Marioo - Asante (Official Lyrics Music Video)
Vložit
- čas přidán 17. 11. 2023
- Official Lyrics Music Video Marioo performing {Asante} Producer by Sky (C)2023 exclusively licensed Under (Bad Nation). The Music Video was shot at Dares salaam, Tanzania Director By Joma
Stream/Download Click here : africori.to/asante
Connect Digital Technician : Michael Charles Chali
/ digital_tanzania
Connect with Marioo (Badnation) on Social Media:
/ marioo_tz
/ marioo_bad
/ tz_marioo
open.spotify.com/artist/4ZTqT...
/ artist .
/ thisismarioo
#Asante #Marioo
@2023 Marioo All rights reserved
Music in this video
Learn more
Song
Asante
Artist
Marioo
Licensed to CZcams - Hudba
I'm here (Chart with me)
🙏🙏🙏Asante😰😰
❤
Thx for another hit
Umeua kaka
We love you bad❤
Hawa ndio wasanii tunaowataka congratulations brother,wimbo wa maana kabisa.
I just found myself crying and praying 😭😭😭,asante Baba kwa Kila ktu n weng walshndwa
❤❤mungo katusaidia
Nimeirudia mara zaidi ya 15 hadi nimefanya watu wengine kuiulizia ni nani? Ila napata vibe kana kwamba vile nyimbo imetoka muda mrefu vile kumbe nyimbo ndio kwanza ina siku moja ,kama umeielewa kama Mimi gonga like zifike kumi au zaidi nione ukubwa wa familia ya upendo
Ni wimbo mkubwa sana
👍👍👍👍💚🎉🇰🇪
Biggest song 🎉
Nice song kweli Mungu wetu ni mwema sanaaaa 💗💯
2024 tunavuka na hii ngoma...asante baba kwa kila kitu😭😭
Whoooosh! Asante Baba! Asante kwa kila jambo. I can testify God has been good to me ❤ I am grateful
asante kwa wema wako my God
Asante MUNGU kwa nafasi nyingne 🙏🏼Asante kwa wakati huuu asante cha maumvu😢kwa furaha🙏🏼kwa kunipa maadui na wanafki ili nijifunze asante
I am blessed by this song @MariooOfficialMusic
I graduated this year...lost my grandma this year....made my first million this year...A lot of good and bad happened and i choose to be grateful 🙏
Pole na hongera. It's all God's plan
@Patsonlkula thank you🙏
How did you made that million bro
I'm interested
Brother nyimbo zote unazo towa zinakuwa hit song lyrics❤❤
Wimbo zenye roho na uhai wa milele ndio kama hizi ❤daah safi sana ukae kwa misingi hiyo
The fact that it was released on a Sunday, makes the song even more special
Hlw mario napenda nyimbo zako..
May full fill the desires of marioo
😢😢
@@lydiamarewa7372😊mp
Nani kama marioo mpee like zake apa
My whole family just wakes up singing Marioo 😂much loveee❤❤❤
Great job Marioo❤
Much love from Makkah (Saud Arabia 🇸🇦), I love my country Tanzania 🇹🇿.
Tunakupenda marioo
Melody 🔥
Lyrics 🔥
Message 🔥
Mimiiii ni yupiiii nisiewezaaa, nisijeuaaaa hata shukurani❤
Asante God 🎉🙏
Apart from the goodness, and the chill vibes the song is really inspiring ⭐❤. I'm always in love with your writing talent my brother from Tz, Kenya Represented.
Asante sana mwenyezi mungu kwa kumkumbusha ndugu Omari kutupa huu ujumbe wako ✍️
Nimeipenda sana kwl iko bien sana muda mwengine tunastahili kukaa tunafkiria kiasi gani mungu anatupenda❤❤ubarikiwe bro unatufukish pengine
Thanks to God 🙏
Wooow Mario never disappoints 💥
The song should be prescribed for those succeeded in their plans🎹🏝🏝📿📿🙏🙏 Thanks for this masterpiece @Marioo
Today is December 10th 2023,9:45pm in Rhode Island USA,, ,i just discovered you and your music 30 minutes ago and so far i have listened to 6 of your songs and i like them all...Beautiful voice... I'm from Liberia west Africa
Woow nice Africa is our home forever let's be proud
Zinga Tia Sana kushukuru🎉🎉
The great way to start a chilly Sunday 🎉
The most amazing song to end the year with Thanksgiving 🥳. Thanks Marioo for this jam. Kenya is in the house
Asante kwa hii ngoma 🙏 Mungu akuweke kwenye viwango vya juu sana... InshAllah 🤲
🎉..to the all geared fans ...unbothered wth the pain of suffering but strictly oppose the pain of regret.....as we chase for success..still give thanks to the Most HIGH...thanks marioo for this sweet jam❤
Wa kwanza like zenu❤❤❤
Harmonize single again 🔥
A wonderful Thanksgiving song for the end of the year ❤🙏
in Ghana Asante is a Kingdom used to be an Empire the eord Asante in Twi language means , Because of War, and in swahili asante means Thank You. Love this song especially the chorus Asante
This song will be on repeat until 31st december❤❤❤
J'ai toujours apprécié ta façon de chanter Mr Mario.
Vit longtemps mon cher ❤
A sa place, je te remercie pour ton amour à lui❤
Merçi beaucoup
GOD IS GOOD ALL THE TIME!!!!!! BIG UP MARIO VERY INSPIRING
#Diit 🗣️
Ni Moto 🔥🔥🔥
Supported 👉 Shaddy Wanni
Can we take time to appreciate this guy for the talent he got and the great work he's doing, he delivers always #Baaaaaaaaaaad🔥🔥🔥🔥
I listened to this song yesterday and I played it throughout the night.
Leo nimerauka church after a very long time.
Thank you for this treasure Marioo
Nakubali xanaa marioo unanipafura kila nyimbo
Asante MUNGU kwa kunipa mtoto wa kiume uzao wa kifalme, wakati nikiwa mjamzito niliumwa sana mpk kuna kipindi nilikuwa nawapigia ndugu zangu nikiona kama maisha yangu ndo yanaishia nilibadilika kila kitu nilikuwa najiangalia😢 kwenye kioo nasema huyu sio Mimi, nashukuru kunipa mwanaume ambae hakua anatoka upande wangu hata nikiwa na mashaka aliniambia utavuka, MUNGU ni mwema leo tunamshukuru MUNGU miaka mitatu ya mtoto wetu Peter, katika dunia iliojawa uharibifu wa vitu vyema na familia zenye ushuhuda MUNGU akulinde na mabaya yote baba yangu🌎🙏👦
Aaaaah Marioo wewe unajuwa sana kuimba sana Mungu akubariki zaidi sana
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Ooooooh, AHSANTE🫠🫠🫠🫠from Zimbabwe 🇿🇼
Ongera wimbo mzuri
Ngoma Kali sana
siyo kali tu ila imetuliya sana ina powa🎧❤️🇨🇩
Marioo is always on point . Asante🙏🔥
Asante kwa kila leo, ipi sababu ya mimi kutembea mpaka leo,ipi sababu ya mimi kuiona hii leo,ipi sababu ya mimi kuongea mpaka leo??we ndio sababu ya mimi nadunda mpaka leo! Nikukumbe kwenye raha sio nikiumwa tu ama nikiwa nashida tu! Kama nina miguu miwili umenipa mikono miwili hapa nilipo na macho naona! Mimi ni nani nisiyeweza hata kushuru mimi ni nani nisiwe na shukurani ooooh asanteeee ooooh asanteeee asante baba asantee kwa kila leooooo...25/02/2024🙏❤
Fantastic song👌♥♥
Waooo much respect my brother. Love from Burundian military artist sailo soldier boy
I am blessed with this song guys this young boy is very talented keep on going Marioo🥰🥰🥰🥰😍😍
May you have God's blessings always 🤲🙏
Asante kwa wimbo 🎉
I am pure blessed by this wonderful song. Thanks for that
Nimekuja mara ya 10 lyrics za hii nyimbo zinanibariki sana🙏🏾
Nice brother
Wewe ni mkenya mwenzetu kabisa!
Nipeni like zangu from 🇨🇩🇨🇩 shukurani kwa baba God💪💪
Today is sunday the day to worship and thank GOD ❤ this for this hit man.
So wonderful❤
Great work 🔥
Marioo to the world ❤
Bad killed it 🔥🔥 very emotional
This one is a heat song...❤
Big UP xnaa 🎉✌🏿🤍
im from zambia and no homo but marrioo can sing damn underrated artist
Bad❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Good work 👍 man
Waoh!nice song hii unaweza skiza popote na yoyote keep going my lovely singer
This will be a major hit next year, more than 30m views next year.. 💥💥💗💗🇰🇪🇰🇪
Marioo has a very bright future. He should concentrate his efforts in this kind of music as opposed to the Bongo Amapiano Shananigans others are tirelessly forcing down the fans throats!
Asante kwa wimbo mungu azidi kukubariki
Song hili limenifanya nizidi kuwa jasiri nakuzidi kukushukuru MUNGU wangu Kwa kila jambo
Wow,this Asante song is a vibe💯🙏
Marioo never disappoint 🔥🔥🔥
❤❤❤❤ Umetukumbusha kushukuru kuliko kulalamika
We thank God for the gift of life ... thank you marioo for Thanksgiving song the song has attached m many hearts of people... we love you so much,💜💜💜💜💜💜💜🫂🫂..ASANTE sanaaaa
It is rudiculous when you see marioo singing ❤
We need more musicians like this 🙏🙏
Kali ya week ❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@marioo❤ bad nation like 😊
Wow good music ❤❤❤
Akitoka diamond,harmonize,nafasi ya tatu ni yako mkuu.. big up sana
na All ni wa ngapi
King kiba mbona mnamkosea heshima?
Allah ni wa muda wote alinganishwi
You are the best 😍😍😍
Nice song marioo u are the best gospel artist in Tanzania big up bad nation 🔥🔥💯💪
You are not pregnant but you deliver, much love from Kenya ❣️🥰❣️❣️🥰
This is a real blessing from God ❤❤🇰🇪👍🔥💯
Kaka umetisha sanaaa
mario done scatter my brains😭😭😭😭👏
Asante kwa kushukuru kwa God kaka wenziwo wanashukuru kwa maparty mfululu na kunywa
Nipeni like kama una Mkubali Marioo❤😢
BAD I'M HERE NOW❤
COMING SOON 💿🎵
Thank for your song we need more songs which are like this 😊 thank you nice 👍 work 😊 long life
Asante Mario kwa nyimbo nzuri🤝
Marioo you never disappoint ❤😊🎉
Asante!!!!
Kali sanaaa🔥💯🙌
I've been listening on repeat since yesterday ✨
Kweli tunasitaili kumshukuru mungu kwa apaa 2lipo asantey mungu🙏🙏
We turn back to God,,,badiee🔥