And now I see the group to compete na ndugu zangu wa Kenya / Sauti Soul Big up sana The Mafiki ~ I real like the chemistry Kaka aisee Sns upo vizuri sana Nina ndugu angu anakukubali Sana Ndio alio ni onesha Hii acc yako Pig up
Fredrick bundala ni presenter mzuri sana level zake hakuna bongo ni wa kimataifa naiona Sns mbali zaidi ya hapa... imecover a wide range of entertainment... educating the public and many more ....keep up the good work sns crew..we are behind everything you do we support yoh in anything and everything you do💥
kaka sky leo umeweza sana kucontrol dialogue kwa watu wote apo kuwahoji kwa awamu bila kuboa,kimsingi umemdonoa kila mmoja with strong ideas na umekuwa precise,hongera sana interview ina utofaut mkubwa sana na nyingine...ntakuchek
Kwa sky hii ni kawaida sana na ni kila siku nafikiri we ni mgeni na Sky hakuna siku amewahi kubore since yuko RFA,DIZZIM ONLINE mpaka akiwa anafanya project za clouds na za Radios nyingine na sasa tuko Home kabisa SNS sky ni no 1 best kwenye interview,he is always humble kashauliza maswali kwa viongozi wakubwa kama juzi kwenye uzunduzi wa CROWN Fm anamuuliza mawaswali mstaafu Rais kikwete mpaka unaridhika yani to me sijapata ona kama Sky TANZANIA wapo ambao wanajaribu kupita kama yeye na hawafanyi kwa kiwango hiki but all in all sky is the best one..
Kwa mimi mbalamwezi RIP alikua ndo header wa hili group na ata hamadai Kim nyimbo alikua ayupo una ona funk na mbala wana tembea so this guys thier need to work harder than work harder than before ila kwa bosco I think anatakiwa anatakiwa atulize kichwa sana ana sound ya mbali sanaa na akitulia apaah ata pata wat he deserves amen the mafik itakua better keep pushing jus put Ya God first 😊
And now I see the group to compete na ndugu zangu wa Kenya / Sauti Soul
Big up sana The Mafiki ~ I real like the chemistry
Kaka aisee Sns upo vizuri sana Nina ndugu angu anakukubali Sana Ndio alio ni onesha Hii acc yako
Pig up
Fredrick bundala ni presenter mzuri sana level zake hakuna bongo ni wa kimataifa naiona Sns mbali zaidi ya hapa... imecover a wide range of entertainment... educating the public and many more ....keep up the good work sns crew..we are behind everything you do we support yoh in anything and everything you do💥
Awa wakaka wako so amazing 🎉❤❤❤
kaka sky leo umeweza sana kucontrol dialogue kwa watu wote apo kuwahoji kwa awamu bila kuboa,kimsingi umemdonoa kila mmoja with strong ideas na umekuwa precise,hongera sana interview ina utofaut mkubwa sana na nyingine...ntakuchek
Asante sana Godfrey
@@SimuliziNaSautiY'all SnS never disappoint Since nothing to Something and from else to much now 💝💝
Kwa sky hii ni kawaida sana na ni kila siku nafikiri we ni mgeni na Sky hakuna siku amewahi kubore since yuko RFA,DIZZIM ONLINE mpaka akiwa anafanya project za clouds na za Radios nyingine na sasa tuko Home kabisa SNS sky ni no 1 best kwenye interview,he is always humble kashauliza maswali kwa viongozi wakubwa kama juzi kwenye uzunduzi wa CROWN Fm anamuuliza mawaswali mstaafu Rais kikwete mpaka unaridhika yani to me sijapata ona kama Sky TANZANIA wapo ambao wanajaribu kupita kama yeye na hawafanyi kwa kiwango hiki but all in all sky is the best one..
Fine interview with a great interviewer 👏
Kwa mimi mbalamwezi RIP alikua ndo header wa hili group na ata hamadai Kim nyimbo alikua ayupo una ona funk na mbala wana tembea so this guys thier need to work harder than work harder than before ila kwa bosco I think anatakiwa anatakiwa atulize kichwa sana ana sound ya mbali sanaa na akitulia apaah ata pata wat he deserves amen the mafik itakua better keep pushing jus put Ya God first 😊
Napenda sana hii Tim na napenda mnavyo jitangaza
Sky nilfikiri boyz 2 men jamaa wanajuwa keep ra up boyz
Mac ni noma naye❤❤
Hili kundi balaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 wanajua sana mpaka kero
Kweli
Fred nakukubali sana tangu upo rfa bonge la mtangazaji yaani huwa aukurupuki unafanya vitu vya uhakika sns kiujumla mko pow sana
Bosco atafika mbali sana
Mnajua sana
Shout out sana Hamadai na The mafiki 🎉🎉🎉🎉
❤
Niuwe ni bonge la ngoma na nusu
Kiukweli kwa kazi 2 walizofanya inaonesha wana kitu. Mungu awaepushe na hila za mjini ili wafikie malengo
Tuna enjoy show big up
These guys are extremently talented. Especially Bosco.... 🔥
Rino yuko wap
Alishaokoka na hataki kabisa sikuhizi. Anajulikana kama Uelewa wa Sauti.
The mafik ni nouma sana
❤❤
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
Nawakubal xana
Barikiweneni nyoteeee @boscotones hongera kwa hatuwa kaka
hatar sanaaa
Xana ma kaka
Welle unajua
WATAACHANA KWENYE MAFANIKIO,,,KAMA MNAWSAPOT WASAPOTINI