Serikali Kuu ya Mizuka- FLEX
Vložit
- čas přidán 23. 05. 2024
- Ile Serikali kuu yenye mamlaka, mizuka, mistari ya kutosha na flows kali inarudi tena Download/Stream Audio - offstep.link/873200418254
Follow @SerikaliKuuyaMizuka Socials
instagram - serikalikuu_
X- serikalikuu_
Facebook- profile.php?...
Tiktok - www.tiktok.com/@serikalikuuya...
Stream @SerikaliKuuyaMizuka Now
You Tube- / @serikalikuuyamizuka
Apple Music -music.apple.com/us/artist/jay...
Spotify-open.spotify.com/album/4Qc1aI...
Audiomack-audiomack.com/serikalikuuyami...
You Tube Music - • Flex
Boomplay- www.boomplay.com/artists/8998...
For more information Subscribe @SerikaliKuuyaMizuka YT Channel
Call/Text: +255714988767 - Hudba
Moni Centrozone flow ya kinyamwez sana mamen..🥶🔥🔥🔥🔥
Salmn kiboko wazee msikilizeni tena hii kauwa
Like za con boy ap🙌
Con is doing music for fun 😅 he’s a potential to be a star
Country wizzy 🎉weee ni noma sana kwakubadilika ila salmin swagy bila ya uchoyo wote mko poa sana mpaka kiluga ndani ❤❤❤🎉🎉
Msamiatii umeuwaaa sanaaaa mwaisaaa 🔥🔥🔥
Sema deddy kwenye chorus anakuaga mchafu Sana
Salmin Swagg kawakalisha
Kete ya kwanza kwa Salimin Swaggz mbili kwa mwaisa alaf centrozone nampa❤❤🎉
Huyu Jamaa aliechanganya na kakiruga hataree💥💥
msamiati, mnyakyusa huyo
Kanyoosha Anaitwa Msamiati
wote credit kwao ila MSAMIATI anawakilisha sana green city
Chorus Ajabbbb
Ukifunga moja Mungu anafungua door 4,,, umekiwasha salmin🔥
Salmin swagz kawaua wote 🔥
MANN SALMIN SWAGGZ NEVER DISAPPOINT KABISAAA...anavoswitch flows na bars zake ni elite pia hatumii nguvu sana...for me ameua kuliko wote. 🙌🙌🙌
Mwaisa noma sanaaa 📌📌📌 wizzy we ndio mnyamwezi wa hip hop bongo na sio watia kelele na majingambo kma mtot wa kiwaran
After listening like 100 times nimegundua jamaa wa Full Black #Teria ndio kawakimbiza kwamba voice la kinyamela 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwaisa katupa jiwe salmin karudi na majibu 🎉
Aliyekaa kwenye kiitikioa kaua, Mwaisa na Salmin
Nilikuwa namsubili conboi tu nilijua atakiwashaa 😮😊😊
Serikali kuu ya mizuka vibe sana
Cetrozone EST zuu malume ones again 🔥🔥
Teria waheshimu mabroh zako bhana kwanini umewakimbiza namna hiyo😅😅 ila huo mchorus🙌🔥🔥🔥
Nomaa sanaa😍🌍 serikali kuu namzuka
Mbeya nooooooma
Daaah mm ni shabiki wa salmin swag ila hapa leo msamiati kaua sana yani
Ngoma kalii but huyo full black kaua sana ana Rap nzuri sanaa
Anahitaji chemistry flan na county boy kuna kitu hapo
Sema salmin swaggz always best kwangu jamaa ana style flan ivi Atari sanaa guys tumeimis OMG
Kaanza lunya kat salmin mwisho conboi wauni wanajua🙌🏿
@@onesmoshayo7880 wanajua sana sema con boy kaua sanaa
Daah swagz mnyamwezi sana ujue
Conboi na country is 🔥
wakiulza Dom vp nawaambia Dodoma jiji😂😂🔥
Big up gambino u dope🇰🇪🇰🇪
country ameua kiniumaaa
Blessed Flex on it🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Teria kafunika humu ndani
MALUUMEE &CON🔥🚬
Yooooh wassup
serikali kuu ya mizuka ❤
Kila mmoja kauwa kipande chake big shout out to cannabino
MALUMEEEEEEEEEEEE
Salmin 🎉
Kubababakee 🔥🔥
...OMG on top again. Yoooh we flex
country noma sana
Ded hii chorus ni incredible 🎉🎉
Salmin kawakimbizaaa mwaisa unafanya poa na unyaki kwenye beat
🔥🔥🔥🔥💯💯
Cannabino 🙌🙌
Teria yur the best❤💋i will cal yah🤫
Salmin swaggz
Ukipata jamaa anaflow kwenye kiingereza Ina maana bars zinaezasikizwa na mmarekani anaeishi Texas...Yani conboi ndio kaua vinoma group lote liko sawa Ina con hataree❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Familia 601 Burs never kama wayne najiona mbali sana
No argument, so far this is the jam of the year. 🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️
OMG majengo sokoni
Super
OMG mjengoni kama zile days,hii trio 🔥🔥📳
OMG irudi mazeee😢
Chorus iko juu ya hizo flow...kimya 1 & conboi kamalizia
Con boi✅️
Mwanangu Dedy Ishi sana mkubwa
Wote wameua ila Salmin Swagz katisha zaid
Deddy Chorus killer🙌🏾🙌🏾
Lunya 🔥
Canbino and salmin killed it💥💥💥
swagz on fire 🔥🔥🎉
Msamiati🙏🙏💪👍
Hii track inauaa🔥🔥🔥🔥🔥
Country boy 🔥🔥🔥🚒
Malume ni Namba za manamba 🔥
Aisee Hii nchi apewe@countryboy ila tatizo anazidi kukonda tu
Lunya❤❤
Rapcha angekaa humu
Aliyeona County wizzy kaswitch flow zaidi ya 3...yaani verse moja staili zaidi ya 3 tujuane
Bongo Cypher🔥🔥💯
Salmin mwaisa na centrozone
Cannabino💥
Hii corus nyookoo sanaaa 🔥🔥
Humu Young Lunya kafunikwa hadi na Salimin Swaggz 🔥🔥 Malume proud alaf Canabino ni unyama sana
Con ana hasira sana 😅
ndio maana kaekwa mwisho 😂
1.teria.2.bid wizzy 3.msamiati hip-hop alive
TeRiA baddest 🔥🔥
Hii nchi apewe country boy 😂😂😂😂
Kweli kbs
@counrty wzzy kaua humu hatari 🔥🔥🔥🔥
Moni centrezon..,Salute
Malafyale kaua na kawakilisha Green city ipasavyo
Cannabino 😂 nakubr br unaeza
Salmin × Msamiart 🙌🏿
Amazing song, Big up
Ngoma ingepata video Vixen na online pushing🔥🔥🔥
Napenda kuona the way wana show Love to the Legends who created the path ya music hapa Bongo. Safi sana kazi nzuri
TILL I DIE ..conboi
Nilijua nyandu ndani
Wote wakali tunawapenda sana endeleeni kutupa burudani kali japo naona kila mtu kataja wake ila sisi ambao tumependa michano ya wote tulike hapa tukuze vipaji kwa kuwasapoti🎉🎉🎉🎉🎉
KAZI INAONEKANA ♨️
Chafu mwenye black katisha sana salute zote,,, chundabadman from SA Capetown
Black on black ...uyo ni hatariiiii sanaaaa ...ngwea mtupu
BINNo🔥
Nimesikiliza mara 4
.. no disappointment Salmin , aliye imba chorus , country wizz , full black rast wameuwa
Teria kamwakilisha ngwear kwenye hii kitu.. God bless you Teria 🔥🔥🔥
Kauuuaaa sanaa
dedy kubabake
Huyu Mwamba anaitwa TERIA ebu mpeni sikio mtanishukuru Baadae....
Teria ndio number 1 humu
Aliepiga huo mchorus ni Bomboclaat✈️