Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Zungu na Charles William pale wasafi ni wataalam sana wa mambo ya kisiasa wanajuwa kuchambua siasa na kuhoji wanasiasa kwa ufanisi mkubwa mno🎉🎉
Mkuu wa wakuu wa mikoa yote Tanzania
Sahihi siyo wa mkoa ni wadunia nzima
@@Peterchila-un2lxYuko vzr kwa kweli ktk uwongozi,Sema mafisadi hawampendi
Mashaallah zungu ❤❤❤
Nakupenda sn makonda kwa. Utendaji wako
Zungu ni bonge la presenter 🎉🎉🎉🎉
Huyu ndie mkuu wa mkoan wa Tanzania nzima
Sahihi ndugu siyo tanzaniatu ni rc wa dunia
😂😂😂😂
4sure ndugu
Inafurahisha sana
Makonda anafaa kuwa rais ajeye mwaka fulan ujao
Makonda yani wewe ni magufuli mtupu chapa kazi baba
MUNGU akuinue juu juu juu,kadri impendezavyo YEYE
makonda jembe sana mungu akuweke mno
Zungu hongera sana
Lik za kutosha wakwanza Leo
Diamond mtu kazi nakuaminia sana
My leader makonda 💪💪💪
Makonda anampenda sana zungu. Siku moja Makonda akiwa mkubwa zaidi zungu atakula shavu
Kweli umeona mbali kama mimi kaka
Absolutely for you ZUNGU, are you very strong and Genius brother! 🎉🎉🎉
Kweli huku gulf wapo madoctor na engineer ni maalbino… kweli nchi zetu za afrika ndio wanawabagua
Zungu umenenepa kaka 😂
Asante makonda
Safi sana Makonda.
Safi sana. Kwa nn watanzania tusimchague makonda kuwa raisi??? Wewe ni raisi ajaye
makonda awe Rais
Unaonaje uwe raisi wewe 😅😢😅
Acha wivu@@Bumutz-po2df
Zungu makonda kakupenda mimi nakwambia wewe unatoka ww umeshatoka utakuwa mtu mkubwa sn kwanza bwana mdogo elimi unayo amini.
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mkuu wa mkoa nakuelewa sana.
Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani nakuombaIkikupendeza inshallah usimuache Mueshimiwa makondaKwakazi nzuri anayo fanya Alha akuongoze salama mueshimiwa
Kweliii kaka
Huyu jamaa mkimuamini kwa uraisi mtafika mbali sana Tz ❤from🇰🇪
Mkuu wa mkoa Arusha piga kazi
❤❤ Makonda
Magufuri
Da🎉
Namupenda makonda❤
🎉🎉🎉❤❤❤
Mungu akutunze baba. Nikija Arusha siku moja Mungu aniwezeshe nikuone na nipate kibali cha kukuona
Tumpe uraisi
Mwamba kabisa
Makonda ni mtu na nusu
Brother mimi nakupenda Sana maconda
Bgp. Diamond platnumz na makonda
Namkubali sana kiongozi wa kweli kwa nini mama asituludishie dar es salaam
Makonda ni bonge la Kiongozi,kwani ni mbunifu sana.
Tesi kugombe uraisi ili ujue sisi tuna akri timamu au uwone kivumbi cha wana ichi
Makonda awe president tu tz
Daa Yan makonda pamoja na mapungufu ya kibinadam ni mchapakaz sana Yan daa
makonda hiyo nafasi aliyo nayo samia ni ya kwako 2030
Huo albino anakili sana sana Tena
Duuh nataman makonda aje kwetu kigoma afanye kazi hata Kwa miez sita tu ili atusafishie ujinga na uchafu ulioko huku
Piga Kaz kk wananchi tunakuona ata ukigombea urahic ni haki yako
Zungu na Charles William pale wasafi ni wataalam sana wa mambo ya kisiasa wanajuwa kuchambua siasa na kuhoji wanasiasa kwa ufanisi mkubwa mno🎉🎉
Mkuu wa wakuu wa mikoa yote Tanzania
Sahihi siyo wa mkoa ni wadunia nzima
@@Peterchila-un2lxYuko vzr kwa kweli ktk uwongozi,Sema mafisadi hawampendi
Mashaallah zungu ❤❤❤
Nakupenda sn makonda kwa. Utendaji wako
Zungu ni bonge la presenter 🎉🎉🎉🎉
Huyu ndie mkuu wa mkoan wa Tanzania nzima
Sahihi ndugu siyo tanzaniatu ni rc wa dunia
😂😂😂😂
4sure ndugu
Inafurahisha sana
Makonda anafaa kuwa rais ajeye mwaka fulan ujao
Makonda yani wewe ni magufuli mtupu chapa kazi baba
MUNGU akuinue juu juu juu,kadri impendezavyo YEYE
makonda jembe sana mungu akuweke mno
Zungu hongera sana
Lik za kutosha wakwanza Leo
Diamond mtu kazi nakuaminia sana
My leader makonda 💪💪💪
Makonda anampenda sana zungu. Siku moja Makonda akiwa mkubwa zaidi zungu atakula shavu
Kweli umeona mbali kama mimi kaka
Absolutely for you ZUNGU, are you very strong and Genius brother! 🎉🎉🎉
Kweli huku gulf wapo madoctor na engineer ni maalbino… kweli nchi zetu za afrika ndio wanawabagua
Zungu umenenepa kaka 😂
Asante makonda
Safi sana Makonda.
Safi sana. Kwa nn watanzania tusimchague makonda kuwa raisi??? Wewe ni raisi ajaye
makonda awe Rais
Unaonaje uwe raisi wewe 😅😢😅
Acha wivu@@Bumutz-po2df
Zungu makonda kakupenda mimi nakwambia wewe unatoka ww umeshatoka utakuwa mtu mkubwa sn kwanza bwana mdogo elimi unayo amini.
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mkuu wa mkoa nakuelewa sana.
Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani nakuomba
Ikikupendeza inshallah usimuache
Mueshimiwa makonda
Kwakazi nzuri anayo fanya Alha akuongoze salama mueshimiwa
Kweliii kaka
Huyu jamaa mkimuamini kwa uraisi mtafika mbali sana Tz ❤from🇰🇪
Mkuu wa mkoa Arusha piga kazi
❤❤ Makonda
Magufuri
Da🎉
Namupenda makonda❤
🎉🎉🎉❤❤❤
Mungu akutunze baba. Nikija Arusha siku moja Mungu aniwezeshe nikuone na nipate kibali cha kukuona
Tumpe uraisi
Mwamba kabisa
Makonda ni mtu na nusu
Brother mimi nakupenda Sana maconda
Bgp. Diamond platnumz na makonda
Namkubali sana kiongozi wa kweli kwa nini mama asituludishie dar es salaam
Makonda ni bonge la Kiongozi,kwani ni mbunifu sana.
Tesi kugombe uraisi ili ujue sisi tuna akri timamu au uwone kivumbi cha wana ichi
Makonda awe president tu tz
Daa Yan makonda pamoja na mapungufu ya kibinadam ni mchapakaz sana Yan daa
makonda hiyo nafasi aliyo nayo samia ni ya kwako 2030
Huo albino anakili sana sana Tena
Duuh nataman makonda aje kwetu kigoma afanye kazi hata Kwa miez sita tu ili atusafishie ujinga na uchafu ulioko huku
Piga Kaz kk wananchi tunakuona ata ukigombea urahic ni haki yako