AY - Moja ya Wasanii Matajiri Tanzania? Afunguka... - Part 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 05. 2024
  • Leo tulikuwa na Ambwene Yessayah, unaweza kumwita AY. AY ni legend wa muziki huu na ametiririka mengi sana kwenye sehemu hii ya kwanza. Usikose!
    #AY #AmbweneYessayah #BongoProject #BongoFleva #EastCoastTeam
    Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
    --------------------
    WEBSITE
    --------------------
    bongoproject.org/
    --------------------
    SOCIAL MEDIA
    --------------------
    Instagram: / bongo_project
    Facebook: / bongo-project-10256641...
    TikTok: / bongoproject
    --------------------
    CONTACT
    --------------------
    Email: info@bongoproject.org
  • Zábava

Komentáře • 30

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari342 Před měsícem +5

    Aje ALIKIBA hapo bongo project

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před měsícem +4

    Ongeraa kakaaaa

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před měsícem

      Sijui ni za AY au za kwetu ila tunazipokea. Shukrani

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh Před měsícem +8

    Kwanini wasanii wote msiige mfano wa AY? Wasaani wa sasa mnaboo sana kiukweli ila shule pia inachangia. Wamakonde punguzeni ulimbukeni

    • @twaahbrown1042
      @twaahbrown1042 Před měsícem

      Ujinga unakuandama sana

    • @DaudiSaid-bj7dh
      @DaudiSaid-bj7dh Před měsícem

      @@twaahbrown1042 we mmakonde nini, sasa nikiwa na mtoto kama huyo au wewe kwanini nisimfukie mzima mzima. Kama na wewe umo basi aliyekuzaa anatakiwa kujuta. Na mungu atuepushie kizazi kama chako na wengine wanaokufuata.

    • @twaahbrown1042
      @twaahbrown1042 Před měsícem

      Wazazi wako wamefanya makosa sana kukununulia simu wakati bado ni wa 2000

  • @MorrissSamwer
    @MorrissSamwer Před měsícem +2

    MASTA🚀🚀🚀

  • @mustafaameir8186
    @mustafaameir8186 Před měsícem +3

    Mutu mukubwa

  • @habari254
    @habari254 Před měsícem +1

    SAFI SANA AISEE

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před měsícem

      Familia…Tunakuona

    • @habari254
      @habari254 Před měsícem +1

      @@bongo_project Nakutafuta hivi karibuni nikija Tanzania.Sisi Tuko Kenya

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před měsícem

      @habari254 Karibu sana! Tutakupokea

  • @SomoKidawa
    @SomoKidawa Před měsícem +4

    Ila maswali ya MTAngazaJi sijapenda mtu kama AY wakuulizwa maswali haya kweli eti mziki ulianza lini seriously

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před měsícem +1

      Mwana wewe ulikuwa unajua jamaa amenza muziki lini? Ni kwa faida ya watazamaji wote…Hususani vijana wanaotaka kuingia kwenye muziki…wanaweza kuvutiwa na maswali kama hayo

  • @IgnasJohn-sv4vn
    @IgnasJohn-sv4vn Před měsícem +3

    A y anaonekana analohonzuri sana anapenda kufanikiwa nawengine.

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před měsícem

      Kabisa kabisa! Ndio maana amefanikiwa pia...wema mara nyingi hurudi

  • @nehemia397
    @nehemia397 Před měsícem +5

    unauliza vitu ambavyo vipo vinajulikana.
    ndio maana jamaa anakwambia vitu vingine vipo wikipedia.. DO THE RESEARCH BEFORE MAN.

    • @bongo_project
      @bongo_project  Před měsícem +1

      Anayejua ni nani braza!? Interview hii ni kwa ajili ya watu wote wale wanaomjua AY na wasiomjua kiundani. Hilo ndio lengo la kipindi.

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 Před měsícem

    Diamond Anatisha nyinyi wengine mnatakiwa mtulie tu nyumbani... Mda wenu umeishq

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Před měsícem +2

    Masta anamwaga madini tujifunze kitu ili tupige hatua

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv Před měsícem +2

    huyo siyo ramberambe mchemsho diamond huyo ni Ambwene mikausho mokali, he's not showing offf

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 Před měsícem +2

      Kwani akishow off kuna ubaya gani? Au wewe inakuumiza nini?

    • @svt3
      @svt3 Před měsícem +1

      Jay-z, 50cent, Snoop Dog, Dj kalheed....na wasanii wengi matajiri wana shoo off pia ni moja la sanaa matajiri ambao hawa shoo of ni kama Bill gate, Mark Zuckerberg,..... ni ma corporate

  • @shukranimwamwala8441
    @shukranimwamwala8441 Před měsícem +3

    Mwandishi ulitakwa kufanya utafiti kwanza hiyo interview inaboa aisee Yani umepiga interview chini ya kiwango I think the wise is to study the arts before