THE MAFIK waonesha balaa kwa kuimba LIVE, Hamadai asimulia Kifo cha Mbalamwezi 'Hakuna kama sisi'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 03. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa nyingi zaidi
  • Zábava

Komentáře • 35

  • @remmywamanyamba4676
    @remmywamanyamba4676 Před 20 dny

    And now I see the group to compete na ndugu zangu wa Kenya / Sauti Soul
    Big up sana The Mafiki ~ I real like the chemistry
    Kaka aisee Sns upo vizuri sana Nina ndugu angu anakukubali Sana Ndio alio ni onesha Hii acc yako
    Pig up

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 Před 3 měsíci +4

    Fredrick bundala ni presenter mzuri sana level zake hakuna bongo ni wa kimataifa naiona Sns mbali zaidi ya hapa... imecover a wide range of entertainment... educating the public and many more ....keep up the good work sns crew..we are behind everything you do we support yoh in anything and everything you do💥

  • @user-th2et5yo4c
    @user-th2et5yo4c Před 3 měsíci +1

    Awa wakaka wako so amazing 🎉❤❤❤

  • @godfreychaula3969
    @godfreychaula3969 Před 3 měsíci +5

    kaka sky leo umeweza sana kucontrol dialogue kwa watu wote apo kuwahoji kwa awamu bila kuboa,kimsingi umemdonoa kila mmoja with strong ideas na umekuwa precise,hongera sana interview ina utofaut mkubwa sana na nyingine...ntakuchek

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před 3 měsíci +3

      Asante sana Godfrey

    • @RichWise671
      @RichWise671 Před 3 měsíci

      ​@@SimuliziNaSautiY'all SnS never disappoint Since nothing to Something and from else to much now 💝💝

    • @Mcsceo
      @Mcsceo Před 3 měsíci +1

      Kwa sky hii ni kawaida sana na ni kila siku nafikiri we ni mgeni na Sky hakuna siku amewahi kubore since yuko RFA,DIZZIM ONLINE mpaka akiwa anafanya project za clouds na za Radios nyingine na sasa tuko Home kabisa SNS sky ni no 1 best kwenye interview,he is always humble kashauliza maswali kwa viongozi wakubwa kama juzi kwenye uzunduzi wa CROWN Fm anamuuliza mawaswali mstaafu Rais kikwete mpaka unaridhika yani to me sijapata ona kama Sky TANZANIA wapo ambao wanajaribu kupita kama yeye na hawafanyi kwa kiwango hiki but all in all sky is the best one..

  • @12322879
    @12322879 Před 3 měsíci +1

    Fine interview with a great interviewer 👏

  • @jasonomary736
    @jasonomary736 Před 3 měsíci

    Kwa mimi mbalamwezi RIP alikua ndo header wa hili group na ata hamadai Kim nyimbo alikua ayupo una ona funk na mbala wana tembea so this guys thier need to work harder than work harder than before ila kwa bosco I think anatakiwa anatakiwa atulize kichwa sana ana sound ya mbali sanaa na akitulia apaah ata pata wat he deserves amen the mafik itakua better keep pushing jus put Ya God first 😊

  • @KabulaElick
    @KabulaElick Před 3 měsíci +2

    Napenda sana hii Tim na napenda mnavyo jitangaza

  • @ismailahmed8728
    @ismailahmed8728 Před 3 měsíci +1

    Sky nilfikiri boyz 2 men jamaa wanajuwa keep ra up boyz

  • @VannlyTembo
    @VannlyTembo Před 3 měsíci +1

    Mac ni noma naye❤❤

  • @vincentgeorge178
    @vincentgeorge178 Před 3 měsíci +2

    Hili kundi balaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 wanajua sana mpaka kero

  • @HancyKabisama
    @HancyKabisama Před 3 měsíci +1

    Fred nakukubali sana tangu upo rfa bonge la mtangazaji yaani huwa aukurupuki unafanya vitu vya uhakika sns kiujumla mko pow sana

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Před 3 měsíci +2

    Bosco atafika mbali sana

  • @OnaTimestv
    @OnaTimestv Před 3 měsíci +2

    Mnajua sana

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv Před 3 měsíci +2

    Shout out sana Hamadai na The mafiki 🎉🎉🎉🎉

  • @abelmbilinyi1262
    @abelmbilinyi1262 Před 7 dny

  • @Mbaley
    @Mbaley Před 3 měsíci +2

    Niuwe ni bonge la ngoma na nusu

  • @samomnanka2779
    @samomnanka2779 Před 2 měsíci

    Kiukweli kwa kazi 2 walizofanya inaonesha wana kitu. Mungu awaepushe na hila za mjini ili wafikie malengo

  • @Mbaley
    @Mbaley Před 3 měsíci

    Tuna enjoy show big up

  • @m___ck799
    @m___ck799 Před 3 měsíci +1

    These guys are extremently talented. Especially Bosco.... 🔥

  • @vipackyummy6916
    @vipackyummy6916 Před 3 měsíci +3

    Rino yuko wap

    • @godfreybahitwa4798
      @godfreybahitwa4798 Před 2 měsíci

      Alishaokoka na hataki kabisa sikuhizi. Anajulikana kama Uelewa wa Sauti.

  • @theatlastz67
    @theatlastz67 Před 3 měsíci

    The mafik ni nouma sana

  • @user-sc5ux1qp2u
    @user-sc5ux1qp2u Před 3 měsíci

    ❤❤

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před 3 měsíci

    🔥🔥🔥

  • @Tonemils
    @Tonemils Před 3 měsíci

    🔥🔥🔥🔥

  • @CastrolFrancis-nz5nu
    @CastrolFrancis-nz5nu Před 3 měsíci +1

    Nawakubal xana

  • @user-gx6nk6wg4j
    @user-gx6nk6wg4j Před 3 měsíci

    Barikiweneni nyoteeee @boscotones hongera kwa hatuwa kaka

  • @user-de2ee5de1y
    @user-de2ee5de1y Před 3 měsíci

    hatar sanaaa

  • @WamunguLado-ph3tr
    @WamunguLado-ph3tr Před měsícem

    Xana ma kaka

  • @jomiAfrica
    @jomiAfrica Před 3 měsíci +1

    Welle unajua

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 3 měsíci

    WATAACHANA KWENYE MAFANIKIO,,,KAMA MNAWSAPOT WASAPOTINI