizomba
Waambie on fire fire hakika Mungu anawapenda kweli 🙌🙌🙌🙌
Babwire🤝
🙏🙏
Ameniongeza hatua mbele nasogea sipo pale nilipokua Jana
ameen
Aweeee❤❤❤
🙏🙏
Nimebarikiwa kwa kweliiii🙌🙌🙌🙌
🙏🙏
walter n kibo more grace
Powerful 💪🏾💪🏾💪🏾
🙏🙏
🙏🙏
❤❤❤
🙏🔥🔥🔥🎻🥁🎹🙌🙌🙌🙌🙌
KAZI nzuriiiiiii Sanaa 🎉🎉🎉🎉🎉... God bless you in advance 👏👏👏👏👏👏
Mbarikiwe mnooooo 🎉
Ameen
Safi sanaa, hii imefika penyewe❤🎉
🙏🙏🙏
✅
Hongera sana MwanaNzambe #WAAMBIE🙌🙌🔥
🙏🙏🙏
Vile nasubiri kukula upepo sahii 🥳
🙏🙏
Haujawah kuwa na show mbovuu
🙏🙏🙏