Njia rahisi ya kuingia marekani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 07. 2022

Komentáře • 92

  • @LumajiJr-MD

    Process za visa nyie mnatoaje maana visa Ni ubalozi wa marekan Tu ndo hebu kuweni wakweli msije dhulumu watu Bure,,jaman hasa watanzania hebu muwe mnasoma na kufatilia mambo mjilizishe,,kupata visa hasa ya marekan sio simple hivyoo lazima uende mwenyewe pale kufanya interview na viambatanisho vyote ubalozin,,unless otherwise unatoa elimu ya visa na kuwaelekeza viambatanisho ✍️✍️

  • @allycheyo-wz7hf
    @allycheyo-wz7hf Před rokem +3

    Kwakweli mimi nakubali sana ndugu yangu sasa utanisaidiaje mimi nataka kujaa huko ughaibuni mpaka mwezi wa tisa nisaidiwe process

  • @user-ge7xf4pm9j

    nipenamba zasimu kaka

  • @jacklinebayyo9491

    Jmani nahijtj na mim

  • @MuddyOmary-ni5nf

    Million 9 .yakitanzania?

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 Před rokem +4

    Naomba nifafanulie vizur mm nahitaji hiyo nafasi kaka TZ Mambo magumu sana kwass tuliokosa elimu tumeishia 4 tunavyeti lakini hata vyuo vya hapa nchin havitupokei labda corege ila pia ada shida labda udongo wahuko unaweza badili maisha yetu tuokoe mama zetu sasa tunawasilianaje kwenye hili unielekeze zaidi nn nifanye

  • @juliuslukumay2619

    nakukubali mwanangu.

  • @HadijaSudi

    Habari kaka Mimi ni dereva wa bus na malori ni hela kapi kuja huko Mimi niko Kenya kaka nimefanya kazi Dubai Niko na leseni zangu

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 Před rokem

    Wejamaaa ivi unakumbuka nilikuwa nakushevu hapa Arusha huku njiro. Aseee kumbe upo majuu mwambaa ulikuwa unavimbaa mkuuu. Kama unapakumbuka Nane nane hapa. Duh nomaaa

  • @alfredaloyce6835
    @alfredaloyce6835 Před rokem

    Nakubari alakati Mzee baba mi najichanga ndakutafuta bro ila elimu yangu ni dalasa la Saba Kuna ubaya hapo

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla Před rokem +3

    we jamaa nakumbuka miaka 2002-2007

  • @raheemahamees6410
    @raheemahamees6410 Před rokem +1

    Bs nifanyiye ivo kaka yangu🙏🙏

  • @millermlowe8156
    @millermlowe8156 Před rokem +1

    Mamaeee tma mil on 9 ujute hakna maisha mepesi kiivo Nisha kuja amerca na nimesoma uko wapigaji wakutosha

  • @user-dy4pw8ts9p

    Nakubali man

  • @mamalamama7010
    @mamalamama7010 Před rokem +7

    Passport ninayo nigaramie pesa yako uje uchukue nikija kufanya kazi

  • @annangosso6680
    @annangosso6680 Před rokem +3

    Sorry,nifahamishe mtu akija anafikia wp?

  • @JumaNdevu

    Shida n moja nyinyi watu wa mitandaon n wiz ama zaid uongo mumezidisha

  • @shukrimusa528
    @shukrimusa528 Před rokem +1

    Nikiwa na passport ya kenya vip?

  • @ntumbankinga2496
    @ntumbankinga2496 Před rokem

    Yeah

  • @prospermbwambo2265
    @prospermbwambo2265 Před rokem

    Ok Broo mi nataka mawasiliano