Namiliki nyumba marekani / lazima uzichange sana uimbe ~ Ay

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 07. 2019
  • #eNewz #AY #EATV

Komentáře • 27

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 Před 5 lety +4

    MashaAllah he is a gentleman

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 Před 5 lety +3

    Hongera AY

  • @husseinmunga9591
    @husseinmunga9591 Před 5 lety +4

    jamaa anamipesa na huwezi jua, sio vibongo vyengine vyakujisifu🤨

  • @jebace
    @jebace Před 5 lety +2

    namkubali sana AY ila suala la nyumba usa sio yeye ni mkewe yule mnyarwanda;yule binti familia yao yote wakosafi ni matajiri sana,wanaishi ubeligiji aka belgium na hata huyo binti kasoma na kuishi brussels belgium

  • @dicksonndunguru7002
    @dicksonndunguru7002 Před 5 lety +6

    Awa matajili awana mbwembwe

  • @lukadelik3652
    @lukadelik3652 Před 5 lety +2

    AY kwanza namkubari. Sana. Sikendo za. Magazeti kiki hana sio kama wa kina Daimondi. Sikendo kibao

    • @lapresakassim8981
      @lapresakassim8981 Před 4 lety

      Diamond 🌟 ww Ay yeye ni msanini so hawezi kua na skendo

  • @christophermlaponi534
    @christophermlaponi534 Před 5 lety

    Inawezekana jamani, ni bidii, kutia juhudi na kujipanga, huku ukimtanguliza Mungu !

  • @dgt6303
    @dgt6303 Před 5 lety

    Namkubali sana huyu jamaa

  • @benjaminikaminsa8526
    @benjaminikaminsa8526 Před 4 lety

    Eatv' huy presenter mtoen, hajui aulize nn!

  • @roselyimo6034
    @roselyimo6034 Před 5 lety

    Safi sana hakuna mbwembwe

  • @eliaminitulloshembazi9095

    Big up

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl Před 5 lety +2

    Kunatofaut kubwa Kati ya mwanaume Na mvulana

  • @mathewyoungkarbubaba9304

    Good

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 5 lety

    MY FAVOURITE RAPPER

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 5 lety

    Dah mtangazaji bonge lamshamba hujawahi kwea pipa nini mzee baba

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 Před 3 lety

    Unapewa mikopo na benk kwa ajili ya kununua nyumba

  • @dicksonmbago7110
    @dicksonmbago7110 Před 5 lety

    Angekua diamond tungekoma mamaeehhh 😂

    • @lumax_tz
      @lumax_tz Před 4 lety

      diamond ana mkwanja zaidi kijana

  • @muhidiniharuna3735
    @muhidiniharuna3735 Před 4 lety

    Wanye mbwembwe huishia kutumwa tu na mataji

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne9796 Před 5 lety

    hamna kitu hpo

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare Před 5 lety +1

    Ameshaongea zamani hii kauli mbn

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika5102 Před 5 lety

    Watanzania tumeshazoana unakuta mtu ajafika ata Kenya anasema nyumba sio yake marekani yenyewe huijui na hutarajii ata kufika Kama inawauma nendeni mkanunue na nyie kwelii uchawi sio mbaka upige ramlii au matungurii kiunoni punguzeni wivuu

  • @hamadshen7696
    @hamadshen7696 Před 5 lety

    Hana mkwanja wa kununua nyumba usa hana hata aimbe miaka 60.nyumba ya mke wake.familia y mke wke iko mtoni ktambo na wanamkwanja.htri.

    • @saidiyasini7754
      @saidiyasini7754 Před 5 lety +1

      Hamad watu wanae pesa nyie mmezoe domo hat akiwa nademu nimatangazo

    • @user-pe9uo4ec6y
      @user-pe9uo4ec6y Před 5 lety

      Wabongo bhana kwahiyo USA nyumba shilingi ngap? Tofautisha nyumba na mansion usiwe mzito kufikiri