Bosco tonnes kama ungeamua kuimba gospel pure nakuona mbali sana maana una chembe chembe za kumjua Mungu pia una vocal nzuri na kwa gospal inakaa vzr zadi siseme ubongoflevan haikai no ila gospal n zaid Mungu akuite kwake zaid naomben like mliokubalia na mimi au npen reply kbs
Kama umesikiliza vizuri wimbo utagundua @Bosco tonnes Ali deserve kuimba gospel yaani kumuimbia mungu,naiona nafasi yake kwenye gospel,kaua kuliko kundi zimaa,Kama nyimbo kaandika yeye,friends from Kenya ,Tanzania,Uganda,Rwanda na Burundi let's support the mafik.mbarikiwe
I totally agree with you this should be a hit song if only they can emphasize on the chorus which is also the title of the song or rather the title to change to first one
Wangapi tunamkubali BOSCO TONES daah nakukubali toka enzi za kufanya covers, na cover yako bora zaidi ni ya #MvumoWaRadi mpaka leo ninayo kwa Laptop yangu ❤🔥🔥🔥
Wakiimba kama team wataenda mbali zaidi hakika nakwambia ,ktk sehemu ambayo MUNGU hapendi ni kiburi Cha KUimba , wawe wanyenyekevu na waimbe kama team hivi hivi wataenda mbali Zaid maana kila Mmoja hapo ananyota yake mwingine Hana nyota Kali ya kukubalika lakini kwenye group Mmoja Hana sauti nzuri sana lakin anakubalika na watu HARAKA so wanabebana
Bosco amaefanya nkatafura huu wimbo hadi nkaupata 😊😊 Everyone who has this song on repeat hands up🙋These guys have the vocals n the song has a good message..........Boscoo ur verse makes me cry and smile at the same time ❤❤may God continue using u guys 🙏
Young men...yall did amazing on this one. Highlight on Bosco...my brother, take all your energy and talent and heart n body and soul and write and sing gospel...you will take so many souls unto the Lord. Ninakuombea sana akufungulie njia..and I'm sure tuko wengi!
KILA WAKATI NATUANZE NA MUNGU🙏....TO ANYONE READING THIS MAY GOD ANSWERS ALL YOUR PRAYERS.. ALL YOUR TEARS ON THOSE CORNERS PRAYING FOR WHATEVER IT IS...ITAJIPA💐
Daaa mmeyisha Sana Sana Mungu awainue zaidi mkafanikiwe kwa Jina la Yesu,Imenigusa Sana Yani unaanza tu nimesisimka mumuimbie Mungu na mtunge nyimbo nzuri zaidi na zaidi,AMEN JUMAPILI NJEMA.
Wimbo mzuri sana... Yule wa kwanza nyota ya sauti kapewa bila kupima
Bosco tonnes kama ungeamua kuimba gospel pure nakuona mbali sana maana una chembe chembe za kumjua Mungu pia una vocal nzuri na kwa gospal inakaa vzr zadi siseme ubongoflevan haikai no ila gospal n zaid Mungu akuite kwake zaid naomben like mliokubalia na mimi au npen reply kbs
Mi nakuunga mkono Saut ya Mungu imuongoze
ni huyo wa pili?
ni huyo wa pili?
Fact bro
Huwezi amini nimeanza kufuatilia huu wimbo kwa ajili ya bosco nilijua ni gospel
Kama umesikiliza vizuri wimbo utagundua @Bosco tonnes Ali deserve kuimba gospel yaani kumuimbia mungu,naiona nafasi yake kwenye gospel,kaua kuliko kundi zimaa,Kama nyimbo kaandika yeye,friends from Kenya ,Tanzania,Uganda,Rwanda na Burundi let's support the mafik.mbarikiwe
Bosco ndo yupi
Naomba kwa Mungu baada ya Miezi 6+ wimbo uwe umehit 1 M+ viewers
Safi sana nazidi kuwapenda,Km unamuamin Mungu kama mm na mafiki gonga like
Daaaaa huyu bosco akiimba tuu mimi machozi yananitoka yaani anaimba mpaka moyo unawehuka
Thought am the only one😢😢 so touching
REST EASY MBALAMWEZI, KUNDI LILIKUJA JUU HILI ILA ASANTENI KWA KUMKUMBUKA MUNGU.... OYAAA MNAENDA MBALII GONGA LIKE KAMA UMEWAKUBALI.💪🙏🇹🇿
Wimbo mtamu huu. Pokeeni heri zangu kutoka jirani wenu Mkenya hapa🇰🇪
Wish the verse Unikumbushe kuanza na wewe was the chorus..the Song is uplifting.
My thought too😊
Exactly 💯
Thought so too…
Sure sana
I totally agree with you this should be a hit song if only they can emphasize on the chorus which is also the title of the song or rather the title to change to first one
Jaman uyo kaka wa kwanza anavyoimba mpaka mwili unasisimka uyo anatakiwa awe anamwimbia Mungu tuu jaman watu wengi wataokoka kupitia yeye.
yap huyu wa kwanza kaua saana
First one kaimba vzur jaman nmependa,,
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊11❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊❤❤1¹1¹1¹1111111
❤❤❤
Kabisaa
No nudity No violence.. good teaching ❤️🌴.. great vibe 🎉
Unikumbushee kuanzaa na wewe maana kukujua wewe ni chanzo Cha maarifaa
Guys kwa hizi melody lazima muendo mjini wote mko vizuri ila mshauwasha moto akikisheni hauzimiki ngoma juu ya ngoma ndio habari ya mjini
czcams.com/video/GSgLE-OWYSw/video.htmlsi=o4WEYmLBM2ipbNwV
Tutajitahid kwa kudra za Mungu wetu
Melody mnayo asee, Style yenu kwa kichupa kama Wa-South ivi…
Big comment men
❤❤❤❤❤❤
Wangapi tunamkubali BOSCO TONES daah nakukubali toka enzi za kufanya covers, na cover yako bora zaidi ni ya #MvumoWaRadi mpaka leo ninayo kwa Laptop yangu ❤🔥🔥🔥
Wajanja wote siku zote tunaanza na MUNGU…wimbo mzuri hongereni..hii mjini inaenda🔥🔥🔥🔥❤️❤️
Nimerudia wimbo zaid ya mala kumi welcome back nilimiss sana izi melody❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu ni kila kitu hasa kwetu ambao hatuna connection yeye atosha
The Mafik.Dah! Mmetukumbuka tena na mnatukumbusha mbali pia R.I.P Mbalamwezi.Mko vizuri sana Guys endeleeni na moto huu nawaona mkiwa mbaaali sana❤
Boscoo eei am always here for your part,over and over again..that's my prayer..🇰🇪
The first guy if utasoma hii comment yangu, nenda kaanze kuimba gospel kweli. Imba wewe km wewe sio group, utatoboa sana. Wishing you the best
KWELI
Kweli ana sauti poa ya ku uplift someone to spiritual realm 😢❤
Wakiimba kama team wataenda mbali zaidi hakika nakwambia ,ktk sehemu ambayo MUNGU hapendi ni kiburi Cha KUimba , wawe wanyenyekevu na waimbe kama team hivi hivi wataenda mbali Zaid maana kila Mmoja hapo ananyota yake mwingine Hana nyota Kali ya kukubalika lakini kwenye group Mmoja Hana sauti nzuri sana lakin anakubalika na watu HARAKA so wanabebana
Daaa! Namimi naanza mungu One the fest One Nakukubali sana @BoscoTones Jaman gonga Like zake Bosco hapa👂
Bosco bosco hujatuangusha kaka hakika umeanza na umeanza na mungu god is mya fist one bro lets go
❤❤hakika hu wimbo ni mzuri sana
Hongera sana kwa wimbo Bora.Sana sana Bosco Tone's anasauti nzuri.
New The mafik mnatisha mmeua kila kitu vyombo ,sauti, mavazi location na kila kitu congratulations
That first guy your voice,its so sooothing ,be blessed
Definitely
Bosco Tones is a great one
congratulations Sana nyimbo nzuriii sana
Hamadai, Mickey, Bosco, Mdewele you guys bless my heart ❤️❤️❤️❤️
Bosco amaefanya nkatafura huu wimbo hadi nkaupata 😊😊 Everyone who has this song on repeat hands up🙋These guys have the vocals n the song has a good message..........Boscoo ur verse makes me cry and smile at the same time ❤❤may God continue using u guys 🙏
❤
Me too aky 😢
Hii wimbo jamani😢lazima tufike millioni Be blessed brothers
Munitafut Saladin niwape dowakakwanz anitafut kabisa nyiwot kwa ujimula poa ❤❤❤
Huyu wa kwanza angeimba nyimbo za MUNGU tuu jaman 😢😢
Young men...yall did amazing on this one. Highlight on Bosco...my brother, take all your energy and talent and heart n body and soul and write and sing gospel...you will take so many souls unto the Lord. Ninakuombea sana akufungulie njia..and I'm sure tuko wengi!
Jaman kaka wakwanza kuimba unasaut tamu sana sana..huyu jaivah wa Tanzania kwako aje mara million
Kweli Baba anza na mimi siku ya leo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu awaongoze mtuletee Gospel.nyingine jamni titafurahia saaana❤
Jina la Yesu Kristo ni Lina nguvu.
❤❤❤❤❤❤❤
Uwiiiiiiii Jina la yesu lina manguvuuuuuuuuu uwiiiiiii god bless you all, this song inaingia kwa moyo
KILA WAKATI NATUANZE NA MUNGU🙏....TO ANYONE READING THIS MAY GOD ANSWERS ALL YOUR PRAYERS.. ALL YOUR TEARS ON THOSE CORNERS PRAYING FOR WHATEVER IT IS...ITAJIPA💐
Amen🙏
AMEN
Ameen
Àmeen
Amen🥹🥹🙏🙏
Bosco tones🎉🎉
Just seen this song today in tiktok, I had to come to CZcams to listen to whole of it.. Ngapenda sana, well done!!! 🙌👏🇰🇪❤️
HAMADAI THE BEAST 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duh siyo pow ili Ngoma jaman
The LORD will provide you for everything " strong message " nice Job 🙌
Hapa Kenya, kibao kishafika pia.. tutauwasha huu moto pamoja❤
Dah! My niga bosco mhhhh bas2 🎉🎉🎉
Bosco ❤❤❤ mungu akutangulie na akupe mafanikio brooo
Bosco Is Pure Gospel Tone🙌
Bosco anajua sana atatika mbali sana kaua sana kwenye hii ngoma
Wamejipata ndo hatma ambayo Mungu aliwaumba nayo kumuimbia Jehova
Bro moco ngoma kali sana umeaua sanaaaa melody hatar sanaaaaaaaaa.big up kubwa..remix na kiba au mboso tunaisubir
Huu wimbo ni moto kwanza ule kijana mdogo na nywele
From tiktok let's gather here, we need to have a conversation❤❤❤❤
Hakika mtangulize mungu atakushangaza
ABBAH MWALIMU AISEE....MMEFANYA HOMEWRK VZRI MAFIK NAWATAMBUA SANA
ila ingekuwa ya wapopo tanzania njima ingekuwa inapiga hii 😂😂 au ya msauzi .. hapa melodi nzuri mpaka zinaboa
Mbalamwez angekuwepo humu ingekua hatar hii ngoma
Iyo kaka alie anza kuimba ni atali Sana
Happ mnatoboa wanangu huyu bosco tune wa moto sana
Wazee mmetisha xanaa 🎉🎉🎉 Bosco ton respect umeendaaa😅😅 bwashee tz from kahama town
From Kenya, I am a happy Man seeing this group back again with amazing context, Kenya is keenly watching you guys!
Am blessed! Thank you for this amazing song!
Nyimbo kali sana Tunaomba Nyingn
Naombi hii iwe na likes nyingi kushinda passenger!!!
Bosco tones we jamaaaa unajua mnooooooo❤❤❤
Bosco Tones🔥🔥🔥
Na mimi naanza na Mungu ❤
Unikunbushe kuanza nawe... Waaaah brother God bless you ❤️🔥... That part blesses my soul... Nimerudia hapo🤦
Hakika wimbo huu unanibalikisana
Great message nice music👌👌
"Mtangulize Mungu atakushangaza"nimepenta sana
Hakika mwenyezi Mungu ambaye ndio muumba wa mbigu na dunia atukuzwe milele na milele daina nashukuru kwa kuimba nyimbo ya injiri mbalikiwe ❤️👌🔥
R.I. P MBALAMWEZI. GONGA LIKE KAMA UNATAMANI INGESKIKA SAUTI YA FUNDI MBALAMWEZI NDANI YA HII NGOMA.
ngoma tamu sana,, ni kuisikiliza tu on repeat
"Unikumbushe kuanza na ww maana kukujua ww ni chanzo cha maisha"that is incredible hamadai he is keeping guy's
Safi sana ,kila kitu na kilajambo lako anza na bismillah yaan Mungu kwanza
Aminaaaaaaaaaaaaaaaa mimi niwa Mungu
Hamadai napenda nyimbo zako Sana jaman kiufup nakupenda sanaaaa. Mungu awainue said.
🎉🎉🎉 Tunaanza na Mungu kwakua yeye ndio Msaadawetu nyakati zote🎉🎉🎉 ❤❤❤ The Mafik!
Nice song ya kufungia mwaka
2024 Naanza na Mungu God is my priority
#MunguKwanza
Wow wow wow mnaanza na Mungu na hatowaacha wote mna sauti aiseee
Umenigusa sana bro huo Wimbo siwez kulala bila kuupiga❤
Sijui niseme nini maana hiki kitu ni kizuri mno Mafix🎉❤bravo
Nimeipenda hii,,Group Liendelee Sasa,,,rest in peace mbalamwezi
Boscoooh Brother umetishaah sanaah 🎉🎉
Daaa mmeyisha Sana Sana Mungu awainue zaidi mkafanikiwe kwa Jina la Yesu,Imenigusa Sana Yani unaanza tu nimesisimka mumuimbie Mungu na mtunge nyimbo nzuri zaidi na zaidi,AMEN JUMAPILI NJEMA.
Amen❤
Am happy for Bosco this guy deserve more.. TALENT
Binafsi Nimefurahi sana kumwona Bosco Tonesss💯💯💯💯 kitamboo sana anafanya Cover Kigoma na akina Gold boy❤❤!!!
Mmeimba jamani khaaaaa pokeeni maua yenu wimbo mzuri mno❤
Nimefurahi Sana kumuona mick, nadhn Kaz sitakazokuj zitakua hatar
Tunaanza na mungu 🔥🔥🔥💯💯💯💪
Better than ever, nimefurahi kumuona Bosco na M.singer
Nawakubali sana 🔥zaidi Amadahi na Bosco tones 💪🔥🔥
Safi sana kila kitu ni mungu nimeielewa ihi nyimbo aina uchafu wowote
Nyimbo imenipa nguvu sana😢
There's something about the guy singing unikumbushe kuanza nawe ..verse...May God guide you . Greater ministry ahead. . of you all🙏🙏🙏
Sisi Ni WA mngu 🥰
Ngoma Kali Sana jaman, imbeni ngoma Kama hizi bas
There's nothing so sweet like singing the Load's song, what the lyrics 🎉🎉
Wimbo ni mzuri sana. Very emotional. Kudos youngmen! Mumeanza vema. Despite the passing of Mbalamwezi. Hongereni sana! Mnajua kuimba.
Tuendelee hivyo hivyo hadi mwisho kwa uweza wa Kristo Yesu aliye ndani yetu
Mmetisha sana