Kibonge Wa Yesu - Waambie (Official Visualizer) SKIZA DIAL ( *811*715# )
Vložit
- čas přidán 9. 05. 2024
- Yapo Mambo mengi ambayo Adui mwovu anayafanya ili kutufarakanisha na Mungu wetu lakini Mungu anatambua wenye haki na ndio walio wake hivyo anawapigania na kuwalinda dhidi ya yule Mwovu. Mungu anatupenda na anatubariki kwa kila hatua tunazopiga haijalishi ni wangapi wanasimama kinyume na Ndoto na maono yetu lakini bado tunapiga Hatua.
Kumb 11:24
"Kila mahali mtakapokanyaga kwa nyayo za miguu yenu patakuwa penu; tokea hilo jangwa, na Lebanoni, na tokea mto wa Frati, mpaka bahari ya magharibi, itakuwa ndiyo mipaka yenu."
Audio produced by @ClickMaster
Visual by @ap.creative1
Get it on ALL DIGITAL PLATFORMS
Listen to WAAMBIE by Kibonge Wa Yesu
On Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/m...
On Audiomack: audiomack.com/kibonge-wa-yesu...
©2024KiboMelodies. All rights Reserved.
#Kibongewayesu #Waambie #gospelmusic
LYRICS :
Nenda waambie wajue Mungu ananipenda
nenda waambie wajue Mungu ananipenda
verse 1:
Ile mitego tego walonitegea ameitegua
na mipaka yote nilowekewa ameiondoa
wakafanya mpaka matambiko
ili niweze potea
kwa huruma za Mungu bado nipo
yeye amenitetea
wamezuia maji kwa chujio
na yameshindwa yao majaribio
mola ndo mpaji mafanikio yanatoka kwake
akisema ndio
bridge :
Ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
chorus :
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
verse 2
Kwa vile ananipenda
kivyovyote nitasema
hakuna atae zuia hata kwa yoyote hila
na ameyaweka mambo sawa
na sasa mimi niko salama
bridge :
Ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
ameniongeza hatua mbele nasogea
siko pale pale nilipokuwa jana
chorus :
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda
Nenda waambie wajue
Mungu ananipenda - Hudba
Kama unajiona umekosea sana Kama mimi Ila bado Mungu anakupenda,gonga like
Yesu ni mwaminifu ametutetea na anatukaribisha kumuamini ili tuwe Wana wa Mungu.
Ama kweli Yesu anantupenda.
From TikTok the song is cool🎧🙏
Amina mtumishi wa mungu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿👉💯barikiwa Sana kaka
Amina.Nenda wambie Mungu ananipenda .
Hakika,Mungu ananipenda
Amen 🙏 nimefarijika na wimbo mzuri wa Yesu
Amena Baba🙏🙏🙏🙏
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Kibo 🌊
Alex Mwakideu and Mwashumbe Radio 47 Kenya brought me to this song.
God is good 🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
my favorite from +255
Kaliii sanaaaaa❤️🔥
Noma
director Khasi seen 🎉🎉
My role model,
All the way from tiktok....#Ameniongeza hatua mbele nasogea 🙏🙏
ameeen
Hallelujah
KIBOOOOOOOP
Enda uambie wajue Mungu amenitenda
Kiboooo.... melodiizer🙌🥳
Barikiwa sana kaka mkubwa
Wimbo mzuri
Barikiwa sana Kaka
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
#WAAMBIE
MELODIZER ❤❤❤
Kazi kazi kaka🙌🙌🙌
Keep shining broo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🙌
💥 💥 💥 hakika Mungu anatupenda
Kibo melodiza
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Much love from Kenya ❤
❤❤❤❤
Its time 4 kibonge melody
Go go go brother 🙌🙌🙌
This is very sweet, Barikiwa Sana kaka
Amenisongeza hatua🙏🔥🔥🔥
Barikiwa sana mela wangu Mungu azid kukuonekania 🙏🙏
🙌🙌🙌
Powerful song
Hiii ina kitu aiseeee ❤
🙏🙏🙏
Such a beautiful song❤
Glory to God
🙏🙏kaka
This is a powerful song. Am blessed 🙌
Melodiezer🙌
Ubalikiwe kaka
Awesome!
#wambie 🎉🎉🎉🎉 blessed song
What a beautiful written song.❤
😢😢❤❤
🙏🙏
Wow a beautiful piece,,,, cheering you on always from Malawi,I love your music ❤😊
Beautiful ❤
Unajua sana wewe jamaa
Hii tiyari nimeweka ringtone ya kwangu mie,daah tamu sana aisee👌❤
🙏🙏
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
ankoo
..Mungu ananipenda 😭😭🙏
Ameeen
Mziki mzuri Sana mungu akubariki
Ameen
Baba Baba Babaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🙌
🙏🙏🙏
Kari on repeat 🔂❤️ #Wambie Yesu Ananipenda 🔊🙌🔥
🙏🙏🙏
🎉🙏
🔥💯
This is KIBO MELODIZER
Living in reality of this lyrics and i Believe He still got more in store for me.🙏 Indeed He is an awesome God.
🙌🙌
🎉🎉twende tuwaambie hii ngoma ni kalii
ameeen🙏🙏
More blessing❤
mungu akubariki kaka
Ameeni
Hii Ngoma Fanya collabo na Joel lwaga kaka utanishukuru baadae
🙏🙏🙏
Bro I like this❤
🙏🙏
Wamezuia maji Kwa chujio na yamefeli Yao majaribio🙌🙌 congratulations to you brother 🙏
😭🙌
Wouu I’m inlove with the song ❤️🔥🔥🙌🙌 Bless you Kaka
Ngoma ni kubwa sana hii kaka,
🙏🙏🙏
🙏🙏
Keep it up brother 🇰🇪
🔥🔥🔥
Amen 🎉🎉
🙏🙏
Jiraniii Jiraniiii ❤🔥🔥🔥
baba🙏🙏
Nyimbo ni nzuri sana utunzi wa hali ya 🎉🎉🎉❤
Ila kaka quality ya Audio 😢
Waoooh, in tears singing this great and very uplifting song.
🙏🙏🙏
THIS SONG IS SWEEETTTT
🙏🙏
Good song
Hongera kaka yangu haujawahi niangisha Mungu akutunze. Naomba studio unaporekodia🙏🙏🙏
Kaka
Amen,love it
🙏🙏🙏
Godblessyou bro
bravo
Great sana💪
💥💥💥💥🇺🇬
🙏🙏
Ushaanza kuimba nyimbo mbaya
Nyimbo ni nzuri sana ila ubaya umo ndani yako wewe mwenyewe! Upone kwa jina la Yesu.😢
Wimbo wa shukrani
From tiktok prrrrrrr pak...kidogo nivunjike mguu..Mungu ananipenda kweli..barikiwa kaka🙏
ameeen🙏🙏
😅😅😅😅
kenya imekubali huu wimbo
💥💥💥
🙏🙏
From tiktok here direct
Huu wimbo kanisani kwetu tunauimba kama Tenzi ya rohoni na tunakuombea sana Kibonge,yaani kwa inje tunakuona chembamba lakini rohoni wewe ni kimbonge wa Yesu kaka
🙌🙌🙌